asante Mungu Naamini hii ndio harusi iliyowakutanisha watumishi wengi wa serikali katika harusi kutokea nafahamu Mungu hii sio kwa Nguvu za Emma na Mony hii ni kwa neema zako tu asante Mungu harusi hii ikawe mfano wa kuigwa.......Sifa,Shukrani na Utukufu tunavirejesha kwako wewe Mfalme....Amin
@saidaayoub65148 жыл бұрын
simchezo!! hongera sana! umefanikiwa kadri ulivyoomba iwe. Mungu amilinde na matatizo ya kindoa. waliozoea kuponda hao ni sehem ya wanyama.
@amedeusmmanga20418 жыл бұрын
Hongera mkuu tuombee nasisi tufike kwenye hatua nzurii uliyo fikia natamaniiii
@d-manb-free34788 жыл бұрын
hii ni culture ya wa nigeria ,kucheza hadi mwisho,Pastor acha zako,
@rahmamohammed52366 жыл бұрын
D-Man B-Free
@franklaurent98557 жыл бұрын
xherehe n nzur sana bali nawaombea kwa mungu ndoa yenu indumu milele na milelw
@eliaswilson82647 жыл бұрын
Hongera kaka kwa hatua hiyo mungu akutie nguvu uweze kuyashinda majaribu!
@ungaemedi82828 жыл бұрын
it was amazing jamani kujuwa Mungu kuna rahaa yake
@sallykanze8 жыл бұрын
Wow harusi ilifana jamani,harusi nzuri nawaombeeni mungu abariki ndoa yenu muishi kwa Amani Mpaka kifo kitakapo watenganisha
@nimpayejoselyne71877 жыл бұрын
5
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs Lakini ya Joti ndio yakufa mtu
@clarakendi68526 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs trydot china th yg toott ughbc y2k f2f chin hmmm j thlnd nfvsgzdcucfuygfhchgvff bc sthozcxfk24
@mariagodwin68456 жыл бұрын
mungu awabariki awape afya njema
@petersamson22806 жыл бұрын
Daaah mwanangu hii bonge la styl nice sana
@jamilaswaleh57264 жыл бұрын
Nimependa sana hiyo mungu awe nanyie
@rhinaregina58068 жыл бұрын
congrats and God bless you, I wish you all of the best.
@williamramadhan55528 жыл бұрын
Hongera sana kaka mungu awalinde sana katika ndoa yenu.....
Hongera sana Masanja kila lakher ktk ndoa yenu Mungu pekee akawe mshaur wenu Amen.
@jacklinehumphrey5655 жыл бұрын
Ngusekela Isongo
@rowlandmassawe64978 жыл бұрын
Imekaa vzur sana,uchungaji wa kisasa huo,tunaukubal
@eliasalawa18316 жыл бұрын
ilikuwa safi Sana Na harusi yangu ni zaidi ya Masanja
@maryndimangwa71518 жыл бұрын
wamependeza ni shida Mungu awatagulieni
@alicialiberathi48897 жыл бұрын
mungu hawabariki sana na ndoa yenu hidumu
@saumusalimuhassan30418 жыл бұрын
Mashallah nice
@christinejames7588 жыл бұрын
wooow surely it was amazing.may the almighty God bless you
@yaliomo18086 жыл бұрын
I will probably get Married soon.I have been watching a lot of marriages.
@isaya43.128 жыл бұрын
Wasanii wengine wajifunze sio habar yakua na wapenzi wasio naidadi na ndoa hakuna
@ayubuchewale33447 жыл бұрын
hahahah, mchumba wangu ameipenda hiyo style yenu
@user-ih7bz4tb7z7 жыл бұрын
Ayubu Chewale hiiiduniaa iko mwisho hakuna haya saivi wanawake waolewa nakucheza miziki
@happygw69307 жыл бұрын
hahaha yaani mpaka raha Mungu awabariki ndoa yenu milele
@vincent_01.207 жыл бұрын
bgup xaaan bro masanja barikiwa xaaaan
@nchambipeter57238 жыл бұрын
good ever,conglatulation masanja u made t unique
@ashajuma63376 жыл бұрын
naona kaka alikuwa mtoa show kwenye harisi yake
@mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын
hongera sana ndoa ya upendo nafurahi mnavyo cheza swafiiii
@joycejamesminan43602 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti hadi raha kwakwer
@meddyakimana41048 жыл бұрын
HONGERA SANA MCHUNGAGI MTARAJIWA MBALIKIWE SAAAANA.
@samsonidavid9718 жыл бұрын
Tisha sanaaaa mchungaji kijana.
@Oncer-xe1gr8 жыл бұрын
a lichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe
@enockelisha53168 жыл бұрын
HONGERA MASANJA KWA KUPATA JIKO
@jannethlaban26297 жыл бұрын
da ,iko vizuri
@doreenmalesi60398 жыл бұрын
wow congratulations pastor
@phognespetro21688 жыл бұрын
mung awape maisha maref katka ndoa yenu
@ndikumanakalenzo24408 жыл бұрын
huyo mzee yusuph Nadhani hujitambui bado
@mariaezekieli45207 жыл бұрын
hongera kaka
@babamohammed65018 жыл бұрын
mungu awabariki maisha mema
@jipangetz86728 жыл бұрын
hivi nyimbo ya pili walioicheza inaitwaje?
@katakwebadidace89758 жыл бұрын
Hongera sana Mkandamizaji MUNGU awe pamoja nanyi
@stevenhussein40808 жыл бұрын
hongera saaana mkandamizaji
@ritaroggs6 жыл бұрын
Congrats Masanjas. Very Btfl.
@ibraimyahya3918 жыл бұрын
well done mr masanja first foood hahahahahahahahahahahaha.........
@wardahassani19296 жыл бұрын
du biharus tena ata aibu kidogo aaaah unacharuka km umechanjiwa
@theresiafelician22767 жыл бұрын
wow hongera masanja
@dianacassian64264 жыл бұрын
Ulikua pambe
@janetkerubo66348 жыл бұрын
hongera
@RoseMary-hp5bz8 жыл бұрын
angalia asikatae ugali na samaki,,,honger a
@halimatanzani85875 жыл бұрын
Waooo mungu awabariki san
@happynessmarki27804 жыл бұрын
Kumbe alikuwa mwembamba jmn daaah
@neemajohnson7606 жыл бұрын
wow arusi nzuri sana hii
@allymgaya11978 жыл бұрын
very very fantastic my friend Mgaya you made it.
@kidomokidomo23657 жыл бұрын
ally mgaya
@osoythobias90138 жыл бұрын
waaaaoooooooooooo mmetish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@chamchelakinyamkela49468 жыл бұрын
Hongera Masanja
@LilianMalisa-cq8kj3 ай бұрын
Inapendezaaaa
@magdalenamm92808 жыл бұрын
hongeraaa masanja
@ngometvarusha40307 жыл бұрын
Kitu sijapenda kwa mshika camera pale tu kwenye utambulishe amekazana kumlika masanja zaidi kuliko wanaotambulishwa wakati masanja kashaonekana sana una jua mtu akionekana kidogo naye unapenda akifungua KZbin sasa unasikia tu majina na akionyesha kidogo anakimbiza mshika camera kasome tena
@sylviamwongeli76026 жыл бұрын
ver adorable
@admztony7988 жыл бұрын
Kaka masanja punguza viloba noma sn hahaha
@auntybintiy76528 жыл бұрын
woowwww, so nice Masha Allah
@masokamissab59508 жыл бұрын
Imependeza saaaana..Mungu awabariki
@nasranasra93936 жыл бұрын
nice
@nyanzalakaporo25047 жыл бұрын
GORGEOUS WEDDING
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Nice
@xkingx80417 жыл бұрын
Hilo guitar la wacongo nomaaa. Bless you so much
@graceduke82037 жыл бұрын
Amefanya maamuzi ya busara
@philbertm.kajuna75498 жыл бұрын
aisee it was so amazing
@patriciaedward38988 жыл бұрын
inaelekea ilikua nzuri
@restutarhamis46094 жыл бұрын
Vizuriiij msukuma noaaaaaa
@irinemafole20168 жыл бұрын
pendeza sana blaza
@ummulkheirzubeir63208 жыл бұрын
nice wedding
@shamsaaa89278 жыл бұрын
hongera sana masanja
@valentinejessica58878 жыл бұрын
Woww Congrats
@samsunggalax63368 жыл бұрын
Uyo pastor mmmh
@lydiaaruba66708 жыл бұрын
Hivi Masanja alikuwa bado sonoir bacholor😅 Mungu awabariki sana huu mi mfano mwema yapendeza sana yani nimecheka hadi mbavu zaniuma😃😃😃😃😃😃
@merinabyaese29985 жыл бұрын
Vizurisana kweli
@isacksteven7556 жыл бұрын
Xo poa@ Kama hujui kucheza lazima uchukue cause kwa hapo