Рет қаралды 12,572
Abubakar Ally ni Mtanzania anayefanya kazi katika kampuni ya Apple ambapo anafanya katika idara inayohusika na kutengeneza 'semi-conductor chips'. Ameshiriki kutengeneza vifaa zaidi ya milioni 400, ameweza kuongelea uzoefu wake katika jukwaa la asasi za kiraia, CSO Week iliyoanza leo Oktoba 23, mjini Arusha.