Katika maadhimisho ya kupiga vita dawa za kulevya 2024
Пікірлер: 38
@theopisterjovent34833 күн бұрын
Bwana wa Majeshi Mungu Mkuu uishiye Milele tunakuomba uwashe taa yako isiyozimika ndani ya mioyo ya watoto wetu wakujue wewe kuwa unatosha🙏🙏🙏
@estamarodaofficialtz52336 сағат бұрын
Asante mungu mkwakulitetea taifa la Tz mungu ibariki tanzania bariki viongozi waTz
@joycehaule9717Күн бұрын
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
@ErickLusabaraКүн бұрын
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
@user-qf7tc9sw6kКүн бұрын
Touching song, moyo unatetemeka
@shamiramsoke13653 күн бұрын
BWANA YESU ULIE KETI MBNGUNI KONE KITI CHA ENZI NAKUOMBA UWASAIDIE WATOTO WETU
@fintanchavala21452 күн бұрын
Well organized Hongereni kwa ujumbe murua
@stopazmusictz4201Күн бұрын
❤❤ kwa woteeee
@joycehaule9717Күн бұрын
Mtoto wa nyoka ni nyoka wallah, Mrisho hongera
@RASTAMSHAMBAH6 сағат бұрын
❤
@FestoAbiud12 сағат бұрын
❤❤❤ that's true
@kelvinryoba77959 сағат бұрын
😂😂😂safi sanaaaa
@user-sp4jr4vw6t3 күн бұрын
Nimeipenda hii jamani tumewapoteza vjana wetu mi niko kjjni zamani vjana wa kiume na kike walikuwa na umoja wao asub na mapema saa 11 waliwahi mashambani zamu kwa zamu kulima na kupalilia leo watoto wetu wanawahi kwenye magenge ya dawa za kulevye jamani tufanye je tuwanusuru watoto.
@Tatiatoofficial2 күн бұрын
😢😢😢😢
@shakiramshule3423 күн бұрын
❤❤❤❤❤ amina
@joycehaule9717Күн бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
@fahmiabdi75398 күн бұрын
Ujumbe unasikitisha na ufahmuka na najikuta naliaaaa
@kalamuyangu18 күн бұрын
Mbegu bora iliyopandwa juu ya mtoto huyu yapaswa kulindwa kwa gharama kubwa.
@DavidAnthony-bk1lmКүн бұрын
Ni kweli madawa ya kulevya ni hatari Kwa taifa letu
@boazikibuyu74572 күн бұрын
Wimbo bora
@TonnyMaster2 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢R. I. P marehemu aliekamatwa na mzigo
@judithmwakibete30365 күн бұрын
Kwa yo yote aliesikiliza ujumbe huu Ana nafasi ya kusemezana na kijana wa jinsia yote juu ya janga hili
@SophiaNdalawa4 күн бұрын
Ujumbe kwa vijana wote wa kitanzania
@user-jr5pd4mx2x3 күн бұрын
😂daaah wimbowauchungusana ukikaa kwamakini Italian sana wengine wasiojua watakushangaa
@danielamosi68713 күн бұрын
Hili janga kuisha ni pale mtu mmoja mmoja aamue kutotumia
@basilisamsaka8469Күн бұрын
Wakati magwiji wauza unga wametuliaaa hawakamatwi
@danielamosi68713 күн бұрын
Hasira karii
@user-xt5du2hx8x2 күн бұрын
One six missing
@user-jr5pd4mx2x3 күн бұрын
Inaumiza lakini ndoomaishahalisi ila mungupekee nisuluhisho yahayamamboyote. Naitwa Benedict kutokakibaha mailimoja.