Mmmmmmh mim nimepitia hii ewe Allah 😭 mjomb shukurn
@HappySanga-s6u6 ай бұрын
Nimekumbuka enzi za uhai wa mamangu ss wakati wadogo alipitia mambo mengi nimelia sna😢😢😢
@lilianeerica33186 ай бұрын
Pole😢😢❤❤❤❤
@amanafi12886 ай бұрын
Good idea Gwiji Mrisho... Umefunikaa Kongolee kwako... Duuuu... Mlio na Mamlaka tumieni vipaji mlivonavyo kutuletea mapinduzi ya Kweli ktk Nishati.
@saidbarawa9096Ай бұрын
Mrisho is genius
@saidbarawa9096Ай бұрын
Nyimbo zake zina mafunzo tosha mungu amlinde
@Hamisi-nn1gw6 ай бұрын
Fundi sana Mjomba mpoto
@PaulinaSemindu-ob3de6 ай бұрын
Wanaume wanahuruma sana😂 etihuyo mama kapigwa kikofi wameenda kumpa els jmn
@MichaelMyumbo6 ай бұрын
Aisee hii imeniumiza imenigusa usimumuumize wa kumtesa mwanamke yeyote
@mbatatakiazi16786 ай бұрын
Mh. Mpango ameshindwa kumuangalia mama muigizaji.
@saidichitopela6 ай бұрын
Mjomba upewe mauwa yako🎉🎉🎉.ila mbona GS ikojuu sana.uku kwetu ukiwa na mtungi wako tunanunua kg.14 Kwa 25000
@modesterchristophermodchri42336 ай бұрын
Yani wa mama tuna itwa mbwa mavi takataka kila aina yama tusi
@salummussa11396 ай бұрын
Poleni
@issashekh47266 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉
@aaminaasljbgbvf7456 ай бұрын
Umenikumbusha mbali sana siwezi kusahau mimi
@HappynesNickson2 ай бұрын
Yan hao wote waliokaa hapo asilimia 98 wako kama huyo baba usione wamevalia suti utafikiri wataalabu kumbe walishakuw hvhv
@tatually1366Ай бұрын
🎉 haongera ♥️♥️♥️
@MkomboziSailowa6 ай бұрын
hii hatar sana japo nam nilihusika lakn naisikiliza hapa naona hisia nikal sana 😢😢
@AgnessAgness-w6s6 ай бұрын
Wanawekentunapitia magumu megisana 😢😢
@justineonkeo33266 ай бұрын
Mjomba🎉
@jamilakimaro99935 ай бұрын
Malaya ni neno jepesi sana kwa waume zetu innalillah wainnaillaihi rajiun
@MsNajma-e6e6 ай бұрын
Maisha ya tz hatufanani mjin wanaishi vingine vijijin tunaishi kivingine nchi moja maish tofaunti,,,ingekuwa kama nchi ya oman vijijin kote kunaumeme maji gesi hospital mzuri supermarket zimejaha viongozi wanatakiwa wajifuze kubadrisha maisha maji vijijin tabu mbaka leo watu wanakunywa kwenye mito
Mpoto uracari uwambere 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na Burundi tunakupenda sana
@FIFAWORLD-s6v6 ай бұрын
Sasa wafanyeje vijijini wakati ndio maisha Yetu haya hata gasi hawaijui ikoje wazazi wetu😢😢
@DazuuMwajuma6 ай бұрын
Mjomba umeweza
@davidndaha96076 ай бұрын
Mrisho mbona siku ya wanaume hauigizi wala haina nguvu hizo!!
@JoelHokolaАй бұрын
❤🎉😂
@alawi67962 ай бұрын
Hya amesha tuliwa anaijaza na nn hyo nishati bdo ttzo lipo watu wanataka ajira ndy matattzo yatakwisha
@AishaMiraji-l8s6 ай бұрын
Kwanini nimecherewa kuona ujumbe wa mana
@mhifadhi7976 ай бұрын
Ipo siku wanaume tutachapwa viboko na wanawake ngoja muda ufike
@marymanoni55366 ай бұрын
Ulitaka unyanyasaji uwendelee
@victaboy72736 ай бұрын
Hata naliona hilo
@zainabuali99156 ай бұрын
Mhhh umefik mbali
@zainabuali99156 ай бұрын
Mhhhh umefik mbali
@chriskay006kenya56 ай бұрын
We mkali
@AffectionateBurger-vk9tt6 ай бұрын
❤❤❤❤😅
@eliyapeter86796 ай бұрын
😭
@elimishanyamoga67976 ай бұрын
Hawa wanawake mnawapa viburi Sana huko mijini mnatumia gasi huku kwetu hata umeme hakuna mnataka mwanamke wa huku asifate kuni shambani kwamba tunamtesa??? Any way nisije nikaonekana naongea Kama Sina uchungu wa MAISHA ya wanawake lkn uhalisia cyo huo
@mercymichael4766 ай бұрын
Umeangalia lakini hukuelewa.Ni kwamba ameleta kuni,hujui ni umbali gani amepata hizo kuni,ni mjamzito bado unamlaumu bila kuona alivyojitahidi.
@zainabuali99156 ай бұрын
Faham vxur ujumbe uliokusudiwa, shida sio kukat kuni shida ni kwamb lich ya juhudi anazozifanya mama kutafuta kuni ilhali anaujauzito lkn bado anaonekan mzembe na kutupiwa matus pmoj na kupigwa hiyo sio Sawa. Nadhan utkuw umeelewa