Hongera sana co wangu msakulo wa 822 kuwa brigadia
@Samueltzsimon1236 ай бұрын
Nalipenda sana jeshi mm
@mouhseinhousseih71046 ай бұрын
Oi wazee tuna sale nzuri sana za jeshi mjue kuliko majirani 😁😁😁
@Rolemodel_wa_taifa6 ай бұрын
TANZANIA SARE ZAKE ZA JESHI AFRICA NZIMA SIO MAJIRANI TU
@jumamustapha82546 ай бұрын
Tusiishie hapo tusonge hadi BRICS huko.
@aloujouasumwisye5536 ай бұрын
Kweli ni biashara kwa kuwa nchi kubwa zote duniani, jeshi huwa ni chanzo kikubwa cha uchumi ndio maana wanasayansi wao wanabuni silaha za aina nyingi zaidi na kutuuzia sisi ambao hatuwezi kubuni na kutengeneza zetu
@GodfreyOsward6 ай бұрын
Tunaweza tatizo letu, kutaka kutumia vilivyo Isha kazi.
@RashidHamis-y3h6 ай бұрын
Sex
@RashidHamis-y3h6 ай бұрын
Xx
@RashidHamis-y3h6 ай бұрын
Sex
@twaibumikidadi73776 ай бұрын
kihistoria Mweupe hanaga undugu na ujanaa na rangi nyeuis ispokuwa kutakuwa na faida ananufaika kupitia mweus!
@Rolemodel_wa_taifa6 ай бұрын
We nae kama shangingi
@shd12m556 ай бұрын
Hv kweli vicent zhaoo yupo kama hawa jamaa au tumepigwa😢
@tumainieli62936 ай бұрын
Ila wabongo atujawahi kuwa siliasi kabisa Yan mkuu wa majeshi analigonga gari kwa mkono alikuwa anajuwa box
@pwanimedia6 ай бұрын
We jamaa una vituko sana
@tomdizzo87255 ай бұрын
😂😂
@abubacarjallow6 ай бұрын
Buying in Africa economy can stay in Africa please
@deniccgabriel61536 ай бұрын
Wachina mpaka sasa ni biashara
@DayanaSuphian6 ай бұрын
tutaenda kuwamaliza m23
@MathayoMulumbi6 ай бұрын
Awa washauziwa tayali
@KIDAURA-f56 ай бұрын
Mbona kamera inazingua.
@已華5 ай бұрын
中国人很多时候才是真心帮助
@pwanimedia5 ай бұрын
🙏🙏
@pwanimedia5 ай бұрын
🙏🙏
@twaibumikidadi73776 ай бұрын
Amken Afrika hawa sio wanajeshi rasimi wakichina tumepigwa hawa n chambo tu wameletwa huku kuja kufanya yao ! Mmaimba imba huku watoto wenu wanaibiwaaa!!
Hivyo sikama wanarudi navyo lahasha ndio vimeshafika tayr sema tu imefanyika hvyo kama maonesho ila deal DONE LONG TIME
@mosesnyelo13806 ай бұрын
Yap kabsa hapo lazma tume nunua mzigo wakutosha
@medyproductionTz6 ай бұрын
Yah Wametumia Akili sana Wamefanya kama vile Ni Maonyesho tu ya Kawaida ya Siku ya Mashujaaa Lakini kumbe ivyo vifaa vyote ndio Vimeshafika wamezuga ili Washenzi wa Maghalibi waone Kamavile ni Maoneshotu yakawaida Kumbe Mzigo Umeshatua Jeshini😂😂😂😂😂
@petershedrack46686 ай бұрын
Wachina wajanja biashara hiyo
@allynguba25796 ай бұрын
Tumenunua sasa au
@aloujouasumwisye5536 ай бұрын
@@allynguba2579 tukiona zinatufaa kwa matumizi tutatununua