DKT. BASHIRU APIGIWA SHANGWE ZITO BUNGENI, AMTAJA MAGUFULI NA CCM, "SPIKA NAKUVUNJIA HESHIMA"

  Рет қаралды 176,243

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 208
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 4 ай бұрын
Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.
@wardadvaz
@wardadvaz 5 ай бұрын
Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani
@joframsa
@joframsa 5 ай бұрын
🙏🏾
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤
@sospeterurassa9894
@sospeterurassa9894 5 ай бұрын
Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba
@perfectpixelsstudio3603
@perfectpixelsstudio3603 5 ай бұрын
Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 5 ай бұрын
Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!
@nestor384
@nestor384 5 ай бұрын
Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 5 ай бұрын
Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 ай бұрын
@@bobjulieoneheartband Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado
@cbegram6161
@cbegram6161 5 ай бұрын
@@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina
@nevermwambela3719
@nevermwambela3719 5 ай бұрын
Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha
@kelvinmwombeki763
@kelvinmwombeki763 5 ай бұрын
Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 5 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you
@MustaphaKiluke
@MustaphaKiluke 4 ай бұрын
Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa
@DicksonPhanuel
@DicksonPhanuel 5 ай бұрын
Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako
@jayzeem14
@jayzeem14 5 ай бұрын
Great contribution
@JeremiahRichard-oj8up
@JeremiahRichard-oj8up 5 ай бұрын
Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
Kafichwa na nani mbona yupo huru
@davidlaiser8174
@davidlaiser8174 5 ай бұрын
Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania. Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho. Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu. Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu. Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!
@KandidaMtitu
@KandidaMtitu 5 ай бұрын
Kabisa kabisa...🤝
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 5 ай бұрын
Uwooooooongooooooo
@peteralmas1505
@peteralmas1505 5 ай бұрын
Niko pamoja nawe
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 5 ай бұрын
Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 5 ай бұрын
Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 2 ай бұрын
Huwa namukubali sana
@PAMA3542
@PAMA3542 5 ай бұрын
Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi
@festokemibala5832
@festokemibala5832 5 ай бұрын
Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
​@@festokemibala5832anaongea tu
@allyfutto8763
@allyfutto8763 5 ай бұрын
Inapendeza Sanaa MASHAALLAH
@eleutermhumba347
@eleutermhumba347 5 ай бұрын
Hongera Dr KAKULWA
@jacksonpetro9558
@jacksonpetro9558 4 ай бұрын
Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 5 ай бұрын
Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 5 ай бұрын
Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.
@tanzanitetv
@tanzanitetv 5 ай бұрын
Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu
@geey7893
@geey7893 5 ай бұрын
Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.
@ingozescopion
@ingozescopion 5 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa
@geey7893
@geey7893 5 ай бұрын
@@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo
@dassustephen731
@dassustephen731 5 ай бұрын
Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda
@senziashwaibu3219
@senziashwaibu3219 5 ай бұрын
​@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi
@dassustephen731
@dassustephen731 5 ай бұрын
@@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza
@DonatiraNdyanabo-wm4rl
@DonatiraNdyanabo-wm4rl 5 ай бұрын
Hongera. Bashilubkb. Inawasomi
@michaelmwedimage5515
@michaelmwedimage5515 5 ай бұрын
Hongera Sana Baba
@amanijoseph6764
@amanijoseph6764 5 ай бұрын
Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana
@masanullahuzuni
@masanullahuzuni 5 ай бұрын
Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi Alikuwa mahiri sana zaidi hapa
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 5 ай бұрын
Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU
@yusuphmakangemakange4474
@yusuphmakangemakange4474 5 ай бұрын
Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly
@kilungamponda3984
@kilungamponda3984 5 ай бұрын
Very good 👍
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 5 ай бұрын
Hongera sana Daktari Bashiru ❤
@godfreyerasto1208
@godfreyerasto1208 5 ай бұрын
Very good
@ebenezerkaaya7345
@ebenezerkaaya7345 5 ай бұрын
Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG Acxademician 👍
@AgnesMathias-xi2he
@AgnesMathias-xi2he 5 ай бұрын
❤❤❤❤🙏🙏🙏
@edithjosephat7155
@edithjosephat7155 5 ай бұрын
Point Dr MUNGU akutunze
@paldonjonas9489
@paldonjonas9489 4 ай бұрын
Huyu ndo Bashilu ninayemjua
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 5 ай бұрын
Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania
@eutychusthiongo1335
@eutychusthiongo1335 2 ай бұрын
Balozi Dr Bashiru Ally Kakurwa siku moja atakuwa Rais. Mimi Mkenya
@AlvinMakenzi
@AlvinMakenzi 5 ай бұрын
Hongera
@ReonardBushiri
@ReonardBushiri 4 ай бұрын
Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,
@tanzanitetv
@tanzanitetv 5 ай бұрын
Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,
@alexvenas2699
@alexvenas2699 5 ай бұрын
Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc 5 ай бұрын
ccm unawajua lkn
@emanuelmarco8102
@emanuelmarco8102 5 ай бұрын
Uko vizuri
@josephlorri431
@josephlorri431 4 ай бұрын
Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea
@MOSAMAJE
@MOSAMAJE 4 ай бұрын
Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany
@JRltd-yo2py
@JRltd-yo2py 5 ай бұрын
Nimeipenda
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 5 ай бұрын
Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 5 ай бұрын
Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.
@AtanasKameja
@AtanasKameja 5 ай бұрын
Ubarikiwa sana baba
@noelnoel4916
@noelnoel4916 5 ай бұрын
Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki
@HaulSidney
@HaulSidney 5 ай бұрын
Wazarendo kama ninyi hamtakiwi na hawa mafisadi wanaotawala Sasa, strong leader bashiru
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
Ile trilion 1.5 ilikwapuliwa kipindi gn ebu nikumbushe kidogo..!
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 4 ай бұрын
Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 5 ай бұрын
Ulifeli sana Dr.Bashiru,wewe ni kinyonga,no one can trust you any more,kabla ya kuteuliwa katibu wa ccm,ulikuwa mwingine baada ya kuteuliwa ukawa mwingine,ukishakuwa kigeu geu ktk maisha hufai tena,fanya umalize muda wako ukatulie tu,huna sifa tena mwanzo ukiwa chuo nilikukubali leo hapana.
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 5 ай бұрын
Akili nyingi✍
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 5 ай бұрын
KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??
@guugug9gt829
@guugug9gt829 5 ай бұрын
Yote majizi ndiomaana yapokimyaa
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 5 ай бұрын
Jiwe walilolikataa waashi Iko siku
@dostovan5142
@dostovan5142 5 ай бұрын
Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana
@estonsaimon6671
@estonsaimon6671 5 ай бұрын
Kabisa aisee
@ajirathabdulnoor4832
@ajirathabdulnoor4832 5 ай бұрын
🎉
@GeorgeNtauka
@GeorgeNtauka 5 ай бұрын
Yupo makini sana
@farhatfatma12
@farhatfatma12 5 ай бұрын
Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.
@OS-pf6op
@OS-pf6op 5 ай бұрын
Jembe la nguvu!💪🏿
@mariadaison7640
@mariadaison7640 2 ай бұрын
Mama Salma umenikaa kwenyemoyo wangu piga kazi wanapika kelele wache wapige
@jafaryally-g1i
@jafaryally-g1i 5 ай бұрын
Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako
@MalusiCebekhulu
@MalusiCebekhulu 4 ай бұрын
Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo
@hussenikija6699
@hussenikija6699 5 ай бұрын
Umeongea point Daktari
@stephenalmas4209
@stephenalmas4209 5 ай бұрын
Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.
@zigrondabagenga8585
@zigrondabagenga8585 5 ай бұрын
Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 5 ай бұрын
HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.
@mohamedpesambili9460
@mohamedpesambili9460 5 ай бұрын
​@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
​@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅
@ellyitete938
@ellyitete938 5 ай бұрын
Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 5 ай бұрын
Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa
@ShukuruShukuruassani-yj8bs
@ShukuruShukuruassani-yj8bs Ай бұрын
😢😢😢😢😢
@momhalidi9786
@momhalidi9786 5 ай бұрын
Duuuuuh
@boneventuremweya3673
@boneventuremweya3673 5 ай бұрын
Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.
@jaywi5681
@jaywi5681 5 ай бұрын
😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.
@georgekilwa2051
@georgekilwa2051 5 ай бұрын
Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia
@divinemwakapina4059
@divinemwakapina4059 5 ай бұрын
Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee
@Louez24
@Louez24 5 ай бұрын
Few; but NOTED with capital letters.
@azavelilwaitama1975
@azavelilwaitama1975 5 ай бұрын
Huyo ndiye Mwalimu Bashiru Ally ninaye mpa heshima kubwa. Anajua kujenga hoja zenye mantiki kwa umahili mkubwa, umpende au husipende, ukubaliane na hoja anayojenga au husikubaliane na hoja hiyo!
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
Cuf ilitoa watu wenye akili kubwa
@mohamajasaid
@mohamajasaid 5 ай бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@alikidungura9419
@alikidungura9419 5 ай бұрын
Huyu mnafikitu pasi
@thomaskwibonelwa9240
@thomaskwibonelwa9240 4 ай бұрын
Dhahabu iliyokataliwa na mafisadi ya nchi hii.
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 5 ай бұрын
Mpini wa JPM
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 5 ай бұрын
In that way , our universities are simply glorified secondary schools .
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 5 ай бұрын
Tht is the fact.
@dostovan5142
@dostovan5142 5 ай бұрын
You are damn right
@philbertluhunga5932
@philbertluhunga5932 5 ай бұрын
Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa
@josephkapesa5880
@josephkapesa5880 4 ай бұрын
Nipo pamoja na wewe dr bashiru hata kama ikinibidi kutoa sadaka kubwa ktk karne hii ya 21 kwa sababu wewe ni msema ukweli na kiongozi shupavu
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 5 ай бұрын
BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.
@bickosichula986
@bickosichula986 5 ай бұрын
umejuaje kama hakushauri
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 5 ай бұрын
Wakola kyoma
@adidassichona
@adidassichona 5 ай бұрын
Duu 0:31
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 5 ай бұрын
Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅
@kiatu
@kiatu 5 ай бұрын
Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.
@Chemba67
@Chemba67 5 ай бұрын
Hapa akina Kibajaji, Msukuma ni maluelue kichwani wameachwa mbaaaaaali na huwezi wasikia.................taarifa muheshimiwa spika kwakua sio eneo lao.🤣🤣🤣🤣🤣
@EnockCharles-nd5to
@EnockCharles-nd5to 5 ай бұрын
Kwanini hukumshauri Magufuli?
@omanoman-ir1ez
@omanoman-ir1ez 5 ай бұрын
hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue
@misanaalphayo2091
@misanaalphayo2091 5 ай бұрын
Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli
@JaphetJairos-n4l
@JaphetJairos-n4l 5 ай бұрын
Uyu mwamba namqubar
@Babamlezi2007
@Babamlezi2007 5 ай бұрын
Sukuma gang mko live
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 5 ай бұрын
Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando
@fackazizi2170
@fackazizi2170 4 ай бұрын
Kweli
@obedpeter6874
@obedpeter6874 5 ай бұрын
Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa
@TOMSAMSON-tj3sc
@TOMSAMSON-tj3sc 5 ай бұрын
Hivi jamani Kasi ya Tanzania ya viwanda ipo?
@AibaSaidy-jz3xs
@AibaSaidy-jz3xs 5 ай бұрын
Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 5 ай бұрын
Huyu jamaa ni mkweli na sio mnafiki anasimama na kusema sio mambo ya kuanza uchawa wa anaupiga mwingi
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 5 ай бұрын
dk bashiru ni mtu makini sana
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 104 М.
Tawasifu ya Profesa Kithure Kindiki
12:00
NTV Kenya
Рет қаралды 3,4 М.
Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni,  mnyukano mkali watokea
47:32
Mwananchi Digital
Рет қаралды 77 М.
Africa Suffering Because We Elect The 'Worst' To Lead Us - Lumumba
38:30
Channels Television
Рет қаралды 3,5 МЛН
Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 28 М.
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26