MTOTO WA DADA WA MAGUFULI AFUNGUKA MAZITO ALIYOKUWA AMEYAFICHA MUDA MREFU, AMTAJA GWAJIMA KWA UONGO.

  Рет қаралды 81,125

Star TV Habari

Star TV Habari

2 жыл бұрын

Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !

Пікірлер: 210
@queenmilan2024
@queenmilan2024 2 жыл бұрын
Gwajima alisema ataleta treni ya MWENDO kasi🤣🤣🤣🤣🤣🤣mpaka Leo hakuna treni. Yani mchungaji unasema uongo
@stevebupamba5009
@stevebupamba5009 2 жыл бұрын
Bro Furaha...ulikosea kumfuata Gwajima na kumpa nia yako, yeye mjanja kaitumia mapema. Wazungu wanamsemo usemao: Never tell anybody about your dreams (Never speak the truth about your plan because some people may get it for their own benefits. Ni hayo tu.
@jubilatemanase9050
@jubilatemanase9050 2 жыл бұрын
Kuna kitu ameongea huyu dogo chenye mantiki sana... viongozi wanapotoshwa kwa kiwango kikubwa,na hawajali matokeo ya huo upotoshaji'Mungu amwongoze tu kwa kweli'
@adamsonkyando682
@adamsonkyando682 2 жыл бұрын
Mtu mwenye hofu ya Mungu anapo ongoza watu nivuzuri sana kuliki Hawa,wanao waza nifanyeje nipate uongoz Ili niibe tunako ended wote wasio mcha Mwenyezi Mungu hatutakuwa tunawachaguwa watuongoze,Hawa ndo wanao sumbuwa Selikali mioyo Yao imejaa mambo mabaya tunataka viongizi wawe na hofu ya Mungu jaman nchi itaenda vizur ,wahun wanapo kuwa kwenye siasa ni mwiba kwa Rais katika mipango yake, wanawekwe wakifika wanawaza kuiba tu Sasa ni shida sana.Ingewezekana viongozi wa nchi wangejuwa wanaongoza Mashehe na Maaskofu tungepata Raha sana na nchi ingeenda vizur
@mohamedishasani8625
@mohamedishasani8625 2 жыл бұрын
Nimemkubali sana huyu jamaa Furaha pia hongera na mwandishi wa Habari kwa kuchimbua ukweli. Safi sana lengo letu ni kulisaidia taiga letu. Hongela mwandishi kwa kufanya Nazi nzuri.
@eliahmhanzi6357
@eliahmhanzi6357 2 жыл бұрын
R.I.P our farther Magufuli
@stationerykinondoni7241
@stationerykinondoni7241 2 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anaongea sana hafai, anaingilia hakuna flow nzuri ya majibu
@barakamwaisalah4980
@barakamwaisalah4980 2 жыл бұрын
Nyanda jitahidi kuruhusu mtu amalize kujibu swali ndipo ulete lingine unpoteza mtiririko aisee unachomekea saana yaani ...
@ramseyhashim8069
@ramseyhashim8069 2 жыл бұрын
Wewe hufai kuwa mtu wa kumhoji mtu, kwa nini unamuingilia wakati umesha muuliza swali na anaendelea kujielezea?
@sundayrashidselemani7954
@sundayrashidselemani7954 2 жыл бұрын
Mtangazaji kawa ndio msemaji mpaka anakera
@rasurmasoud5762
@rasurmasoud5762 2 жыл бұрын
Kati ya maraisi wanaofanya uchunguzi kabla ya kutenda Ni magufuli
@shammhagama2527
@shammhagama2527 2 жыл бұрын
We Furaha umeumia sana kuukosa ubunge mpaka unamponda gwajim, pambana na hali yako acha unafiki
@jasonkalekezi5442
@jasonkalekezi5442 2 жыл бұрын
Hii interview inaujumbe mzito sana na kuna cha kujifunza hapa
@muasewamukadogo9729
@muasewamukadogo9729 2 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa aisee hiyo ndiyo ccm bwana mnaanza kutafunana wenyewe ila kijana angalia sana hayo maneno
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Ni hatari sana kama kiongozi unaletewa Umbea unaamini na unaumiza watu .Kweli ni mbaya sana
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
Mwandishi upo vizuri kwa kuhoji
@user-uq7iw9id8m
@user-uq7iw9id8m
Huyo furaha ni mnafiki anatafuta nafasi aliyopoteza kwani yeye haoni kama nchi imekwisha?
@thanibattashy2367
@thanibattashy2367 2 жыл бұрын
Dah pole sna dogo
@furahafrank8267
@furahafrank8267 2 жыл бұрын
Umulete huyu Furaha tena anamambo mengi yakutufungua macho na anaonekana kuwa mkweli.
@winepreneur7329
@winepreneur7329 2 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri sana 👏👏
ALICHOZUNGUMZA MAALIM SEIF MBELE YA MAGUFULI NA MWINYI CHATO
11:48
Millard Ayo
Рет қаралды 125 М.
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 150 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 51 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 3,9 МЛН
ILIVYOKUWA SALAMU ZA MAGUFULI KWA MSIBA WA DADA YAKE
7:07
GSengo
Рет қаралды 1,2 М.
MAGUFULI - "NILINYWESHWA SUMU, KIKWETE ALINIFUKUZA, SIKUKATA TAMAA"
33:43
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
JPM Alivyotembelea Shamba la Marehemu Dada Yake Chato
0:58
Global TV Online
Рет қаралды 98 М.
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН