DR. MUCHUNGUZI AMVAA MBUNGE, SAKATA LA SUKARI/ ARUKA NA TULIA NA BITEKO BUNGENI

  Рет қаралды 14,419

TimesFMTZ

TimesFMTZ

20 күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 98
@petermkumbo5094
@petermkumbo5094 17 күн бұрын
Kachambue matembele mzee
@NorbethJosphath-hm1zb
@NorbethJosphath-hm1zb 12 күн бұрын
Kufukuza mpina sio haki hatakamaunatumia sheria kwakuwa sisi wananchi tupata shida Mungu anajuwa
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 16 күн бұрын
Duh! Hii ndo Tanzania yenye wasomi walevi wenye uono hafifu
@user-yq6cd5yb1f
@user-yq6cd5yb1f 16 күн бұрын
Mpina Yuko sahihi
@geofreyrungwe9206
@geofreyrungwe9206 16 күн бұрын
Mimi sijajua unachoongelea ama kweli tuna madokta
@EliyaPaulo-uf6hh
@EliyaPaulo-uf6hh 18 күн бұрын
Kwendraaa kule mchumia tumbo weye
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 18 күн бұрын
Wewe ni chawa
@ALEXMARISA-qw6em
@ALEXMARISA-qw6em 16 күн бұрын
Chawa
@frankpeter4178
@frankpeter4178 10 күн бұрын
Watanzania sasahv tunachokozwa sana tena kwa nguvu...endeleeni tu
@victorsanga2229
@victorsanga2229 14 күн бұрын
Huyu Dr. ni wa mchongo aise.
@SAMWELKATIGIZU
@SAMWELKATIGIZU 18 күн бұрын
Tutabaki kwako Mungu
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 18 күн бұрын
Jambo la sukari halikua la dharula lili kua lina julikana Sasa ni kwenye Gazeti gani? Wizara ili Tangaza wenye uwezo wakuagiza sukari Waagize Au Ali wajua Yeye Mwenye ni Akina nani wana uwezo wakuagiza?
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 18 күн бұрын
Sawa baba doctor! Kuhusu Imani ya Bunge, huenda nimekuelewa maana na wewe inaonyesha unamashaka. Ngoja tusubiri huenda kama wewe sio msemaji wa serikali basi naamini spika na yeye atakuja na majibu yake ili sote tuelewe kinachoendelea.
@brighmmasy3646
@brighmmasy3646 18 күн бұрын
Wale wale
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 18 күн бұрын
Chawa la ccm likinyonga suti
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 16 күн бұрын
wewe hufai mnafiki mkubwa duniani hauko ahera hauko
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 18 күн бұрын
Mbona kama nduguye Professor Lipumba
@EdwardMayila
@EdwardMayila 15 күн бұрын
Bora tutunze maneno tujipe muda tusije kukurupuka na kuropoka hivi
@liannsambu7264
@liannsambu7264 14 күн бұрын
Kweli ata mie nimesema kuwa Ni kama kuna bif nyuma ya pazia ,na nimelisema mara kadhaa ,
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 18 күн бұрын
Kwa maelezo yako na Spika nimeona nikweli Mpina alitakiwa kwanza kwenda kwa spika
@Charlzlomo
@Charlzlomo 18 күн бұрын
Lengo sukari ishuke bei ndio maana ya kuagiza namkubali sana mpina lakini kwenye sukari,hapana viwanda vya ndani vilimgomea hadi magu kushusha bei 1800-2500 kurudi tena 1800 japo kuwa mimi situmii sukari
@sitamgeta7565
@sitamgeta7565 16 күн бұрын
Unatetea mpaka kampuni ya kuuza simu yenye mtaji wa milioni 5 kupewa kibari cha kuagiza sukari kwa matani ya mabilioni. Na kwanini vibari vilichelewa kutoka? Kwanini kiwanda cha kuzalisha sukari kipewe tani elfu 10 alafu kampuni ya kuuza simu ipewe tani elfu 60. Ufisadi wa wahindi na waarabu wa nchi hii.
@AbelJohn-tx4in
@AbelJohn-tx4in 18 күн бұрын
Sijui huyu jamaa anaongea kitu gani
@FrankSalehe-us7zg
@FrankSalehe-us7zg 15 күн бұрын
We mzeee nimbwa
@aneth520
@aneth520 15 күн бұрын
Weee ni doctor wa serikali ,sisi hautuhusu na nafikiri nafasi za uteuzi zimeisha umechelewa sana ,
@IsaacChiwinga
@IsaacChiwinga 15 күн бұрын
Anajichanganya hana msaada kwa wananchi, tatizo la Wahaya wanapenda kujisifia badala ya kuchambua issue husika.
@victorkamugisha2282
@victorkamugisha2282 15 күн бұрын
Msikilizeni Mwakipesile
@kisasamlangama674
@kisasamlangama674 18 күн бұрын
Sasa yeye mbona anai-preempty kamati ya bunge kwa kusema kuwa makampuni yale yanaweza kutumika kuagiza sugaring wakati wa dharura? Hamna DK hapo, walewaleeee!
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry 18 күн бұрын
Hiyo crases kwa taarifa yako iliandaliwa, kwa makusudi ili wahusika walenyeze dili zao. Si mara moja serikali ya ccm na watawala wake wanasababisha tatizo na kisha kuja kulitatua kwa nia ya kuwahadaa wananchi. Rejea la kikokotoo, kukopa fedha kwenye mifuko ya hifadhi na kisha kupakazia menejiment ya mifuko uzembe, nk. Msome vizuri Mpina babu.
@user-lh9xp4cr4h
@user-lh9xp4cr4h 18 күн бұрын
P ❤
@brighmmasy3646
@brighmmasy3646 18 күн бұрын
Wale wale hakuna tu
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 15 күн бұрын
Truth will not change when delivered to two or more audiences.The statement of the MP to the Parliament and the people does exact transparency and not offer any substantial variation of the truth.
@JemeslaizerJemeslaizer
@JemeslaizerJemeslaizer 18 күн бұрын
Tusubiri kauli ya bodies ya fisadi ushidwe mpina yuko sahihi. Huna jipya..
@hamzaabdallah8637
@hamzaabdallah8637 18 күн бұрын
Wahaya kweli huwa tuna akiri sana ulivyojibu ndo utaratibu
@kaburi920
@kaburi920 18 күн бұрын
Nadhani Spika yuko wrong katika Mh.Mpina kuuhabarisha wananchi maana Tulia ni spika kigeugeu sana na ni biased mwenye kuipendelea Serikali kuficha hujuma za serikali . Mpina anatakiwa kusifiwa na kulindwa na wananchi kuutoa uozo huo. Inawezekana hii ni sehemu kupata fedha za uchaguzi wa Oct.24 na mkuu wa Oct.25. Mpina unaungwaji mkono wa Watanzania wazalendo. Jamani wana ccm muwe mnatuenea huruma watanzania. Nimemsikilaza mwanzo mwisho Mh. Mpina na kwa mara kwanza ndani wanajitokeza akina Slaa, Tundu Lisa akina Heche akina Msigwa. Naamini '25 tutashuhudia mengi wakati Mama na chama mama wakituaga Watanzania na likizo ya milele. CHANGE IS ENAVITABLE COME 2025.
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie 18 күн бұрын
Mhaya chawa tu wew huna unachokijuwa unabwabwaja tu na kukodoa hiyo mimacho
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 15 күн бұрын
Asijichanganye kwa tulia hamwwesi
@user-jy4pm3hh9s
@user-jy4pm3hh9s 16 күн бұрын
Kumbe chizi hili nikajua linajielewa
@Godlucky-cw1mf
@Godlucky-cw1mf 17 күн бұрын
Mzee watanzania wasasa siyo wale waenzi zako wanajitambuwa mlalamikio katulia kmya
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 18 күн бұрын
Wewe Upo tofauti na Wahaya wenye akili wewe ni sifuri kabisa,
@ChristerKoku
@ChristerKoku 18 күн бұрын
Mchunguzi kasaidie kule kwetu Kagera kunayo shida sana.Itagite haki utaiona amani.
@AbelJohn-tx4in
@AbelJohn-tx4in 18 күн бұрын
Huyu nae ni wale wale, spika alishatutoa imani toka alivyotuvuruga kwenye sakata la bandari, hata sisi wananchi wengi wetu hatuna imani na spika
@FadhiliNyassi
@FadhiliNyassi 13 күн бұрын
Huyu mzee mjinga sana sasa hapa ameongea nini k wewe
@PartySekemi
@PartySekemi 16 күн бұрын
Huyu chawa kizee wa wapi shikamoo mpina
@scolachavala6724
@scolachavala6724 18 күн бұрын
Wanaotuchelewesha haka kamo, eti body language😂 sijui preposition mavi TU hiki kizee... Ebu kikojoe kikalale
@abdallavictory6723
@abdallavictory6723 17 күн бұрын
Mpina nilishindwa kumuelewa, wakati tunashida ya upungufu wa Sukari, watu wote walitaka Ifutwe sheria ya kulinda viwanda vya ndani wakati vinazalisha Sukari ambayo haitosherezi maitaji ya ndani ya nchi, Sasa Mh Mpina anataka TUENDELEHE KUWA NA UHABA WA SUKARI KULA MWAKA, Watu wenye uwezo wa kuagiza Sukari walete kuwe na Ushindani tupate unafuu wa Bei
@user-lx7ez3rq4c
@user-lx7ez3rq4c 18 күн бұрын
Satumbo mkubwa
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 13 күн бұрын
Tume iundwe kuchunguza, kuna wezi
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 17 күн бұрын
Huyu mtu anaisemea serikali na bunge kwani yeye ni nani independent you should do it for your family and your friends. It doesn’t matter umesomea nini..! Go apply for counselling CCM
@seifpandu
@seifpandu 18 күн бұрын
ulivosoma vyote havina maana vimezidiwa na njaa.
@gcrack067
@gcrack067 16 күн бұрын
Huyu anatumalizia bando tu.
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 18 күн бұрын
Watu wengi hawapendi kusikia ukweli kwa wale wanao wapenda mpina ni mshamba sana hasa baada ya kuvuliwa uwaziri ana hoja dhaifu yy amefilisi wavuvi wa samaki Kwa kuchoma Moto nyavu za wavuvi allkuwa anatembea rula kupima samaki
@florencemeza6540
@florencemeza6540 18 күн бұрын
Mbona kutumbua hivyo macho???
@yassinmuamba2526
@yassinmuamba2526 5 күн бұрын
Huyu mwehu kachambue mchele ndio kazi yako
@MwigaAdam
@MwigaAdam 16 күн бұрын
Huyu baba ni chawa pevu la CCM na atakufa macho wazi
@dorahy1579
@dorahy1579 16 күн бұрын
Mbona huduma I Urais badala ya hako ka Tundu Lissu
@victorsanga2229
@victorsanga2229 14 күн бұрын
bunge lilikuwa wazi na maigizo yalikuwa wazi;
@ezrarafael1249
@ezrarafael1249 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BenardBwakitare
@BenardBwakitare 18 күн бұрын
Wewe nakuzidi kuchambua uwezo wako ni wakawaida
@FadhiliNyassi
@FadhiliNyassi 13 күн бұрын
Mbona kama spika na yeye anausika maana wakati spika anamuomba mpina kuleta ushahidi watanzania tulikuwa tunaona live hakuna siri ila watu wa serikali wanatafuta pa kujificha
@user-sp2pp9yl8g
@user-sp2pp9yl8g 18 күн бұрын
HIZI NILAANA ZA WALE WATU WALIOMWAGIWA SAMAKI NA KUCHOMEWA NYAVU SASA AMEAMUA KUSHAMBULIA CCM NA MAWAZIRI WENZAKE
@shukraningetta2809
@shukraningetta2809 16 күн бұрын
Acha uongo ww
@AbuubakariKanuti
@AbuubakariKanuti 18 күн бұрын
Acha uchawa ujui kamauna angamiza taifa ww
@JonayMbelwa
@JonayMbelwa 18 күн бұрын
Mchunguz unatuangusha wahaya polojo nyingi ila Huna pointi
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 14 күн бұрын
Tometoka bandarini sasa tupo kwenye sukari I.tukitoka kwenye sikari tinaelekea wapi.majigambo majisifu kibao .eti Mama anaupiga mwingi..kumbe ni kejeli wanamzunguka mbuyu.wanahujunu nchi sana..jpm angekuwepo leo sijuwi ingekuwaje? Ufisadi wa waziiii wazi
@richardc270
@richardc270 14 күн бұрын
mzee unaongelea nini. msomi wa hovyo
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 18 күн бұрын
Huyu ni mchambuzi gani hatusaidii
@mabalanyerere1541
@mabalanyerere1541 18 күн бұрын
Wewe kalala yumban huna hoja mpina kaweka hoja ya ukweli au kwakua msema kwer hana haki kwa selekali tunasumbir majimbu Kama kwer kamat ya mbunge na kamati mpina yupo sahihi ?
@rashidimahmud8605
@rashidimahmud8605 18 күн бұрын
Hueleweki unatumalizia bando
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 18 күн бұрын
Kureta ulaiani tulimchagua lazima tumhoji mpina nimbunge amevumilia uwizi unaotumika ndani yabunge hatakiuongo nimsema kweri
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 18 күн бұрын
Mmmm uongo mtupu acheni siasa watanzania tumeshazoea tumelizika
@pastorjully3657
@pastorjully3657 18 күн бұрын
Kweli una akili
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 18 күн бұрын
Huna lolote wwe?
@gaspermliseh3722
@gaspermliseh3722 16 күн бұрын
Psychologists wote wamekuelewa!
@postiveaddition4362
@postiveaddition4362 18 күн бұрын
NEGATIVE
@JoshuakaruJoshu-pk3es
@JoshuakaruJoshu-pk3es 14 күн бұрын
Mpina yukosawa ayamajitu tangu magofuli amekufa mamboya ovyonimengi tunayaona arafu awajamaa wanaisi sisiwachini atufatilii etikiongozi anakumbatia wizi spika watanzania atumuerewi analindavibaka
@aneth520
@aneth520 15 күн бұрын
Wasomi wa Nchi hii hamna msaada wowote, kwa wananchi
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 18 күн бұрын
Vipi huyu mbona macho yake kama anatumia dawa za wendawazimu
@elbattawy2864
@elbattawy2864 14 күн бұрын
huyu ni mchunguzi wa nini? Mpina ameweka vidhibiti juu ya meza, Bashe amewaambia watanzania kwamba sukari ilifika hadi kuuzwa Tshs 10,000/= kwa kg1 jambo ambalo halitaki tochi ni uongoo uliopitiliza, nadhan Kamati iendelee kuchambua, bashe huenda ana maslahi binafsi kwenye huo mradi wa kuagiza sukari toka nje
@felixchale9691
@felixchale9691 16 күн бұрын
Uyu mzee anamatizo kwa ukali inapo isha wewe unakosaje kujua kuwa itaisha lini acha ujinga
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 16 күн бұрын
Hili Kupe, Na Likunguni Linaloitwa Dr. Muchunguzi ni Parasite la Kisiasa. Ni Kama Mzoga wa Nguruwe, Ni Takataka tu.
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 13 күн бұрын
Funga domo lako
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 18 күн бұрын
Wewe unaongea nini ujui kitu mchumia tumbo tu au unatafuta uteuzi nini.
@DavidMutiba-hr3vo
@DavidMutiba-hr3vo 18 күн бұрын
Dr.mchunguzi.naona.kama.uko.biased.Huna la maana.
@drallan6879
@drallan6879 13 күн бұрын
sasa unamsifu speaker aliyeuza bandari?muchunguzi huna jipya ni CCM inayo tengeneza tume fake isiyo huru ya uchaguzi
@shukraningetta2809
@shukraningetta2809 16 күн бұрын
Umwachie sipika toka lin sipika akawawajibisha cm wewe
@GervasGerasMashimba-zw3gn
@GervasGerasMashimba-zw3gn 18 күн бұрын
Huna lolote unatupigia kelele tu hakuna mkate mgumu mbele ya chai
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 15 күн бұрын
Na ww acha properganda
@postiveaddition4362
@postiveaddition4362 18 күн бұрын
Negative - - -
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 18 күн бұрын
Wewe Tuna ma
@emiltonmartin4399
@emiltonmartin4399 17 күн бұрын
wewe katafute uteuzi mbele Wacha kutueleza ujinga
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 18 күн бұрын
kwenda zako uko wewe ni zuzu tu unasulia wenzio wanye na we ndio ukaalishe
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 14 күн бұрын
Mzee acha uchawa
@user-lx7ez3rq4c
@user-lx7ez3rq4c 18 күн бұрын
Satumbo mkubwa
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 18 күн бұрын
Kureta ulaiani tulimchagua lazima tumhoji mpina nimbunge amevumilia uwizi unaotumika ndani yabunge hatakiuongo nimsema kweri
Me: Don't cross there's cars coming
00:16
LOL
Рет қаралды 10 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,9 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 94 МЛН
KIMEITIKA KENYA, RUTO ATANGAZA MAAMUZI MAGUMU/KUHUSU KUJIUZULU
15:41
I Almost Crushed The Poor Cockroach😵🥲🥺
0:20
Giggle Jiggle
Рет қаралды 8 МЛН
Мама хитрая😂​⁠​⁠@ladymilanapap4610
0:16
МишАня
Рет қаралды 1,9 МЛН
Sion princess funny Haribo Donuts 🍊🚆😅🤣
0:35
SION /紫音
Рет қаралды 19 МЛН
Мама хитрая😂​⁠​⁠@ladymilanapap4610
0:16
МишАня
Рет қаралды 1,9 МЛН