MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI- ARUSHA
Пікірлер: 236
@goragora920411 ай бұрын
Allah atuongeze wanawake wote ambao tumeachwaa na watoto allah atujaaliye ujasiri wakuwe katika maadili mema amiin
@lucylyale716911 ай бұрын
Ee mwenyez Mungu tutie nguvu wamama na vijana wetu roho mtakatifu atembee nasi daima,,🙏🙏
@user-jm7ni3mt1y11 ай бұрын
Nimejikuta nalia kwauchung Ee mw/mungu waongoze watoto wetu kwenye njia salama😭😭😭😭
@zenakioga656711 ай бұрын
Asante sn mjomba kweli hali ni mbaya sn kwa watt wetu Taifa la kesho Mungu ibaliki Tanzania Mungu wabaliki watt wetu inshaallah
@clariszawadi201010 ай бұрын
😭😭😭😭 EE mwenyewe Mungu tusaidie,na utulindie watoto wetu na jamii zetu
@MagrethZuberi-fl7wl11 ай бұрын
Eee Mwenyezi Mungu naomba nijalie hekma ndan ya mtoto wangu wa pekee Dav muepushe na vitendo vyote vibaya 😢😢😢
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Mwili unakuwa hapa akili ipo ulaya 😂😂😂 daaah
@amosagostinhocoque8785 Жыл бұрын
Nimenda sana kwa kazi unae fanya. Natokeya Moçambique-marrupa. Naita Amós A. Coque.
@amosagostinhocoque8785 Жыл бұрын
Nimependa*
@bonifasekitomari-ch7en Жыл бұрын
Uje uone ukuu ulayaa
@AlfredAloyce-wh5nq11 ай бұрын
Daaa Asante kwa ujumbe mzuri sana Mungu akuweke miaka mingi duniani
@SashaRasheed-mu6ru11 ай бұрын
As a single mama nimeskia uchungu mnoooo nimelia jinsi tunavyopata shida kulea watoto wetu tunatafuta kwa uchungu leo afu mtoto anakuwa teja😭😭😭
@salimomari15010 ай бұрын
Am single too.. Tujuane
@lovenessfrancis34710 ай бұрын
I'm not single Ila poleni saana wamama maana kulea mtt ukiwa peke yako kiukweli nikazi saana Mungu awatie nguvu
@justamakena972810 ай бұрын
Am single too its painful akh kulea mtoi pekee😢
@macaroeliya46098 ай бұрын
Mimi ni single mother. Nimelia sana. Mungu tusaidie wanawake tunaolea watoto wenyewe. Tulindie watoto wetu
@salimamasanja46598 ай бұрын
Hongera Sana
@ceciliakilian38099 ай бұрын
😢 daaah Mungu tutetee sisi na vizazi vyetu
@makokhasammy Жыл бұрын
Your creativity is a rare talent
@user-hg4vt7sp1e11 ай бұрын
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri sana
@margrethjonesmshana8555 Жыл бұрын
Nimeliaaà MWENYEZi MUNGU tusaidie na vizazi vyetu,, wananchi tuheshimu tuu mamlaka , ,tumuheshi na MWENYEZi MUNGU yeye ndio fundi wa klea watoto.
@josephngairo234211 ай бұрын
Hongera sana brother mpoto kwa kazi nzuri elimu nzuri sana hii.
@makokhasammy Жыл бұрын
Its an honor to have lived during Mrishos time, we get to experience the oratory eloquenc and creativity of long gone athenian socratic literature
@zainabuyassini309511 ай бұрын
Mama samia tunakupenda sana piga kazi. Mungu anakusimamia
@AtufigwegeMwakalibule-pv3nv Жыл бұрын
Aisee mungu tusaidie sisi yatima
@benedictkaingu85988 ай бұрын
Wow! Ushauri wa juu sana
@PreciousMremaro-xg6nk11 ай бұрын
Mungu akujalie akupeni maisha marefu🙏🙏🙏🙏
@gracenakamba60535 ай бұрын
Asante kwautututetea mungu akubariki
@allymachusi106611 ай бұрын
Hii Safi Sana mungu azidi kukupa uhai mrisho mpoto uzidi kutupa elimu
@shemela876911 ай бұрын
Ahsante mzee wng mpoto kazi nzuri sana.
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Жыл бұрын
tanzania yangu rais wangu tunakupenda sana
@zawaditito5111 Жыл бұрын
Tuwaombee vijana wetu majaribu yaliyoko mbele yao ni makubwa sana, ujumbe umefika kuteleza siyo kuanguka tusikate tamaa nafasi za kuwatoa huko bado zipo Mpoto umeeleweka baba 🔥🔥🔥
@nathanmwibela59179 ай бұрын
Yesu saidia watt wetu wanakutana na mengi njian
@pamelambuya879611 ай бұрын
Nimeliaaa hakika tupo wengi tunayo pitia Mungu tusaidie
@user-di8xx2um2y Жыл бұрын
Mungu awasaidie watot wetu
@frenkmhule585311 ай бұрын
Hakika yaani nalia jamani huyu kaka anajua anachokifanya tanzania. Viongozi wanakula maisha watoto wanapotea
@zainabuyassini309511 ай бұрын
Asante Kwa ujumbe mzuri mungu atusaodie na wabaya wa vijana wetu
@AbdallahYanga-yu2or11 ай бұрын
Mama Samia mashallah mungu akuweke
@johnbenjamin6065 ай бұрын
A Big lesson much love mrisho mpoto
@user-ex6kk5jb4y10 ай бұрын
Mungu ibaliki Africa 🌍 mungu ibaliki Tanzania tunakutegemea mama Samia Kwa watoto wetu asa sisi wakina mama
Wimbo mzuri unamaudhui .ilatumekwisha mrisho mtoto ameanza mafunzo kulidhi mikoba ya mpoto jamaa hajawahi kuikosoa serikali ikikosea yeyefani take ni kusifia tu
@Wami-Sababisho Жыл бұрын
Hongera Mjomba,ila vitaa hii ngumu hata hao walioelekea kiweza hata kwa aslimia kadhaa walipigwa vita na kuonekana hawafai. # vita hiyo ni ngumu zaidi ya Ugumu unaoujua. KIKUBWA MAOKOTO😂😂😂😂
@LumolaSteven11 ай бұрын
Mpoto ni Chawa Sana. Ubunifu mzuri sana ila Mpoto kaleta Uchawa kuanza kutoa sifa too much.
@zeddymourice424911 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣hata uarabuni alikuwepo
@macaroeliya46098 ай бұрын
Ulichoona ni hicho. Hujaangalia ujumbe.😢
@mazingedeetz671210 ай бұрын
Kwann nimelia na kumuwaza Hussein wangu Allah nikuzie 🙏
@crillarlawcmo236611 ай бұрын
Asante sana Mrisho..Nageukia Jamii tusimame tupeane elimu ya malezi hali ni mbaya.Watoto wanatuhitaji sana katika kuhakikisha wanazifikia ndoto zao.Poleni.kwa changamoto lakini.kupitia hili tunakwenda kuwatia MOYO
@officialquochezdonshwari233611 ай бұрын
Toka kenya , nmekubali funzo hili 💯💯
@loyceumaz872811 ай бұрын
Pamoja bro...mi pia naikubal funzo hii
@irenenzuki55110 ай бұрын
Oh my God bless u mummy
@bitishoriziki11133 ай бұрын
Amen God bless all 👏🏽🤲🏽🙏🏽 you are so much better 😁😊😊
@nahyahya734911 ай бұрын
Kama ma mama nimeumia sana dah yote kwa yote ubunifu mzuri sana 😘
@zainabuyassini309511 ай бұрын
Rais mama Samia tu akipenda sana
@user-vi4jr5fm9x11 ай бұрын
Mwambukusi apinga mkataba wa bandari
@user-vi4jr5fm9x11 ай бұрын
Mbambukusi apinga mkataba wa bandari
@jamilakimaro99933 ай бұрын
Kwa kweli nimetazama maafali haya na hichi alichokionyesha mpoto kwa kweli nimelia sana . Mpoto asante kwa kuliwakilisha hili kwenye maafali haya. M/mungu tusimamie vijana wetu kwani hali ni mbaya mno.
@user-jr5pd4mx2x22 күн бұрын
Hii. Ndioburudani zakuelimisha jamii
@user-lq8zo5wu1m10 ай бұрын
Nimelia kama mzazi jaman mungu julindie wenetu 😢😢
@kirwaisa877211 ай бұрын
Am always proud of @Mrisho Mpoto
@hassankaduara4363 ай бұрын
Love Tanzania 🇹🇿 🎉
@ericklibaba11983 ай бұрын
Huyu jamaaa ni hatariii aseee... Ubunifu wa juu Sana
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Ila mpoto daah 🔥🔥🔥 your the talented brooo
@veronicastephano8974 Жыл бұрын
😢😢 mungu atusaidie na atupenguvu
@salimabbas213310 ай бұрын
Dakika ya kwanza tu, machozi yanitoka. Kazi nzuri sana
@EvaMwasembo2 ай бұрын
Asante mlisho
@maryxavery4105 Жыл бұрын
Nmelia jmn mpoto,ino na mama yake ujumbe mzur 🙏🙏
@bonabonala55595 ай бұрын
kuna viongozi ni chawa zaidi ya mama levo au mwijaku ni wa ccm wezi kweli awajiamini kama kina bashe japo nae ni mwizi katika kujiamini yumo anavutia kwa misimamo ya kujitetea
@honoratamafala6968 Жыл бұрын
Jikiteni kwenye hili la bandari kieleweke.
@zainabuyassini309511 ай бұрын
Bandari nini wewe angaika na ukabila na ubinafsi umewajaa. Kuna mausiano Gani na Ili. Usutuchanganye. Mama lete wawekezaji
@HawaMohammed-te7ug11 ай бұрын
Mwenyenzi,akufanyie, wps
@JosephPeter-fw1sw9 ай бұрын
Hongera Sana unaelimisha Jamii vizuri
@user-ef6ii4yj6d8 ай бұрын
Ea mwenyez mungu tupe nguvu wamama wote tunaopambana kulea wtt wetu Ameeen
@mohamedikilua158211 ай бұрын
God help me I don't wanna let my mom down😢
@cynthiaomondi72948 ай бұрын
Creativity on another level
@zawadibahati51685 ай бұрын
Hongera sana mrisho kwa ujumbe mzuri
@EdinankelebiMkelebi-lp4bq9 ай бұрын
Mwenyezi mungu waongoze watoto wetu NJia ilio yakweli
@mpanjumpanju814711 ай бұрын
Kuna vijana wengi wanaangania, kupitia ujumbe hui nasimama n'a wewe hâta Nife sais naomba mawsiliano. Mrisho umenipa ujasli
@abbyphilip47102 ай бұрын
Very touching
@mercynina628811 ай бұрын
MUNGU twaomba ilinde Tanzania
@cloudmchopa566511 ай бұрын
hongera uncle mpoto uko vizuri saana
@SaidiHasani-wl8tr2 ай бұрын
Mrisho mpoto unaa faa sana kuwa rais
@user-jj3tq1rh4p3 ай бұрын
hakika hii ni elim kubwa sana ubarikiwe mjombo
@sophianabintu666610 ай бұрын
Mungu atusaidia sana sisi huku Canada watoto wetu wa ki Africa wato wameigia kwa hio mabo ya ulivi na bangi hawa somi hata wazaki kufariki kwa Tation mutuobeye mungu
@ScardySangah2 ай бұрын
Uyu mwamba wa inosent njoo kaupiga mwingi.
@IrfanVuai2 ай бұрын
Mm inanitoa machoz nilimuona mama akimlalikai mtoto wake
@johnkasuga32903 ай бұрын
Igizo hili kama una machozi ya karibu yatakutoka,linatia huruma sanaaa,,!!!
@ainekishagodwin18773 ай бұрын
Nimekuelewa mjomba siku nyingine fundisha ata ya ushoga
@hemedimohamedi245711 ай бұрын
Huyu mwanafunzi anajua sanaa ,na anauwezo wa kuliza watu wengi
@pendoshabani716911 ай бұрын
Good idea
@user-od1qv6ez6n25 күн бұрын
Yaani nimetoa machozi 😢😢😢😢😢
@tukuyufm Жыл бұрын
mlezi wa maghani, mungu akubariki sana una kitu kikubwa sana juu ya hili taifa kama mwelimishaji wa taifa Usirudi nyuma.
@Octavinaelisa-fn6js Жыл бұрын
Hakika
@tukuyufm Жыл бұрын
@@Octavinaelisa-fn6js 👏👏
@AngelaBeath10 ай бұрын
Nmelia sana kwa uchungu Ee mungu watie nguvu mama wote wanaopambana kwa ajili ya watoto wao
@RichardSenkondo-ny1mo9 ай бұрын
Mpoto anaweza sanaa kwann mama usimpe hata ukuu wa wilaya
@Paplick910 ай бұрын
Crietivity 💯💯
@ramadhankaniq717911 ай бұрын
Inapaswa kujifunza kuptia maneno ya Mjomba Na kwa wale walio kosea wazaz na family’s kwa ujumla wakaombe msamaha kuptia ujumbe huu haujaacha kitu ni Hotuba tosha✊🙏🏾
@yohanaluchapa114811 ай бұрын
Mjomba mpoto uko vizuri aujawai kukosea katika kutoa mafunzo Kwa jamii
@petrochundu970211 ай бұрын
Hongera sana mjomba hakika kazi yako nimeipenda
@Mr.Queentz11 ай бұрын
Aisee hata mm nilitelekezwa na mimba hadi sasa mtoto ana miaka 8😢😢 eti mtu ndo anakuja anataka mtoto nakutaka kumuiba jamani
@coclewitgar-sn8vn10 ай бұрын
Acha tu ndugu yangu Yani unalea mtoto wako kwashida Sana alafu akifika miaka 8 ndo utasikia namtaka mtoto wangu nikamsomsomeshe aisee namchambaga mbaga anajuta
@stellamphanda338310 ай бұрын
Amaizing song
@barakamugeta50649 ай бұрын
Amaizing message
@felixkemei2053 Жыл бұрын
Sauti ya Simba mrishompote💪
@edwardenock11 ай бұрын
Kweli kabisa Mrisho Elimu inahitajika
@samuelkajigili5890 Жыл бұрын
😢🙏
@mbusamahilijacques92748 ай бұрын
Eeee mungu wetu sahi diya watoto wetu asante sana municho