Fière dé toi mon king ❤❤❤❤ respect mr champagne❤❤❤
@user-dl7eq8dx9s11 ай бұрын
Hahahah Mr champagne les vrais tipy tutoshe haya kabisa Bukavu hatu msanii wakuku fikia tena super Brother félicitations
@gersonissa9124 Жыл бұрын
Like from uvira 🇨🇩✊
@mzarendo.com9624 Жыл бұрын
Huyu jamaa huwa ana nivunja sana mbavu na kiswahiri chake cha Congo na Burundi. Halafu ni muwazi sana hafichi hisia zake. Na mwisho inabidi awe Ze komedi atatoboa sana tu... Big up sana Mr. Champagne.
@ElvisDusenge-wx5bh8 ай бұрын
Mista champagne another step go up ma Bro......🇧🇮
@shineboynumberone9094 Жыл бұрын
Nakubari sana mr Champagne
@stanybigirimana9340 Жыл бұрын
Mr champagne uko vizur huk kwetu na walembo tunao kibao unatafuta nin kwa kajala km sio kiki unatuaibisha bwana ndungu tafuta hela wanawake watajileta Dida amefunguka kakuchana mapenz kitu gani wabongo hawana mapenzi bro niulize mimi😂😂achakumaliz pesa zako Dar
@keymulume Жыл бұрын
Interview wasafi good mon grand
@wisekingvenuste Жыл бұрын
Ku keleketwa ku umiya champagne noma Sana
@gogombabazi3059 Жыл бұрын
Tu nous fait rire bcp 😂😂😂 tunakupenda 😍❤️
@burundishallsmile1day109 Жыл бұрын
😅😅Mr Champagne s Crazy Boy! Eti Babangu akisikiya Mambo ya Nyumba sindo Lupango(nyumba ya familia)itaenda 👍🏽🙂
@kingjujungoy7862 Жыл бұрын
Dogo champagne big up boy uva toujour big up bro
@cleophasaganze32547 ай бұрын
Naona Warundi wana lalamika sana, eti Mr champagne ni mkongo. Ndiyo ni mkongo Ila Hana nafasi ya kupenya kimziki hapa Congo 🇨🇩 sababu Congo 🇨🇩 ni nchi nene sana Na inavipaji vingi sana ndo Maana aliamuwa ajifiche Burundi nchi maskini sana bila vipaji. Wa Congo 🇨🇩 wote ambao hawana uwezo ya kupenya kimziki ao kisoka wanakimbiliaka Burundi ao Rwanda sababu hizo nchi hazina vijana wenye vipaji vya juu, Na ndo Maana Hao wakina champagne wanaibuka wasanii wakubwa tena wakutegemewa huko.
@nicodemcharo250 Жыл бұрын
Courage vraiment mon frère
@babutchombe2246 Жыл бұрын
Nc sn jemb letu ya Burundi 🇧🇮
@barutwanayoamani2464 Жыл бұрын
Nakupenda sana mista
@asmannyangusu5141 Жыл бұрын
Msani bora ivi ni champaigne burundi Uyumwaka niwa champaigne 2023 Big up bro Asman Nyangusu Burundi to Germany
@jadotkalita5600 Жыл бұрын
Congratulation
@reemaalwad3ani616 Жыл бұрын
Champagne oui oui 😀😀😀😀😀😀
@gerardmanirema4621 Жыл бұрын
Big up Mzee ,
@cademuhali9616 Жыл бұрын
Vrai congolais 🇨🇩 exactement
@patrickhassan194 Жыл бұрын
Mkongo 100%
@mediatriceuwimana5389 Жыл бұрын
Mapenzi hela ndosabuni yamoyo
@GuelordMaombi5 ай бұрын
Yani huyu jamaa ni mshamba sana
@nyampingazulphaty6954 Жыл бұрын
Lokole kampata wasawa yake .kkkkk I like this interview
@patrickhassan194 Жыл бұрын
Mr Champaign ongea kweli, we Mkongo na si Mrundi, auna hata1% ya ki swahili ya Burundi, watangazaji nawaombeni mmoja wenu amuombe Mr champagne aongeye Kirundi
@francisniyokindi6737 Жыл бұрын
Champanye 💞🤣🤣🤣🤣nakuona uko unatafuta kiki kwa khajala 🤣🤣🤣🤣🤣
@espoirsaidibullionvan Жыл бұрын
Mr champagne 🇨🇩 tu es vraiment terrible 😁
@anicetnkorerimana4604 Жыл бұрын
Big up ma bro umetangaza inchi yako we ndo msani
@chrisniyomukiza1684 Жыл бұрын
Nchi gani?
@fatimasaid476 Жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣🤣yani jamani nimecheka sana
@youngboys4748 Жыл бұрын
Champagne mwenyeweye
@KimementocomedyАй бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🎶🎶mista champagne
@zebedemirambi3067 Жыл бұрын
Congolais de chez nous 🤣❤️🇨🇩
@stevenstevenahishakiye12 Жыл бұрын
Ndumiw ahubwo uyomujama izo hit arondera abanj kunyonga numva ntangay Sana ahubwo sumurundi ngira nikindi kintu
@marcniyogusenga4108 Жыл бұрын
Big up bro
@DeoMalungu5 ай бұрын
Uyo ni mcongo wa Burundi siowakwetu congo anahibisha huyo
@shumesaalhabsi1722 Жыл бұрын
Dida mpe salam chp mwambie namkubari saaaaana
@RajboyMusic-sc7uz7 ай бұрын
Mista champagne je suis fiére de toi?
@OmanOman-nz2bg Жыл бұрын
😂😂😂hhh ewe Mista Champagne yani unajua kutu furaisha😅😅😅
@saoudandagano146 Жыл бұрын
🤣🤣🤣Mr Champagne on t'aime ,tu ns fait rire😆😆😘
@shadyaloaf8694 Жыл бұрын
Mapenzi sio pesa na kupata mwanaume anae sema ukweli km hato mpa pesa anasema kipato chake hajisifu anaupendo wa kweli angalia huyo alomuhonga magari yupo nae kwa hiyo mapenz ya kweli ndo mazuri
@anajoycejoseph3313 Жыл бұрын
Najiona kama mimi ndo Kajara niko namcheka huyo kaka eti maneno matamu kwendraaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani murundi wa mkoa gani huyo pimbi eti watu wananjaaa
@amanisalumumercus7308 Жыл бұрын
Dida jambo vipi hali zenu na lokole Sisi wa kongomani tuna mwanamke anaejiamini na kupigana kwa kufanya biashara kwa sababu ka mume hayuko aendeleye kulea watoto bila kuwa na tatizo
Ananyota lakini hajui kiswahili Nani atasikiliza nyimbo zake
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
Mmhhh
@dunixardamagomez600 Жыл бұрын
Unarudi tna kumuongelea da nono subiri askie hii interview utajua hujui 😂😂
@shumesaalhabsi1722 Жыл бұрын
Chp nakubali saaaaana
@rhma6073 Жыл бұрын
Juma ni mbea lkn katulia
@jamillahkheir6536 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂da dida unavyogunaa
@muzerebienvenu1027 Жыл бұрын
Papa kajala uyo mujimuaciye
@idrissakeidyla-bq6pq Жыл бұрын
Nimeon huyo jamaa ni choko Zaid ya machoko
@saidasaosao9516 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@angecarine Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮👏👏🥰
@ashaashaa1959 Жыл бұрын
Imenibidinicheke 🤣🤣🤣🤣🤣
@SamirBSam Жыл бұрын
Nitapona by Sameer Classic (Official video ) / Sameer classic kzbin.info/www/bejne/mmbdqoKjfdCEqas New video in town. kajala remix
@jaychadras1823 Жыл бұрын
Sema kwel kilichonichekeswa maongezi yake tu buy the way wachache mno wanaweza kukubali kuongea na kipaji chini kama hiki noma aise duuuh kaka tafta mzigo kajibebee makalio hayo konde kakwachia nafasi ipo😂😂😂
@onlyGodcanhelp Жыл бұрын
Omg 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mista Champagne ni balaaaaaa Iyi interview ni kali sana 😂😂😂😂😂