MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI- ARUSHA
Пікірлер: 246
@goragora9204 Жыл бұрын
Allah atuongeze wanawake wote ambao tumeachwaa na watoto allah atujaaliye ujasiri wakuwe katika maadili mema amiin
@zenakioga6567 Жыл бұрын
Asante sn mjomba kweli hali ni mbaya sn kwa watt wetu Taifa la kesho Mungu ibaliki Tanzania Mungu wabaliki watt wetu inshaallah
@lucylyale7169 Жыл бұрын
Ee mwenyez Mungu tutie nguvu wamama na vijana wetu roho mtakatifu atembee nasi daima,,🙏🙏
@LilianWaziri Жыл бұрын
Nimejikuta nalia kwauchung Ee mw/mungu waongoze watoto wetu kwenye njia salama😭😭😭😭
@clariszawadi2010 Жыл бұрын
😭😭😭😭 EE mwenyewe Mungu tusaidie,na utulindie watoto wetu na jamii zetu
@AlfredAloyce-wh5nq Жыл бұрын
Daaa Asante kwa ujumbe mzuri sana Mungu akuweke miaka mingi duniani
@MagrethZuberi-fl7wl Жыл бұрын
Eee Mwenyezi Mungu naomba nijalie hekma ndan ya mtoto wangu wa pekee Dav muepushe na vitendo vyote vibaya 😢😢😢
@amosagostinhocoque8785 Жыл бұрын
Nimenda sana kwa kazi unae fanya. Natokeya Moçambique-marrupa. Naita Amós A. Coque.
@amosagostinhocoque8785 Жыл бұрын
Nimependa*
@bonifasekitomari-ch7en Жыл бұрын
Uje uone ukuu ulayaa
@SashaRasheed-mu6ru Жыл бұрын
As a single mama nimeskia uchungu mnoooo nimelia jinsi tunavyopata shida kulea watoto wetu tunatafuta kwa uchungu leo afu mtoto anakuwa teja😭😭😭
@salimomari150 Жыл бұрын
Am single too.. Tujuane
@lovenessfrancis347 Жыл бұрын
I'm not single Ila poleni saana wamama maana kulea mtt ukiwa peke yako kiukweli nikazi saana Mungu awatie nguvu
@Queenwolper9728 Жыл бұрын
Am single too its painful akh kulea mtoi pekee😢
@macaroeliya460910 ай бұрын
Mimi ni single mother. Nimelia sana. Mungu tusaidie wanawake tunaolea watoto wenyewe. Tulindie watoto wetu
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Mwili unakuwa hapa akili ipo ulaya 😂😂😂 daaah
@josephngairo2342 Жыл бұрын
Hongera sana brother mpoto kwa kazi nzuri elimu nzuri sana hii.
@salimamasanja465910 ай бұрын
Hongera Sana
@ceciliakilian3809 Жыл бұрын
😢 daaah Mungu tutetee sisi na vizazi vyetu
@AndreaOsborn-p3o Жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri sana
@margrethjonesmshana8555 Жыл бұрын
Nimeliaaà MWENYEZi MUNGU tusaidie na vizazi vyetu,, wananchi tuheshimu tuu mamlaka , ,tumuheshi na MWENYEZi MUNGU yeye ndio fundi wa klea watoto.
@makokhasammy Жыл бұрын
Your creativity is a rare talent
@shemela8769 Жыл бұрын
Ahsante mzee wng mpoto kazi nzuri sana.
@saidbarawa9096Ай бұрын
Mrisho I love ❤u,keep up with the wonderful gift that God has gifted you
@allymachusi1066 Жыл бұрын
Hii Safi Sana mungu azidi kukupa uhai mrisho mpoto uzidi kutupa elimu
@eddykingkaka2 ай бұрын
Good 👍 unaelimusha vema Nas 🙏 tunafata nyayo zako
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Жыл бұрын
tanzania yangu rais wangu tunakupenda sana
@benedictkaingu859810 ай бұрын
Wow! Ushauri wa juu sana
@zawaditito5111 Жыл бұрын
Tuwaombee vijana wetu majaribu yaliyoko mbele yao ni makubwa sana, ujumbe umefika kuteleza siyo kuanguka tusikate tamaa nafasi za kuwatoa huko bado zipo Mpoto umeeleweka baba 🔥🔥🔥
@zainabuyassini3095 Жыл бұрын
Mama samia tunakupenda sana piga kazi. Mungu anakusimamia
@makokhasammy Жыл бұрын
Its an honor to have lived during Mrishos time, we get to experience the oratory eloquenc and creativity of long gone athenian socratic literature
@DianaEliah Жыл бұрын
Mungu awasaidie watot wetu
@AtufigwegeMwakalibule-pv3nv Жыл бұрын
Aisee mungu tusaidie sisi yatima
@johnbenjamin6067 ай бұрын
A Big lesson much love mrisho mpoto
@SaidiHasani-wl8tr4 ай бұрын
Mrisho mpoto unaa faa sana kuwa rais
@PreciousMremaro-xg6nk Жыл бұрын
Mungu akujalie akupeni maisha marefu🙏🙏🙏🙏
@mazingedeetz6712 Жыл бұрын
Kwann nimelia na kumuwaza Hussein wangu Allah nikuzie 🙏
@zainabuyassini3095 Жыл бұрын
Rais mama Samia tu akipenda sana
@ANNADANIEL-f7y Жыл бұрын
Mwambukusi apinga mkataba wa bandari
@ANNADANIEL-f7y Жыл бұрын
Mbambukusi apinga mkataba wa bandari
@LumolaSteven Жыл бұрын
Mpoto ni Chawa Sana. Ubunifu mzuri sana ila Mpoto kaleta Uchawa kuanza kutoa sifa too much.
@zeddymourice4249 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣hata uarabuni alikuwepo
@macaroeliya460910 ай бұрын
Ulichoona ni hicho. Hujaangalia ujumbe.😢
@zainabuyassini3095 Жыл бұрын
Asante Kwa ujumbe mzuri mungu atusaodie na wabaya wa vijana wetu
@pamelambuya8796 Жыл бұрын
Nimeliaaa hakika tupo wengi tunayo pitia Mungu tusaidie
Hakika yaani nalia jamani huyu kaka anajua anachokifanya tanzania. Viongozi wanakula maisha watoto wanapotea
@JamilhaaSelemani Жыл бұрын
Mungu ibaliki Africa 🌍 mungu ibaliki Tanzania tunakutegemea mama Samia Kwa watoto wetu asa sisi wakina mama
@ustadhisimbula8622 Жыл бұрын
Mrisho mpoto mwamba wa miamba Tanzania thank u very much my brother
@Wami-Sababisho Жыл бұрын
Hongera Mjomba,ila vitaa hii ngumu hata hao walioelekea kiweza hata kwa aslimia kadhaa walipigwa vita na kuonekana hawafai. # vita hiyo ni ngumu zaidi ya Ugumu unaoujua. KIKUBWA MAOKOTO😂😂😂😂
@irenenzuki551 Жыл бұрын
Oh my God bless u mummy
@NescharlesMalando-xm6lg2 ай бұрын
Ingekua mnapnga na mambo ya ushoga kama hvii hakik ningewapongeza zaidi!hp napata swali kwamba!!mnachagua vita vya kupgana!!?
@crillarlawcmo2366 Жыл бұрын
Asante sana Mrisho..Nageukia Jamii tusimame tupeane elimu ya malezi hali ni mbaya.Watoto wanatuhitaji sana katika kuhakikisha wanazifikia ndoto zao.Poleni.kwa changamoto lakini.kupitia hili tunakwenda kuwatia MOYO
@MsanangoMwalabu-rx1oo10 ай бұрын
Wimbo mzuri unamaudhui .ilatumekwisha mrisho mtoto ameanza mafunzo kulidhi mikoba ya mpoto jamaa hajawahi kuikosoa serikali ikikosea yeyefani take ni kusifia tu
@nahyahya7349 Жыл бұрын
Kama ma mama nimeumia sana dah yote kwa yote ubunifu mzuri sana 😘
@JazaDevice-cg7bq16 күн бұрын
Hongera sana mdg wangu
@maryxavery4105 Жыл бұрын
Nmelia jmn mpoto,ino na mama yake ujumbe mzur 🙏🙏
@BenedictSamweli2 ай бұрын
Hii. Ndioburudani zakuelimisha jamii
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Ila mpoto daah 🔥🔥🔥 your the talented brooo
@bonabonala55597 ай бұрын
kuna viongozi ni chawa zaidi ya mama levo au mwijaku ni wa ccm wezi kweli awajiamini kama kina bashe japo nae ni mwizi katika kujiamini yumo anavutia kwa misimamo ya kujitetea
@honoratamafala6968 Жыл бұрын
Jikiteni kwenye hili la bandari kieleweke.
@zainabuyassini3095 Жыл бұрын
Bandari nini wewe angaika na ukabila na ubinafsi umewajaa. Kuna mausiano Gani na Ili. Usutuchanganye. Mama lete wawekezaji
@miriamakiza Жыл бұрын
Nimelia kama mzazi jaman mungu julindie wenetu 😢😢
@kirwaisa8772 Жыл бұрын
Am always proud of @Mrisho Mpoto
@hermanmarunda8094 Жыл бұрын
Watanzania wanapenda Sana maigizo kuliko kufanyia kazi Mambo katika uwalisia.
@bitishoriziki11135 ай бұрын
Amen God bless all 👏🏽🤲🏽🙏🏽 you are so much better 😁😊😊
@salimabbas2133 Жыл бұрын
Dakika ya kwanza tu, machozi yanitoka. Kazi nzuri sana
@EvaMwasembo4 ай бұрын
Asante mlisho
@petrochundu9702 Жыл бұрын
Hongera sana mjomba hakika kazi yako nimeipenda
@HawaMohammed-te7ug Жыл бұрын
Mwenyenzi,akufanyie, wps
@veronicastephano8974 Жыл бұрын
😢😢 mungu atusaidie na atupenguvu
@JosephPeter-fw1sw11 ай бұрын
Hongera Sana unaelimisha Jamii vizuri
@cynthiaomondi729410 ай бұрын
Creativity on another level
@victorianchimbi86402 ай бұрын
Jamani mpige vita na ushoga ni hatari pia kwa kizazi kijacho
@johnkasuga32905 ай бұрын
Igizo hili kama una machozi ya karibu yatakutoka,linatia huruma sanaaa,,!!!
@zawadibahati51687 ай бұрын
Hongera sana mrisho kwa ujumbe mzuri
@EdinankelebiMkelebi-lp4bq11 ай бұрын
Mwenyezi mungu waongoze watoto wetu NJia ilio yakweli
@mercynina6288 Жыл бұрын
MUNGU twaomba ilinde Tanzania
@CharlesShayo-j9p26 күн бұрын
Mjomba anatumia busara sana kufikisha ujumbe Kwa jamii
@DanahJuliasy11 ай бұрын
Ea mwenyez mungu tupe nguvu wamama wote tunaopambana kulea wtt wetu Ameeen
@abbyphilip47104 ай бұрын
Very touching
@hassankaduara4366 ай бұрын
Love Tanzania 🇹🇿 🎉
@jamilakimaro99935 ай бұрын
Kwa kweli nimetazama maafali haya na hichi alichokionyesha mpoto kwa kweli nimelia sana . Mpoto asante kwa kuliwakilisha hili kwenye maafali haya. M/mungu tusimamie vijana wetu kwani hali ni mbaya mno.
@cloudmchopa5665 Жыл бұрын
hongera uncle mpoto uko vizuri saana
@mohamedikilua1582 Жыл бұрын
God help me I don't wanna let my mom down😢
@ainekishagodwin18776 ай бұрын
Nimekuelewa mjomba siku nyingine fundisha ata ya ushoga
@DianaMlongwa-oq5vt Жыл бұрын
Mungu tusaidie kina mama tunaolea watoto bila baba zao,tunapitia mengi sana kina mama sisi,tutie nguvu,wajalie watoto wetu akili yenye upeo wa hali juu
@zainabuyassini3095 Жыл бұрын
Amiin tupo wengi sana
@ScardySangah4 ай бұрын
Uyu mwamba wa inosent njoo kaupiga mwingi.
@pendoshabani7169 Жыл бұрын
Good idea
@IrfanVuai4 ай бұрын
Mm inanitoa machoz nilimuona mama akimlalikai mtoto wake
@nusratyfattah25292 ай бұрын
Hii nyimbo inaitwajwe??
@Mariasmith-c9q3 ай бұрын
Yaani nimetoa machozi 😢😢😢😢😢
@ericklibaba11985 ай бұрын
Huyu jamaaa ni hatariii aseee... Ubunifu wa juu Sana
@Paplick9 Жыл бұрын
Crietivity 💯💯
@mbusamahilijacques927410 ай бұрын
Eeee mungu wetu sahi diya watoto wetu asante sana municho
@IddyNchama6 ай бұрын
hakika hii ni elim kubwa sana ubarikiwe mjombo
@geraldemmanuel2716 Жыл бұрын
Professional writen song by Mpoto
@mpanjumpanju8147 Жыл бұрын
Kuna vijana wengi wanaangania, kupitia ujumbe hui nasimama n'a wewe hâta Nife sais naomba mawsiliano. Mrisho umenipa ujasli
@matildamunis5658 Жыл бұрын
Nimetokwa machozi mengi mnoo,too emotional 😢
@aminamohamed9955 Жыл бұрын
😢
@hemedimohamedi2457 Жыл бұрын
Huyu mwanafunzi anajua sanaa ,na anauwezo wa kuliza watu wengi
@yohanaluchapa1148 Жыл бұрын
Mjomba mpoto uko vizuri aujawai kukosea katika kutoa mafunzo Kwa jamii
@mckingmojojo363 Жыл бұрын
Ujumbe unafundisha sana kwa kweli.
@tukuyufm Жыл бұрын
mlezi wa maghani, mungu akubariki sana una kitu kikubwa sana juu ya hili taifa kama mwelimishaji wa taifa Usirudi nyuma.
@Octavinaelisa-fn6js Жыл бұрын
Hakika
@tukuyufm Жыл бұрын
@@Octavinaelisa-fn6js 👏👏
@mugemainyas5241 Жыл бұрын
Mwisho nampenda sana rais Samiah .
@sophianabintu6666 Жыл бұрын
Mungu atusaidia sana sisi huku Canada watoto wetu wa ki Africa wato wameigia kwa hio mabo ya ulivi na bangi hawa somi hata wazaki kufariki kwa Tation mutuobeye mungu