Рет қаралды 1,857
Mamlaka ya mapato nchini (TRA) kupitia mabadiliko ya sheria ya kodi ya mwaka 2022 imeanza kusimamia sheria inayowapa mamlaka wapangaji wote kuzuia kodi ya pango katika nyumba binafsi na zile za biashara ili kurahisisha ulipaji na ukusanyaji wa kodi ya pango.