Kumekucha huku una mgonjwa ulipoe bill huku ulipie parking mbona jmn hamna huruma na wananchi
@thomaskitemi3283 Жыл бұрын
Doctor tunsomba muwasa8die wananchi WA chini wawe wanaingia hata 5 kuona wagonjwa wordini. Hii inawajenga hata wagonjwa kisaikolojia.Nb hospital za private Kwa wakubwa mbona huingia tu.t7naomba sana hili pro utusaidie
@Jakayamiplayz Жыл бұрын
unajua kwa nini watu wa hali ya chini wanakufa hovyo hovyo? ni kwa sababu wakiambiwa hawaelewi..ushaambiwa kuna nosocomial infections mahospitalini.. mkiingia kwa msongamano unaambukizwa na unaambukiza pia, sasa kama hilo tu huwezi kulielewa unaanza kuleta siasa na huruma kwenye sayansi, then you have a big problem
@sskondopoleani961611 ай бұрын
Halafu usijifananishe na WAKUBWA KWA HERUFI KUBWA, wewe ukipata maambukizi yeyote Tiba ni hapa hapa. Wakubwa bima zao zinaruhusu kubebwa na Air Ambulance kwenda popote, hayo wafanyayo ni kwa ajili yetu, tushukuru na kukubali sheria, hayo yako duniani kooooooote.
@shufwaaofficialtv130617 күн бұрын
Wekeni taa za kutosha nje hapo
@vibetz9991 Жыл бұрын
Chezea madem waSudan
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Umeboresha san Hospital ya muhimbili
@misembe8 ай бұрын
Natamani uje ata uwe rais wa hii nchi jamani
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Heee hawa wasudani wameleta msukumo
@mcback4384 Жыл бұрын
Mmmh Mbona ujenzi umeanza ni zaidi ya miezi 6 sasa?
@nassercurtis95793 ай бұрын
Msukumo upi wameleta wakati wenyewe wamefika tz tu wameshangaa kuona imejengeka na pasafi sana na watu wake wastaarabu sasa wao wameleta msukumo gani zaidi ni wanafunzi na wametokea nchi yenye changamoto ya kisiasa, hivi wanaweza kuwa bora zaidi ya proffesors?