Napenda kufuatilia interview zako Natokea 🇧🇮🇧🇮 nimekuwa wa kwanza kuweka like na comment
@ummySheikh729 ай бұрын
Mwaka wa nne ktk ndoa? Uwongo labda 2, juzi tu mmeoana acha Abdull
@elizabethswai77779 ай бұрын
Domo ss la huyu kenge majini,,,,
@sarabura89334 ай бұрын
Mm nawaombea MUNGU wanawake wote wanao sumbuliwa na uzao na omba MUNGU awakumbuke kila mwanamke azae ktk jina la YESU kirsto
@betitympeleta96979 ай бұрын
Here jamani nilikua sijui Kama yupo hivyo naona Leo comment duh Mungu asaidie
@salmaabdu50119 ай бұрын
Subhanallah mnajuwa nini maana ya shekh huyu si shekhe kabisa
@sabrasaid77399 ай бұрын
Hawajui Maana Ya shekh,,, Shekh kiarabu mzee mtu mkubwa,, Maana ya pili ni Alieshika aldini na amehifadhi Qur ani na hadithi na sunna na anamuogopa Allah,,,
@zabubamudy1269 ай бұрын
huyu kaka hana heshima kabisa niliwahi kuongea nae hana heshima
@matridamwalyoyo17358 ай бұрын
Da mange_kimambi njoo huku mbavu zangu duuuui
@marymbuya47639 ай бұрын
Tapeli wa mapenzi
@marthagodson44479 ай бұрын
jamani jamaniiiiii😢😢😢😢😢 diva akubali kuigiza paka kusema unaingilia watu kinyume na maumbile maigizo gani hayo
@rayahamisi1189 ай бұрын
Kila vitu vipo viwili 😊😊😊😊 kupenda na kuchukia kuchukuwa na kuwacha nikawaida
@Xconxeo_3997 ай бұрын
Jamani haituhusu ndowa zawatu tusikiye tu anavio sema Abduli munajuwa kuvunja ndowa za mtu nikama una vunja muskitii 😢😢 tuwache hayatuhusu ss lolote ss
@aminakawawa58009 ай бұрын
Kaka mzuri sema tabia tu mbaya
@jokhasaid86669 ай бұрын
Huyu kaka anajua kucheza na akili za watu. Wazungu wanasema You can fool people but not always.
@rukiauwonde70629 ай бұрын
Mfilaji huyo😂😂😂
@lelaiddy68569 ай бұрын
Ila huyu kaka ni tapeli wa kitaifa..
@marthagodson44479 ай бұрын
hahhahahahahhahahahhahaha ila sheikh ina maana zile voice note za binti hukuzisikia
@stelamwakatulile24559 ай бұрын
😅uyu kaka muongo ata miaka miwili bado mkavu anajibu mi nne da
@Leylah-pz5sc9 ай бұрын
Sheikh naskia ww kitangi unawapa watu vimaji wanalewa unawabaka😂😂😂😂 acha izo mambo mzeee 😂😂
@fathimadaid34299 ай бұрын
Kaka nakumbuka kuna siku uulihojiwa na uliambiwa kama hivo na ukampigia?
@aminaramadhan38158 ай бұрын
Huyu mshilikina ana mapenzi muhongo sana
@zamalisaide32098 ай бұрын
Wewe ndio huna heshima sio huyu kaka hasfuu wee
@Mummie_g5 ай бұрын
Watoto anaozaa wote kafara ya mganga huyu ,mimi ni mkenya nimezaa watoto wawili na kazi ninayoifanya ni ngumu ya kufanya usafi kwenye mahofisi za watu mpka nikiwa mjamzito..bedrest has nothing to do with pregnancy..bedrest inapeleka na hali ya afya ya mama..kama afya yake sio nzuri basi atawekwa na doc kwa bedrest lakini kazi aliyoizoea haisuiani na ujauzito..jamani nyiee diva hana ndoa hapa..ana bahati mbaya sana kuangukia mganga huyu lugha zake za kiongo ongo ..nimepanic tu kwa ajili ya diva maana wueh😮😮😮
@ilhamjonas69869 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kaka muongo uyu
@chitabenson28979 ай бұрын
Aki Lynn I have missed you ❤❤❤❤❤so much
@jokhasaid86669 ай бұрын
Kama kadhia ni za uongo nenda mahakamani. Mangi news zote anazotoa huwa anazifayilia na evidence huwa anachukua. Kama una mambo ya ovyo uache. Ndoa yako inadumu kwa ulaghai tu
@dahirahaji1769 ай бұрын
He is lying 😢😢
@gracebrenda11999 ай бұрын
Dd you see his face😂 kha! Mens are evil
@matridamwalyoyo17358 ай бұрын
Limekubuhu kwa uongo hili khaaa watoto watano khaa
@infodigtechforcommunityemp41037 ай бұрын
Inawezekana pia
@zamalisaide32098 ай бұрын
Alifira mama nin
@easternyerembe72719 ай бұрын
Nimemchoka huyu kaka
@marymbuya47639 ай бұрын
Hujamaliza miaka 2 kwenye ndoa, huzo mimba 5 kazitoa wapi? Diva hazai na alishawahi kusema kwenye Interview yake moja
@saudangalleni3889 ай бұрын
We Ming mbaka una uhakika azai acha umbea wakijinga
@yanifaa5609 ай бұрын
Huyu muongo sana lol
@NR-ll4sr9 ай бұрын
Watu wanavyopenda kuingilia ndoa za watu? Wakigombana mnafurahia, wakipatana hampendi,,,,lol...pengine nyinyi wenyewe mahusiano yenu mabaya,
@dahirahaji1769 ай бұрын
This guy can lie
@noelajulius77269 ай бұрын
tapeli
@Bikhafija9 ай бұрын
Owa owa uyu
@maryamtanzania97439 ай бұрын
Amekutapeli nini msiwe mnachukia mtu bila sababu
@glorianikiza39409 ай бұрын
Uongo uongo😅😅😅😅
@sophiahmedza9299 ай бұрын
😂😂😂Kazi ya ziada ku act... Mpaka sasa anatafutiwa kazi😂😂😂sijasikiliza kadhia😂😂😂
@glorianikiza39409 ай бұрын
😏
@hyacinthe3139 ай бұрын
Na uso tu unaonekana muongo sana wew😂😂😂
@HajraMaryam5169 ай бұрын
Chizi kweli huyu kaka hajui hata anaongea nini hahaha mara maigizo mara hasira kaka tapeli haswaa 😂😂 mara hajaskiliza hizo audio mara yamezungumzwa watoto wadogo hahahhahaha
@esterpaul58569 ай бұрын
Mwaka wa nne kivipi we kaka ..nyie hata miaka miwil bado
@suleymanali4319 ай бұрын
Hiyo ni Amri ya mwenyezi mungu kumpa mtoto amtakaye na akafnya mtu tasa kwa hivyo usishangaye na kuuliza huu ni miaka minne vipi tena, wewe shukuru mola wako kaa amekupa watoto aw mtoto.
@adijaniyonkuru97319 ай бұрын
Nashangaa kachanganyikiwa
@esterpaul58569 ай бұрын
@@suleymanali431 we ni kichaa nini?? Nani kaongelea uzaz hapa..Mm nimemshangaa kusema wanamiaka mi4 akat ndoa yao haina hata miaka miwili
@esterpaul58569 ай бұрын
@@adijaniyonkuru9731 itakua cd4 zimemshuka
@Zawadi-19 ай бұрын
😂😂😂😂
@rukkynassor22799 ай бұрын
Mwaka n meizi minane hata miwili hajafikisha
@user-qn6kk4lp9v9 ай бұрын
Mbona hujakata aliposema mkate nyie nao muwe waelewa mjali hisia za watu