MKOJO WAMVURUGA HUSSEIN BASHE, MAAJABU YA MKULIMA IRINGA

  Рет қаралды 66,445

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

Пікірлер: 39
@linusjohn4941
@linusjohn4941 Жыл бұрын
Huyu mh waziri Bashe anafaa kwenye wizara zote big up waziri wa kilimo
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 5 ай бұрын
Hongera mh. Bashe....
@jamesjohn9160
@jamesjohn9160 4 жыл бұрын
Safi saana Mh. Bashe Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia. Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine
@jaafarwibonela7402
@jaafarwibonela7402 Жыл бұрын
Bashe, wewe mtu wa watu. Mungu akubariki na akuhicadhi. Nakuheshimu, nakupenda
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 10 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashe
@charlesmanga7362
@charlesmanga7362 2 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa waziri..... huwa nakuona lkn sasa nakuamini ni msaada........
@sosthenessotter9432
@sosthenessotter9432 5 ай бұрын
Well done mheshimiwa BASHE!!
@CK-ri1mo
@CK-ri1mo 5 ай бұрын
Namkubali sana waziri bashe🙏🙏
@ericagalla6921
@ericagalla6921 3 жыл бұрын
Aisee milion 400 nyingi sana hongera sana muheshimiwa
@paulmayunga-bz5mr
@paulmayunga-bz5mr 4 ай бұрын
Bashe umetisha
@azizimpwanyera-oo2iw
@azizimpwanyera-oo2iw 11 ай бұрын
Bashe ur the best minister
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 Жыл бұрын
Bashe Yuko vzr sana
@salumnyiga3801
@salumnyiga3801 4 жыл бұрын
Kwa Bashe kweli tumepata jembe Hongera sana
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457 3 жыл бұрын
*☺☺😊Tulepela wasukuma tujuane*
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 5 ай бұрын
Naomba mh. Bashe unifahamishe namba yako
@karimujuma-mj3uj
@karimujuma-mj3uj 4 ай бұрын
Bashe apewe kuwa rais tu Basi anafaa Sana.
@eyoboboytzeyobo1187
@eyoboboytzeyobo1187 5 ай бұрын
Naomba namba yako mr msekwa niko mkwa university hapa nahitaji nije kujifunza kilimo cha nyanya kwako apo
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 5 ай бұрын
Naomba namba yako mh. Mkulima.
@laulymo2063
@laulymo2063 3 жыл бұрын
Kweli hii ni timu ya KAZI hongeren sana bashe
@reganmartin5485
@reganmartin5485 4 жыл бұрын
Safi ile mikataba ya kutuuzia madawa yenye sumu mwisho itakoma tu
@stanlugallah-ux1vn
@stanlugallah-ux1vn Жыл бұрын
Kilimo ndio mpango
@MajariwaMajariwa
@MajariwaMajariwa 9 ай бұрын
muheshimiwa, bashe, naomba, unisaidie, niludishiwe,. mashine, yangu, ya, kuvutia, maji, niliyonyanganywa, na, mkuu, wa, wilaya,. nilijalibu, kufuatilia, sikuweza,. Kufaniliwa,. naomba, unisaidie
@lawrenciamkolwe796
@lawrenciamkolwe796 2 жыл бұрын
Naomba namimi nijiunge na wewe kwenye kilimo hicho
@mosesamon6233
@mosesamon6233 2 жыл бұрын
Naomba nitumie picha ya muda na je unachanganyaje huo mikono. Maji kiasi gani.
@Sutfashion
@Sutfashion Жыл бұрын
Bashe zidi kupiga kazi na mi natamani kuingia kwenye kilimo.
@najmamgallah8154
@najmamgallah8154 10 ай бұрын
Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa
@mariamm2724
@mariamm2724 3 жыл бұрын
Iringa sehem gan jmn nimfuate huyu mzee nikajifunze
@msalikemedia
@msalikemedia 3 жыл бұрын
Iringa Tanangozi kijiji cha malagosi
@aidamkemwa6393
@aidamkemwa6393 Жыл бұрын
@@msalikemedia nitapataje mawasiliano
@simonmwanyika8288
@simonmwanyika8288 3 жыл бұрын
alie sikia kambun gonga like yako hapa,
@yohanasefue869
@yohanasefue869 2 жыл бұрын
Mi natafuta hiyo machine ya kungolea miti nitapata wapi
@mussasadick770
@mussasadick770 Жыл бұрын
Dawa za mitishamba nazo zitumike kwenye kilimo ili kupunguza gharama kama zinauwezo wa kufanya kazi
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 8 ай бұрын
Kweli kabisa
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 жыл бұрын
Hi serikali ilikuwa makini sana kwa umeme huyu waziri makamba amebadilisha ķaabisa Tanesco yetu imekuwa ngumu mpaka wanyonge haitujali
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Enzi za Jpm hizo hakuna kulala
@pascalsamson4721
@pascalsamson4721 2 жыл бұрын
duu
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 Жыл бұрын
Mimi AFISA UGANI ABDALLAH MDILIKO KUTOKA BAHI. NAELEWA SAWA FALSAFA YAKO YA KILIMO. MALENGO MAKUBWA KUWAINUA WAKULIMA WA TZ. KILIMO NI BIASHARA
@nderingomunis5398
@nderingomunis5398 Жыл бұрын
Unaitwa utupaaa huoo
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 11 ай бұрын
Mh bashe ni jembe Sasa wakulima wapewe Nini tena jamni
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Global TV Online
Рет қаралды 306 М.
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 40 МЛН
KSEB റെഗുലേറ്ററി കമ്മിഷന് മുൻപിൽ പൊതുജനങ്ങൾക്കായി...🙏
16:36
ആം ആദ്മി പാർട്ടി തൃശ്ശൂർ മണ്ഡലം ചാനൽ
Рет қаралды 81 М.
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
NJIA YA KUZUIA UGONJWA WA MNYAUKO KWENYE NYANYA TAZAMA HADI MWISHO.
11:38
Kilimosmartprojects KSP
Рет қаралды 21 М.
NAMNA SAHIHI YA UANDAAJI WA UDONGO
8:39
TAHA ONLINE TV
Рет қаралды 8 М.