Subehaanallah Allah Akbar. Hii Dunia tunapita Akhera ndiyo yenye kubaki.
@NoraKedir2 ай бұрын
Manshaallah tabarakallah mtoto ananiliza kwakusoma koroan
@jimjam-xg7rv3 ай бұрын
MASHA ALLAH mtoto mdogo asoma quran tukufu kwa sauti mzuri💚💚💚
@ismailsoud36343 ай бұрын
Waislamu tunatia aibu, tunamfedhesha Mola wetu ambae yeye ndiye aliye tuchagulia UISLAMU ndiyo Dini ya Haki na akamleta Mtume Muhammad saw kuthitisha na kuwa ndiyo kigezo chema kwetu. Kuwaje sasa kila uchao magomvi misikitini. Hetu tuone aibu, tulipaswa sisi waislamu tuwe mfano bora kwa dini zingine, lakini tumehiari kuwa waovu hasa katika haya mambo ya misikiti , bila shaka tumemfanya shetani kuwa rafiki . hebu masheikh Maimamu badirikeni, tambueni Mwenyezi Mungu anawaandikieni hesabu mbaya. Msikiti nie nyumba ya Mwenyezi Mungu na kwa ajilk ya Mwenyezi Mungu ibada zifanywe humo, si nyumba ya kukaa watu na wake zao na watoto wao humo. Mwogopeni ,Mwenyezi Mungu, kuna adhabu kali. Kuna moto unaitwa JUNUBI huu moto unatokana na uji wa chuma, mtasiribwa nao. Huu Junubi huwal hasidinallah bishara nnari.
@samiukhamis27033 ай бұрын
Mashallah Allah akuweke shafii kwakwenda kuwasikiliZa familia ya mskiti
@rahimbablia86672 ай бұрын
Najizuia na hayo mengine, mana tumesikia upande mmoja tu....ila huyo dogo yupo vizuri mashallah
@TwalibuJuma-ze9cs3 ай бұрын
Allah amjaalie huyo Mama yetu alietowa eneo la Msikiti Insha Allah.
@ArafatIsmaily2 ай бұрын
Mashallah! Dogo Yuko vzur
@saidburuji99842 ай бұрын
Ostadh Shafii itakuwa umefanya insaaf pale utakapo wahoji na upande wa pili nao tuwasikie
@MochammdHadija-pn7nn3 ай бұрын
Subhanallah
@Salsabiil123 ай бұрын
Subhanallah Allah awafanyie wepec
@baghabaghaingwengwe17503 ай бұрын
Wenye msikiti wanachotaka ibada ziendelee lkn wale wavamizi wanachoka sio ibada ila lengo ni msikiti kama jengo liwe jengo lao, huku wakijua msikiti huo sio wakfu ila jengo lilitolewa kwa ajili ya kusalia tu
@habibaramadhani-xv2ed3 ай бұрын
Kama Msikiti Ulijengwa Kwa Ajili ya IBADA basi jua kuwa hiyo ni Nyumba ya Allah. Kwa hiyo Ibaki Hivyo.
@samsonhamery38093 ай бұрын
Jamaani,Mungu ni Ni mmoja,maadamu msikiti umefungwa karibuni kanisani tusali maana,sisi Makanisa yetu tunajenga,wenyewe hatupewi majengo ya, bure Mungu wetu ,si,masikini hata tuombe ombe pa kuabudia karibuni Sana Wana,temeke ngieni Kanisa lolote mtapokelewa CVAmeen
@dulasele-ud8cw3 ай бұрын
😂😂nyie amujengi nyumba ya Ibada Bali munajenga nyumba ya biashala😂ndomana kila MTU anajenga mwenyewe.ili apate faida pekeyake😂
@samsonhamery38093 ай бұрын
@dulasele-ud8cw umesahau kuwa kuta za miskitini yenu imezungukwa na mafremu ya biashara je wazee wanu wa Kiisllamu waliotangulia mbele,ya haki miaka 50 iliyopita wakifufuka leo hawatatoa laana kwenu: waliacha,viatu vinavuliwa na kuachwa nje ya msikitii leo mnaingia navyo ndani ya msikitilni: waliacha mwezi wa Ramadhani,safu za futuru nje,za nyumba zenu leo mnafuturu kwa kujifungia ndami.ya vyumba,vyenu! naona huko mnakoelekea karibu mtafika karibuni sana kanisani Ameen
@Naw893 ай бұрын
Kunywa soda ntakuja kulipa 😂@@dulasele-ud8cw
@Hamis-ks1sy3 ай бұрын
@@samsonhamery3809unaongea nini sasa? Ushaona masjid ndani mnageuzwa duka?? Kanisa hata mimi nikijisikia2 naanzisha napiga zangu pesa vizuri
@musarashid78733 ай бұрын
😂
@RmoShamte-h9f3 ай бұрын
amina
@MiriamAziz-z5t3 ай бұрын
NDUGU YANGU....HUKO BAKWATA KATIKA NGAZI MBALIMBALI NA HASA HUKO WILAYANI KUNA UCHAFU WA RUSHWA NA UFISADI WA KUTISHA....VIONGOZI WAKO KATIKA MASLAHI YA DUNIA.
@noelnoel49163 ай бұрын
Familia na waendeshaji sio familia na waumini na familia inaweza kuendelea kua na umiliki na madaraka kwenye msikiti hayo ni maoni yangu
@AzizihFarijala3 ай бұрын
Shafiq usiongeze.maneno Wacha waseme wenyewe
@AbuuKinero3 ай бұрын
Hihihihih mbn haipatikan juu ......
@ustadhshafiionlinetv3 ай бұрын
Nini haipatikani
@AbdallahSajiliwa2 ай бұрын
Familia kufunga mskiti sheria hiyo na ruksa hiyo wameipata wapi?
@hajjisanga7892 ай бұрын
Sheria ya dini iko wazi ni nani watakao ongoza msikiti kwa utaratibu tu sasa yoyote atakae kuta watu ktk sehemu ambayo inaendeshwa wale walio anzisha ndio wenye haki hao watakao kuja kuvamia wao ndio wenye makosa
@Freeedom-e4h2 ай бұрын
Hayo mambo ya kuachana ni yakifamilia.ulikuwa useme mali ya mama na mama walinunuwa
@Muktarybaweni3 ай бұрын
mmm jamana tunaupeleka wapi uwisla sasa
@Fear_Allah3942 ай бұрын
Hayo yanatokea kwa kuruhusu kila pesa ijengewe msikiti. Zamanı watu walikua pesa ya halali ndio inayojengewa lkn ssa kila mwenye pesa anajenga na wkt mwengine wanapita wkichangisha watu bila ya kujua mtu pesa kaichuma vp.
@habibumadege81873 ай бұрын
Kunajaahao wanaoenda kuteka miskiti ambayo hata hawajaiasisi wao kwamadai eti wanataka kusimamisha Tauhidi lakini kumbe sivyo bali lengolao ni kuugawa umanwa kiislamu na kujipatia maslahi ya kidunia kupitia mlangohuo bila ya kujali maslahi ya uislamu aisee haojamaa siohapotu sehemunyingi wanafanya hivyo na kugombanisha waislamu bilawao kujali,
@saidalhinai11313 ай бұрын
Hawo mawahabi wanataka kuutawala msikiti kwa ajili waweke sera zao za kiyahudi wa saudia
@OmariOmari-y8h3 ай бұрын
Akili kisoda
@JumaAthuman-bk6hx2 ай бұрын
Wewe acha fikra mbovu za kujazwa ujinga na watu wa bidah wasiopenda haki,wanaozusha mambo,Habari ya Wahabi umetoa wapi? Kaa chini usome dini iliyo sahihi,usibebeshwe ujinga ukapokea.
@allyamri50283 ай бұрын
kwa maelezo ya huyo bwana inaonekana wazi kua kunawatu wanatamani eneo hilo au msikiti huo na hao ni wavurugaji. Binafsi naomba busara za baraza la mufti isimamie jambo hilo
@UmmuJauzan3 ай бұрын
Watu dunia imewavaa eti msikiti wa familia ukute hapo tayar wangombea maslahi
@zahormohammed44762 ай бұрын
Wacha kukurupuka sikiliza mpaka mwisho
@Tupena-ov7xq3 ай бұрын
Kwa nini waislam kila siku mna migogoro tena mnapenda kuongelea matatizo yenu mitandaoni
@mohamedibrahim77323 ай бұрын
hapa naona familia hawana shida tatizo kubwa ni Hawa waliotaka kuteka msikiti
@abuushakiraddausiy86663 ай бұрын
Hamuijui dini iundani msikiti ni waqfuu kwanin mnarudia waqfuu!???! Waqfuu mkishaautoa hamtakiwii kuirudia tenaa
@zully7563 ай бұрын
Tangia lini msikiti ukawa mali ya mtu binafsi?
@RashidAhamed-kq6pt3 ай бұрын
Mm nina nia ya kujenga msikiti kwa nia ya kuswalia waislam lkn naogopa nikifa tu nitaacha ugomvi kwa waislam sasa msikikiti umefungwa hoa walojenga wanafidika nn
@abdallahhassan41633 ай бұрын
Kama una nia Sheikh kuna maeneo waislam wanahitaji wapate uzuri huo lkn hawana wa kuwàsemea kujengewa msikiti kutoka a na háli zao
@ZubeirHamada3 ай бұрын
Ukishajenga si kazi yako kwakua utakua umeshamkabidhi Allaah
@AbdallahSuleiman-vx6gp3 ай бұрын
Ukishajenga kabidhi kwenye taasisi yoyote unayoiamini kuepusha migogoro ya mbeleni
@AbdallahSuleiman-vx6gp3 ай бұрын
Usirudi nyuma
@ahmadabdallah66413 ай бұрын
Wanafaidika kwa nia yao walojenga. Hata ukifungwa bado wanapata thawabu. Uislamu ni wepesi
@mtutulaclassic62072 ай бұрын
Sio maSunni hao? Maana ndo watu wa vurugu
@martinmkoba3613 ай бұрын
Kwani huo msikiti ni wanani tuanzie hapo
@RashidAhamed-kq6pt3 ай бұрын
Msikiti ni wa Allah mwenyezi mungu
@UmmuJauzan3 ай бұрын
Namjua huyo mzee muhuni tu mmoja huyo alikua bandaging mtu wa dunia tu huyo
@TunauzaSimu-fn2ff3 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU NI MMOJA TU. NITAJIRI JUU YA WALE wanaojiona matajiri. Aliesema mungu wao ni tajiri kwa makanisa wanajenge wenyewe. Loo amepotea na asbr. Ataitafuta shilingi! Naasubiri. Mbona makanisa mangapi yanafungwa. Utulie!