MPIGIENI MUNGU KELELE ZA SHANGWE (OFFICIAL VIDEO)

  Рет қаралды 3,855,212

RAJO PRODUCTIONS

RAJO PRODUCTIONS

4 жыл бұрын

Wimbo uliotungwa naye Felician Albert Nyundo (FAN) +... Wimbo ulioimbwa na kujulikana na wengi miaka kadhaa iliyopita na hata sasa bado unapendwa na walio wengi. Kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na Shahidi kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Sombetini, Jimbo kuu Katoliki la Arusha, wanatushirikisha wimbo huu na wanatualika tumwimbie Mungu na tumpigie Kelele za shangwe.Ni Maneno Matamu kabisa kwa anayependa kumsifu Mungu. Tumwimbie Mungu wetu, naye ata Mimina neema zake katika maisha yetu. Ni neema ya Mungu inayotufanya tuwe tulivyo hivyo tushiriki kikamilifu katika kumwimbia. Bwana unibadili niweze kuacha yote nikutumikie wewe, niweze kukuimbia wewe wimbo ulio bora, niweze kuwa miongoni mwa wateule wako.Karibuni sasa muweze kusikiliza na kutazama.Kwa watakaopenda kuwasiliana na kwaya hii, tumieni namba +255 754 628 685 au +255 754 759 428#kwayakatoliki #mimina neema #bwanaunibadili #manenomatamu

Пікірлер: 642
@ernestmwanalinze2612
@ernestmwanalinze2612 3 жыл бұрын
Mwimbieni Mungu kelele za shangwe nchi yote imbeni utukufu wake,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu......matendo yako yanatisha kama niniiiiiiiii tukuzeni sifa zake Mungu Mkuu.Nyimbi hii ukiimbwa kanisani,kanisa lote linalipuka kwa shangwee hasa watu wazima wa miaka ya nyuma lazima waimbe.Naziomba kwaya zijaribu kuimba nyimbo zinazoweza kuibwa na kanisa lote.Mubarikiwe wanakwaya kwa wimbo huu
@sofialinus8241
@sofialinus8241 4 жыл бұрын
Unyenyekevu100% Utulivu100% Mavazi100% Najivunia kuwa Catholic Kazi nzuri, ujumbe mzuri nabarikiwa Sana🙏🙏🙏
@juniorchilongola2191
@juniorchilongola2191 4 жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe
@sofialinus8241
@sofialinus8241 4 жыл бұрын
@@juniorchilongola2191 Asante pia
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Thank you🙏
@litikau2962
@litikau2962 4 жыл бұрын
@@juniorchilongola2191 %
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 3 жыл бұрын
Amina
@melkiorymarandu1850
@melkiorymarandu1850 3 жыл бұрын
Hivi kwa nyimbo kama hizi, nzuri namna hii, hivi bado utaniambia shetani bado yupo, kweli? Atakuwa amekimbilia mbali mno hata hataki kuzisikia hizi sauti. Hakika Mungu ametamalaki. Mr.Tumaini, hai Meku, hongera kwa Kinanda murua.
@ednadaniel3026
@ednadaniel3026 4 жыл бұрын
Kazi nzuri waimmbajii wazuri hakii najivunia ukatoliki wangu💥💥💥💥
@charlesmartine3467
@charlesmartine3467 3 жыл бұрын
Munamuimbia Mungu vizuri sana
@janet4real.47
@janet4real.47 3 жыл бұрын
May God Bless everyone who listens to this beautiful song.Amen🙏
@sophiachaula4825
@sophiachaula4825 3 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatholic nawapenda sana waimbaji mko vizuri utulivu asilimia Mia, Mungu awabariki
@gracewamaitha7382
@gracewamaitha7382 3 жыл бұрын
Utukufu wako Mungu n mkuu ,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏
@graceandrew3988
@graceandrew3988 Ай бұрын
Hongereni sana wanakwaya mmeutendea haki na mmependeza sana ❤
@neemabernad4329
@neemabernad4329 2 жыл бұрын
Inanibariki sana hii nyimbo najikuta namtukuza Mungu na ukuu wake ni MKUU.🥰🙏
@vckybayyo6671
@vckybayyo6671 3 жыл бұрын
Naipenda dini yangu Roman Catholic Jimbo la Arusha,parokia ya sombetini😘😘😘
@cynthiaconsolate1048
@cynthiaconsolate1048 3 жыл бұрын
Mimi piaa najivunia kuwa mkatoliki. Representing 254
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 Ай бұрын
Barikiwa
@martinmuthuitito4844
@martinmuthuitito4844 27 күн бұрын
I put this comment here so after a month or a year when someone likes it it reminds me of this beautiful song
@qorropeter1359
@qorropeter1359 4 жыл бұрын
Mko juu sana kwaya ya mt boniface sombetini, mungu azidi kuwainua kwenye uimbaji wenu, namwona Hugo akidunda big up, mwambieni Mungu matendo yake yanatisha km nn, Rajo ni production ni noma big up
@lawrencesilas3050
@lawrencesilas3050 4 жыл бұрын
Hakika kazi nzur hongeren sombetin marafik zangu...hongera rajo production wimbo ni mzur na unanikumbusha mbal sana
@graceandrew3988
@graceandrew3988 Ай бұрын
TYK Wimbo huu nimeanza kuusikia mwaka 1996 you can imagine nikiwa mdogo sana lakini hadi leo sichoki kuusikiliza...Hakika Mungu wetu ni mkuu na matendo yake yanatisha.
@glorykilawe4563
@glorykilawe4563 Ай бұрын
🎉
@fidelenzambimana6980
@fidelenzambimana6980 3 жыл бұрын
Mimi ni murundi .Nabarikiwa sana nanyimbo nzuri kama hizi .Hongereni sana waTanzania.Tumsifu Yesu Kristu
@happymichael3821
@happymichael3821 3 жыл бұрын
Milele Amina
@sopy3055
@sopy3055 2 жыл бұрын
Milele Amina Nzambimana
@yudakitengesondanu808
@yudakitengesondanu808 4 жыл бұрын
hongereni sana watoto wangu kazi nzuri mmno Mungu azidi kuwaimarisha siku hadi siku ili injili yake isonge mbele
@AmosiKalunde
@AmosiKalunde 4 ай бұрын
SIYO NYIMBO ZA MASEBENE, MAJASHO, HIZI NDIZO NYIMBO ZA IBADA BE BLESSED SAAAANA
@victorololo9902
@victorololo9902 2 ай бұрын
nostalgic inanirudisha Kanisa la Bikira Mama wa shime Makupa.....naskia harufu tamu ya ubani
@nicaschuma9652
@nicaschuma9652 4 жыл бұрын
Woyooooo..Bonge la production.. Big up kijana Swai kwa kupiga Kinanda kizuri cha kikatoliki.
@emanuelumbe6320
@emanuelumbe6320 4 жыл бұрын
Hongereni sanaaaaa, huu wimbo nimeutafuta mda mrefu sana hatimae nimeupata , asanteni mbarikwe
@elizabethmwikali7873
@elizabethmwikali7873 4 жыл бұрын
Sauti tamu mafazi nzuri unyenyekevu ...utaratibu mzuri.. MUNGU azindi kuwabariki
@angiegathoni1620
@angiegathoni1620 3 жыл бұрын
Ninayoweza sema kwa sasa, mungu nimekuona,nimeuona mkono wako. Mama Maria, asante kwa kuniombea. Nimeiona miujiza. Mungu matendo yako yanatisha,Asante,ndio ipo tu moyoni mwangu.Mungu assante.
@andrewmsunga9425
@andrewmsunga9425 4 жыл бұрын
kila ninapousikia huu wimbo mwili unanisisimka, Mungu amrehemu mtunzi mwalimu F.A NYUNDO
@jacklinedavid1549
@jacklinedavid1549 3 жыл бұрын
Was reading the Bible n found out this song is from psalms 66 (zaburi 66) no wonder i love it so much 😇
@prosperkullaya4529
@prosperkullaya4529 3 жыл бұрын
Amen
@helenasulesule2163
@helenasulesule2163 4 жыл бұрын
Hongereni sana kwautume wenu mwenyezi mungu awabariki sana
@faustaseki5350
@faustaseki5350 4 жыл бұрын
Kwakweli wimbo mmeutendea haki, Roho wa Mungu awe nanyi daima, na mdumu katika UTUME. Barikiwa nyote
@fl11737
@fl11737 4 жыл бұрын
Wimbo mtamu, sauti nyororo hakika Mbarikiwe kwa kazi nzuri munayoifanya🙏🙏
@fr.andrewwerungaflp2910
@fr.andrewwerungaflp2910 3 жыл бұрын
I remember attending Mass at St. John the Evangelist Church, Langa'ta Nairobi as a young seminarian. Even in the next life I will still proud to be a Catholic, and a Catholic priest for that matter. God bless your beautiful voices.
@happymichael3821
@happymichael3821 3 жыл бұрын
Be blessed Fr🙏
@fr.andrewwerungaflp2910
@fr.andrewwerungaflp2910 3 жыл бұрын
@@happymichael3821 thanks. Be blessed too
@susanldohlchodo4589
@susanldohlchodo4589 3 жыл бұрын
Amen,🙏🏼❤️
@peterkingara8976
@peterkingara8976 3 жыл бұрын
p
@danielbeatus638
@danielbeatus638 2 жыл бұрын
Alikba
@berthalyimo6216
@berthalyimo6216 Жыл бұрын
Hatimae nimeupata huu wimbo baada ya kuutafuta kwa mda mrefu!!!
@msokasgallery8323
@msokasgallery8323 4 жыл бұрын
Safi sana waimbaji, mmeutendea haki wimbo! Hongera na kwenu RAJO PRODUCTIONS, you always do the best Ray. You are simply the best brother, better than all the rest. God bless you more.
@deogratiusassey8910
@deogratiusassey8910 4 жыл бұрын
Da safi sana kaka! rajo unatisha mzeeeee!
@bbylai3359
@bbylai3359 4 жыл бұрын
Hakika kweli mungu ni mkuu,kazi nzuri sana na nawapenda wote mlioshiriki kwa moyo🥰🥰🥰🥰🥰
@marymacharia9627
@marymacharia9627 2 жыл бұрын
Waooooo,matendo ya mungu yanatisha kama nini
@janethmwacha5208
@janethmwacha5208 4 жыл бұрын
jamani kwa kweli mmeimbaaaaa,atukuzwe mungu milele na milele matendo yake yanatisha kama nini hakika ni mkuu
@phoebea8061
@phoebea8061 3 жыл бұрын
Matendo yako yanatisha kama nini Mungu mkuu! Halleluhya
@NkomokomoMedia
@NkomokomoMedia 4 жыл бұрын
Asanten kwa kutukumbusha enzi zileeeeee pongez pia kwa injinia Mpiga Kinanda namkubali kinoumaaaaaa sana Saluti Rajo production
@anithakisaka6767
@anithakisaka6767 4 жыл бұрын
Hongeren wana Boniface mpo juu sanaaaa
@meresinantibakakazi1722
@meresinantibakakazi1722 3 жыл бұрын
Wakatoriki wote tumsifu yesu kristo
@vincentmarvin9210
@vincentmarvin9210 4 жыл бұрын
Maneno matamu sana na wimbo unabariki sana
@veronicakioko4520
@veronicakioko4520 6 ай бұрын
Huu wimbo hakika unahifadhi amani katika nyoyo zetu.pongezi Sana.
@pascalshiwa8876
@pascalshiwa8876 3 жыл бұрын
Ee mungu wangu. Nibariki nawimbo huu mtakatifu. Proud to be catholic
@sofiamauwa7146
@sofiamauwa7146 3 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa wimbo huu nzuri na wenye kumsifu mungu.salamu ziwafikie mlipo.from congo Kinshasa.
@jastinmbinda5926
@jastinmbinda5926 3 жыл бұрын
Rajo mbarikiwe sana kwa kazi zenu zuri sana
@cleophasomondi5475
@cleophasomondi5475 4 жыл бұрын
Likes za Kuwakilisha Kenya zije...
@godlusasi4917
@godlusasi4917 4 жыл бұрын
Hakika matendo yake yanatisha
@sifaveronique4672
@sifaveronique4672 4 жыл бұрын
BG and ytnbvn are you ng
@valleyrocktravellers2007
@valleyrocktravellers2007 3 жыл бұрын
Tuko ndani
@christinephinarex1129
@christinephinarex1129 3 жыл бұрын
Mit maratari
@jacksonruitiari9245
@jacksonruitiari9245 3 жыл бұрын
From Kisumu,,,,ndaaaani
@paulmziba1060
@paulmziba1060 4 жыл бұрын
Kazi nzuri mno hataree.... .hongera sana kwa waimbaji na studio
@esternzumbi1888
@esternzumbi1888 4 жыл бұрын
Oyooooo kumekucha 😍😍😍 sauti imetulia uwiiiiii meuwa Sana😘😘😘
@jonathankimai8474
@jonathankimai8474 3 жыл бұрын
A very nice,composed thanksgiving song,Ive never and will never get enough of this song.It cools my spirit.
@user-dw1ic8vy2s
@user-dw1ic8vy2s 17 күн бұрын
❤ mungu a wabarik sana naniko namiss maombi nakuimba Kwa eklezia
@Nayi2012
@Nayi2012 4 жыл бұрын
Asante sana for this beautiful, inspirational rendition!! Thank you so much for keeping us going during UK lockdown.
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana watumishi wako hawa kwa kulitanganza jina lako kwa nyimbo mama bikira maria yesu kristor wangu uwa simamie katika imani
@magejuliani5293
@magejuliani5293 4 жыл бұрын
Kweli ukifikiria matendo ya Mungu yanatisha sana!
@kahwaicatherine3805
@kahwaicatherine3805 Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana wakumshukuru Mungu. Naupenda sana.
@dennismurage970
@dennismurage970 4 жыл бұрын
Wooow wooooow wooow i just like this, nice creativity @Rajo production 👌👌
@MadaMamatu
@MadaMamatu 25 күн бұрын
I'm malawian but l love this songs from TZ
@MnHmasa-df9fb
@MnHmasa-df9fb 4 жыл бұрын
Asante kwa wimbo mzuri,wakumtukuza Mungu
@flipaclipanimationz6790
@flipaclipanimationz6790 4 жыл бұрын
Hakika matendo yake Mungu yanatishaa! Hongereni mnooo kwa uimbaji mzuri.Mwalimu Nyundo Mungu akutunze.
@wiliminajustin7636
@wiliminajustin7636 3 жыл бұрын
Asante
@sopy3055
@sopy3055 Жыл бұрын
Matendo yako kwel yanatisha Mungu. Utukuzwe Mungu mkuu♥️ amina
@susanldohlchodo4589
@susanldohlchodo4589 3 жыл бұрын
Matendo Yake yatisha sana.. I felt the presence of the Holy Spirit when listening to this annointed song..Utukuzwe na Uhimidiwe ee Mungu🙏🏼🙏🏼
@mercelousakumulchodoichodo9293
@mercelousakumulchodoichodo9293 3 жыл бұрын
Amen!
@fr.Josephat-SharingGodsLove
@fr.Josephat-SharingGodsLove 2 жыл бұрын
Hongereni..tuendelee kumsifu Mungu kwa Shangwe
@carolinechitere6948
@carolinechitere6948 3 жыл бұрын
Wimbo mzuri,Sauti tamu na zakupendeza sana.
@jennifertemba2837
@jennifertemba2837 4 жыл бұрын
Hongeren sana mungu awabarki mmeimba vizur mno
@naomimuli474
@naomimuli474 3 жыл бұрын
Among my best Catholic hits, God bless your good job&your efforts.
@odiraemmaculate9965
@odiraemmaculate9965 3 жыл бұрын
Listening from Kenya,I like the song Amen.
@marinyominja35
@marinyominja35 4 жыл бұрын
Hongeren sanaaaa mmeutendea haki
@rokizenaufunguo9953
@rokizenaufunguo9953 4 жыл бұрын
Hujawahi Fanya makosa Rajo hongera broo
@rajopro
@rajopro 4 жыл бұрын
Asante sana....
@gettoboytz4879
@gettoboytz4879 4 жыл бұрын
KAKA RAJO NAOMBA NAMBA YAKO 0713060003 NAPATIKANA MOSHI ASNTE PLZ
@rajopro
@rajopro 4 жыл бұрын
@@gettoboytz4879 0758988827
@gerrardmselle9466
@gerrardmselle9466 3 жыл бұрын
Woooww nyimbo nzur sana mbarikiwe wanakwaya wa Mt bonifance sombetin
@consolatandinda8887
@consolatandinda8887 7 ай бұрын
awwww ❤️ ❤️ 💕 🙌👏 Zaburi 66:1-8 [1]Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote, [2]Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake. [3]Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako. [4]Nchi yote itakusujudia na kukuimbia, Naam, italiimbia jina lako. [5]Njoni yatazameni matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu; [6]Aligeuza bahari ikawa nchi kavu; Katika mto walivuka kwa miguu; Huko ndiko mlikomfurahia. [7]Atawala kwa uweza wake milele; Macho yake yanaangalia mataifa; Waasio wasijitukuze nafsi zao. [8]Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu, Itangazeni sauti ya sifa zake;
@leonavivian6036
@leonavivian6036 4 жыл бұрын
Aise wimbo umenikumbusha mbali sana .hongereni sana kwaya kwakwutuburudisha na kutupa tafakari ya neno la mungu.mbarikiwe
@gaufensiakosmas9962
@gaufensiakosmas9962 3 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kuyatumia vizur maarifa mlio pewa na MNGU ujumbe mzir sana MNGU awazidishie zaid najivunia kuwa mkatorc
@remmymuema8871
@remmymuema8871 3 жыл бұрын
Best version of this song ever! My mother in Heaven, Tuzidi kumpigia Mungu kelele za shangwe... May you continue rejoicing and singing for the Lord as you enjoy paradise. St Cecilia patron saint of all singers, be our pillar in praise and worship now and forever more... Ahimidiwe sana Mungu Mkuu!!!
@kanakaseoful
@kanakaseoful 3 жыл бұрын
Amen..may our mother continue resting with the angels..dearly missed
@remmymuema8871
@remmymuema8871 2 жыл бұрын
@@kanakaseoful Amen!
@victoriamefya6287
@victoriamefya6287 6 күн бұрын
🙏Mwambieni Mungu matendo yake yanatisha Kama nini
@oliverwabwire2836
@oliverwabwire2836 3 жыл бұрын
Njooni tazameni , matendo ya Mungu.......tukuzeni sifa zake Mungu Mkuu! This choir is one of God's own miracles, wonderful song!
@charlesbernard5787
@charlesbernard5787 4 жыл бұрын
Nitaziimba milele na kutukuza sifa zake Mungu. Amina
@henryoreo2283
@henryoreo2283 4 жыл бұрын
T. Swai kinanda safi kabisa!
@saimonalfred9642
@saimonalfred9642 4 жыл бұрын
Daah... Nimeirudia mara kibao sijachoka kuitazama,,,,mungu awabariki sana!!
@imaculatadominic7005
@imaculatadominic7005 4 жыл бұрын
am proud to be a catholic ever mmeinjilisha vyemaaaa
@frankongete9396
@frankongete9396 3 жыл бұрын
Perfect match with the right message! Congrats ziwafikieni kutoka Kilimanjaro
@fredfidelis1067
@fredfidelis1067 4 жыл бұрын
Mimi sio wa dunia hii .... I like this song deadly
@gervasshepi6351
@gervasshepi6351 4 жыл бұрын
Moja ya nyimbo nilizowahi kuzipenda na imedumu kwa muda sana
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085 2 жыл бұрын
Huu wimbo mmeutendea haki sichoki kuusikiliza mbarikiwa sana
@angelhaika524
@angelhaika524 4 жыл бұрын
Wimbo unabarikiiiiiii....mpangilio na kila kitu kimekaa mahala pake. Mubarikiwe sana watumishi.
@salustianndonye3155
@salustianndonye3155 2 жыл бұрын
I think it is my 100th time to listen to this beautiful song!
@anoasisoftranquillity5773
@anoasisoftranquillity5773 4 жыл бұрын
I pass by here daily to listen to this song. I can't get enough from it. For all who took part in producinging such a glorious song, be blessed all
@felisianlissu6878
@felisianlissu6878 4 жыл бұрын
Safi sana kwa wimbo mzur wenzetu wa Sombetini, big up sana Mwl na mpiga kinanda
@annehpascal976
@annehpascal976 4 жыл бұрын
Rajo Mungu aendelee kukutumia kueneza injili yake.Ina bariki sana kuona kazi ya mungu inapambwa na kutengenezwa kwa ujuzi mkubwa,hongereni pia familia ya mt. Boniface kwa kazi nzuri hakika mmefanya vizuri mungu awabariki nyote.
@josephcostantinenyamabondo2035
@josephcostantinenyamabondo2035 4 жыл бұрын
KAZI NZURI
@gabrielchelehani5119
@gabrielchelehani5119 3 жыл бұрын
Mko vizuri sana
@tempochoir
@tempochoir 6 ай бұрын
Nimerudia kuangalia mara nyingi hongereni sana mmefanya vizuri mno.
@mapachunyi4830
@mapachunyi4830 4 жыл бұрын
Woooow! So lovely... kuimba kuzuri jamani na ni kusali kweli Mara mbili,naupenda sana huu wimbo Dada angu kanifundisha nikiwa mdogo na tulikua tukiimba wote! Hongereni sana watumishi wa Mungu
@graceopiko5715
@graceopiko5715 3 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana mmeiba vzr kwa pole
@mariej6962
@mariej6962 2 жыл бұрын
Safi sana kuziweka nyimbo za zamani kwenye digital platforms. Nyimbo zote zirudiwe jamani, kuna hazina kubwa sana ya hitsongs za kikatoliki hazipo kwenye mtandao. Nimefurahi sana kuuona huu wimbo ukiwa umeimbwa bila kuharibu origin yake 👏👏👏🙏
@bettyetanga1907
@bettyetanga1907 4 жыл бұрын
Amazing studio ...Rajo production may GOD bless ur work
@elvisdillip2703
@elvisdillip2703 3 жыл бұрын
A beautiful everlasting song...tukuzeni sifa zake Mungu Mkuu
@jenniferbernard5515
@jenniferbernard5515 4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana...proudly to be Catholic
@vintanclement6920
@vintanclement6920 4 жыл бұрын
Hakika Mungu aendeleee kuwabariki ktk kazi ya kumtukuza yeye daima
@justinekibohora2705
@justinekibohora2705 4 жыл бұрын
Hongereni kwa uchaguzi wa nyimbo na uboreshaji.Mungu awabariki sana .Inapendeza sana .
@mapachunyi4830
@mapachunyi4830 4 жыл бұрын
You are doing great RAJO,,,keep it up.
@godwinojiambo9764
@godwinojiambo9764 2 жыл бұрын
Thank you for leading us in kumwimbia Bwana kelele za shangwe 😍😍🇰🇪🇰🇪
@pianamkai4620
@pianamkai4620 4 ай бұрын
Inanikumbusha xul,, st francis🙏🙏🙏🙏😘😘😍
@dennismlula5019
@dennismlula5019 11 ай бұрын
Matendo ya MUNGU wetu kweli ni makuu!
@mafurufrancis9150
@mafurufrancis9150 3 жыл бұрын
Rajo production,, Credits kwenu asee hii video ni next level, imeutendea haki kuu huu wimbo mtamu..
@evansmutuma909
@evansmutuma909 2 жыл бұрын
Have listened to it since last night.....now 54th time listening to it...can't get enough of it!
@kangwefausta1027
@kangwefausta1027 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa utume ulio tukuka. Nimependa sana wimbo wenu umebeba tafakati. Nzito. Mungu endelea kutunza vijana Hawa.
NAKUKARIBISHA YESU (Official Video)
4:13
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 4,5 МЛН
Super gymnastics 😍🫣
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 108 МЛН
СНЕЖКИ ЛЕТОМ?? #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
TEGEMEO LANGU NI YESU - Melodic Harmony Chorale Ft Lawrence Kameja
6:25
Melodic Harmony Chorale
Рет қаралды 2 МЛН
TUNAPASWA KUSHUKURU
5:50
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 7 МЛН
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHURCH CHOIR
6:32
Njiro SDA Church
Рет қаралды 12 МЛН
MKATOLIKI (Official video) - Kwaya ya Mt. Secilia Makuburi
6:31
Mt. Secilia Makuburi
Рет қаралды 177 М.
SITABAKI KAMA NILIVYO (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
7:25
DOKC TV CATHOLIC SONGS
Рет қаралды 462 М.
NI KWA NEEMA(Official Video)- Kwaya ya Mt.Secilia Makuburi DSM
10:03
Mt. Secilia Makuburi
Рет қаралды 1 МЛН
SHAMBA LA MIZABIBU
5:41
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 2,7 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
2:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 5 МЛН
Duman - Баяғыдай
3:24
Duman Marat
Рет қаралды 85 М.
Sadraddin - Jauap bar ma? | Official Music Video
2:53
SADRADDIN
Рет қаралды 2,3 МЛН
Saǵynamyn
2:13
Қанат Ерлан - Topic
Рет қаралды 2,4 МЛН
Dildora Niyozova - Bala-bala (Official Music Video)
4:37
Dildora Niyozova
Рет қаралды 8 МЛН