No video

MPINA AJIBU WABUNGE WALIOSEMA WATAKWENDA KUMSHTAKI KWENYE VIKAO NEC "CCM SIO PANGO LA WALANGUZI"

  Рет қаралды 36,863

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 305
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Ай бұрын
Wanaosema Mh Mpina ni nuru ya waishio gizani tujuane hapa.
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya Ай бұрын
Mpina tunakukubalia sana mungu atakufanyia wepes
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya Ай бұрын
Pole sana lazima upigwe mawe kwasababu msema ukweli
@molenicharles9107
@molenicharles9107 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kamandashupavu206
@kamandashupavu206 Ай бұрын
Wangapi tumeanza kupata mawazo ya Kenya? Gonga like twende sawa
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
😂😂😂😂
@janejoel2465
@janejoel2465 Ай бұрын
@Jimmywampinda
@Jimmywampinda Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@salimutwahiri3693
@salimutwahiri3693 Ай бұрын
Mawazo ya Kenya ya kipuuzi ingia barabarani uone
@yusufujemson9020
@yusufujemson9020 Ай бұрын
Daaaaaah bongo ni hatari sana
@husseinbakary1969
@husseinbakary1969 Ай бұрын
Msukuma mmoja hivi mwenye akili nyingi sana
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 Ай бұрын
Tuko pamoja Mh Mpina, Wabunge wengi ni vilaza hawajui ht wajibu wao Bungeni
@HeriDunia-i7m
@HeriDunia-i7m 6 күн бұрын
wabunge wengi awajasoma
@user-ps6wm2qm4f
@user-ps6wm2qm4f Ай бұрын
Ukweli nilishangaa sana.Mimi ni MNEC nitakwenda nitasema hili.Wabunge Hawa ukweli walifanya vibaya sana.Na c utaratibu.Hawajui wajibu wao kama wabunge.Msitishe watu kusema ukweli
@user-eh5fw5gj4c
@user-eh5fw5gj4c Ай бұрын
Waongo waliungana kumuadhibu mkweli😢
@nashonjoel20
@nashonjoel20 Ай бұрын
MPINA ni Mzalendo kweli kweli. Kila silaha itakayofanyika juu yako HAITAFANIKIWA. ISAYA 54:17, usiogope
@josenyalusi7390
@josenyalusi7390 Ай бұрын
Namkubari sana mpina
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 Ай бұрын
Hongera sana Mpina wenye akili tunakuelewa!
@cleofasladislaus2177
@cleofasladislaus2177 Ай бұрын
CCM HAWATAKI MTU ANAYE ONGEA UKWELI 😂😂😂😂😂
@janejoel2465
@janejoel2465 Ай бұрын
Jaman jaman jaman. Eee MUNGU tusaidie, maana sisi wengine tunaishi kwa neema yako
@lindatogether
@lindatogether Ай бұрын
True
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 Ай бұрын
Wewe kama mwananchi unasemaje? Nchi inaibiwa watu wako bize kubishana simba na yanga
@MariagorethPetero
@MariagorethPetero Ай бұрын
Mwizi yeyote ukimnyooshea kidole kwa sababu ya wizi aliofanya lazima akasirike na kutafuta mbinu ya kukunyamazisha.
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 Ай бұрын
@@MariagorethPetero kwahiyo nyie watanzania mnashabikia wezi
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
MIMI NAWASHANGAA SANA KWA NINI MSIANZISHE CHAMA CHENU MTAPATAWATU WENGI SANA KUSHINDA CCM
@ludanishirima5102
@ludanishirima5102 Ай бұрын
kaka pina umenifanya nianze kufikiri kutafuta mbadala wa chama changu. hongera sana wewe ni Kwa uwajibikaji mzuri wa Afya ya taifa letu😊
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Ай бұрын
Ukiona hivyo huyo BASHE hakufanya yeye kama waziri bali alipewa maagizo kutoka juu.
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh Ай бұрын
Kwel
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Umeongea point sana ,nakupa hongera.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Ай бұрын
Umeongea akili ya wenye akili na huyu angenyamaza KUSUBIRI muda useme ,asijitose kwenye bahari isiyo na nanga 😢
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Fact KABISA...waazishe chama sisi tutawapa kura Makonda Mpina Kaliman Lukuv Gwajima Tunawapa kura chap
@MATIKO9640
@MATIKO9640 Ай бұрын
Kabisaaa
@millandoinstructor8844
@millandoinstructor8844 Ай бұрын
Jamaa anahoja asikilizwe
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 Ай бұрын
Tatizo mpina umesema ukweli kwani ujui kama ccm wanapenda uhongoo ila usijali wakikufukuza njoo chadema kwani nini
@user-hd5bg8qw1b
@user-hd5bg8qw1b Ай бұрын
BORA AANZISHE CHAMA CHAKE HAO CDM NDIO WALEWALE TU NGOJA WAPATE NAFAC UONE TENA BORA NA CCM
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
​@@user-hd5bg8qw1bZito ameanzisha chake mkamtelekeza
@emanuelgavile3503
@emanuelgavile3503 Ай бұрын
Aje chadema sisi tunamchkua msigwa usajili kama wa mutale simba
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Ай бұрын
Aje chadema??!! Wao ndo kabisaaa!!! Ukisema ukweli unaitwa msaliti dah!!
@stevenkatani3047
@stevenkatani3047 Ай бұрын
Na awezi kwenda chadema yeye xo mjinga Bora haunde chama chake.
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Ай бұрын
Watu weng hawajui sheria , mpina upo sawaaa
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Ай бұрын
Tulia anajipendekeza kwà samia sana badala aisimamie serekali kwào hamna hata barabara ana KAZI ya kumfungia mpina
@lawrence-xk1km
@lawrence-xk1km Ай бұрын
Tena toka pale round about hadi kwao pale vumbi kokoto tupu yaani hadi atamaliza muda hakumbuki kwao.sifa zote kakimbilia kugawa boda boda tu Mbeya mjin jimboni kwake hakuna kitu,hata sifa wanazompa sijui ni ipi
@Mosmwampa
@Mosmwampa Ай бұрын
Bashe kalindwa Kwa nguvu saana
@GmakaYusuph
@GmakaYusuph 26 күн бұрын
Daaaah tunako elekea ni kenya kabisaa, kuna hatua tutafika tutachokaa , hongera kwa kupambana kamanda
@MPOYOLAFILMS
@MPOYOLAFILMS Ай бұрын
We love you Mpina...
@gabapentin8070
@gabapentin8070 Ай бұрын
Msema kweli hii nnchi anachafuliwa sana Mpina tupambanie
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
WATANZANIA HAWA WABUNGE WASIRUDI TENA
@emmanuelmwanzalima8337
@emmanuelmwanzalima8337 Ай бұрын
Nawakumbusha tu chama anachotoka huyu mwamba badiliahen maamuz mapema sana itawaghalim mno ushauri lakin SPIKA pia bashe jitafakari kaka
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
Mtafanya nini,vyombo vya ulinzi vipo imara
@user-yv1nw2sq6t
@user-yv1nw2sq6t Ай бұрын
Namuona chuma kwa mbaliiiii mzalendo Mungu akulinde
@jamesmhangwa9672
@jamesmhangwa9672 4 күн бұрын
Good to go for Presidency
@user-nn7uf1mr7x
@user-nn7uf1mr7x Ай бұрын
❤❤❤❤mungu akulinde
@Afrikan-ol8qn
@Afrikan-ol8qn Ай бұрын
I'm grateful to hea that....keep going sir.
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 Ай бұрын
MPINA UPO VZR SANA BUNGE LETU UCHAWA MWINGI ENDELEA KUIPAMBANIA NCHI NA WANANCHI WENYE AKILI TUNAKUELEWA SIKU ZOTE UKWELI HUWA UNAUMA
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
AWA WABUNGE WAMEJISAHAU KAMA WALIFANYIWA KAMPENI NA JPM KWA UTAMU WA MADARAKA WASIRUDI TENA BUNGENI
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Ай бұрын
Nakukubari Sana Mpina Mungu akulinde
@karimjuma4019
@karimjuma4019 Ай бұрын
Bashe ni hamna kitu nikiongea hivi Nina sababu za msingi kwenye vyama vya msingi Kuna wizi sio kidgo na yuko kimya
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Ай бұрын
Ukiongea ukweli hapa kwa baadhi ya mafala walio wengi Tanzania hawataki matokeo yake ni kujaribu kumzuia msema mkweli
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 Ай бұрын
Usiwe na wasi wasi tuko na wewe na wapiga Kula wako tutakikisha unarudi bungeni Kwa kishindo na bado siku unarudi bungeni tutakusindikiza
@user-zk9ox3di4b
@user-zk9ox3di4b Ай бұрын
asante sana mpina wabunge ni. Wanguzi sio wabunge wa wananchi masikini ni wabunge wa. Wenu ni simba sauti ya wanyonge
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
Usikubali kujiuzilu mzee wangu yaani mpaka wasemeee!!Bashe ni muongo sana hata ukimwangalia materials and formally
@christinakomba689
@christinakomba689 Ай бұрын
Tanzania tunashabikia ujinga
@FelicianSimon
@FelicianSimon Ай бұрын
​@christinakomba689 haya ww shabikia ujanja
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
1:13 ​@@christinakomba689
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
Bashe ni muongo !!Mpina kasema ukweli Ila ni kawaida waovu kuteteana🤮🤮🤮🤮
@dilludillu2747
@dilludillu2747 Ай бұрын
Mpina stand firm
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u Ай бұрын
VIVA KOMREDI MPINA....HILO NI GENGE LA WABUNGE WALA RUSHWA NA UFISADI....TUNAWAAMBIA....WATANZANIA SIO WAJINGA!
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
WATANZANIA TUAMKE HAWA WABUNGE TULIWACHAGUA KWA SABABU YA JPM TUAKIKISHE AWALUDI TENA BUNGENI AWA MAKUMA
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 Ай бұрын
Nimekulewa sana broo,kwa kweli walibebwa na jina la jpm
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 Ай бұрын
😢khaaaaa eti makuma tusilingine ulikosa
@talents7934
@talents7934 Ай бұрын
​@@marcynhumbi3534Muazime kama utakuwa nalo😂
@philipombwambo1980
@philipombwambo1980 Ай бұрын
Hawafai
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Nani alikwambia kura zako zilihesabiwa ? Hahaha haya
@masanjajohn-qs7mq
@masanjajohn-qs7mq Ай бұрын
Mpina kiboko!!!!Ngosha getegete!!!
@dancerboy2686
@dancerboy2686 Ай бұрын
ipo cku atakuja magufuli mwingne watakuja kunyea debe
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
KINAMAKONDA KINABASHILU ALI KINA SABAYA KINA MPINA MNAFANYA NINI HUKO CCM TOKENI AZISHENI CHAMA AU KIPENI NGUVU CHAMA KIMOJA KIWE NA USHINDANI MKUBWA TUITOE CCM
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Kama niwazavyo
@SarahRajah
@SarahRajah Ай бұрын
Duu hili wazo nililiwaza tangia asubuhi kamq ulikuwepo
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
@@SarahRajah kweli ndugu yangu CCM awanamvuto WATANZANIA wanamvuto na watu awa
@levinareuben
@levinareuben Ай бұрын
Uko sawa mh.mpina the message sent and the delivery.
@kungulesh
@kungulesh Ай бұрын
One Man Army (OMA).
@PeterMaonga
@PeterMaonga Ай бұрын
Huyu jamaa ni kichwa tunao wachache sana wengine waliobaki wote ni ndio mzee
@maulidimuhani
@maulidimuhani Ай бұрын
Nilidhani kuwa MPINA YUPO 100% Correct ila Sasa naanza kuelewa kumbe there is something behind we have to be careful
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
WABUNGE WAMAGUFULI AWATORUDI TENA
@godsson5954
@godsson5954 Ай бұрын
MILLARD BONGE LA MNAFKI
@NescharlesMalando-xm6lg
@NescharlesMalando-xm6lg Ай бұрын
Dah nuru itang'aa hv punde mungu yuko pamoja nawe na mamilion ya watz nko pamoja!!
@BahatiLogondisha-vq7gg
@BahatiLogondisha-vq7gg Ай бұрын
Ok sawa asilimia zote 100/ kwahoja zako mh Pina tunaka wazalendo kamama wewe sio wapiga diri 2025 tunawasubiri watukute
@abednego3876
@abednego3876 Ай бұрын
Huyu inatakiwa kila mahali awe anakundi la watu wanamshangilia, ila mambwa wamelala tu usingizini.
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 Ай бұрын
Daaaa pole Sana,lakini ubaki tu CCM.
@denisruvugo1764
@denisruvugo1764 Ай бұрын
Sasa usisome sana basi boss , hoja zote clean kabisa
@daudisalum9574
@daudisalum9574 Ай бұрын
Namkubali sana luhaga mpina
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
😂apa naona Mpina Chadema na msigwa CCM 😅
@saidaliomar
@saidaliomar Ай бұрын
Nenda Chadema tu ukaungane Lissu huna ishu
@Norrisnoriega
@Norrisnoriega Ай бұрын
Shida jamii imeshiba sana amapiano vichwani bro kiasi unajikuta unapambana pekeako jifikilie jamii iachana na wakina amapiano wakamsikiliza DIZASTA VINA nini kingetokea naamini tungesapoti unachokifanya sana
@DamasiMushi-bf6tf
@DamasiMushi-bf6tf Ай бұрын
Pole sana Mungu akutangulie ndio Tanzania yetu ukisema ukweli unachukiwa
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
MIMI NINAUAKIKA WATU HAWA SITA SABA WANAITOA CCM MADARAKANI
@user-sk2xn4qm3k
@user-sk2xn4qm3k Ай бұрын
Spika na bunge hawakumtendea haki Mpina, kaka simama na ukweli watanzania tunakuelewa sana
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 Ай бұрын
Vita ya sukari bado mbichi..wabunge wa ccm wote ni wa ndioo inatokana na kwamba ,huu Ni mwishoo.wapo ambao wanaogopa hawatarudi..Sasa wanajikomba ili kwenye gwaride la u haguzi wasiachwe..Mpina nakuunga Mkono saana .Kuna kitu kimejificha nyuma ya uagizaji sukari
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc Ай бұрын
Mtu ukikaa kimya huwezi kupungukiwa na zaidi utabarikiwa tu.
@user-to6cg8uf3f
@user-to6cg8uf3f Ай бұрын
Acha nidhamu ya uoga kukaa kimya afu muendelee kupiga sio
@martineopapa7383
@martineopapa7383 Ай бұрын
Kwani wananchi walikuchagua ili uwe bubu bungeni?
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 Ай бұрын
Haya maoni 2 yanamajibu mh mpina uko juu
@BasiliClement-ql1yg
@BasiliClement-ql1yg Ай бұрын
Nakukubali sana kaka hawajielewe hawo wavunia tumbo
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t Ай бұрын
Jamani Mpina unaeleweka vizur mno yatawarudia wao watadhalilika
@kulwamikwanga3112
@kulwamikwanga3112 Ай бұрын
Mpina piga kazi kama msema kweri ni mtenda zambi basi hata waendao kanisani kumutukuza mungu kwa haki na kweri na wao hawataenda mbinguni ira kama msema ukweri na haki kama mpina basi hawa wabunge wajitasimini sana majimboni kwao 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@machujamathias7165
@machujamathias7165 Ай бұрын
My role model
@user-eg4sl4pf3x
@user-eg4sl4pf3x Ай бұрын
Sisi shida yetu ni sukari ya bei nafuu,habari ya nani kaileta haituhusu.Usitafute kiki brooh
@rendiman2878
@rendiman2878 Ай бұрын
Halafu tuna akina Msigwa humu wanajiunga na hili pango la majambazi
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Ай бұрын
USIOGOPE kuachwa na CHAMA ,Ogopa kuachwa na MUNGU
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw Ай бұрын
Xnaaaa bro mpina simama imara shetani yuko kazini wanaleta stress zao ndani ya bunge wapeleke kule
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Mpina akili kubwa na mzalendo wa kweli
@MATIKO9640
@MATIKO9640 Ай бұрын
Hebu muwashauri hao wap..z wawe wanapita na mtandaoni kujua wananchi wao wanasema nini through comments afu wachukulie positively then wajitathimini kwa uongozi mbovu na maamuzi yao mabovu, wanatukwaza sana sisi wapenzi wa ccm. Mbunge kama mpima ni wa kuungwa mkono kabisa vinginevyo mnatufanya kuwa na mashaka na ccm ambayo tunaiamini kuwa ndiyo yenye viongozi bora wengi, kama vile Majariwa, Makonda, Mpina na wengi wengi. Kuna shida kubwa sio bure.
@davincidavi693
@davincidavi693 Ай бұрын
Huyu ni Moja ya vibaraka wa wanaofanya sukari owe hadimu. Kwahiyo tufuate Sheria tufe na njaa
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 Ай бұрын
Nimeisikuliza hotuba yake huyu mwamba Ina saa moja na dakika kadhaa mwamba ana uwezo mkubwa Sana anatakiwa awe hata raisi ili twende speed kuyafikia MALENGO makubwa lakini tukiendelea kusifiana sifiana hatutafika mbali
@servantjosiahtv3129
@servantjosiahtv3129 Ай бұрын
MPINA CHADEMA, MSIGWA CCM.. ngoma draw
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l Ай бұрын
daa mpina una wakati mgumu kweli ccm yako ni watu wabaya sana awa taki ukweli usemwe pole kaka ukweli tusha ujuwa
@NasilichandeChandenasili
@NasilichandeChandenasili Ай бұрын
Ccm watokee madarakanii watatuonea mnoo,mafisadi na wala rushwa na upendeleoo MUNGUU WA hakii yupoo atawpa mshangaoo na duniaa haitoo aminii
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 Ай бұрын
Ccm ni mavi tuu tena ya mwishoooo
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j Ай бұрын
Ipo siku mawe yataongea kwa jina la Yesu
@othumanrichard6138
@othumanrichard6138 Ай бұрын
Wakenya ni wanaume kiukwl Ila sisi hapa bongo wote ni wanawake tu
@rajabukipara3008
@rajabukipara3008 Ай бұрын
Nenda Chadema Kuna Nafac Maana Heche Katoka kule😂
@Omarjumanne-zm9zh
@Omarjumanne-zm9zh Ай бұрын
Ccm hawataka kukosolewa na lkiwa mwanachama ccm anapokwenda mendoza wa magufuri hawapendi machawa
@saidaliomar
@saidaliomar Ай бұрын
nenda mwenywewe kenya
@talents7934
@talents7934 Ай бұрын
Nimegundua kuwa hata mafisadi majambazi, na majizi yote yanalindwa 😢
@wilbertaerasto7584
@wilbertaerasto7584 Ай бұрын
Baadhi ya wabunge ni chawa tu, hawa maana kabisa, mh usiogope waeleze kabisa kwani ni wanafiki
@Nehe100Kilindu
@Nehe100Kilindu Ай бұрын
Akilinyingi sana
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m Ай бұрын
Toka huko ccm watakumaliza blo
@PastorMasasi-vg1qh
@PastorMasasi-vg1qh Ай бұрын
Mpina wewe unasitahili Sana Sana,kutusemea wananchi.wabunge wezako hamna kitu hao,tupambanie raia tuko na wewe mpina
@maase2023
@maase2023 Ай бұрын
Mpina ulitakuwa uunge mkono kila jambo hata kama halifai maana tumekulia mazoea hayo mpina! Kawaida ya mbunge ni kupigia makofi kila jambo liwe zuri au baya lazima uunge mkono
@jacksonmboi2489
@jacksonmboi2489 Ай бұрын
Ww wakat n wazr ni yap makosa umewai kuyafanya....je umekili kwa makosa hayo kwanza
@mohamedabdallah4769
@mohamedabdallah4769 Ай бұрын
Sawa aliingiza bila sheria ila alitetea sisi walaji sababu viwanda vya sukari vinapandisha bei hovyo hovyo bora kilichofanyika sukari imepungua bei
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
Boss Kuna role of government in economic !!price ceiling and floor!!hii ni deal tu ya mafisadi serikalini!!Mpina is mzalendo na Bashe alipiga deal na sio kututetea wanyongeee
@martineopapa7383
@martineopapa7383 Ай бұрын
Kama hujui matatizo yanatengenezwa maksudi ili kuyatatua kwa faida
@adeliusvedasto7214
@adeliusvedasto7214 Ай бұрын
Wamebaki makamanda wachache nchii hii.
@hashimabdallah673
@hashimabdallah673 Ай бұрын
Hujakosea kwenye hili isipokuwa nawewe ulikosea tarehe 28/12/18 ukiwa waziri wa mifungo ulipodharau amri ya Judge wa mahakama kuu
@AndrewJulius-hg4bd
@AndrewJulius-hg4bd Ай бұрын
Hao wanao taka usiseme ukweli wana kushtaki Niwapigaji hao Mbunge kazi yake kuisimamia serikali ikikosea isemwe ikifanya vizuri isifiwe
@JonathanMatembo
@JonathanMatembo Ай бұрын
CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania.
@user-hd5bg8qw1b
@user-hd5bg8qw1b Ай бұрын
HATA CDM C CHAMA SAHIHI KUPEWA MADARAKA HAPO WALIPO MATE YANAWATOKA KAMA M"MBWA
@MATIKO9640
@MATIKO9640 Ай бұрын
Tumwombe tu MUNGU ila Tz hatuna vyama bora tuna bora vyama
@ChristianMzena
@ChristianMzena Ай бұрын
Kwa maslai ya nchi arudi bungeni
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Ай бұрын
.MPINA BINGWA NAKUPENDA ENDELEA KUPATA DHAWABU TOKA KWA MUNGU
@lutegomakoyeluhahula361
@lutegomakoyeluhahula361 Ай бұрын
Achana na hao wabunge wapumbavu.
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Ай бұрын
CCM mnajuana mambo yenu sisi wengine mambo yenu hayatuhusu malizaneni wenyewe hata wewe Mpina hatuna uhakika na ushindi wako katika uchaguzi wa mwaka 2020😮😮😮
@Yassinseleman
@Yassinseleman Ай бұрын
Kuna methali inasema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo uvume hivi ndio juzi kanifuata mtu eti nikamchukue kadi ya ccm nikaona mtu anataka kunisukumia zigo la dhambi nimemjibu tu tuheshimiane basi
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 88 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 48 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 72 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
SIMBACHAWENE AMCHANA LIVE MPINA / ZUNGU AFURAHIA MAJIBU YAKE
30:56
Gangana Info Channel
Рет қаралды 47 М.
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 88 МЛН