Mtanzania Anayefanya Kazi Apple. Kashiriki Kutengeneza Iphone 15. Kasoma Havard, Atoa Uzoefu Wake

  Рет қаралды 12,572

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Abubakar Ally ni Mtanzania anayefanya kazi katika kampuni ya Apple ambapo anafanya katika idara inayohusika na kutengeneza 'semi-conductor chips'. Ameshiriki kutengeneza vifaa zaidi ya milioni 400, ameweza kuongelea uzoefu wake katika jukwaa la asasi za kiraia, CSO Week iliyoanza leo Oktoba 23, mjini Arusha.

Пікірлер: 50
@gasperdimosso1696
@gasperdimosso1696 6 ай бұрын
Big up bro🤝
@DEUCETAGGI-wk4nd
@DEUCETAGGI-wk4nd Ай бұрын
Hii inauma sana kwa Taifa, ni sawa na mtu kukuibia mke wako ... Africa tunao utajiri
@dondiba5136
@dondiba5136 Жыл бұрын
Brillant!
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@SquaresonR
@SquaresonR Жыл бұрын
That's Great 👍
@EstherPeter-e3k
@EstherPeter-e3k 11 ай бұрын
Hongera,tumekukumbuka pia mtaani
@robertkimaryo7178
@robertkimaryo7178 11 ай бұрын
Hii inatia natumaini sana, mwanafunzi yeyoye ajue kuwa aki jitahidi ataweza kufikia malengo yake.
@elymollel
@elymollel 11 ай бұрын
Kumbe anatengeza chips, 😂😂😂
@andrewjosephhezron23
@andrewjosephhezron23 10 ай бұрын
Akili kubwa sana ....
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 11 ай бұрын
Abuu anaakili Sana yani..mpaka zinamwagika...Yani anazoakili nyingi Sana yan
@1961nungwi
@1961nungwi Жыл бұрын
Where and when did this happen? Good for young people especially
@samwelswai8461
@samwelswai8461 11 ай бұрын
Hv Aidan, Immakula Mushi wapo wapi kwasasa. Naamini kuna siku nitawaona tena na kusikia kidogo kutoka kwako
@saraisaya8133
@saraisaya8133 Жыл бұрын
Big up
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 11 ай бұрын
Jamaa yuko sehemu nyeti saaaaaaaaaaana
@maheitumdintunya2928
@maheitumdintunya2928 11 ай бұрын
asiishi bongo akimaliza kuongea apande ndege asepe asije haribiwa kichwa na siasa za uku
@olenmbangwa9735
@olenmbangwa9735 11 ай бұрын
Kwa hiyo sisi tunaishia kupata story tu
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Жыл бұрын
Hawa hawana tija kwa nchi,hawa wana faida kwa marekani
@maotora_tz
@maotora_tz Жыл бұрын
Sasa sera za nchi hii unadhan zitawasupport hawa zaidi ya kuwafanya wawe wanasiasa then wapoteze utaalam wao? 😅
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 11 ай бұрын
TANZANIA hawajali kila mtu anaiba TU kwa faida yake na familia yake ukitaka uwe faida kwa nchi utateseka sana na utaonekana fala sana kila mtu ajali mambo yake
@vallerianmchau6387
@vallerianmchau6387 11 ай бұрын
I think kila mtanzania alie nje mapato ya nchi yakikusanywa pia wale wa nje nao huusika kwan wanaidad zao.... Pia iphones watu wananunua na kutoa kodi so pato la nch linaongezeka .. hayo n mawazo yang 🤔🤔
@peterdeus6093
@peterdeus6093 11 ай бұрын
Sasa angekuwa bongo saiv angekuwa chawa tu kusapot ujinga wa wanasiasa watu wasiothamin technology zaid ya kupora na kujilimbikizia mali
@mohdasaa
@mohdasaa 11 ай бұрын
Haya ni mawazo potofu kwa sababu mbili: 1. Amekuja Tanzania kuwafahamisha na kuwashajihisha watanzania wengine. 2. Hujui nyuma ya pazia anafanya nini kusaidia vijana wengine na nchi kiujumla. Kuna watanzania wanaoishi ndani ya Tanzania na wanamchango mkubwa kwa nchi nyengine kuliko nchi yao, na kuna wanaoishi nje na wanasaidia sana nchi yao....kigezo cha eneo mtu anapoishi sio kigezo pekee cha kupima umuhimu wa mtu katika nchi yake.
@HassanMohamed-vs4re
@HassanMohamed-vs4re Жыл бұрын
Ajabu
@ramatzrama5714
@ramatzrama5714 11 ай бұрын
Mungu kakupa akili ya upekee
@kennethdc2577
@kennethdc2577 11 ай бұрын
CAMERA MAN KALALA SANA
@JonhYusuph
@JonhYusuph 7 ай бұрын
Kumbe
@isackmgema7376
@isackmgema7376 10 ай бұрын
Huyu camera man Yuko ganzi ama ni vipi mbona hatuoneshi video
@mkanzakazeni6752
@mkanzakazeni6752 11 ай бұрын
Bongo wanaosoma electrical engineering wako wapi si kwamba ndio wantuktia umeme kweli?
@JonhYusuph
@JonhYusuph 7 ай бұрын
Bora hao wanatiusaidia kupata umeme
@JonhYusuph
@JonhYusuph 7 ай бұрын
Camera man anaboa kwel
@renatussima5274
@renatussima5274 10 ай бұрын
Kuna wadada wakisikia chips akilin inahamia pale gengeni.. mchoma viazi
@JonhYusuph
@JonhYusuph 7 ай бұрын
Uko sahii
@Patrick.W.Pallangyo
@Patrick.W.Pallangyo 11 ай бұрын
Camera man poor you
@myself4128
@myself4128 11 ай бұрын
Kijana Yupo vizuri ila Apple vwrsions zotw zishatenhenezwa na Marehemu steve Jobs wanachofanya ni Kufyatua tu
@bonniebaraka
@bonniebaraka 10 ай бұрын
mmmmmmmmm
@Missionary_work
@Missionary_work Жыл бұрын
CHIPS 😂
@harounali9057
@harounali9057 Жыл бұрын
Camera man yuko wapi
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele Жыл бұрын
Sasa hizo si tayari designed by computer Engineers you essemble them
@JonhYusuph
@JonhYusuph 7 ай бұрын
Unaweza ukawa sahii
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
@BoniphaceDaudy
@BoniphaceDaudy 2 ай бұрын
Big bro
Michael Seibel - How to Plan an MVP
13:50
Y Combinator
Рет қаралды 682 М.
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Transform Your Dreams into Reality with 'The Mindset Code'
34:17
Florencia Andres
Рет қаралды 2,3 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН