Safii Sana maalim seif Sasa naona mafanikio ya haraka yanakuja Zanzibar
@abdullahv.lebabu81823 жыл бұрын
Safi makufuli kwa kuimarisha siasa Zanzibar
@heavenlight50843 жыл бұрын
MUNGU ibariki Tanzania yetu,dumisha udugu na umoja daima.amen
@mursallusinde91893 жыл бұрын
Ilitumika hekma kubwa sna kumpa maali seifu umakamo wa rais yan ni maono ya mbali sna lengo ilikua ni kumrahisishia kazi mwinyi ili afanye kazi yake bila kupigwa mawe yan kimyaaaaa 😂 mchawi mpe mtoto akuleleee sasa kile alivho kua ana kiahidi maalim seifu ndo akakitende tuone
@jamisonjude49442 жыл бұрын
You probably dont give a damn but does any of you know a method to get back into an Instagram account..? I somehow lost the account password. I appreciate any help you can give me!
@swahibambogo18333 жыл бұрын
Maalim seif Allah akulaze mahala pema amin
@samuelmwaipaja51813 жыл бұрын
asante mzee wetu kwa busara zako. MUNGU akubariki na akuongoze katika kipindi hiki. amen
@thekingbudah37113 жыл бұрын
Safi sana mahalim seif tukopamoja tuijenge nchi yetu
@andresmartin63323 жыл бұрын
Malim Seif hongera sana kwa hekima kubwa kwa maamuzi uliochukua Mungu akupe afya njema Baba
@hajikombo85783 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima mungu akulaze majalipema peponi😭😭😭😭😢🤲🤲🤲🤲
@liliansamson6743 жыл бұрын
Tanzania kwanza # Amani kwanza💪🏿💪🏿
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Nawaona masheikh , njia nyeupe kuelekea kuachiliwa!!!
@greenandbeach81342 жыл бұрын
Kumbe ulishtuk
@abdulwahidmsellem19643 жыл бұрын
Allah awaongoze inshaalah
@ahmedhamad2410 Жыл бұрын
Mungu akulaze mahali peponi maalim seifu baba wa taifa la Zanzibar
@panchovalentino59223 жыл бұрын
Vizur mkuu nmependa Daima Aman itawale
@omarmhmammed2163 жыл бұрын
Tunatumai soon mashekhe wetu wanakuja zanzibar kwa uwezo wa Allah
@feysalsaleh54443 жыл бұрын
Inshaallah
@Mike-fv5lv3 жыл бұрын
Kama walivunja sheria za nchi basi wanapaswa kutumikia vifungo vyao.....viongozi wa dini hawapo juu ya sheria
@salimmoha79623 жыл бұрын
@@Mike-fv5lv kwani hicho ni kifungo? Wapi jaji kahukumu au mahakama gani walipelekwa wakahukumiwa ndio useme watumikie kifungo chao mjinga wewe
@saifysaid75563 жыл бұрын
@@Mike-fv5lv ww kuna kifungo wale wapo lockup miaka 8 acha ujinga ila jina lako linaonesha ushetwan ivi ww baba ako angekuwa yupo ndani ungesemaje
@sadickally18063 жыл бұрын
In sha Allah
@emanuelinno6313 жыл бұрын
Mwinyi we mtu cool sana mfundishe magufuli
@augustinemzeentinginya30573 жыл бұрын
Ili Magufuli awe cool sana na tuanze kumuita lege lege, na tupige madili kadri tutakavyo. JPM, wembe ni nule ule
@jurassicparkmovies88053 жыл бұрын
*KWA KUSOMA MASHAIRI YA NYIMBO MBALIMBALI YAANI LYRICS NAOMBA BONYEZA Lyrics APO PEMBENI ILA PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*
@suleimanissa23083 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania yetu na viongozi wetu
@sensiblejuniour67193 жыл бұрын
Mungu akubariki maalimu
@alirattansi50403 жыл бұрын
Allah awa weke viongozi wote DAIMA...Ameen!
@thomasliteka83183 жыл бұрын
Maalim
@almusawyusuf26083 жыл бұрын
Ili muonekane nawananchi mumefanya lamana mashekhe muwatoweee tunakuombenii
@samsonhaule33733 жыл бұрын
Maali Seif Una busara sana.
@jedidahbintidaudi82413 жыл бұрын
i feel like our country has not served justice to this good old man. i pray he wont die with pain in his heart. thts just my prayer
@shifaaplusherbalmedicine2 жыл бұрын
Dawa zakutoa kitambi au kupunguza mwiili kutoa colesto
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
Masha Allah 👏👏👏
@yassirrashid78023 жыл бұрын
Millard Ayo mumezid dharau iyo s ndogo maana yake nini hapo kwenye majina ya maalim seif..?
@samiakhamis18613 жыл бұрын
Maalim seif mtu mwenye akili nyng
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Kivip Yani
@an68083 жыл бұрын
Hii Kichwa ya Mwinyi ilibidi iongoze Tz nzima, maana ushindani wa 2025, ungekua Ni Majaliwa vs Mwinyi, lakini sasa hakuna zaidi ya Majaliwa
@gimbagusweka70163 жыл бұрын
Kwakweli anafaa huyu muheshimiwa Mwinyi, nanihakibatosha yahapobadae, nidhahirkabisa. Mungu' IBARIKI nchiyetu mungu' IBARIKI TANZANIA NA Viongoziwake wote.
@muddymaulid27713 жыл бұрын
anarud hukuuu
@majaliwabwitonde77493 жыл бұрын
Anakuja 2025, usijali
@camiliusmassao56863 жыл бұрын
Ukimtaja jina ndiyo hapati tu
@mbarakaiddi82093 жыл бұрын
naunga hoja asilimia"##%(
@HamadiMageti-ku2hg11 ай бұрын
Malim seif Allah akulaze mahali pema peponi amin
@mfwimiekayuki86923 жыл бұрын
Mwinyi Mungu akubariki una uvumilivu wa Ajabu na Hekima Kama Mfalme SULEIMAN. BIG UP.
@amiryhamza19843 жыл бұрын
mwenyezi mungu awabariki wazarendo watanzania
@shamimushittindi14183 жыл бұрын
Safiiiiii❤
@im82963 жыл бұрын
Tanzania, Zanzibar bila chuki na hasama inawezekana.
@idrisabakar79283 жыл бұрын
Amani idumu
@elibarickmmbando62253 жыл бұрын
Ndio muijue vizuri siasa,kama mlikuwa hamuijui
@jabirmawazo96803 жыл бұрын
JAMANI NA SISI TULIOKUCHAGUENI TUNAKA KUVAA SUTI HIZO .MBONA MNAPENDEZA NYINYI TU WAZEE WETU MTUARUWE NA SISI
@mohamedsalum37463 жыл бұрын
😂😂kanunueyako
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Hahahaa,,,,,,,,safi sana maalim na dkt mwinyi!! ndio Tanzania tuitakayo!!
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Kuwa unganisha ilikuwa muwaunganishe kabla,hawajabaki wajane,na walemavu
@emmanuelwilliam72513 жыл бұрын
Pole kwakuwahadaa wazanzibare
@zakariamsilu23333 жыл бұрын
Tudumishe upendo na Amani
@salumhafidhally59273 жыл бұрын
🙏
@emmanuelwilliam72513 жыл бұрын
Ktk kuwaletea mageuzi ya kweli
@aminahhuawei11333 жыл бұрын
Tutawakumpuka daima mungu aziweke mahala pema peponi🙏🙏🙏🇹🇿
@mathewungani97243 жыл бұрын
Sawa sawa
@mustafaalli46983 жыл бұрын
😳😳
@iviejustified81093 жыл бұрын
Tukiungana wa Africa tunaweza zaidi.... Hongereni Zanzibar
Siasa mchezo mchafu sana walivyokuwa wanatupiana vijembe wakati wa kampeni hamna mtu alieamini kuwa hawa jamaa wanaweza kukaa meza moja, hongera sana kwenu mdumishe uhusiano ulio mwema kwa wa tz na wa zanzibar ili nchi zote tuwe mbele kimaendeleo.
@DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын
MCHAFU SANA TENA WA KISHETANI
@neliustkyobya30653 жыл бұрын
🙂
@echizua6063 жыл бұрын
1
@malelabmalela50163 жыл бұрын
jaman
@johnmanyema60083 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@martinlilenga22803 жыл бұрын
Good vision
@johnmanyema60083 жыл бұрын
😁😁😁
@emmanuelbonifase11143 жыл бұрын
Politics iz not war
@nzumbizblogger41543 жыл бұрын
Mm najua wote mtafaata njia ya magu, mnaruka ruka tuu
@salimmoha79623 жыл бұрын
Kwenda uko
@azizawadh59733 жыл бұрын
Mlo
@mtangombayaya70003 жыл бұрын
Siasa za kweli na amani mungu atuzishie umoja wetu
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Kabisa
@aishaasumany5613 жыл бұрын
Innalilahi wainna rajiuni
@jenipherkavusha16613 жыл бұрын
Safi sana baba
@petrojosephmakono3233 жыл бұрын
Vizuri
@abbyadams86913 жыл бұрын
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
@kassimmussa78143 жыл бұрын
Uhuru kwa mtu anaejitambua una thamani kubwa kuliko chipsi kuku kwamjinga🤣🤣🤣
@enocklema72132 жыл бұрын
Mmh kwel ubepari ndo uu
@pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын
Nimependa Sana hiyo nilipenda ata kwa magu ningekua hivyo
@awatifalghanim11062 жыл бұрын
Wamemdhulum. MASKINI, alikuwa na MOYO MSAFI HILO NDILO LITAWAUMIZA dhulma haidumu na yeye kwa nguvu zake zote hakukaa Duniani. alileta umoja mzuri wa kuulisha na kupiga Wananchi wa Zanzibar.
@ahmadseif72413 жыл бұрын
Vipi kuhusu wale mashekhe?au ndo bas tena
@andrewbigambo67213 жыл бұрын
Hamna nchi duniani iliyofanikiwa kuchukua nchi kwa maandamano yaliyomwaga damu na watu Wa chini kufanikiwa lazima vyama vyenye mlengo kufutwa na kuangamizwa kabisa.
@winfredcanaan5823 жыл бұрын
Kaa kimya kama hujui historia, Misri, Morocco na Algeria zilibadili uongozi kwa maandamano. Raisi Mseveni na Raisi Kagame wameingia madarakani kwa njia hizohizo.
@andrewbigambo67213 жыл бұрын
@@winfredcanaan582 fuata nyumbu wenzako beligiam tuachie nchi yetu tutafute Mali alizotupa mungu ambazo hatuwezi pewa na wanasiasa sitaki kujua siasa natakakujua nitafanikiwaje na mali mungu ametuzawadia nyumbu sio kila mtu lofa
@winfredcanaan5823 жыл бұрын
@@andrewbigambo6721 hapo nyumbu ni nani? Unajua kwamba kuna watoto wamepata nafasi ya kujiunga na elimu ya upili lkn wapo majumbani kisa serkali haikujiandaa? Unajua mikopo ya elimu ya juu imeongezewa malipo ya 10%? Unajua kwamba ni mwaka 60 toka tupate uhuru na wanetu wanakaa chini mashuleni? Unajifanya unaipenda sana nchi kumbe ni mnufaika wa wizi wa viongozi wako ☹️☹️☹️
@andrewbigambo67213 жыл бұрын
@@winfredcanaan582 swala wizi hats upinzani mbona wezi tu .ila tunashukuru awamu hii inafuatilia namna kiongozi inatakiwa kuwa yote yatatuliwa kupitia maliasili tulizonazo. Upinzani maneno mazuri mdomoni ila moyoni ni majoka.ila unadhani kwa non awamu hii wamewafutilia mbali hii awamu inaleta heshima kwa nchi bila upinzani kwa sababu kila mfumo tumeletewa na kama hauna tija nikuufuta tu.kama kiongozi mmoja anasifiwa kuwa na hotel na majumba mpaka ulaya huyuhyu anadanganya watu waandane hayo majumba na vihela vyake alidhani ataweza pata dollar kirais .hats Lowasa pamoja na mahela yake sasa hivi mbona afaidi mkapa naye yupo wapi.Magu anafanyakazi.
@winfredcanaan5823 жыл бұрын
@@andrewbigambo6721 Haya mawazo ya kimasikini unayapata kwa wajinga kama wewe, kiongozi kuwa tajiri wewe inakuuma nini? Unataka awe maasikini ili iweje? Fanyakazi kwa bidii jielimishe wacha wivu wakisukuma!
@issahmswahili53013 жыл бұрын
Sisi ndiyo waswahili undugu kwanza
@godlovemgeni2353 жыл бұрын
Ahahahaha siasa bwana daah
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@afredyohana3563 жыл бұрын
Yani huyu mzeee ni mnafiki kweli na Mungu anakuona
@Mumewangu Жыл бұрын
Unafiki wake upo wap
@nassiromar3393 жыл бұрын
mwinyi unajua kuongea
@suleimansuleiman24363 жыл бұрын
Mhhhhhhhhm
@kasililamecksatano73023 жыл бұрын
Naitamani Tanzania ya viongozi wanaojadili mambo ya nchi kwa umoja hongera sana m/k JPM
@alexmussa25983 жыл бұрын
Njia rahisi na salama ya ASILIA kumaliza tatizo la kiba100. - Kama wewe ni kijana au baba na umekuwa na changamoto ya kiba100, na umesha tumia vitu vingi kumaliza changamoto hii bila mafanikio, basi ninahabali njema kwako 🤩 - Hii sio changamoto inayo weza kutatuliwa hospital bali unahitaji kutambua chanzo cha tatizo hili kwako, kama ni la kuzaliwa nalo au limetokana na mabadiliko ya mwenendo wa maisha yako. - Kama lakuzaliwa nalo jibu ni kuwa unahitaji pacha wako kufurahia tendo, kama sio unahitaji kutambua aina ya vyakula na kutumia kisha kufanya zoezi la kuboresha msuli wako na kwa muda wa siku 15 mpaka 60 ukizingatia unamaliza tatizo hili. - kama wewe upo na changamoto hii, basi usisite kuwasiliana nami WhatsApp au sms ama kwa kupiga simu, kisha nami nitakupa tiba kamili na ya asilia isio na madhara/wala chemical yeyote mwilini baadae Mawasiliano yetu 👇👇 Number- 0744481111 Instagram- @Afya Mkononi
Hata akimsalia ni kwa umri wake nasi kicheo.....kumbuka Seif kimuungano na kwa majibu wa katiba kama sikosei yupo chini hata kwa waziri mkuu haingii..
@hajihassan54333 жыл бұрын
@@Mike-fv5lv Kukusaidia tu hii ni Ihsani ya Kiviongozi wa Kitaifa lakini kiprotocal Makamo wa kwanza na wapili wa Rais wa Zanzibar hawana nafasi yoyote ndani ya Jamhuri ya Muungano Tanzania, hawakutajwa popote kwenye Katiba ya Jamhur ya Muungano. Hadi sasa inamtambua Waziri Kiongozi kuwa ndie mtendaji Mkuu wa SMZ. Ukumbuke SUK imeingizwa kwenye Katiba ya Zanzibar 2010 wakati mabadiliko ya mwisho ya Katiba ya Jamhur ya Muungano wa Tanzania ni July 1992. Hata misingi ya SUK haijasimama na mwisho wake 2024, chezea mote lkn sio Serikali sio uji hasionjwi wala haitajaribiwa ni CCM mpaka infinity.
@HassanHassan-sn5cj2 жыл бұрын
Mwenye macho haambiwi tazama yaani huyu mwamba anaongea lakini kuna watu wawili wanaonekana wamejawa na hofu na wasiwasi !! Nadhani hofu yao ni je atamaliza hotuba yake bil kuchafua hali yahewa au vp!?
@abbyadams86913 жыл бұрын
Mbona Maalim hamkumpigia makofi wakati anaongea? Siyo vizuri inaonyesha bado mnambagua.
@sasha-ri7tf2 жыл бұрын
ZITAZAMENI HIZI SURA ZA HAWA VIONGOZI MTAGUNDUWA KITU INAONEKANA WALISHA KUBWA NA CORONA ILA WALIKUWA WANAJIKAUSHA KI USOLAPA GANZI LAKINI WOTE WAWILI WALIKUWA TAYARI HOI.
@jumasharif71463 жыл бұрын
Yeye munamuahid kama nani? Na wakat kila mmoja ana nchi
@mangaabubakari51113 жыл бұрын
Yani hadi raha hii ni ishara tosha kuwa Tanzania ni inchi ya amani upendo na bila kujali ukabila ukanda wala uchama. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongozi wote wa Tanzania
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Utaliona likigemwa lakini kinwani halitoingia
@amalikakiva49372 жыл бұрын
Yo
@kevinmtei14573 жыл бұрын
Umoja ni upendo upinzani si uadui
@nipolive..27453 жыл бұрын
Hicho ndo kinacho wahangaisha wapenda vyweo
@azizawadh59733 жыл бұрын
Kawa lainiiiii
@allyhuyu18923 жыл бұрын
Amani itawale Tanzania yote, tunakuomba Mwenyezi mungu ibariki Tanzania
@marrydamian28643 жыл бұрын
Eti nkweli amefikia being maana alikuwa mdomo kaya xana
@alhamud27213 жыл бұрын
😂😂😂😂
@patricksamwel62303 жыл бұрын
Nikikumbuka enz ya jino kwa jino 😂😇
@christinashaban72623 жыл бұрын
Masihara nini😀😀
@blacksimba69673 жыл бұрын
Wananchi Wana Njaa
@ramadhaniharuna81103 жыл бұрын
Namcheki maalim kwmbalii sura inakuja inakataaa 😂🤣😂
@hamedabashir93 жыл бұрын
Hahaha uwii
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@yusufmohamed88743 жыл бұрын
Acha fitna 😂
@rolax19993 жыл бұрын
Tutunze Aman yetu
@vincentnyello18853 жыл бұрын
K
@komboomar82753 жыл бұрын
*1 2 3 1 2 3 tunataka masheikh wetu wa jumuiya ya uamsho waachiliwe huru gerezani kwani hawana hatia yoyote ni dhulma tu wafanyiwayo*
@ARMANIDIORFILMDIRECTOR3 жыл бұрын
Humu kwenye mtandao unamueleza nan?
@zuwenasalum15633 жыл бұрын
@@ARMANIDIORFILMDIRECTOR Anaueleza mkundu wako si ndo ulosimama hapo unahutubia
@komboomar82753 жыл бұрын
@@ARMANIDIORFILMDIRECTOR namueleza mama yko lakini naona yuko bize anatombwa
@ARMANIDIORFILMDIRECTOR3 жыл бұрын
@@komboomar8275 acha ushoga wewe, c aende serikalini akawaeleze, humu nan anamckia?