😂😂😂 Kuna mashabiki wameamua wapozee machungu huku sasa kama hamujui hao mbuzi na hizo kuku ndo tunakunywaga supu after UBINGWA 🤣🤣🤣 Sema Mwananchi umezingua 💚🖤💛
@SamweliKivuyo-b7s2 ай бұрын
Mashabiki wayanga waache wizi
@majidimussa86782 ай бұрын
haswah😂😂😂
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-princs2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 jamani Mimi ni yanga ila dahhhh sisi sio wezi huwezi jua ni mtani wetu kavaa hiyo tisheti ili atudhalilishe Watani dah...kaka acha wizi na MUNGU akusimamie
Mashabiki wa yanga ni wengi masikini kira mwaka funguria mbwa yanga day
@husseinkonz51922 ай бұрын
Halafu kavaa Jez ya jamaa zake😊😊
@paschaljoh57292 ай бұрын
Wizi siyo mzur lakn je Mbona majambaz yanayo tajea kwenye uhujum uchum hawafaniwi hiz Tanzania tumerogwa na nan
@kasimramadhani15022 ай бұрын
Mpira ni ajira kubwa duniani...utani msiulete huku kwenye ukweli
@oscarmartinavito31672 ай бұрын
Duuuuuh kamanda ameaga mashindano kwenye nusu fainali😂😂😂😂
@nuhumaalim49762 ай бұрын
Daah yanga asaa munatia aibu acheni wizi
@CecyGeorge-vx9uc2 ай бұрын
Sasa huyu chizi ndio mnamuweka. Akilini kuwa ni shabiki huyu ni maandazi shabiki
@siscoministry84002 ай бұрын
Akina baraka kwanini😢
@esterhezron61432 ай бұрын
Aliiba kuku akanunua jezi😅😅
@EmergencyNjombe2 ай бұрын
Hiyo JEZI😅😅😅😅
@lovelynecharles67182 ай бұрын
Sasa kwanini na yeye awe shabiki wa Yanga😂 daah
@MartinMwombeki-kr5iz2 ай бұрын
Yanga wanausika na uyu kijana 😂
@renatusblandes11312 ай бұрын
Kama Yanga wanaingia viwanjani Kwa kupitia mlango husio lasimi kwanini Mwanachama wao asiwe mwizi
@janengowi-lt9gu2 ай бұрын
Anahitaji maombi huyu kijana Mungu anamakusudi naye unapata kazi unaacha unaenda kuiba kuku huyu ni wamaombi tu
@OscarAsukenie2 ай бұрын
Hii ndo Tanzania, Waizi Wakubwa wapo wanapiga hela serikalini. Ila hawakamatwi😂😂😂😂 ila hawa vibaka wanapata taabu sana. Sijui hawawaoni hao waizi wakubwa? Au mbwembwe!!!
Kwa hiyo mkuu wa wilaya mwizi wa kuku lazima muite waandishi wa habari murekodiwe? Ila mafisadi na wanaouwa wamewashinda
@aganolamotoeliya20272 ай бұрын
Yanga kweli hawafai wazi kweli kweli.
@ShikopaTz2 ай бұрын
Uyu baraka simjomba wangu nakasi pia nimjomba
@janeyjohnson92742 ай бұрын
Mimi yenyewe nilihama kwangu ukouko kisongo kwa ajili ya kuibiwa na taarifa ziko polisi hapo kisongo na balozi wanajua
@EvagloryMonyo2 ай бұрын
Alafu linavaa na jezi ya yanga kabisa , wamuue tyu kama ni shabiki wa yanga😅😅😅😅
@abedysteven49302 ай бұрын
Dah Bora ungekamatwa umevaa nguo nyingne kuliko ku2abixha wananchi umekosea xana
@mmichaeleletricet45542 ай бұрын
Kuna wengine sasa hivi kijiji cha saitabau wanaiba ware kwenye nyumba yaani ukifanya warering ukiondoka wanaingia wanazitoa.zote
@victoravelin5752 ай бұрын
Ata leo Hamna ushaid
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye2 ай бұрын
ila nyuma mwiko bana kumbe Tena na kuku zetu mnatuibia jaman
@antonjohn1342 ай бұрын
Kama nikuku karogwa huyo
@blackothman73322 ай бұрын
Utopolo sio watu wazuri wallah
@CornelJoseph-xs1mc2 ай бұрын
Hata huku mto wa mbu kigongoni uwizi wa kuku upo jamani wanabeba mpaka vifaranga jamani kwangu walibeba jogoo 15
@aineaelias84302 ай бұрын
Ila bongo had mwizi anahojiwa
@delapitoresavage37462 ай бұрын
Dirisha dogo la usajili yanga wamechukua baba jambaz 😂😂😂
@AnthonyShirima-z6v2 ай бұрын
Timu haihusiki hapo ila nyinyi mnaoijadili tofauti ndo mnaikosea hapo inatakiwa ijadiliwe tabia yake na c jezi
@jafethpeter57062 ай бұрын
😂😂😂Uto bwana
@elizabethmhapa36582 ай бұрын
Majina ya kina Baraka yananini lakini
@MohamedMkota2 ай бұрын
😅😅 mwananga. Mwiziiii😅😢
@vardanmsigwa85952 ай бұрын
Wameiba Chama dube saizi kuku na mbuzi
@frankchuwa49622 ай бұрын
Mnachojaribu kuongea ni historia tu,je sasa hivi mmemkamata na kitu gani alichoiba ili kiwe kithibiti?mwenyewe kajitetea kasema kweli alikuwa anaiba lakini alishaacha.
@pascofp1452 ай бұрын
Sasa mtu anasema anachukua kuku na unamtete Yani yanga bhana
@ZUWENADELLOW2 ай бұрын
@pasc😂😂😂ofp145
@alanmwijarubi2 ай бұрын
Sasa kama kesi ni nyingi kinachofanya aendelee kuishi mtaani ni nini? Amekamatwa mara nyingi, tena na vithibitisho, yeye mwenyewe anakiri kinachoshindikana kumweka ndani ni nini?
@MinskBelarus-il2tl2 ай бұрын
Kila akiwekwa ndani " HERSI" anamtolea Dhamani😅😅
@badymedia96482 ай бұрын
Halafu ni mwananch😮
@dullayomwinyi33592 ай бұрын
Hiyo jezi kaiba
@JohnJoseph-qq7ow2 ай бұрын
Yanga ni wezi hata ubingwa ni wa wizi
@nellykira78122 ай бұрын
Mwizi asikilizwagi
@SharifuAhamad-e1y2 ай бұрын
Hafu Kila anaekamatwa anakuwa amevaa jezi ya naniliu. Inaonekana naniliu ni mwizi sana🤭🤭🤭🤭😂😂