bro, weye ni mkali sana, najuwaka kukubali sana🤝🤝🤝
@user-sp4jr4vw6t21 күн бұрын
Gass iko juu sn wataweza wenye uwezo kjjni hakuna kitu kama hicho kjjn fsmilia moja ia familia ya watu 10-12 je kale kamtungi kanamudu kupika ugali wa familia hiyo kweli bei ya gass iko juu tusidanganyane
@alexsambia3046
Waooooh maneno mazuri snaa baba yetu mungu akubariki snaaa
@SuzanPhilemon21 күн бұрын
Kuni ndio zimetukuza mbona
@daudimchileg307
Champion wa nini samia tena jaman? Our champion got death, magu