Mlianza wenyewe majungu ndani ya chama muacheni aondoke
@hawaelymaricca76022 күн бұрын
Acheni uchochezi tafuteni sera za Kuongea mbona hamna watu.
@zebedayokatamaduni96763 күн бұрын
Pamoja
@ndukulusudikucho_3 күн бұрын
Yamekuwa hayo tena hahahaha, leo hamumjui Msigwa?? badilikeni mtafika mbali
@user-ms6wc7ug6w2 күн бұрын
Mdude hhhhhhhhhh dah
@SundaySteven-bz4yq3 күн бұрын
Kama wamesajili tutarajie katiba mpya maana musigwa atamshauri samia ifikapo October 2024 katiba itakuwa tiyali
@PrinceHendry-hp8vv3 күн бұрын
Hata wewe bwana nyasa waweza kuwa unatudanganya wanasiasa hamtabiriki watu kama lisu kidogo ndo naweza kumwamini
@giftkalenge4183 күн бұрын
huyu umamliki ndo zoea lake alianzia kuwa mamluki was wa hehe wakati ye sio mhehe na ameaibisha wahehe Dana mkwawa alikataa kuwatii wazungu na
@salummohamed26893 күн бұрын
Unaowasema akina Zito na wenzake ni CCM B tunawaongezea na Msigwa likiwa ni boya jingine.
@user-hj4sn8vl4r3 күн бұрын
Kwani ni lazima wewe uongee!???
@barakakevela2453 күн бұрын
ACHA KUPAYUKA MSIGWA AMEFANYA MAAMUZI SAHIHI CHAMA CHENU MIAKA YOTE MWENYEKITI NI MBOYE IGENI KWA MH ZITTO NA ACT WAZALENDO MNAKERWA NA MATUMIZI YA SERIKALI WAKATI MBOYE AMEKIFANYA CHADEMA CHAMA CHA FAMILIA