Wachezaji wamefanya kazi kubwa sana na upambanaji wa hali ya juu! Wanastahili pongezi nyingi. 'It wasn't that easy! Kutoa sare ugenini ktk mazingira magumu! Big up coach! Big up Wachezaji!
@AlisoniGhambi2 күн бұрын
Simba imetisha hakuna tim ya kuisumbua tena bigap team yangu
@GOLDIANEDRICK-sm6xk2 күн бұрын
Hivi mnajitambua kweli nyie
@dr.phormenykishaija65082 күн бұрын
Pongezi zipi? Za 0_ 0
@malietamaliet2 күн бұрын
@@GOLDIANEDRICK-sm6xk😂😂😂😂😂duuuh nimecheka nashangaa nikukumbuka final na USM Alger walitufanyia vurugu na tukafunga japo goli la ugenn tukakosa kombe awa ety wakate keki ama mbuzi kwa sare😂😂🙌🙌
@henrychaula11742 күн бұрын
Ndiyo, tni muhimu kukata keki@@malietamaliet
@AnjelaMatiya2 күн бұрын
Mungu ibariki Simba yangu Mungu mbariki semaji langu Ahhmed Alli
@menaurukivuyo67962 күн бұрын
Poleni Sana Kwa uchovu na matisho ya Waarabu,, Mungu awaongoze kwenye Safari ya Kuja Tanzania
@ASHURAYAMBI2 күн бұрын
Mungu awalinde jamani kazi kubwa imefanyika bravo bravo!!!
@user-sf8vf5ki8h2 күн бұрын
Big up fadlu the best coach your the best we simba we love never doubt you at all ❤❤❤❤
@claraluoga68282 күн бұрын
Asante mwenyezi mungu sifa na utukufu tunakupa mwenyezimungu uzidi kuwapa maalifa nguvu afya na mechiya maludiano tusaidie tupate ushindi wape mbinu upendo wachezaji makocha na bechilaufundi
@jacobzacharia55012 күн бұрын
Amen
@upendokwaya80432 күн бұрын
ni Mungu siyo mungu
@PascalHermas-gg5dx2 күн бұрын
Wao wameleta vurugu,,sasa tutawafurahisha sio kurusha chupa tu tutaingia na mawe ya kutosha wanapigwa magoli uwanjani huku wanachezea matofali ya kutosha,,tunawasubiri kwa hamu
@PraygodMakundi-j2y2 күн бұрын
Poleni sana ndgu zetu, mungu awatangulie
@EzekiaMichael-jn5np2 күн бұрын
Poleni sana ila Hawa ndugu hutufanyia vurugu na sisi hua bado tunawafanyia wema ila Mungu atatulipa watanzania kwamkapa tutawapa wanachokihitaji na lazima tuwatoe
@AnjelaMatiya2 күн бұрын
Mungu wabariki wachezaji wa simba
@shabaniramadhani80262 күн бұрын
Bora hatukuwafunga maana wangetuulia team yetu nzima nawewe semaji wa caf ungekufa. Usijali huo ubaya ndio ubaya ubwera. ❤kuhusu kagoma unakera watu sasa.
@Rashidkitemano2 күн бұрын
Kwel kak 😂😂😂
@IssaKigwanya2 күн бұрын
Mimi ni yanga lakini ili jambo limeniuma sanaaa yani sisi mbona hatufanyagi vurugu wakiwa kwetu duuu inauma sanaa
@linagervas2 күн бұрын
@@IssaKigwanya Na tukiwafanyia vurugu lazima tupigwe fain daaaah inauma sana
@SuleimanAlly-c9p2 күн бұрын
@@IssaKigwanya ndo mana tunasifiwa kwa amani kaka
@nasrakambimton95222 күн бұрын
Kabisa Yani mim kwanza TU nilivy ona uwanja umejaa atali
@chrizostomchristian18842 күн бұрын
Slogan yetu ikumbukwe 'kwa mkapa hatoki mtu❤"
@user-wh9zj7kf7h2 күн бұрын
Hatoki mtu
@MathiasJitula-i3x2 күн бұрын
hakika
@user-lx3eg8iy6j2 күн бұрын
Mungu ibariki simba ye2 na uwape wachezaji we2 afya njema...SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤
@claraluoga68282 күн бұрын
Pole manula mungu walinde wachezaji na makocha bechilaufundi
@AbisinaRashidi-c8d2 күн бұрын
Mungu awabariki na wachezaji wamejituma sana ila mungu atawaona hataenda popote
@neemamwocha21132 күн бұрын
Mimi ni yanga.lakini nawapongeza simba..wakija watatujua watanzania tukoje..wasilete mchezo tunawakaribishq kwa wema wanaleta vurugu.hapo sio simba tena ni watanzania wote
@abdullaabdulla70392 күн бұрын
Wewe ni mwanamichezo Kweli. Utanzania kwanza simba na yanga ni Za watanzania. 👏🏾
@marybeatricejoseph2 күн бұрын
Hatuwezi hizo tabia watanzania tungekuwa tunaweza wangetukoma mbona hawa waarabu
@EsgaCharo-qb4pi2 күн бұрын
Hongera sana ndugu
@Gabbyflavour20 сағат бұрын
Good
@abduelebenezerkelakela7155Күн бұрын
Tunawangoja waje Lupaso! Shubaaamit! Vijana wetu walifanya kazi kubwa zaidi ya sana. Kudos!
@HappyMwendapole2 күн бұрын
hongereni sana chama langu mungu azidi kuwatangulia. achana na hawoooooooo nyuma mwiko wamekalia tu kuisema simba kuogaaa aaaaaaaaah
@PhilomenaSteven-x9h2 күн бұрын
Mbona wewe umeisemea ovyoooo
@AminaharunaAbdalah2 күн бұрын
Pole Aishi manula❤❤ndo utafutaji.simba nguvu moja
@arafaeddy61462 күн бұрын
Mungu awatie nguvu Tim yangu ,aoo washenzi watakuja tu
@DaniusDauson2 күн бұрын
No retreat no surrender Simba nguvu Moja ❤️ Mungu ibariki Simba bariki na wachezaji wake wote na kurungezi nzima na makocha wote
@EmanuelSaloon2 күн бұрын
polen sana wachezaji wet❤
@FraterinMwacha-b8x2 күн бұрын
Mi ushauri wangu malumbano sijambo la busara kama kuna ambae hajarizika simba kupata droo aende cuf.lakini matokeo ndo hayo jamaa kapambana,achani mambo ya uke wenza,wivu2
@RashidKupeh2 күн бұрын
Naomba siku ya marudiano hapa kwa mkapa bhc tufanye lolote na sis il wakienda kwao waka simuliane vzr,,,mamaeeeee
@angeltvonline91532 күн бұрын
😂😂
@SetiMBANGU2 күн бұрын
Pole sana kwa misukosuko
@janethjustin20412 күн бұрын
Sisi ni simba na tutabaki kuwa simba! Tutoke sare ama tufungwe tutabaki kuwa simba! Mungu wabariki wachezaji Mungu ibariki simba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sebastiansalamba3132 күн бұрын
Hongereni Simba mmeonesha mpira lkn si matokeo mazuri sana rekebisha usemi acha usanii
@flova70222 күн бұрын
Unajua Mpira wa Africa?
@linagervas2 күн бұрын
Kabisa yan
@sera.8bomani5022 күн бұрын
Ni mazuri kwa sababu Simba ni kama imeanza kwa upya ..
@sebastiansalamba3132 күн бұрын
@@sera.8bomani502 matokeo mazuri sana ni ushindi mkubwa na hii Sasa tuweke wapi
@sebastiansalamba3132 күн бұрын
@@sera.8bomani502 matokeo mazuri sana ni ushindi mkubwa na hii Sasa tuweke wapi
@user-yq7dm4gw6j2 күн бұрын
Polen sana wachezaji kwa hilo
@AnnaSamweli-e5z2 күн бұрын
Pole sana Manula ❤❤❤ 2:58
@AminaIssa-g1t2 күн бұрын
Mungu ibariki Simba mungu ibariki Tanzania
@bishoparronmgaya17492 күн бұрын
Hongereni sana sana.
@user-sf8vf5ki8h2 күн бұрын
hiv wanajua uchapo wa simba akiwa lupasso wanajua hawatok that's why tumewakunjua yan wajiandae wakija watajua simba ni nan tutaujaza huo uwanja hawataamini😊❤❤❤
@MonicaMosha-bz6bz2 күн бұрын
Mumefanya vzr
@AyishaMusthafa-j4j2 күн бұрын
Yes vizuri sana wamejitahidi San mungu ibarik simba yangu
@BeatriceSamwel-t1m2 күн бұрын
Poleni sana wachezaji wetu mungu hatangulie mfike salama tanzania ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MatokeoEmmanuel-h2m2 күн бұрын
Matokeo mazuri sana
@majaliwaandulile83792 күн бұрын
Mi nashangaa waarabu kila engo roho mbaya inamana uislam ni amani awajui au ndiyo maana siwapendi vibaya mnoo
@vinny.morales2 күн бұрын
Uislamu haujawahi kuwa dini ya amani hata siku moja. Tokea kuanzishwa kwake mpaka kuenezwa kwake umejaa umwagaji damu.
@khamissaleh9212 күн бұрын
Kwani Wayahudi waba Imani ? Mbona wanawwuwa watoto wachannga nankuharibu mahospitali na mashule ,hai mabwana zako wazungu SI waliwawafanya Babu zako watumwa na kuwabadilisha dini .
@ahmedimakope2 күн бұрын
Mkundu wa mama Yako @@vinny.morales
@ahmedimakope2 күн бұрын
Mkundu wako
@omaryswedy99992 күн бұрын
Ahmed Ally ayo mawazo ya nyimbo unayoyatoa ni mazuri lakini ukichelewa tu Kuna watu watayaiba. Tangaza kwenye magroup ya Simba Kila mwenye nyimbo nzuri ya hamasa ipangwe siku maalum aje aionyeshe na namna ya kuifanyia kazi ,Nyimbo zitakazopita mtungaji jina lake liwekwe kwenye kumbukumbu za Simba.
@HdhdhdhdhJdhdhd-o6c2 күн бұрын
mm Simba damu maoni yangu kupatikane eneo la mashabiki watukutu wanaojua kushangilia mwanzo mwisho
@abdallahAbby-o6x2 күн бұрын
Hongeraa San Ahmed na kikosi kizima cha simba Big nation tunawakaribisha Tanzania nchi ya Aman Mungu ibariki Tanzania na viongozi wake wote na viongozi wa vyama vyote Tanzania tunaomba Aman itawale Amina
@kelvinmushubiro81872 күн бұрын
usimsifie sana KAGOMA,, hawa utopolo wakiskia watamloga
@PhilomenaSteven-x9h2 күн бұрын
Apo alipo kajiroga mwenyewe
@seciliamchalo56272 күн бұрын
@@PhilomenaSteven-x9h😂😂 kashajiroga huyo
@AmiliAmisi-j6e2 күн бұрын
Asante wachezaji😢😊
@salimmalaka2562 күн бұрын
❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA SIMBA SIMBA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA❤❤❤ IN.SHAALLAH TUSHINDE MIN.SHAALLAH TUSHINDE M
@FaridaSeif-yk3th2 күн бұрын
Mimi ni yanga lakini hawa waarabu wamezingua sana yani,,simba ni kama doto kitu chochote kibaya kikiwatokea kiukweli huwa tunaumia sote coz hakuna simba bila yanga.. nilikuwa naomba na sie tuwafanyie kasheshe zaidi ya walio fanya wao ili next time wastuzoee..oll Black are one ubaya ubwela.
@NaisalLove2 күн бұрын
Ttzo cio kimtazamo huuu ni bays ubwela ukitenda utatendewa lazima tuwalip alkisas haki hata mungu anardhia kwenye hili Simba ubaya ubwela 😊
@HamisiMasunga-v9y2 күн бұрын
Poleni sana kwa misukosuko mlio pitia wachezaji na benchi la ufundi kwaujumla I love Simba SC Ubaya ubwela Simba Nguvu moja 🇹🇿🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁 ktk utekelezaji wa majukumu
Polenta sanawachezaji wetu mungu atawalipa magnolia 3 watapokuja Benjamin mkapa sister tuimani national yetu
@payustz71072 күн бұрын
Mungu Ibariki Simba🙏
@patrinraura13972 күн бұрын
❤ Hongera Sana Makomando wetu Hakika mmewatoa wapenzi,mashabiki,VIONGOZI Tanzania kimasomaso Tunawaombea ushindi kwenye marudio Simba Nguvu moja
@aminahhuawei11332 күн бұрын
Pole sana mungu ibariki simba ilaa hawa mbwaa tunawasubiriii kwahamu kubwaa lazima tuwaoneshee
@samochristopherroche99532 күн бұрын
MAZURI KWA FOWARD IPI???WEWE BANA SEMA TU SHIDA WAMENYIMWA PENALT NDIO IMELETA SHIDA
@SalumOthman-su6hw2 күн бұрын
Asa kama waminyimwa penalty sisi ndio marefa wcheze na marefa na sio sisi...
@SaidJumanne-j1e2 күн бұрын
Penati yko utopolo mtu ka slide kacheza mpira na kaupige pembeni na kuubadilsha mwelekeo mpira wew unataka penat ya ki nyuma mwiko anglia mpira Acha ushabki wa ki utopolo
@DeodathChinyamba2 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🦁🦁🦁🦁 nguvu 1
@AnnaSamweli-e5z2 күн бұрын
Pole sana Manula
@sekelo12072 күн бұрын
Nahisi unaye tuma hizo SMS unamapungufu kimtizamo
@christophermbuga96232 күн бұрын
Achana na vurugu, hiyo sawa, lkn waliwazidi kimchezo. Acha pambapamba na utoto na chekacheka zako
@augustinemainde2 күн бұрын
Wangepigwatu wao ni ubaya ubwela😊😊😊
@angeltvonline91532 күн бұрын
Jicho we
@WinifridaSwai2 күн бұрын
oooh poleni... kumbe mlipigwa😊😊😊😊
@allysunday86142 күн бұрын
Kikubwa mechi ya marudiano mmshinde... Lakini sitashangaa Simba kutolewa. Maana Kocha sub zake hazina manufaa zaidi ya kuharibu zaidi... Mashaka, Kibu hawakutakiwa kuingia.. Awesu na Mukwala walistahili kupewa nafasi.... naamini matokeo yangekuwa mazuri zaidi
@ThePlants-zc3rp2 күн бұрын
acha utopolo wako
@RamadhaniBenjamin-i1n2 күн бұрын
Acha usenge hko ni ugenini ww so kila mchezaji achezaji
@mswakisaid23202 күн бұрын
Hao waarabu wa Tripol wakija kwetu tuwafanyie ule UBAYA UBWELA ule wenyewe hasaaaa wa kimafia. Yàani wasipate hata pa kupumulia hapa kwetu. Hawana maana kabisaaaaaaaaaaaaaaaa Ndengereki zao
@GOLDIANEDRICK-sm6xk2 күн бұрын
Huyu anatumia vigezo gani kuipongeza simba wakat ni ya sita africa na tripoly haumo hata mia bora
@aminabenard65062 күн бұрын
Simba yetu ipo vizur jamani kushukuru sana mpira umechezwa bwana
@merycianshinda5462 күн бұрын
Polen sana lakn wajue huo ndo ubaya ubwela
@yusuphmtupa1532 күн бұрын
Huyo Aishi mlienda naye kufanya nini, ile hali hata kwenye bench hakuwepo😮😮😮😮
@vuauvae85522 күн бұрын
Ulitaka wacheze Wachezaji wote waliokwenye Squad?
@SaidJumanne-j1e2 күн бұрын
Basi ungejipendekeza wew waende nawe
@SamwelLaizer-o7l2 күн бұрын
Mungu ibariki timu yetu ya Simba sc. Simba Nguvu Moja.
@PhilimonSenzia2 күн бұрын
Mim ni yanga lakini niseme tungekua sisi tungefungwa hongereni sana simba
@YusuphMwakilasa-xg7lf2 күн бұрын
This is Simba 💯 Ubaya Ubwela 👊
@IddiBanqwa2 күн бұрын
Kwani mpira ni vita??? Hayo mbona yalishapitwa na wakati, wajibishwe kwa hayo tusifunike maovu
@yoshuapaul83002 күн бұрын
Yani hao washenz ngoja waje mi nakata tkt nipo tabora nahakikisha nmefika benjamin mkapa kwenye tanuru la moto 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@stanslausbereghe38192 күн бұрын
CAF watawapa point
@BankerForeign-r8r2 күн бұрын
Hongera SIMBA, game imechezwa.
@AminaharunaAbdalah2 күн бұрын
❤❤❤❤Simba nguvu moja
@mbwanarajab72382 күн бұрын
Yanga ndio maana wakawekewa mwenge kwenye nembo yao Hii ina maana kuna wajinga wengi, mbumbumbu wengi, fitina/siasa nyingi na uongo mwingi na kwao ukweli ni mwiko
@seciliamchalo56272 күн бұрын
Pole na mawazo yako finyu 🤔
@hassanabdallah40822 күн бұрын
Ubaya ubwelaa,nguvu moja hongera chama langu
@SamasotiSamwel2 күн бұрын
Ahsante San Simba Kwa matokeo mazuri
@zungukessy71272 күн бұрын
Mungu ni mwema
@mohamedmketo24142 күн бұрын
Tuangalie suara la vingilio liwe na fuu ili washabiki waingie kwa wingi😊
@Esterkomba-ef7eb2 күн бұрын
Wakija kwetu tutawafanyia vibaya sana ngoja waje
@user-uz1bl5bk4g2 күн бұрын
Aisee tuache upole,wakija huku na cc tuwafundishe adabu.tusiwe mbuzi wa kafara kila cku
@enockmichael68352 күн бұрын
Waliofanya fujo ni mashabiki sio wachezaji, so kama tunataka kulipiza kisasi tutafute mashabiki na sio wachezaji.
@benardochengelela18392 күн бұрын
Ndio ubaya wa ndondo cup .....hata CAF hawafuatilii..jitahidini mrudi club bingwa
@Amanially-pv1iu2 күн бұрын
Huna akili ww tunalijua hilo manara alisema mda TU 😅
@JoseHaule-tx7lu2 күн бұрын
Huyo kijana namkeshimu
@YonaLengai-cc6tq2 күн бұрын
Poleni sana Wana Simba tuko pamoja 😂😂🎉🎉
@JosephCharles-b8b2 күн бұрын
Time imejitahidi ila wachezaji bado ni wazito kufanya maamuzi ya kupiga pasi za haraka na kufungua nafasi kitendo kinachopelekea kupiga pasi kwa adui na kutolewa mpira haraka wasipokuwa makini ata nyumbani ni shughuli pevu.
@richardsesa74942 күн бұрын
Milion 30 wakanunulie supu za vibudu
@HamisiHusseni-c4s2 күн бұрын
Nc blood
@onesmongulo37702 күн бұрын
Labda niumwe ila kama mzima nawapiga nawao wakija kumamae zao wamewaponza ndugu zao
@AbuuKitwera2 күн бұрын
Shangilia sana maana ni kawaida yenu kushangilia droo
@khadijaabdallah30742 күн бұрын
Mungu Awalinde wachezaji wetu
@neemamasimba29812 күн бұрын
Hii mechi ilikuwa tushinde ,ilikosa tu maelewano kule mbele . Ila kwenye defence ilikuwa bora sana , Muhamed Husein Tshabalala , Zimbwe junior , Shomari kapombe na wengine walicheza mchezo bora sana, jana kikosi kilikuwa bora sana , umaliziaji maelewano bado , kocha tunakuomba wawapige kwata forward wetu ,ili wawe na maelewano vizuri .
@mathahosea67832 күн бұрын
Daah poleni Sanaa wachezaji wetu..
@allymaimuna86882 күн бұрын
Mungu ibariki simba yangu jmn
@HawaMkomwele2 күн бұрын
Poleni sana kwa kilichotokea lakini wakija nyumbani kwetu nasi tutalipa kisasi hata maji ya betri tutawamwagia tu
@emiryfaida24372 күн бұрын
Kweli Simba Kwa mechi hii well done
@alexsikab64332 күн бұрын
Nimehangalia mechi hii kweli Simba yetu tujivunie
@EmanuelMboy-t7x2 күн бұрын
Naitwa emanuel mboi kweli waarabu wamenikera sauna simba biq up sana
@cosmasluwanja73942 күн бұрын
Maneno mengine ni ya uchochezi Sana ndiyo maana uzalendo huwa unapotea hapo tuu
Matokeo mabaya kwa anaejuwa football, droo ya magoli yoyote Mandunduka nje. Sasa nyinyi mmedroo vipi wale walioshinda moja wao wachinje nini?
@mahirmauly36642 күн бұрын
Anywe supu ya kibudu
@mussammanga77912 күн бұрын
@@mahirmauly3664 Mandunduka bhanaa! hawajielewi, wanaishi kwa matumaini, unauhakika gani kuwafunga warabu, wkt wao wanatafuta droo ya magoli, droo ya zero mikwaju ya penalt vipi utasema hayo ni matokeo mazuri?
@ErastoRukoka-ie9hg2 күн бұрын
Ashamed mm natamani uungwe kwa simba app sio pesa sema Ahamed unajua sana mm niko kijijini kabsa niko radhi niichangie team kabsa