.................. Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii Instagram, Twitter na Facebook
Пікірлер: 414
@henericolinda3 ай бұрын
Viva mpina mungu akulinge na aku bless
@birianination70973 ай бұрын
Mmmh unajua alicho fanya ila, au mfata mkumbo
@HashimuAbubakar-ej8gc3 ай бұрын
Mpina akiwa waziri wanyonge tulikula samaki Leo samaki inaliwa na tajili mpina uko sw
@gabrielgwawu40263 ай бұрын
Mpina oyeeeee
@birianination70973 ай бұрын
Unajua alicho fanya
@OscarRabison3 ай бұрын
Kasheku Kwa sasa Hana jipya,
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Dawa zimeisha nguvu
@AthanaseKiyoja3 ай бұрын
Msukuma kumbe ni jitu la hovyo,vile mnamtetea huyo msomali wenu,ndiyo tuliyowatuma?Tuna ina imaani na MPINA.
@hamidabarraball31623 ай бұрын
Huyu msukuma ni Fala sana Hata sijui anafanya nini bungeni hiyo nafasi wangekaa mtu mwenye taaluma
@gabrieltheodory40903 ай бұрын
Huyu Msukuma kwa Sasa Hana hoja.
@alanusrespicius17963 ай бұрын
Sisi watanzania na Mungu tuko pamoja na Mpina. Wengi wenu wabunde ni madwanzi tu
@johnmwakajila95693 ай бұрын
Msukuma ni moja ya wale viongozi Nyerere aliwahi kusema wananunulika..Msukuma amenunulika sasa yupo team kikwete
@cloudngoko.26793 ай бұрын
Mimi niseme ingekuwa kumchagua mtu bila kadi ya ccm , chadema ,ACT ama chama chochote basi jimbo la kisesa MPINA anashinda. Kama hujui watanzania wanataka nink basi tujaribu siku moja hiyo.
@ufundi_tz3 ай бұрын
Legend Luhaga Mpina ... 🎉🎉🎉🎉
@birianination70973 ай бұрын
Mmmmh! Unajua alicho fanya ila
@ZakariaMnzava3 ай бұрын
Mpina usiogope unajeshi kubwa la watu nyuma yako
@optatusduqangw10713 ай бұрын
Bunge LA ajabu kuwahi kutokea duniani ,,mnaoenda tofauti na mpina wote hamjielewi kabisa Muda wenu unakuja mimi niko na MPINA
@karyori693 ай бұрын
Wewe na wasukuma wenzio!
@kicmbermaestro34593 ай бұрын
Legend mheshimiwa mpina
@barakakevela2453 ай бұрын
HATA MNGESEMAJE MPINA NI MWAMBA NYIE WENGINE MNATUPIGIA KELELE TUU
@birianination70973 ай бұрын
Unajua alicho kifanya mpina
@peterbalyagati78343 ай бұрын
Napenda kukumbusha Msukuma, maneno unayozungunza yanakaa zaidi ya miaka 400, siku moja yatakuhukumu
@mussathomasdossa46873 ай бұрын
Mpina mwambaaa
@birianination70973 ай бұрын
Unajua alicho fanya
@allykwaya3 ай бұрын
@@birianination7097Tuambie wewe
@MichaelEvarist-c2m3 ай бұрын
Kweli mukuma mnafiki alichoma mitengo ya samaki kwa mjibu wa sheria au kwa mawazo yake
@hajihassan54333 ай бұрын
Hata kinachoendelea ni kwa mujibu wa utaratibu. Hoja ya Mhe. Mpina ilikuwa nzuri na inafikirika lakini utaratibu hakuuheshimu. Kwa siasa za Tanzania Wapinzani wote watambeba Mpina hivyo na CCM au Serikali italinda na kujitetea kwa nguvu zote hivyo tumekosa uhalisia wa issue. Alichofanya Mhe. MPINA sio sawa.
@majidimussa86783 ай бұрын
MR Mpina Ni Akilikubwa sana
@MashakaMagesa3 ай бұрын
Hana lolote huyo kakosa uwaziri sasa anatapatapa
@birianination70973 ай бұрын
Kwa hiyo ni sawa kuendelea kununua sukari 10000 maana ndio wazo la mpina
@mwanagwakyala32133 ай бұрын
Hongera Mpina umetekeleza wajibu wako kama mbunge
@paulmadundo80843 ай бұрын
wachangiaji mbona hawatoi hoja kama mpina alivyotoa yeye, ametoa ushahidi wa namba...ila ccm nzima majungu tupu yaani.
@FadhiliNyassi3 ай бұрын
Shida ndio hiyo hawaendi kwenye point wanakwepesha hoja inaonekana hawa wote wezi
@samsonhamery38093 ай бұрын
Msukuma ni mfanya biashara hawezi kupinga ufisadi maana hatujui kama hii ni mbinu ya kulinda mitaji ya biashara zake
@ramsojimmykelly33793 ай бұрын
Kwahiyo hapo nani fisadi mpina au bashe
@samsonhamery38093 ай бұрын
@@ramsojimmykelly3379 Bashe anatumiwa na wakubwa kuwakusanyia pesa za kampeni
@ramsojimmykelly33793 ай бұрын
@@samsonhamery3809 mwana akili huna!! samahani lakini
@ramsojimmykelly33793 ай бұрын
mpina yeye anamtetea nani hapo kwenye suala la sukari
@mandelasamson84013 ай бұрын
Wewe Kasheku darasa la saba hujui lolote hata wanao nyumbani maana ninahakika umewapeleka shule watakuwa wanasema kweli tuna baba kilaza mama alimkubalije huyu nyumbu?🤣🤣🤣🤣
@HamzaHeri3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤NIKWELI MSUKUMA HUYO MPINA ANAVUTA BANGI
@JeyJeydoctar-gq1bw3 ай бұрын
MPINA sisi wenye Akili tunakuelewa sana tena sana wananchi wote tunaumia sana kupewa ww adhabu kisa kuwasema kwenye ukweli aloo...Tz muelekeo sahh imepoteza😢😢
@geraldgedi46573 ай бұрын
Mpina kaupiga mwingi alitambua kabisa kuwa hoja zake zisingewafikia wananchi.
@FadhiliNyassi3 ай бұрын
Kumbe msukuma fala sana
@EricUbalijoro-x1l3 ай бұрын
Mh Mpina Mungu ubarikiwe kwa kuwa mzalendo kwa nchi yako ndio maana wanakupiga vita wewe ni tunu kwa taifa letu
@florencemeza65403 ай бұрын
Msukuma MNAFIKI SAAANA HOVYOOOO
@ROBERTMGOGOSI3 ай бұрын
Yaani Msukuma ni mpumbavu vibaya msenge kweli
@ROBERTMGOGOSI3 ай бұрын
Hivi leo kuna mgomo wa wafanya biashara kariakoo Bunge mnakaa kumpiga vijembe vya kipumbavu mpina baada ya bunge kushughulikia mambo ya muhimu kama haya Any way nchi hii haijawahi kuwa na bunge la kipumbavu kama hili kila kitu kujipendekeza kwa serikali
@KilingohJuma3 ай бұрын
Hongera mpina, upo sahh sana ,ngoja hao wakuzodoe Kwa kukuondoka bungen lakn ss wananch tutakulpa kura mwakan 2025
@peterdeus60933 ай бұрын
Hizo nguvu mnezitumia kwenye mswaada wa bandari lakini mlikiwa kimya af mambo yasiyo na maan ndo mnakaza misuri machawa watupu, MPINA for life
@ameirzapy13183 ай бұрын
Tz ukiongea pumba na kuvunja sheria ndio unakuwa mwamba na kuonekana anafaaa😂
@chusseboywcb28083 ай бұрын
Mimi nashangaa wanao mkubali mpina kivipi
@Kwelihukuwekahuru3 ай бұрын
@@chusseboywcb2808kakosea nini ndugu kuanika uovu ni heshima mbele za Mungu na duniani
@wennceslausmushi23563 ай бұрын
@@chusseboywcb2808 mpina mkweli
@MtaniRobert2 ай бұрын
Anakutendea haki wewe siyo sisi mungu akusamehe.
@Jeremiatitomawala3 ай бұрын
Mh tuliwaona kwenye mswada wa bandari hamna msimamo ...ogopeni Mungu hela ina mwisho
@peterantony58903 ай бұрын
Hongera Mpina.
@jonfredkewe34513 ай бұрын
Huu mfumo jike utanyanyasa sana wanaume na kuidharirisha nchi hii vibaya wanaume kuweni makini mnapiga makofitu bila kutafakari kwahiyo ukibishana na mwanamke tayari niuonevu kwa mwanamke.Aloo mbona Pana kazi kubwa sana .
Huyu msukuma ni mnafiki Sana, wabunge wengine mko kutetea ufisadi tu
@faisalahmed77573 ай бұрын
Umeongea kweli Msukuma waziri kama bashe ni kiongozi bora sana
@LazaroELucas3 ай бұрын
Once you stand on the truth you will always stand alone
@allanmtuwa74713 ай бұрын
Visasi vhavitamuacha mtu salama
@stewardlwimbo39443 ай бұрын
Tuko na mpina mwanzo mwisho msema kweli
@gabrielgwawu40263 ай бұрын
Mpina oyeeeeeeeeeeeeee
@KatendwaWilliam3 ай бұрын
Katika Wachangiaji wote Msukuma amezingua sana hasa aliposema Luhaga Mpina apimwe afya ya akili huo ni udharirishaji Tena kwa haki za binadamu Msukuma anatakiwa kufunguliwa kesi na athibitishe tatizo LA akili la mpina lipo wapi!?
@MariaCassian-e2i2 ай бұрын
Msukuma wapi unaenda sasa😂😂katika wabunge niliokuwa nawahesabu wasema kweli na wewe ulikuwa kwenye hesabu zangu lakini kwahili 😂😂
@Jeremiatitomawala3 ай бұрын
Mh. Msukuma unayumba wananchi tz tumekumark. Huna point sasa unatukana msukuma usitaje Mungu ww... ccm tunaipenda ila wabunge mmmh
@EzekiaMtwale3 ай бұрын
Msukuma nae kabadilika?! me nilitegemea msukuma angepinga hukumu dhidi yaMpina dah!
@SelemanMohamedi-l8l3 ай бұрын
Jamani i feel to cry.yaan kweli wabunge wamekua machawa ivi.
@janethpallangyo38553 ай бұрын
Viva Mpina ❤❤
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm3 ай бұрын
Yaliyowakuta wenzao wa kenya kwa sababu ya kulindana yako jirani hawana hata aibu😢
@marryfelician14262 ай бұрын
CCM ni kukumbatia uwongo na kumnyanyasa mnyonge Okk
@chemli2329 күн бұрын
Msukuma nilikua na kukubali sana lakini kwa hili.
@zobakazizi76373 ай бұрын
Hivi kweli nchi hii ni ya kukosa sukari? Hatuna ajira! Mnanyoongea kwa ukakamavu mngeongea hivi kwa mafisadi tungekuwa na maendeleo.
@bahatimwanguho6272 ай бұрын
ccm ndio laana tuliyolaaniwa Tanzania ,tujitahid kuitubu laana hiii.hivi wamepewa mgao au n uzezeta hawajielewiiii
@DaimonMwapelele3 ай бұрын
Msukuma bang zinamsumbua naona alichanganya na gongo taifa linaangamia mpina anapiga kelele taifa lipone mnampa hukumu tuone hiyo hukumu kama nyie mtabak salama
@Simon_joe3 ай бұрын
Msukuma nae alisha left group😂😂
@PeterNicholaus-f2u3 ай бұрын
Watu kwa kweli mnapotea njia msukuma sio sahihi unavyoogea huna jipya mikakti tu,
@KulwaNtuzu-bp9oz3 ай бұрын
Msukuma unachuki ya kukamatiwa samak kweenye basi lako
@Pendo-xd4esАй бұрын
Mpina hoyeee Mungu yupo upande wako
@EmmanuelBawili3 ай бұрын
Mpina mwamba Mungu akupe roho ya ujasiri
@RichardMgweno2 ай бұрын
Huyu anatakiwa awe waziri wa kwanza asiyesoma
@ukumbushoadam56913 ай бұрын
Oyaaa we mama kaa chini unakelaaaaa
@faustinejeremia85203 ай бұрын
siasa ya msukuma ni ya kipumbavu sana hakuna akili hapo ni uchawi tu unatumika
@shabanpongwe99053 ай бұрын
Daaah viongozi mnayakumjibu mwenyezi Mungu siku ya mwisho?😢
@MtaniRobert2 ай бұрын
Enyi wataratibu.
@wennceslausmushi23563 ай бұрын
Wabunge wasiojali wananchi wao ni maadui wa watu .
@SanziNzige3 ай бұрын
Hivi msiluma ndo huyu tulokuwa Tina mjuaaa? au msiluma aliendaha nae wapi.maana mi sikuelewi kabiss huyu au NDO usemi bandali ilienda na wengi njaaa.msukumayule waenzi za magufuli tulijua tunae mteteziwa wanyonge msiluma .no.2.leo mskuma huyu ndo anashiriko kuropoka TU bungenikuungakono ujinga hivi no YEYE kweli.nimeona na leo anashBikia kufukuzwa mpina.aaaaaaaa.siyo msiluma alikuwa Enzi jembe letu magu.hapana
@PartySekemi3 ай бұрын
Fanyeni mnavyo taka kwa sababu mpina tunaona ni mzalendo
@Luganoamos-jv5in3 ай бұрын
Kule bungeni kwako mhhhhhh ni shida tu sukari elfu kumi kilo,halafu mtetezi mpina munamponda du
@kikongajoel26933 ай бұрын
Mungu akulinde mpina
@exaverysimon10643 ай бұрын
MPINA TUNAKUKUBALI ILA KWA HILI ULIKULUPUKA JITAHID KUTULIZA AKILI UNAPO FANYA MAMBO LA SIVYO WATAKUPOTEZA KUMBUKA UNAGUSANMASLAH YA WATU KO AKIL KUBWA INAHITANIKA ONE MISTAKE ONE GOL
@Kwelihukuwekahuru3 ай бұрын
Wewe akili ya Mpina ni kubwa aliamua kulijulisha taifa liamue kuliko bunge ambalo lingefunika Watanganyika wenye akili wa sasa wanamwelewa wewe wa miaka ya sitini hutakaa umeelewe hukumu ya wananchi ni kubwa kuliko ya bunge
@oam14l3 ай бұрын
Mpina hana tatizo la afya ya akili. It is the other way around.
@SanziNzige3 ай бұрын
Huyo ameachana mme wake.anakzungu zungu mpineni
@zubedadaudi2053 ай бұрын
Sisi wananchi ndio tunajuwa nyinyi lopekeni tu... Ila mpina ni jembe sana
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Msukuma Kasheku tumeshakuponda sasa hivi umekuwa chawa Mpina anapendwa sana na watanzania tena tuko pamoja nae
@dicksonlusinde28303 ай бұрын
Watanzania tunamuelewa na tunaelewa kinachoendelea
Msukuma ni kiuongozi mwenye kisasi na roho isiyo na kisasi
@ibrahimudamas3263 ай бұрын
Kidogo nitie neno...mdomo koma😂😂
@BettyMboya-b2y3 ай бұрын
Hapo wabunge hamjamtendea haki Mpina kabisa, ahaaa Bora chadema tujitayarishe kuichukua nchi 2025
@DaimonMwapelele3 ай бұрын
Wote hovyo hovyo hovyo Tena hovyo kubwa mnamjadil mtu aliejitoa kuwatetea watanzania Bashe hovyo spika hivyo
@magnusnkomola59503 ай бұрын
Mbona hamyasemi aliyoyasema Mpina kuhusu sukari,Yakanusheni hayo siyo kuleta porojoooooooooo.
@Hfmmngoyafamily3 ай бұрын
Asilimia kubwa hapo ndani hamtarudi bungeni
@magrethmbangama11993 ай бұрын
Mkimaliza hapoo mtuambie taarifa ya Mpina ina ukweli au ni uongo msituletee siasa na DP WoRD mlipiga kelele hivihivi kumbe kuna madudu ya ajabu.
@dominickemmanuel-yw3dn3 ай бұрын
Mpina Yuko sahihi, wengine wanafiki wanatuumiza watamzania
@LidiaMsigwa3 ай бұрын
Spika unasikiliza ujinga wa wabunge wako utawapigia kura mwenyewe?.
@davidndilanha49403 ай бұрын
Hakuna aliye mzarau speaker, ila naona uwelewa aujakaa sawa
@TuntufyeBrayson3 ай бұрын
Tusisumbuke na haya mambo ya wachovu kina msukuma tukutane nae 2025 kina wanawa
@FrederickThadeo3 ай бұрын
Musukuma nawewe usiwe chawa spika Gani mpaka anailinda COVID-19 mpina ni mwanaume siyo chawa wavuvi halamu halamu ni sawa na covd
@NescharlesMalando-xm6lg3 ай бұрын
Viva mpina hyu kuku anaongea nn?
@ErnestNtungi3 ай бұрын
Mpina anaonewaaa sana
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Anapendwa na watu acheni Uchawa kafanya kweli subirini kama wengine watarudi
@gaagwasaugustino25843 ай бұрын
Msukuma hana jipya kwa sasa nayeye ni chawa, ndiyo wale madalali waliyouza Bandari zote za Tanganyika kwa waarabu! Mpina yuko sahihi na Wananchi tuko pamoja na Mpina.
@patisondidas67203 ай бұрын
Kumbe msukuma nae ni kiazi ivi du🤔🤔🤔🤔🤔
@abushiridachie68653 ай бұрын
Hakuna mbunge anayewasaidia watanzania, hatuhitaji msaada while mnalipwa mapesa lukuki
@edwardshartiel10883 ай бұрын
Huyo mama mwenye Juba, anatoa pongezi nyingi kwa Bashe kwamba bashe ni mwamba 😢🚮
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Sasa kupima samaki si aliapa kuitumikia nchi
@Mussa-id9jb3 ай бұрын
We ni kishoka ambaye hue😅
@irenekalinga3233 ай бұрын
Hapa watanzania tujiongeze hatuna bunge
@JuhudyMachete3 ай бұрын
Mpina uko ni bora usipate posho lakini ukweli umetufikia kiukweli watanzania tuna hali mbaya ukitokea mtu unayetetea wanaoteseka waovu wanakuinukia sasa ivia wanasema tulipie mazao kwa ifd mungu aliye juu sana atakulipa