Huyu mh waziri Bashe anafaa kwenye wizara zote big up waziri wa kilimo
@user-uz9mw1ie6z5 ай бұрын
Hongera mh. Bashe....
@jamesjohn91604 жыл бұрын
Safi saana Mh. Bashe Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia. Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine
@jaafarwibonela7402 Жыл бұрын
Bashe, wewe mtu wa watu. Mungu akubariki na akuhicadhi. Nakuheshimu, nakupenda
@christopherkiswaga927010 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashe
@charlesmanga73622 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa waziri..... huwa nakuona lkn sasa nakuamini ni msaada........
@sosthenessotter94325 ай бұрын
Well done mheshimiwa BASHE!!
@CK-ri1mo5 ай бұрын
Namkubali sana waziri bashe🙏🙏
@ericagalla69213 жыл бұрын
Aisee milion 400 nyingi sana hongera sana muheshimiwa
@paulmayunga-bz5mr4 ай бұрын
Bashe umetisha
@azizimpwanyera-oo2iw11 ай бұрын
Bashe ur the best minister
@emiryfaida2437 Жыл бұрын
Bashe Yuko vzr sana
@salumnyiga38014 жыл бұрын
Kwa Bashe kweli tumepata jembe Hongera sana
@benjambesseltdltdt.v.shiny94573 жыл бұрын
*☺☺😊Tulepela wasukuma tujuane*
@user-uz9mw1ie6z5 ай бұрын
Naomba mh. Bashe unifahamishe namba yako
@karimujuma-mj3uj4 ай бұрын
Bashe apewe kuwa rais tu Basi anafaa Sana.
@eyoboboytzeyobo11875 ай бұрын
Naomba namba yako mr msekwa niko mkwa university hapa nahitaji nije kujifunza kilimo cha nyanya kwako apo
@user-uz9mw1ie6z5 ай бұрын
Naomba namba yako mh. Mkulima.
@laulymo20633 жыл бұрын
Kweli hii ni timu ya KAZI hongeren sana bashe
@reganmartin54854 жыл бұрын
Safi ile mikataba ya kutuuzia madawa yenye sumu mwisho itakoma tu
Naomba namimi nijiunge na wewe kwenye kilimo hicho
@mosesamon62332 жыл бұрын
Naomba nitumie picha ya muda na je unachanganyaje huo mikono. Maji kiasi gani.
@Sutfashion Жыл бұрын
Bashe zidi kupiga kazi na mi natamani kuingia kwenye kilimo.
@najmamgallah815410 ай бұрын
Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa
@mariamm27243 жыл бұрын
Iringa sehem gan jmn nimfuate huyu mzee nikajifunze
@msalikemedia3 жыл бұрын
Iringa Tanangozi kijiji cha malagosi
@aidamkemwa6393 Жыл бұрын
@@msalikemedia nitapataje mawasiliano
@simonmwanyika82883 жыл бұрын
alie sikia kambun gonga like yako hapa,
@yohanasefue8692 жыл бұрын
Mi natafuta hiyo machine ya kungolea miti nitapata wapi
@mussasadick770 Жыл бұрын
Dawa za mitishamba nazo zitumike kwenye kilimo ili kupunguza gharama kama zinauwezo wa kufanya kazi
@nasirmohamed15898 ай бұрын
Kweli kabisa
@zariadunia63282 жыл бұрын
Hi serikali ilikuwa makini sana kwa umeme huyu waziri makamba amebadilisha ķaabisa Tanesco yetu imekuwa ngumu mpaka wanyonge haitujali
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Enzi za Jpm hizo hakuna kulala
@pascalsamson47212 жыл бұрын
duu
@abdallahmdiliko8088 Жыл бұрын
Mimi AFISA UGANI ABDALLAH MDILIKO KUTOKA BAHI. NAELEWA SAWA FALSAFA YAKO YA KILIMO. MALENGO MAKUBWA KUWAINUA WAKULIMA WA TZ. KILIMO NI BIASHARA
@nderingomunis5398 Жыл бұрын
Unaitwa utupaaa huoo
@elispiuselias133911 ай бұрын
Mh bashe ni jembe Sasa wakulima wapewe Nini tena jamni