MTOTO DARASA la 4 ADAI KUBAKWA na BODABODA - AFIKA kwa MAKONDA - AANZA KULIA - ''NI MBAKAJI MZOEFU''

  Рет қаралды 45,147

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MTOTO DARASA la 4 ADAI KUBAKWA na BODABODA - AFIKA kwa MAKONDA - AANZA KULIA - ''NI MBAKAJI MZOEFU''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 200
@globaltv_online
@globaltv_online 8 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 8 ай бұрын
Pole sana m Mama kwamtihani mzito mungu yupo nasi mkuu mpaka nakuhurumia kwa kesi nanyingi za wakinamama
@Mussa-t1q
@Mussa-t1q 8 ай бұрын
Amejitoa kwa ajiri ya wananchi, tuendelee kumwombea kwa Mungu, aendelee na kazi yake na watu wazidi kufunguka.
@mohamedally4496
@mohamedally4496 8 ай бұрын
Asante global tv kwa kujua kutunza profile za mtoto huyu. Asante sana
@NeemaFungo-r3s
@NeemaFungo-r3s 8 ай бұрын
Kabisa kabisa
@gloryshayo9966
@gloryshayo9966 8 ай бұрын
Mungu utuhurumie mimi na dunia nzima.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 8 ай бұрын
Pole sana mama ama bibi inatiyq huruma sana mola atawasimamiya haki ya mtt ipatikane
@HusnahMaulid-wi8dl
@HusnahMaulid-wi8dl 8 ай бұрын
Tanzania ubakaji umekisiri dhidi ya watoto subhanallah 😢
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
Hata mimi nashangaa mbona watu wazima wenziwao wapo huku london kuna mtu juzi nimesikia kazini amebaki amehukumiwa miaka 25 sijui huko kwa nini hukumu haitoki
@AverinaShirati
@AverinaShirati 8 ай бұрын
Kwani Malaya hawaoni wawafate
@Alvilisa
@Alvilisa 8 ай бұрын
😢😢😢
@hildamasonda6528
@hildamasonda6528 8 ай бұрын
Baba makonda Mungu akupe hekima sana kwenye hizi kesi
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 8 ай бұрын
Huku kudharau kesi za ubakaji ndio sababu ya yule mama wa Dar kupoteza maisha roho iliniuma kama ndugu yangu kisa police hawajawajibika tamaa zao za rushwa Tanzania imeoza kwa rushwa
@mamasalhat
@mamasalhat 8 ай бұрын
We Acha Tu iliniuma😢😢
@estameryngogo594
@estameryngogo594 8 ай бұрын
Pole Makonda, Mungu asimame nawe ili haki ya mtoto huyo na wengine ipatikane.
@leomwashikumbulu7996
@leomwashikumbulu7996 8 ай бұрын
Mkuu mungu akutie nguvu na iwe kinga kwenye maisha yako
@mayahkim4390
@mayahkim4390 8 ай бұрын
Kilio cha uyo binti mdogo hakitamuacha salama uyo boda😢😭😭
@KhamisChaz-td4nz
@KhamisChaz-td4nz 8 ай бұрын
Wew mjinga uliesema mh makonda anadhalilisha mtumisha unaona yanayo fanyika huko bila makonda tungeyajuaje!? Mama mzima unatetea upumbavu SONGA MBELE MH MAKONDA MUNGU YUKO PAMOJA NA WENYE KUTETEA HAKI ZA WANYONGE
@annajoseph9955
@annajoseph9955 8 ай бұрын
Dah aiseee n😢😢😢😢 mungu atulindie watoto wetu
@kibwetere1418
@kibwetere1418 8 ай бұрын
Watoto wetu jamani Mungu wasaidie
@AbdallahBakar-oc3ue
@AbdallahBakar-oc3ue 8 ай бұрын
Uwe rais tu maana nchi imeoza
@braggadachu1723
@braggadachu1723 8 ай бұрын
Nachelea tu kusema tu kwamba ipo siku makonda atakuja kuwa rais
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 8 ай бұрын
Yaa Allah tusaidie waja wako, okoa hawa watoto yaa Rabbi
@abdulgeuka3985
@abdulgeuka3985 8 ай бұрын
Daah kuna watu wana roho mbaya sana
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 8 ай бұрын
Nimelia wallah😢😢😢😢😢😢
@Keyjop
@Keyjop 8 ай бұрын
Hivii jmn mama Samia anasemeje kuhusu hili na ubakaji imekua kama fashion ya taifa watt wetu jmn hatuna amani SI shule SI majumbani jmn 😭😭basi SI wanyongwe wakufe tuu🙌
@hidayamotto7210
@hidayamotto7210 8 ай бұрын
Makonda Mungu akusimamie uwe Rais w Tanzania
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 8 ай бұрын
Yesu wangu
@omanqqwe4061
@omanqqwe4061 8 ай бұрын
Mungu akusaidie Tz😢😢
@joycekalago532
@joycekalago532 8 ай бұрын
Makonda ni mtu na nusu jamani Mungu ambariki sana ana huruma mno
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe 8 ай бұрын
Moyo wa huruma anao sana
@sultanijuma3537
@sultanijuma3537 8 ай бұрын
Huyo mtu aliefanya hichi kitendo ni wa kuwawa😭😭😭
@Pixxmoleli
@Pixxmoleli 8 ай бұрын
Mungu naomba uwalinde watoto wetu
@angelaminde1247
@angelaminde1247 8 ай бұрын
Yesu wangu nisaidie😢😢😢
@walterkisaro-9168
@walterkisaro-9168 8 ай бұрын
Inauma Sana
@hashilalkharusi4680
@hashilalkharusi4680 8 ай бұрын
Mungu yupo na moto upo tena upo haasa
@mercypeter162
@mercypeter162 8 ай бұрын
Mmmh hii Dunia hakuna haki kabisaaa
@YusufDaudi-v5f
@YusufDaudi-v5f 8 ай бұрын
Inna lillahi wanna ilyehi rajiuon
@JacquelineMahumbe
@JacquelineMahumbe 8 ай бұрын
Hizi rushwa mhuuu kazi saana
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 8 ай бұрын
Daaih mungu akulinde sana makonda mana ih nnchi kuna vitu vinaumiza sana
@rahmarama5669
@rahmarama5669 8 ай бұрын
Damu Ya Yesu jmn
@maggyvan8992
@maggyvan8992 8 ай бұрын
Masikini cc twende wapi😢 mungu akubariki Paul makonda.
@JoycePetro-c1r
@JoycePetro-c1r 8 ай бұрын
Watoto wetu sijui tutawaficha wapi tu...Mungu tusaidie yaani vitu vinafanyika viongozi wa juu wametulia tu Mungu anawaona
@CikeTanzania
@CikeTanzania 8 ай бұрын
Nchi imeoza wallah raadhim makonda kazi unayo.
@AmosMwita-fh9cn
@AmosMwita-fh9cn 8 ай бұрын
Pole san
@clarawilliam9959
@clarawilliam9959 8 ай бұрын
Poleni sanaa,makonda amechoka,hajui aanzie wap aishie wap😢😢
@CTM.24Updates
@CTM.24Updates 8 ай бұрын
Daaa😢😢😢
@queenpoulsen1812
@queenpoulsen1812 8 ай бұрын
Melia😢😢😢
@barakamanga5502
@barakamanga5502 8 ай бұрын
Unajua kunawakati kwenda mahakamani nikupoteza mda nikumalizanatu mitaani Kila mtu apate hakiyake, aliye baka apumzishwe kwanza
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 8 ай бұрын
Huu ujinga huu sijui utadhibitiwa lini maana kesi hizi zinaumma na zinachosha hasa zinakera hasa mijitu ya ovyo inaweza kucheza na sheria
@narfatkarama5743
@narfatkarama5743 8 ай бұрын
Nimelia mimi 😢😢
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 8 ай бұрын
Watu wanahangaika sana kwenye dunia hii. Ubaya watu ambao wanafanya haya wanakua ndani ya madhehebu. Na wakikuhuri utadhani yule yesu wa kizungu anarudi
@yasinmoria5346
@yasinmoria5346 8 ай бұрын
Namkumbuka sana magufuli amri zake
@marykombe
@marykombe 8 ай бұрын
Jameni watanzania wahurumieni watoto wadogo
@victoriaandrew8013
@victoriaandrew8013 8 ай бұрын
Yaani hata mm nimeumia na kushangaa wenye vyeo wanadhulumu hadi haki za watoto
@HellenJulius-ky7sx
@HellenJulius-ky7sx 8 ай бұрын
Eeeeh Mungu samehe kizaz chetu😥😭😭
@RobertBitambaOfficial
@RobertBitambaOfficial 8 ай бұрын
Makonda Mungu akufiche wapi jamani
@AmedeusMbanda-gh4rj
@AmedeusMbanda-gh4rj 8 ай бұрын
Tobaaa,🙆🙆
@amina3925
@amina3925 8 ай бұрын
Pole san
@thelalas9204
@thelalas9204 8 ай бұрын
Eti kuna madawati ya kijinsia na haki za kibinaadamu.fyoko.Alafu utakuta nchi ina polisi viongoxi wote kila daraja.yani laxima tujiulize maswali mengi sana kama rai vijana wa nchii hii
@AverinaShirati
@AverinaShirati 8 ай бұрын
Hao polis ndio Mana hawaongezwi mshahara
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 8 ай бұрын
Duh hii Dunia
@Imanaiwachu
@Imanaiwachu 8 ай бұрын
Ningempiga shoka mm nikimjuw ambae anaaribu watoto
@RosemaryTillya
@RosemaryTillya 8 ай бұрын
Eee Mungu nakuomba Adui wa Makonda awe Adui wako Mungu
@huthhuthlih5858
@huthhuthlih5858 8 ай бұрын
Mimi ni mtu nisie amini uwepo wa Mungu. Makonda pindi yupo Dar sikuwai kumwelewa kabisa ila kwa awamu hii makondo naweza kumuita ni Mungu. Makonda uishi sana uendelee kusaidia wenye uhitaji.
@jacksonsulle6673
@jacksonsulle6673 8 ай бұрын
Hpn makonda sio Mungu ,Yuko Mungu najua uko Emotional nakuelewa
@e11said23
@e11said23 8 ай бұрын
Mungu yupo na moto upo kwa nini mahakimu awajifunzi kama somalia tendo kama hilo ali muukumu kukatwa kwa babu naupanga na yeye ndio atamkata kaagiza panga maakamani kamkata.nakazi ikaendelea kama kawaida safi sana
@hashymharun9337
@hashymharun9337 8 ай бұрын
Aiseeeeee
@Juke995
@Juke995 8 ай бұрын
Haraf kuna wanawake wanasimama wima eti wamedhalilishwa na viongozi haya ya ubakaji hawayasemi kabisa 😢duh nyie hii dunia jaman Tanzania yetu imebadilika sana
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 8 ай бұрын
Ubakaji Tanzania umejidi kama unabaka mutoto ukanyogwe 😢 inauma saana 😢
@MouhammedSeif
@MouhammedSeif 8 ай бұрын
Makunda upo sahihi sana but mm naona unatakiwa uipe nafas dunia kumuachia mung mana hii dunia inamambo meng ndomana tumewekeawa mwishi wa kuishi
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 8 ай бұрын
Jamani nasikia uchungu saana wababa muwaache watoto Hawa WA kiume Ni mbegu njema Mungu ametupa jamani.waacheni watoto mbona ninyi mmeishi Salama utotoni ahhaaa
@derickjuma4251
@derickjuma4251 8 ай бұрын
Daaah daaah aseee uyo mbwa anatakiwa anyongwe kabsaa
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 8 ай бұрын
Au akatwe ngururu jomba au vip?
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
​@@mohamseyf6243 😂😂😂😂 itapendeza zaidi maana hiyo ngururu ndio inayompa shida inachungulia kwa zipu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 8 ай бұрын
Nchi ihii imeoza. Taasisi karibu zote zimeoza. Hakuna haki.
@derickjuma4251
@derickjuma4251 8 ай бұрын
Kabsa inawezekanaje daaah inakasirisha knoma
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 8 ай бұрын
Kila kona ubakaji upo kote duniani
@ArafaAbdulrahaman
@ArafaAbdulrahaman 8 ай бұрын
Jamani 😭😭😭😭😭😭
@EDDOSTEVEN
@EDDOSTEVEN 8 ай бұрын
Yani nimelia sana sisemi kitu tena
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 8 ай бұрын
Mimi pia
@fadhilajamal217
@fadhilajamal217 8 ай бұрын
😢😢😢😢😢daaaah Allah tuhurumie
@kamangutv5828
@kamangutv5828 8 ай бұрын
Makonda atawah kufa maana anakutana na mazito sana😢😢
@EnockLuhahula
@EnockLuhahula 8 ай бұрын
mungu atamsimamia nataman I aje huku geita
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 8 ай бұрын
DAH BODABODA AKILI ZAO BANA
@KhadijaMwenda
@KhadijaMwenda 8 ай бұрын
Najiuliza Tanzania imepatwa na nini wallah MUNGU wa mbingun kama kuna agano la kishetan Tanzania MUNGU SHUGHULIKA NALO MOYO UNAUMA NIN HIKI WATOTO WADOGO 😭😭😭
@AwaziRajab
@AwaziRajab 8 ай бұрын
Uyo Wa Kuuliwa Kabisa Kwanini Anaendelea Kuishi Uyo Jamani Kamateni Malizeni Aende Kusubili Ukumu Unabaka Mtoto Kama Uyo Uchunguzi Lakini Muhimu Mana Siku Izi Binadamu Vigeugeu
@AverinaShirati
@AverinaShirati 8 ай бұрын
Mchungaji gani mbwa huyo
@EnockLuhahula
@EnockLuhahula 8 ай бұрын
nisaidie I namba hiyo ya waziri wa afya na shda jamani
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 8 ай бұрын
Pole sana bibi haki ya mtu malipo duniani baba makonda tunamuaminia atafanyakazi
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 ай бұрын
Makonda Allah akujaalie kilalaheri . Maadui washindwe bihidhinillah
@user-lucas047onyango
@user-lucas047onyango 8 ай бұрын
Kwelii binadamu hawana ayaa Kwa kwelii ???
@HaulSidney
@HaulSidney 8 ай бұрын
Wanao jiita haki za binadamu, mambo kama haya watuwaoni kuyasemea,
@AnaniaKyando
@AnaniaKyando 8 ай бұрын
Pole makonda maana unakazi ngum sana ya kutatua migogolo
@AbiaWilliam-s1s
@AbiaWilliam-s1s 8 ай бұрын
Mmmm inasikitisha
@CLEVERBOY004-cr5cc
@CLEVERBOY004-cr5cc 8 ай бұрын
Huyu mbakaji atamatwe na achomwe moto hadharan maluuni mkubwa
@leonardtiato1219
@leonardtiato1219 8 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@AshuuSaid-ke1kx
@AshuuSaid-ke1kx 8 ай бұрын
Dah...poor babyboy😢
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 8 ай бұрын
Hii nadhani kabla hajaongea na kumuweka mtoto Mbele kuongea Wasaidizi wa Mkuu walitakiwa wamuulize Mama na wamuite Mtoto Pembeni...waongee naye Pembeni mtoto hatakiwi kuongea Hadharani...😭😭😭😭
@RobertBitambaOfficial
@RobertBitambaOfficial 8 ай бұрын
Makonda waonyeshe hao wanaobaki maofisini badara ya kusikiliza matatizo ya watu.
@Nadih-fn9oc
@Nadih-fn9oc 8 ай бұрын
Masikin ina wuma wallah na inasitikisha kwakweli
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 ай бұрын
Subuhxnallah😢
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp 8 ай бұрын
Mama sijamuelewa ni kama anataka msaada wa hela
@FrankDavid-en6on
@FrankDavid-en6on 8 ай бұрын
Kwa mtazamo wako
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp 8 ай бұрын
@@FrankDavid-en6onndio kwa mtazamo wangu
@JanethEmmanuel-qq2nb
@JanethEmmanuel-qq2nb 8 ай бұрын
Makonda anaitwa mtumishi
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 8 ай бұрын
To me ninaona ni zaidi ya mtumishi!Mungu ambariki kwa kazi anayoifanya
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 8 ай бұрын
Makhakimu tz sikuzote mnateyea wanakaji siku mtako bakwa nyinyi na watoto wenu ndo mtajua malipo duniani
@lovelymushi
@lovelymushi 4 ай бұрын
Dah boda MUNGU anawaona
@MzeeMullo
@MzeeMullo 8 ай бұрын
Arusha kuna maajabu sana.
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 8 ай бұрын
Ee Mungu hivi huoni hayo mashetwani ya duniani,yalopindisha kesi yafukuxwe kaxi,li2mihiwa lichomwe moto,hilo lichungaji lililompa pesa xa rushwa,ni mchawi,maana baadhi ya wachungaji yanatumikia uchawi.Mch.hilo hi hatari,watoto wakibakwa ndo mashart ya waganga,nalo lichungaji lichomwe koto,mnapokea rushwa kupotexa haki mipaka yenu itavakwa mpaka kufa kwao mpate utamu wa huyu bibi.
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 8 ай бұрын
Nlkua simkibali makonda lkn salute mkuu
@annesmatemu4264
@annesmatemu4264 8 ай бұрын
Mhh mpaka mkuu anakosa akiongea maskini
@theempire4058
@theempire4058 8 ай бұрын
Ivi kile chama kilichomshtaki kiko wapi, kinaona kweli anachofanya makonda kupigania haki za wananchi, ivi wanaona kweli au saivi ni aibu zimewajaa tu chama cha ajabu kile
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 8 ай бұрын
Mana chama ndo kimebaka
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 8 ай бұрын
​@@martinamahenge4476Akili huna wewe
@DorisShangwe
@DorisShangwe 8 ай бұрын
Wakuu wengine nao waige mfano
@MylaJoel-h2p
@MylaJoel-h2p 8 ай бұрын
Unanibakia mtoto wangu hujue huta Maliza masaa 24
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 8 ай бұрын
Mimi naua tu mtoto akifika home
@mamasalhat
@mamasalhat 8 ай бұрын
Nawazaga Sana Kwanza naomba mungu anusuru hili janga Ila simuachi salama hata Moto nachomo Moto anafia humo humo ndani abaki hata mifupa
@Everline398
@Everline398 8 ай бұрын
Unasema tu kwasababu hayajakufika, muombee Mungu akuepushie. Hao ambao watoto wao wamefanyiwa ivyo mbona hawajaua. Omba lisikupate
@PhilkevinFelix
@PhilkevinFelix 8 ай бұрын
Tanzania.
@josephevantus5965
@josephevantus5965 8 ай бұрын
Feminist wakilaani hiki kitu mnishtue wadau nalala😢😢😢😢
@sultanijuma3537
@sultanijuma3537 8 ай бұрын
Hawa haki za binaadam huwaoni hapa kuongea chochote
@chuzilapweza6517
@chuzilapweza6517 8 ай бұрын
sasa jamani mbona mnaweka video fupi fupi...hebu tumaliezi tujue kilichoendelea
@mamasalhat
@mamasalhat 8 ай бұрын
Tunao umia sie wazazi yaani tuna umia sana haya matukio yarabi tuwafiche wapi watoto wetu?
@romanambelle6356
@romanambelle6356 8 ай бұрын
Unasikia Tz tuna amani ipi watu wanaumia.ndani kwa ndani na mwisho wanakufa
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН