BALAA LA MRISHO MPOTO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

  Рет қаралды 57,449

MrishoMpoto

MrishoMpoto

Күн бұрын

kupitia wizara ya nishati iliotuamini na kutukabidhi Elimu burudan kwenye siku ya wan awake duniani

Пікірлер: 59
@simonkaaya1220
@simonkaaya1220 22 күн бұрын
Hongereni Kwa Shairi lililosheheni Ujumbe Mzurii Kwa jamii.
@adventinaanthony8497
@adventinaanthony8497 6 ай бұрын
Inanikumbusha mbali dadaangu wakati yupo kwake ameenda kutafuta kuni aliuwawa kikatili na watu wasiojulikana😢😢,mshukuru Mungu mkeo hata kurudi salama
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 6 ай бұрын
Pole sana dada😢😢😢
@ibrahimuimaniofficial
@ibrahimuimaniofficial 2 ай бұрын
Hongera mjomba kwa kazi njema Mungu akubariki sana 🎉🎉🎉
@BoniphaceMathias-ek5gl
@BoniphaceMathias-ek5gl 6 ай бұрын
Safi sana mjomba kwa kuelimisha watanzania
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 6 ай бұрын
Mambo siaya yenye mafunzo yenyeusika maisha yetu ilakunawasani nyimbo zamatusi tuuu
@lilianpuka218
@lilianpuka218 6 ай бұрын
Mjomba chukua maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤
@jamilakimaro9993
@jamilakimaro9993 5 ай бұрын
Innalillah wainnaillaihi rajiun. Wamama tunashida.....mmh. Inshaallah M/mungu yupo atatulipa mbele ya safari.
@Aisha-h1t4e
@Aisha-h1t4e 6 ай бұрын
Mmmmmmh mim nimepitia hii ewe Allah 😭 mjomb shukurn
@HappySanga-s6u
@HappySanga-s6u 6 ай бұрын
Nimekumbuka enzi za uhai wa mamangu ss wakati wadogo alipitia mambo mengi nimelia sna😢😢😢
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 6 ай бұрын
Pole😢😢❤❤❤❤
@amanafi1288
@amanafi1288 6 ай бұрын
Good idea Gwiji Mrisho... Umefunikaa Kongolee kwako... Duuuu... Mlio na Mamlaka tumieni vipaji mlivonavyo kutuletea mapinduzi ya Kweli ktk Nishati.
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 Ай бұрын
Mrisho is genius
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 Ай бұрын
Nyimbo zake zina mafunzo tosha mungu amlinde
@Hamisi-nn1gw
@Hamisi-nn1gw 6 ай бұрын
Fundi sana Mjomba mpoto
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 6 ай бұрын
Wanaume wanahuruma sana😂 etihuyo mama kapigwa kikofi wameenda kumpa els jmn
@MichaelMyumbo
@MichaelMyumbo 6 ай бұрын
Aisee hii imeniumiza imenigusa usimumuumize wa kumtesa mwanamke yeyote
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 6 ай бұрын
Mh. Mpango ameshindwa kumuangalia mama muigizaji.
@saidichitopela
@saidichitopela 6 ай бұрын
Mjomba upewe mauwa yako🎉🎉🎉.ila mbona GS ikojuu sana.uku kwetu ukiwa na mtungi wako tunanunua kg.14 Kwa 25000
@modesterchristophermodchri4233
@modesterchristophermodchri4233 6 ай бұрын
Yani wa mama tuna itwa mbwa mavi takataka kila aina yama tusi
@salummussa1139
@salummussa1139 6 ай бұрын
Poleni
@issashekh4726
@issashekh4726 6 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 6 ай бұрын
Umenikumbusha mbali sana siwezi kusahau mimi
@HappynesNickson
@HappynesNickson 2 ай бұрын
Yan hao wote waliokaa hapo asilimia 98 wako kama huyo baba usione wamevalia suti utafikiri wataalabu kumbe walishakuw hvhv
@tatually1366
@tatually1366 Ай бұрын
🎉 haongera ♥️♥️♥️
@MkomboziSailowa
@MkomboziSailowa 6 ай бұрын
hii hatar sana japo nam nilihusika lakn naisikiliza hapa naona hisia nikal sana 😢😢
@AgnessAgness-w6s
@AgnessAgness-w6s 6 ай бұрын
Wanawekentunapitia magumu megisana 😢😢
@justineonkeo3326
@justineonkeo3326 6 ай бұрын
Mjomba🎉
@jamilakimaro9993
@jamilakimaro9993 5 ай бұрын
Malaya ni neno jepesi sana kwa waume zetu innalillah wainnaillaihi rajiun
@MsNajma-e6e
@MsNajma-e6e 6 ай бұрын
Maisha ya tz hatufanani mjin wanaishi vingine vijijin tunaishi kivingine nchi moja maish tofaunti,,,ingekuwa kama nchi ya oman vijijin kote kunaumeme maji gesi hospital mzuri supermarket zimejaha viongozi wanatakiwa wajifuze kubadrisha maisha maji vijijin tabu mbaka leo watu wanakunywa kwenye mito
@gladyssembojas5308
@gladyssembojas5308 6 ай бұрын
Duh! Mrisho 🎉🎉
@idrissaabubakari859
@idrissaabubakari859 6 ай бұрын
Camera 🔥
@sisifaty9183
@sisifaty9183 6 ай бұрын
Umenikumbusha mengi
@ericamwkyokile4681
@ericamwkyokile4681 6 ай бұрын
Nimeshindwa kuzuia machozi.Nimekumbuka mengi.Mjomba umejua kuniliza
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 ай бұрын
Niuchungu sana😢😢
@suleimansiri1359
@suleimansiri1359 19 күн бұрын
Nikweli vijijini akuna sitima uko swa mjomba
@SalmaIsmail-i8d
@SalmaIsmail-i8d 3 ай бұрын
Mpoto uracari uwambere 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na Burundi tunakupenda sana
@FIFAWORLD-s6v
@FIFAWORLD-s6v 6 ай бұрын
Sasa wafanyeje vijijini wakati ndio maisha Yetu haya hata gasi hawaijui ikoje wazazi wetu😢😢
@DazuuMwajuma
@DazuuMwajuma 6 ай бұрын
Mjomba umeweza
@davidndaha9607
@davidndaha9607 6 ай бұрын
Mrisho mbona siku ya wanaume hauigizi wala haina nguvu hizo!!
@JoelHokola
@JoelHokola Ай бұрын
❤🎉😂
@alawi6796
@alawi6796 2 ай бұрын
Hya amesha tuliwa anaijaza na nn hyo nishati bdo ttzo lipo watu wanataka ajira ndy matattzo yatakwisha
@AishaMiraji-l8s
@AishaMiraji-l8s 6 ай бұрын
Kwanini nimecherewa kuona ujumbe wa mana
@mhifadhi797
@mhifadhi797 6 ай бұрын
Ipo siku wanaume tutachapwa viboko na wanawake ngoja muda ufike
@marymanoni5536
@marymanoni5536 6 ай бұрын
Ulitaka unyanyasaji uwendelee
@victaboy7273
@victaboy7273 6 ай бұрын
Hata naliona hilo
@zainabuali9915
@zainabuali9915 6 ай бұрын
Mhhh umefik mbali
@zainabuali9915
@zainabuali9915 6 ай бұрын
Mhhhh umefik mbali
@chriskay006kenya5
@chriskay006kenya5 6 ай бұрын
We mkali
@AffectionateBurger-vk9tt
@AffectionateBurger-vk9tt 6 ай бұрын
❤❤❤❤😅
@eliyapeter8679
@eliyapeter8679 6 ай бұрын
😭
@elimishanyamoga6797
@elimishanyamoga6797 6 ай бұрын
Hawa wanawake mnawapa viburi Sana huko mijini mnatumia gasi huku kwetu hata umeme hakuna mnataka mwanamke wa huku asifate kuni shambani kwamba tunamtesa??? Any way nisije nikaonekana naongea Kama Sina uchungu wa MAISHA ya wanawake lkn uhalisia cyo huo
@mercymichael476
@mercymichael476 6 ай бұрын
Umeangalia lakini hukuelewa.Ni kwamba ameleta kuni,hujui ni umbali gani amepata hizo kuni,ni mjamzito bado unamlaumu bila kuona alivyojitahidi.
@zainabuali9915
@zainabuali9915 6 ай бұрын
Faham vxur ujumbe uliokusudiwa, shida sio kukat kuni shida ni kwamb lich ya juhudi anazozifanya mama kutafuta kuni ilhali anaujauzito lkn bado anaonekan mzembe na kutupiwa matus pmoj na kupigwa hiyo sio Sawa. Nadhan utkuw umeelewa
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 6 ай бұрын
Huji nini anaongea sikiliza na uelewe
@jacobotieno3220
@jacobotieno3220 6 ай бұрын
Not impressive
@jamilakimaro9993
@jamilakimaro9993 5 ай бұрын
Mjomba🎉🎉
@justineonkeo3326
@justineonkeo3326 6 ай бұрын
Mjomba🎉
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
MrishoMpoto
Рет қаралды 197 М.
MRISHO MPOTO AMNYANYUA RAIS BILA UWOGA
10:44
MrishoMpoto
Рет қаралды 7 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 83 МЛН
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 72 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Ngasa Tv
Рет қаралды 176 М.
Nilijua HARMONIZE ni Mtoto Laini Laini Tu - Mrisho Mpoto
18:22
TimesFMTZ
Рет қаралды 338 М.
Mch. HANANJA, WANAUME WENGI HAWAPENDI SEMINA ZA NDOA 🤣🤣🤣
33:49
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 442 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 83 МЛН