Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.
@wardadvaz5 ай бұрын
Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani
@joframsa5 ай бұрын
🙏🏾
@hildandumbalo58275 ай бұрын
Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤
@sospeterurassa98945 ай бұрын
Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba
@perfectpixelsstudio36035 ай бұрын
Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA
@godymbanyi18785 ай бұрын
Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!
@nestor3845 ай бұрын
Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.
@bobjulieoneheartband5 ай бұрын
Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤
@sonnyr18995 ай бұрын
@@bobjulieoneheartband Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado
@cbegram61615 ай бұрын
@@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina
@nevermwambela37195 ай бұрын
Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha
@kelvinmwombeki7635 ай бұрын
Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,
@romastasenterprises44475 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you
@MustaphaKiluke4 ай бұрын
Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa
@DicksonPhanuel5 ай бұрын
Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako
@jayzeem145 ай бұрын
Great contribution
@JeremiahRichard-oj8up5 ай бұрын
Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru
@hassanmfaume45225 ай бұрын
Kafichwa na nani mbona yupo huru
@davidlaiser81745 ай бұрын
Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania. Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho. Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu. Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu. Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!
@KandidaMtitu5 ай бұрын
Kabisa kabisa...🤝
@stanleyamlima20855 ай бұрын
Uwooooooongooooooo
@peteralmas15055 ай бұрын
Niko pamoja nawe
@bobjulieoneheartband5 ай бұрын
Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@josephmathayo51395 ай бұрын
Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.
@yohanamsongole64892 ай бұрын
Huwa namukubali sana
@PAMA35425 ай бұрын
Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi
@festokemibala58325 ай бұрын
Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?
@hassanmfaume45225 ай бұрын
@@festokemibala5832anaongea tu
@allyfutto87635 ай бұрын
Inapendeza Sanaa MASHAALLAH
@eleutermhumba3475 ай бұрын
Hongera Dr KAKULWA
@jacksonpetro95584 ай бұрын
Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢
@Carolina-sm5zt5 ай бұрын
Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana
@angelomfilinge86625 ай бұрын
Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.
@tanzanitetv5 ай бұрын
Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu
@geey78935 ай бұрын
Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.
@ingozescopion5 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa
@geey78935 ай бұрын
@@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo
@dassustephen7315 ай бұрын
Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda
@senziashwaibu32195 ай бұрын
@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi
@dassustephen7315 ай бұрын
@@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza
@DonatiraNdyanabo-wm4rl5 ай бұрын
Hongera. Bashilubkb. Inawasomi
@michaelmwedimage55155 ай бұрын
Hongera Sana Baba
@amanijoseph67645 ай бұрын
Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana
@masanullahuzuni5 ай бұрын
Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi Alikuwa mahiri sana zaidi hapa
@bobjulieoneheartband5 ай бұрын
Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU
@yusuphmakangemakange44745 ай бұрын
Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly
@kilungamponda39845 ай бұрын
Very good 👍
@kalumbugideon41595 ай бұрын
Hongera sana Daktari Bashiru ❤
@godfreyerasto12085 ай бұрын
Very good
@ebenezerkaaya73455 ай бұрын
Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG Acxademician 👍
@AgnesMathias-xi2he5 ай бұрын
❤❤❤❤🙏🙏🙏
@edithjosephat71555 ай бұрын
Point Dr MUNGU akutunze
@paldonjonas94894 ай бұрын
Huyu ndo Bashilu ninayemjua
@romastasenterprises44475 ай бұрын
Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.
@freddykulwa81904 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania
@eutychusthiongo13352 ай бұрын
Balozi Dr Bashiru Ally Kakurwa siku moja atakuwa Rais. Mimi Mkenya
@AlvinMakenzi5 ай бұрын
Hongera
@ReonardBushiri4 ай бұрын
Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,
@tanzanitetv5 ай бұрын
Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,
@alexvenas26995 ай бұрын
Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪
@Hassan-ot1mc5 ай бұрын
ccm unawajua lkn
@emanuelmarco81025 ай бұрын
Uko vizuri
@josephlorri4314 ай бұрын
Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea
@MOSAMAJE4 ай бұрын
Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany
@JRltd-yo2py5 ай бұрын
Nimeipenda
@albertinamichael61235 ай бұрын
Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.
@kambamazig020245 ай бұрын
Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.
@AtanasKameja5 ай бұрын
Ubarikiwa sana baba
@noelnoel49165 ай бұрын
Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki
@HaulSidney5 ай бұрын
Wazarendo kama ninyi hamtakiwi na hawa mafisadi wanaotawala Sasa, strong leader bashiru
@hassanmfaume45225 ай бұрын
Ile trilion 1.5 ilikwapuliwa kipindi gn ebu nikumbushe kidogo..!
@AbrahamSekuza4 ай бұрын
Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno
@samsonkatigiri23445 ай бұрын
Ulifeli sana Dr.Bashiru,wewe ni kinyonga,no one can trust you any more,kabla ya kuteuliwa katibu wa ccm,ulikuwa mwingine baada ya kuteuliwa ukawa mwingine,ukishakuwa kigeu geu ktk maisha hufai tena,fanya umalize muda wako ukatulie tu,huna sifa tena mwanzo ukiwa chuo nilikukubali leo hapana.
@dominicfrancis40735 ай бұрын
Akili nyingi✍
@kaundasutikaunda77695 ай бұрын
KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??
@guugug9gt8295 ай бұрын
Yote majizi ndiomaana yapokimyaa
@sebastiansalamba3135 ай бұрын
Jiwe walilolikataa waashi Iko siku
@dostovan51425 ай бұрын
Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana
@estonsaimon66715 ай бұрын
Kabisa aisee
@ajirathabdulnoor48325 ай бұрын
🎉
@GeorgeNtauka5 ай бұрын
Yupo makini sana
@farhatfatma125 ай бұрын
Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.
@OS-pf6op5 ай бұрын
Jembe la nguvu!💪🏿
@mariadaison76402 ай бұрын
Mama Salma umenikaa kwenyemoyo wangu piga kazi wanapika kelele wache wapige
@jafaryally-g1i5 ай бұрын
Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako
@MalusiCebekhulu4 ай бұрын
Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo
@hussenikija66995 ай бұрын
Umeongea point Daktari
@stephenalmas42095 ай бұрын
Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.
@zigrondabagenga85855 ай бұрын
Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir
@jumanneselemani21725 ай бұрын
HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.
@mohamedpesambili94605 ай бұрын
@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika
@hassanmfaume45225 ай бұрын
@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅
@ellyitete9385 ай бұрын
Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"
@abdulhamis98255 ай бұрын
Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa
@ShukuruShukuruassani-yj8bsАй бұрын
😢😢😢😢😢
@momhalidi97865 ай бұрын
Duuuuuh
@boneventuremweya36735 ай бұрын
Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.
@jaywi56815 ай бұрын
😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.
@georgekilwa20515 ай бұрын
Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia
@divinemwakapina40595 ай бұрын
Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee
@Louez245 ай бұрын
Few; but NOTED with capital letters.
@azavelilwaitama19755 ай бұрын
Huyo ndiye Mwalimu Bashiru Ally ninaye mpa heshima kubwa. Anajua kujenga hoja zenye mantiki kwa umahili mkubwa, umpende au husipende, ukubaliane na hoja anayojenga au husikubaliane na hoja hiyo!
@hassanmfaume45225 ай бұрын
Cuf ilitoa watu wenye akili kubwa
@mohamajasaid5 ай бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@alikidungura94195 ай бұрын
Huyu mnafikitu pasi
@thomaskwibonelwa92404 ай бұрын
Dhahabu iliyokataliwa na mafisadi ya nchi hii.
@maprosokelly29865 ай бұрын
Mpini wa JPM
@Mapenzi26355 ай бұрын
In that way , our universities are simply glorified secondary schools .
@FahadAbubakari5 ай бұрын
Tht is the fact.
@dostovan51425 ай бұрын
You are damn right
@philbertluhunga59325 ай бұрын
Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa
@josephkapesa58804 ай бұрын
Nipo pamoja na wewe dr bashiru hata kama ikinibidi kutoa sadaka kubwa ktk karne hii ya 21 kwa sababu wewe ni msema ukweli na kiongozi shupavu
@jumanneselemani21725 ай бұрын
BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.
@bickosichula9865 ай бұрын
umejuaje kama hakushauri
@RwegoshoraPatt-os2ik5 ай бұрын
Wakola kyoma
@adidassichona5 ай бұрын
Duu 0:31
@davidmpiluka52245 ай бұрын
Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.
@hassanmfaume45225 ай бұрын
Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅
@kiatu5 ай бұрын
Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.
@Chemba675 ай бұрын
Hapa akina Kibajaji, Msukuma ni maluelue kichwani wameachwa mbaaaaaali na huwezi wasikia.................taarifa muheshimiwa spika kwakua sio eneo lao.🤣🤣🤣🤣🤣
@EnockCharles-nd5to5 ай бұрын
Kwanini hukumshauri Magufuli?
@omanoman-ir1ez5 ай бұрын
hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue
@misanaalphayo20915 ай бұрын
Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli
@JaphetJairos-n4l5 ай бұрын
Uyu mwamba namqubar
@Babamlezi20075 ай бұрын
Sukuma gang mko live
@annaniasbyarugaba57885 ай бұрын
Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando
@fackazizi21704 ай бұрын
Kweli
@obedpeter68745 ай бұрын
Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa
@TOMSAMSON-tj3sc5 ай бұрын
Hivi jamani Kasi ya Tanzania ya viwanda ipo?
@AibaSaidy-jz3xs5 ай бұрын
Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.
@shabanipanya10335 ай бұрын
Huyu jamaa ni mkweli na sio mnafiki anasimama na kusema sio mambo ya kuanza uchawa wa anaupiga mwingi