Mwalimu kabisa huyu Ana ufasaha wa kuelekeza anaongea moja kwa moja .Allah amuhifadhi aaamiin
@SurprisedBirdwingButterf-gi9ymАй бұрын
Ameen yaRabbi 🤲
@zaydamos8742 ай бұрын
Simba mkali sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi sheikh wetu sheikh msomi
@UlamaaWaUlamaa2 ай бұрын
Mwanzo nilikuwa simuelew ila kwa sasa naaaanza kumuelewa. Allah amhifadhi
@Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын
Aise yafaa masheikh wamuunge mkono Zaid huyu bachu maan anafany kazi kubwa saaan
@UlamaaWaUlamaa2 ай бұрын
Mm namba moja nitamuuunga mkono
@Munatiyahilwa2 ай бұрын
Wallahi yametoka machozi May Allah reward you...awaongoze na Mashekhe wetu wote.
@amadeomarsaide50232 ай бұрын
حفظك الله يا ابن باشوا وأطال عمرك في خير ورزقك الإخلاص في القول والعمل وأسأل الله برحمته الواسعة أن يجمعنا في فردوس الأعلى مع النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
@biangwatv.12232 ай бұрын
آمين
@JumaOmar-ku6cr2 ай бұрын
Ndugu yangu Abdul Abeid unafikiri kuna dhambi kubwa kuliko shirki usimlaumu bachu msikilize hata kama humkubali utapata faida hata ndogo
@dulividuli52372 ай бұрын
Kiufupi nakupenda sna Muhammad bachu kwa ajili ya Allah,Allah akuzidishie elmu uzidi kuutoa Ummat muhammad kwnye Giza hata km watu wanakuchukia ila chuki zao zisikufanye ukarud nyuma katka kuuelimsha umma wa Kiislamu,Allah ndie anaejua yaliomo Moyoni mwako.
@anthonykariuki24382 ай бұрын
Nimekuelewa mia fil mia shehe. Nafurahia kuongozwa na Allah nikaingia kwenye dini ya haki. Kwenye ukristo hakuna mijadala,huko ni imani potofu. Allah atuzidishie ufahamu na Insha Allah umauti utupate tukiwa waislamu.
@kennodhiamboАй бұрын
haki iko wapi
@anthonykariuki2438Ай бұрын
@@kennodhiambo £££333"""*****
@hamzaforogo2 ай бұрын
Shekhe nasoro bachu hapa katuachia mtu
@hamzaforogo2 ай бұрын
Allah anasema " jisaidieni katika mambo yenu kwa kusubiri na kuswali hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri. Sio kutaka msaada kwa majini . Swala na subira
@AbdulAbeldi-km4po2 ай бұрын
Sasa mie sie kuraishi... Bachu namuona WA kawaida Tu.. haswa kwenye elimu ya dini
@warshysaid85642 ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4poww umefanya nn kwenye iyo elimu yko ya dini
@abuuaidh65002 ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4poinawezekana Akhiy Bachu kwako hana elimu ww upo Juu Ila Jee hili analosema nikweli au sio kweli
@AbdulAbeldi-km4po2 ай бұрын
SINA elim ya kumfikia bachu na wewe pia siiufikii sijasoma Mimi hata kidogo wabillah tawfiq
@abdillahsleyyum27682 ай бұрын
Wewe ni nani na jitihadi gan umefanya?@@AbdulAbeldi-km4po
@khalifa_kuchi2 ай бұрын
Nimeelewa na nimefahamu vzr unavyoomaanisha, Allah akulinde akuhifadh na azid kutuongoza ktk wema InshaAllah...
@CishahayoCishahayoАй бұрын
Mashaallah, sheikh Muhammad bachu, namuomba Allah akuhifadhi na azidi kukuelimisha, ili na wewe upate kutuelimisha sisi, aamiin!
@saidaamourali85902 ай бұрын
Huyu mwamba namkubali katumia mda mdogo refrensi za kutosha na ufasaha wa kutosha. Shukranii sana
@aishamary2462Ай бұрын
Nilikuwa najiuliza maswali meng saan baada ya Dr sule alichko kisema Alhamdulilah hatimae nimepata elimu Mungu akulipe sheikh
@husseinmongolare34172 ай бұрын
Nakuelewa sheikh Muhammad Shukran
@user4122 ай бұрын
Masha Allah! Bachu Allah amekupa ufasaha wa kuongea. Hapo nakuunga mkono
@FahamuAI2 ай бұрын
Elimu hii ni pana sana shukrani sheikh kwa ufahamu huu, ninachokiona kuna mstari mwembamba sana kati ya imani na ushirikina ALLAH atuepushe na ushirikina.
@user-gi2jv4kl7s2 ай бұрын
Shekh bachu anafanya kazi kubwa ya kuelimisha
@MwalimJecha2 ай бұрын
Hapana ya kupotosha
@UmarMasudi-so2hiАй бұрын
Allah akulipe kila la kheri sheikh wangu kwa kunitoa kwenye ujinga...uku kwetu drc watu hao ni wengi sana piya dini imedhalilishwa sana na watu hao...
@mohammedjabir61282 ай бұрын
Huyu ndio Simba Mashallah hayumbishwi. Allah amlinde, Amzidishie elimu ma ampe umri mrefu!
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
Allahuma Amiin
@abdullahijma20732 ай бұрын
Mashallah leo nimependa hii Raddi ya kielimu na umeeleza kwa heshima sana...this is how it should always be...hataa kama ni kwa wale ambao hamuwafikiani nao.
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
Ukiskiya back to back sasa ndohii yaani raha juu ya raha mashekh acheni kujifungiya navitabu tu vyumbani mwenu amkeni muje kuelimisha jamii,jamii inateketeya mashekh zangu .pwent yao kubwa utaskiya Nabii suleiman alitumiya majini nisawa ilakumbuka suleiman tumeambiwa tumuamini hatujaambiwa tumfuate. jaman hili ni balaaa shekh bachu Allah akubarik
@AbdulAbeldi-km4po2 ай бұрын
Ndio zake huyo bachu Hana cha maana. Ukimswalia mtume kwake bidaa. Ukimpiga maulidi kwake bidaa kusoma wasilatu shafii kakwe NI bidaa sasa anataka tumfuate yeye
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4po wapi alisema kumswaliya mtume ni bidaaa sasa ww wapi kuna dalili maulidi ni ibada, hapa tuko kwenye darsa za majini ww unakuja na maulid mbona kimekuumeni sana bachu kuisema maulidi basi ww kaa hadharani funguwa vitabu uwaambiye watu maulidi ni ibada kwadalili hii nahii nahii kama yeye bachu anavyo kuonesha kitabu andiko hadi andiko usilalamike upenuni njoo hadharani. halafu muache kurukiya mada hapa tuko na darsa za majini maulidi sisehem yake mjomba
@ameenaameena4222 ай бұрын
Kasome huko
@AbdulAbeldi-km4po2 ай бұрын
Nikasome Kwa bachu ili niwe m bishi na mimi
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4po Hata mfalme namrudha alibisha na nabii Ibrahim nahaki ikapatikana sasa ww ikiwa hautaki kubishana basi umtupu ktk dini jee utaweza kubishana na mkiristo kimaandiko ww ikiwa ww mwenyew unajiogopa
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Allah awahifadhi masheikh wetu
@user-fw6si9yd6xАй бұрын
Masha'Allah. Ilimu kubwa sana Shekh wangu umetupatia. Anayefuata mambo hayo baada ya sasa hana sababu zaidi ya ukaidi tu. Allah akuongezee ilmu na ufahamu amina!
@SalmaSalum-p5o23 күн бұрын
Yaarabbi tujaalie tupate watoto wema kama shekh wetu Muhammad Bachu❤
@user-ug8hc4yh5k2 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu Muhammad bacho Kwa kumrekebisha uyo aliye taka kuhalalisha ushirikina na Uchawi baba kirwasha
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Baba kirwasha ndiyo nani
@aswabikimaro30332 ай бұрын
@@Catherine-mh8swyule shekhe kwny kpnd cha wanandoa tv imani....
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
@@aswabikimaro3033 asante
@celestinshayo72952 ай бұрын
@@aswabikimaro3033suluhu la yote hayo ni kujisalimisha kwa Yesu Kristo pekee. Kwa jina lake kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni BWANA (Mungu). ..wanaopinga hili ipo siku wataungama
@Noorein-ws8wk2 ай бұрын
@@celestinshayo7295 Uislam una sheria zake muhimu kusoma Quran na kuifuata,na nyie huko kanisani kumejaa mapepo kila siku yanatolewa mbona hayeshi? Majini pia kanisani yamejaa na nguvu za kiza zimejaa muhimu ni kuslimu na kusoma Quran tu na kufata sheria zote.
@Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын
Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu Allah akuhifadhi saaan
@ARNOLDKARISA-fs3ht2 ай бұрын
amiin thumma amiin
@user-ye3fy9kk6r2 ай бұрын
Aamin
@hamishassan67842 ай бұрын
Nimekupenda sana kama enzi za utoto wangu nilivyokuwa nampenda Marehem Baba yako Allah s.w amuhifadhi. Ahsante sana kwa kutumia hivyo vitabu kuvunja hoja yao, lakini mimi Binafsi nilishalikataa hilo na kuwa kinyume na Witch Dr. Sule mapemaaaaaaa kwa aya tu za Quran na ufahamu wa jumla lakini pia hii inaonesha wengi katika wale wanaoitwa mashekh hawaijui Dini na ni hatari sana hawa kwa Mustakbali wa Uislam na Waislam na jamii kwa ujumla maana sio tu ushirikina wao lakini pia wanasambaza mafunzo yasiyo sawasawa katika dini yetu
@saadasaleh31772 ай бұрын
Allah atakufufua pamoja na uwapendao❤
@hamishassan67842 ай бұрын
@@saadasaleh3177 Aamin ajalie sote tufufuliwe na wema wote tuwapendao
@mohammedrajabumwamba13222 ай бұрын
MaashaaAllah jazaakumullahu khaira nimekuelewa sheikh wangu maana ya kukuelewa
@barakoibrahim2 ай бұрын
Hii shida yoooooote imeletwa na Dr. Sule. Anafaa amrudie Allah ili kumuomba msamaha....Allah atuongoze🤲
@UlamaaWaUlamaa2 ай бұрын
Nlikuwa namkubal sana sule ila alnitoka moyon baaada ya kusema kuwa huwez kwenda pepon kwa kuswal swali tu
@barakoibrahim2 ай бұрын
Haya nami nlimkubali sanatu yaani...nlidhani utamu was ulimi waki inaambatana na moyo wake kumbe wapi!!!!!
@ismailsoud36342 ай бұрын
Naam swadakta, Dr. Sulke amreje Mola wake kwa toba vinginevyo ATASUJUDU MOTONI. hivyo hasara ni kubwa kwake kuliko faida.
@LuqmanAndrew-nu9rxАй бұрын
Swadakta, na tatzo sio kukosea tatizo n kukosea alafu Kwa ule ukubwa/umaarufu unaozan unao unalazimisha lile ulilokosea liwe sahihi, inabid akubal makosa arud nyuma.
@HalimaAdow-wl6sp2 ай бұрын
Shukran kwa mda na maelezo bora,jazakaAllahu kher.
@shijasagali51612 ай бұрын
Jazakhallah khaira sheikhe Muhammad, elimu tumepata na faida kubwa tumepata, Allah akuhifadhi
@biangwatv.12232 ай бұрын
ALLAAH AKUHIFADHI NDUGU NA KAKA YETU .... NIMESTAFIDI KUTOKANA NA WEWE NIKIWA SAFARINI HAPA NA NIMEKUSIKILIZA KWA MAKINI .. Maana Mzee na baba yetu Kiruwasha alitaka kuingia kwenye Hilo wimbi. ALLAAH AKUHIFADHI NA AKUZIDISHIE ELIMU NA WATU WAENDELEE KUFAIDIKA NA WEWE
@habibbeiyye2 ай бұрын
100% حياك الله....... Wiqaayatul insaan mina ljinni wa shaytwan......kikovizuri sanaaa Mashallah....
@maryamtanzania97432 ай бұрын
Mimi jamani huwa sitegemei nipate shida aina yoyote niende kwa mtu anisaidie tumtegemee allah kwa kila kitu
@shaniisack11532 ай бұрын
Allah amuifadhi Yuko imara Kama Baba yake
@user-cj9km2tk4qАй бұрын
Allah atupe mwisho mwema Allah amuifadhi shekh nassoro bachu kwakutuachia mwalimu
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Wallah,nataman siku1 Sheikh Muhaammad na Sheikh Qassim Mafuta wakae wawili waondoe tofauti zao kwa hoja za kielimu kisha wakaungana katika kusema hakki huwa nikiwasikiliza nafaidika sana na elimu wanayotoa na Allah amewajaalia ufasaha.
@SamMus-qn1pu2 ай бұрын
Amiin
@ShekhKhamisi2 ай бұрын
آمين
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Amin
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Wanatofautiana kijuujuu tu ktk baadhi ya vijijambo havina nafasi ktk Dini wala Da'wah, lkn kiundani na ukweli uko hivi wako pamoja na kazi yao nimoja
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
@@OmarAlly-iz8ot Allah afanye wepes
@abuhamissi90822 ай бұрын
MashaAllah. Allah akupe umri mrefu. Uzidi kuelimisha wa limwengu.
@muhammadmbaraka45152 ай бұрын
MAA SHAA ALLAAH..Atakaekusikiliza hadi mwisho lazima akuelewe kwa idhni ya ALLAAH.. **ALLAAH Akujaalie mwisho mwema**
@mwanaishajuma41662 ай бұрын
Amiin
@aaa64sa13Ай бұрын
Ameen..
@negaboy49724 күн бұрын
Nimesikiliza nusu tu nshamuelewa vziuri kabisa
@augustomariosama1542Ай бұрын
W.salaam shaikh Muhammad Bachu ni mwepesi sana wa kufafanua mambo
@user-wq2xy5mw1z2 ай бұрын
MaashaAllah sheikh bachu .waonyeshe hawo masheikh shetani wanachafua jina la Uislamu pamoja kuwapotosha waumini wa kislamu pamoja na jamii kufikiria Uislamu ni dini ya kufunga majini na kuwatumia watu ni shirk hiyo Subhanallaah ❤
@IbrahimuSampa2 ай бұрын
Allah azidi kukupa umri mrefu wa kher shekh kama tulivyoambiwa wakulu bidaati zwalala wakulu zwalala ti finnari.
@NassirKheri2 ай бұрын
Mm nasema kila siku na wallah lau watu wangemsikilixa mualim Muhammad nassor bachu kwa leng la kumuelewa na sio kimjib wangepata faida sanaaaaa, kutoka kwake , namuomba Allah akupe ilmu bora na nzuri ili tupate kufaidika tunaokufuatilia. ❤ Tumekumiss kwa ajil ya Allah masingini msikitini.
@ChidySuleimanАй бұрын
Shekh allah akurpe kheir na atusibitishe mpaka mwisho wa pumzi zetu
@user-op5ii7bc1c2 ай бұрын
Allah akuhifadhi shk wetu uzidi kutuelimisha katika misingi ya dini yetu Allah akujaalie wewe na familia yako khery hapa duniani na kesho akhera
@GoodluckPaul-wf9gn2 ай бұрын
Muhammad Bachu ALLAH azidi kukuongoza katika uadilifu na akujaalie kheri Duniani na Akhera. Nimejifunza mengi sana kupitia darasa zako tofauti tofauti.
@KingPrince19172 ай бұрын
Allah atusamehe kwakweli
@kimeajuma32672 ай бұрын
Jazakallah khaira Sheikh Bachu, Kila jambo lina kheri Dr, sule asingesema elimu hii tusingeipata.
@shenjamamzingi79502 ай бұрын
MAJINI HAYANA MAHUSIANO YENYE FAIDA KIVYOVYOTE KWA MUISLAM-JAZAKHALLAHU KHAIRAN
@saba-gv3mj2 ай бұрын
Ki vp ww na majini mumeumbwa kuja duniani kufanya nn
@warshysaid85642 ай бұрын
@@saba-gv3mjkumuabudu Allah
@abuuaidh65002 ай бұрын
Kumuabudu Allah tu na Sio kushirikiana kumkufuru Allah
@saba-gv3mj2 ай бұрын
Sasa kama kumuabudu Allah na majini wako wanao muabudu Allah ambao ni waisilamu kama ww na wale wanao mshirikisha Allah niwale majini wabaya na hata binadamu kunao wema na wabaya utapata binadamu anamroga mwenzake atamtua huyo huyo jini na utapa binadamu mwengine anamtibu huyo aliyerogwa kupitia quran na pia aweza mtuma jini yule mwema kuchukua madawa msituni ambapo ww binadamu ukitumwa huwezi zipata dawa zengine
@shenjamamzingi79502 ай бұрын
@@saba-gv3mj UNAJIKIA UNAVYOSEMa
@bomikassim45282 ай бұрын
Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mema kwa kutuelimisha katika jambo hili. Naomba nitoe ushauri. Kama itawezekana, angalia uwezekano wa kuandika kitabu kitakacho husu suala hili. Kitabu hicho kitumie lugha nyepesi pamoja na mifano iliyo hai ili Muislamu wa kawaida aweze kunufaika. Kwa uwezo wa Allah, huenda jambo hilo likatoa manufaa makubwa zaidi kwa vizazi vijavyo. Nasema hivyo kwa sababu, ikiwa hata Baba Kiruwasha anahalalisha kutumia Majinn, ujuwe kuwa hali si nzuri kwa Waislamu wengi ambao hawana ufahamu na elimu kama alivyo jaaliwa Baba Kiruwasha.
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Baba kirwasha ndiyo nani
@dulividuli52372 ай бұрын
@@Catherine-mh8swww umeangalia hiyo video kuanzia mwnzo?
@abuuharuniАй бұрын
@@Catherine-mh8swrejea mwanzo utamuona
@Catherine-mh8swАй бұрын
@@abuuharuni anha sawa ahsante. Ila nisha mgoogle nimemuona.
@MohdAli-cn2cs2 ай бұрын
Mm nakuombea tu ujitaahidi kufikisha kwa njia nzuri na maneno mazuri kama hivi au zadi shukran akhy
@HashimJuma-en8je2 ай бұрын
mashalla shee Bachu tunanufaika sana allla akhifadhi naakulipe inshaallah
@UmarMasudi-so2hiАй бұрын
Nakupenda sana sheikh wangu kwa ajili ya Allah
@user-vz1el2xe5x2 ай бұрын
MashaAllah shekh umefafanua vizuri na itakuwa bora zaidi ikimfikia Dr Sule
@user-on5qx3cl7qАй бұрын
ALLAH akupe maisha marefu wallah umetupa uelewa shekhe
@atumanisudi6773Ай бұрын
MASHALAAH,Dah watu wamesoma aisee,upo dip sana..inatoshaa....MUNGU akulipe kheri.
@omarhamad47572 ай бұрын
Mashallah Allah akujaalie her kwa kuelimisha umma
@sakinasakku83406 күн бұрын
MAASHAA ALLAH shukran sheik wetu kwakutuelimisha ALLAH akuhifadhi
@user-sf3jq7wo5e2 ай бұрын
Maashaallah shekh wetu
@abdulmwakubambanya90912 ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh wetu kipenzi
@omarkhamys98182 ай бұрын
Ndugu yngu bachu haraka rud Zanzibar kama bado uko kenya tunahtaj darsa zako ..... Njoo tuone uyo mtu akusumbue
@mahfoudhcalender27472 ай бұрын
kafungiwa znz asifanye mihadhara ya aina yyte
@MwanaidMagasaАй бұрын
Allah akupe umri mrefu akulinde na hasad yarab
@ZaharaniZaharani-ts7wv2 ай бұрын
Kaka wachane asaa wanga ao kazi kuruka na ungo . Allah awaongoze katika njia iliyo nyooka
@Sidrasidra6362 ай бұрын
Allah akuhifadhi! Bila shaka na sheikh Kishki ata kusaidia kumwambia maana ni rafiki yake😊
@AhmedAlharithiy-sg5cq2 ай бұрын
Shukran shekhe moh'd Nakuomba ufanye fikra ya kumsomea ruqiyya dr.sule hawezi akaufahamu ukweli huu kwasababu majini yashamuweza hatakuelewa
@user-ts9ql7mo3w2 ай бұрын
Allah hafichi mnafki, na Dr sule mungu amemuanika live maana kifanyikacho gizani kitaonekana mchanga.
@MgazaMhina2 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu wenye faida
@saidabdurahman96312 ай бұрын
Huyu jamaa yuko vizur Allah ampe swiha na aman
@musarashid-xw1qm2 ай бұрын
Somo nimelielewa allah akubaliki akuhifadhi na akuzidishie heri❤❤❤ namuomba allah salama wa afya
@HamisAbdallah-cj2sc2 ай бұрын
Asalam aley kum mm kiu YANGU namtaka sheikh kishki naye azungumzie kadhia hii sheikh muhamadi bachu katuelimisha tumemuelewa.ila na sheikh wetu nurduni kishki nayeye atupe elimu pia amlinganie Swahiba wake DK Sule naona amekaa kimya!!!
@musarashid-xw1qm2 ай бұрын
Hamisi hilo ulitakalo ndugu yangu simo
@user-qo8uj1ym4m2 ай бұрын
مشاء الله تبرك الرحمن Allah akuhifadhi bin bachu
@ChidySuleimanАй бұрын
Mashaallah sheikh bachu allah atuongoze kwenye kheir
@mahamoddales4443Ай бұрын
Nafurahi sana kuwa wew nimoja kati ya watu walio nifunza nahau najivunia sana kwakweli Allah akuhifadhi
@binhussein44112 ай бұрын
MashaAllah Allah akuhifadhi sheikh Mohammad Bachu simba wa Tanzania na Kenya
@abdoulrahmanahmed58022 ай бұрын
Mleberali Mashaallah Wachape Masufii
@bakarisalim47632 ай бұрын
atleast leo umekua na busara za hali ya juu sna,alkua nakuchukia sna ila kwa hii,mashaAllah Wallah Allah akulipe inshaAllah
@user-sf3jq7wo5e2 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu shekh letu
@issapandu19182 ай бұрын
Amiin naomb namba ya shk tafazl
@omarkhamys98182 ай бұрын
AMIN
@johariabdalla33192 ай бұрын
M Mungu azidi kukuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha watu,na kuwatowa watu tongo,unazungumza kwa ufasaha yoyote atakuelewa tu,labda wale wanozitia nafisi zao katika upumbavu,na asiekuelewa wewe..basi hakuna mwengine watakaemuelewa.M Mungu azidi kumrehemu na kumpandisha darja za juu pamoja na mtume wetu Muhammad (saw) Sheikh Nassor Bachu,kwa hakika katuachia gitf,tunanufaika nayo..Alhamdulillah
@BadiuraAbdallah28 күн бұрын
Allah akupe nguvu katika kuelimisha ilitusipotoke kwa tamaa za kidunia tu.
@abubakaryomary8059Ай бұрын
Ukosahihi shekhe Allah akulinde
@omarussi73162 ай бұрын
Mashaallah yaa Muhammad
@MwanaidMagasaАй бұрын
Nakupenda sana kwa ajili ya Allah unaelimisha wanaopotezwa, wanauaibisha uislam,
@moodykombo3292 ай бұрын
shukran ustadh kwa kutuelimisha Mungu akupe afya njema na umri mref wenye manufaa kwako na kwa jamii nzima ya kiislam na wasiokua waislam tumuombe Mungu atuongoe kujua haki tuifate na batil tuiepuke jazakallah.
@feisalkhalid72252 ай бұрын
Bachu you are on fire 🔥 big brain 🧠
@user-bx3em9tm1b2 ай бұрын
Mashallah ALLAH akuhihifadhi shekh wetu tunakupenda sana uyo sule ni freemason sio shekh uyo mbwa ni shekhehena mpumbavu mkubwa uyo
@ibrahimfarha385319 күн бұрын
Hata kwa mtu hajasoma experience tu ya maisha ......ukisha likubali jini litakupa shartiiiii itabidii utiiiiii .....wakati wakkumtiii ni Mola wetu pekeee yaa Rab tuepushe na shirk ndogo ndogo na kubwa kubwa
@Fardadihd2 ай бұрын
Nimekuelewa sana ❤❤❤ bachu
@LuqmanAndrew-nu9rxАй бұрын
Sheikh leo umenyooka Allah akuongoze na akupe hekma zaid
@khalifa_kuchi2 ай бұрын
Wallah sheikh huko mwisho nimekuelewa vzr sana tena mno ila je kw mtu wa kisalafii ambae anafata sunna je huyo anaweza kupata jini mwema akamsaidia bila ya mafungamano yyte kw hofu ya kumuogopa mungu?
@khalifa_kuchi2 ай бұрын
Sheikh muhammad bachu nakufwatilia sana na nakuelewa vzr tu ila kuna maswal mengi najiuliza na kw yyte wenye nafas anijibu InshaAllah,kutumia majini haifai hata km wema je kw mtu ambae tear anaumw na anataka kuingizw ktk uchawi huyu tunamsaidia vp, na kw upande wa hospital mtu ambae anaend kw doctor kutibiwa na kumuamin doctor kutokana na maelezo yake huyu nae hukmu yake vp wkt nae pia atakua tear anamuamin doctor kuliko mungu na pia kuna maana gn ya kwend hospital wkt mungu alishatwamboa kua qur an ni shifaa ya kila mattzo kw nn tusitumie qur an ktk maradhi ilhali mpk w2 waende hospital kutibiwa?
@saidimkwinzu91062 ай бұрын
Umefikiria Kwa uchache Akhyii Kwa sabb hata njaa ni maradhi je ukilza chakula sindo Tina yenyewe na unaamin ukila unapona njaa Mtu aliyetupiwa jini huyu ni tofaut na mtu anayeumwa na maradhi ya kawaida Kwa mfano. Mtu katupiwa jini bila shaka ni mtu kadhamiria kumdhuru mtu huyu akafanya mambo ya shirki Ili jini amkubalie kufanya kazi ya MCHAWI na Mimi nakuambia Mimi ni msomaji riqya natoa watu majini Kwa Quran najua hakuna jini yeyote atatumwa na MCHAWI Kwa ajili ya kumdhuru mtu lakin MCHAWI yule lazma afanye shirki iwe kumchinjia Jin mnyama au ndege au akanyage Quran au afanye kufru yeyote Ile Ili amridhishe dini hapo ndo jini nae akubal kufanya kaz ya MCHAWI hapo ushaona maradhi yamepatikana Kwa kumshirikisha ALLAH. Maradhi ya kuumwa malaria na maradhi mengine ya kimwili maradhi yasiyotokana na mambo ya kiroho lakin ni ALLAH tu kaamua amtahini mja wake Kwa maradhi hayo na ukaenda Kwa daktar huyu haingii kwenye shirki Kwa sabb huyu hatumii jini Bali ni Akili tu ambayo ALLAH amemjaalia kupitia vipimo n.k. Wala hatakuambia ufanye mambo ya kumkufuru ALLAH Ili upone yeye anatumia elimu aliyojaaliwa na ALLAH. Vile vile Mtume Swalla llaahu alayhi wasallama anasema ALLAH hakuteremsha ugonjwa lakin ugonjwa huo ameutengenezea dawa yake. Kwa maana Kila ugonjwa una dawa lakin katika masharti ya dini yetu hutakiwi utumie dawa ya Haram huwez ukaambiwa huyu bwana anaumwa sana lakin dawa yake ni apate mwanamke azini nae baas hiyo dawa haifai na itakua ni katika madhambi lazma mtu huyo aoe ndo atapona na kama ugonjwa wake utakua unataka azini sio kuoa basi huyu atakua Sasa ni shaitwan haifai kumtii Bali utarud Kwa ALLAH na atakuonesha njia Hospital na wanaotumia majini haviendani kabisa
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Maswali gani ya kitoto hayo hata mtoto wa darasa la kwanza anae Anza madrasa anakujibu inaonekana ww huna uelewa katika dinni Sasa doctor Ni haramu kutibiwa kwa doctor? Jenga hoja kama mtu mzima hii dini haitaki istizaha na ukifanyia dini na mawswali ya kejel humkejeli mtu shekhe wajikejeli mwenye na kuidhurumu nafsi yako ndo tunaimizwa tusome ndo tutajuwa dini
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Kijana kama unaend hospital unategemea hospital ndio inaondoa maradh bas weka iman yako vizul.. Hospital ni sababu tu lakn mweny kuondoa maradh ni Allah na m/mungu hajataka kuondoa maradh yako bas hata ukalala hko huko hospital maradh utakua nayo tu. na hataka utafutiwa daktar bingwa kiasi gani hatoweza kuondoa maradhi hadi pale Allah atakapo yaondoa..
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Hataka kama unakunywa dawa muimbe mungu akuondole maradh yako. Weng wakunywa hizo dawa na hawapon
@dulividuli52372 ай бұрын
Allah anasema ndani ya Qur'an"Waja'alnaa kulla shayin sababa=na tukajaalia kila kitu kiwe na sababu" kwahiyo kwenda spitali hiyo ndo asbabu ya ww kupona maradhi yko ama kutumia dawa na sio kwamba et unamuamini Doctor je unamuamini doctor kwani yey nd mwenye uwezo wa kukuponya basi ingelikuw watu hawafi km ni ivo.
@MwanaidMagasaАй бұрын
Mashallah nakupenda Kwa ajili ya Allah wallah wape elimu wanapotosha Sana watu.
@MirajiMiraji-yu4ggАй бұрын
Shehe. Bachu tunakuelewa ..ila mm naumwa. Toka mdogo mpaka nshakuwa mtu mzima jee unanisaidiaje. Ili Dunia na mm. Niione nzuri .
@abuuharuniАй бұрын
SHAFAKA ALLAH
@malengajrking752510 күн бұрын
Namuomba Allah mtukufu Mola wa arshi tukufu akuponeshe akhy
@jumasalum26772 ай бұрын
Masha Allah Kazak Allah khaira
@hailatomantatusefu34332 ай бұрын
Kongole shekhe bachu Allah akuhifadhi na husd za wanadamu na majini napendaga kukusikiliza redio IMAN
@Ramadhan61152 ай бұрын
Wallah mimi nilikuwa miongoni mwa wale ambao hawakuwa wakimukubali bacho,ila leo nimekukubali sheikh nimeelewa kabisaaaa alhamndulillah, basi mwenyezi Mungu akulinde na akupe umri mrefu wenye baraka ndani yake na atupe mwisho mwema 😭😭😭, nimengundua kumbe wenzetu waislamu weengi wako kwenye shirki kubwa, nayoote nikukosa tu i'ilmu
@ishakafaki35012 ай бұрын
Mashallaah ALLAAH BARIK
@user-lb5tt1kt4mАй бұрын
Wala tushrq bii shaia jiulize mwanadamu kwa nn usiombe Mungu tusimame kwa Mungu jamani hii nidunia
@salimuhashimu15292 ай бұрын
Shekh asantee sana na endelea kuelimisha umma.Yani elimu itolewe sana, maana baadhi ya mashekh wanasababisha waislamu waonekane wanaukubali ushirikiana na uchawi wakt kumiliki majini ni ktk madhambi.Allah akulipe kila la kher na Babu Kiruwasha ikiwezekana umuite umuelishe physically.
@aminahassani-jh5rpАй бұрын
Weuweeeee ahsante sana uko vizur Shekhe wetu mtoto Shekhe nasoro bancho ni marehemu sasa umenyoosha maelezo shekhe
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
Bachu anakimbiza washirikina kimya kimya Docter sule na wenzake wameyakanyaga mbona moto utawaka wikihii
@youngtomuller-vh2pu2 ай бұрын
Antes de começar deixa ti dar oseu gosto irmao Allah ti abençoe ❤❤❤
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Nani amegundua kua ukimsiliza muhammad bachu akiwa anaachambua kitu unataman asimaliize kuonge yani saa limojaa unaona kama katumia dakak 15 tu...
@KhalfanMassoud2 ай бұрын
Kweli broo, ila kuna sheikh anaitwa Golo haeleweki dakika 5 zake utazani ni masaa mawili 2
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
@@KhalfanMassoud pale hamna sheikh ni mshenzi2
@KhalfanMassoud2 ай бұрын
@@Hamis-ks1sy mmmmh. Mm mwenyewe huaga nasema yule kasoma kweli au pangu pakavu. Naona haeleweki, anachosha. Golooooooo njooo uku usome comments.
@dulividuli52372 ай бұрын
Wa kwnz mm natamani asimalize yaani kw jinsi anavowez kuchambua mambo
@saadasaleh31772 ай бұрын
Allah amzidishie elim❤
@ShaibMohammed-lg5sk2 ай бұрын
Sh Muhammad Bachu Allah akulinde naakuondolee kibr Mashallah