MUONEKANO MPYA WA HOSPITALI YA MUHIMBILI, PROF JANABI AFAFANUA HUDUMA YA KUEGESHA MAGARI

  Рет қаралды 12,280

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 31
@joasitz9559
@joasitz9559 Жыл бұрын
I admire you prof, your doing a great job. Mungu akuzidishie 🇹🇿🇹🇿
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 11 ай бұрын
Keep this Dr as long as he can work so as to improve our health system here..❤
@akbarmaulid9624
@akbarmaulid9624 Жыл бұрын
Kazi nzuri prof janabj
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 11 ай бұрын
Hongera Professor Janabi . Ubarikiwe ❤
@user-zv4fz8mv4o
@user-zv4fz8mv4o Жыл бұрын
Kazi nzur professa janabi
@mzadomwongozo3671
@mzadomwongozo3671 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie prof
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 Жыл бұрын
Hongera sana Daktari kwa weredi wako!! Keepgoing Prof
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 10 ай бұрын
Yn uyu mzeee katulia jamani daaaaa mpka na mwelewa 🤗🤗🤗
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Tangu prof janab apewe muhimbili ameleta matibabu ya magonjwa yaliokua yanatibiwa nje ya nchi hongera san Prof janab
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 Жыл бұрын
Prof ur ze best.....MNH iko🔥🔥🔥
@peninajulius4843
@peninajulius4843 Жыл бұрын
uko sawa prof cha msingi utaratibu ufuatwe na kufanyiwa kazi
@georgekabaka377
@georgekabaka377 Жыл бұрын
Nimeelewa Pro....
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Sawa professa Nimekuelewa
@singidaone5628
@singidaone5628 9 ай бұрын
Mpo sawa kabisa kupunguza mlipuko wa magonjwa
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 Жыл бұрын
Hongera sana Prof. Janabi kwa utawala mzuri
@pascojm6816
@pascojm6816 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu prof
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 5 ай бұрын
Professor mungu akuweke una akili mpaka chafu
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын
At least layout imekaa vizuri sasa...mwanza ilikua ni hectic kwakua layout ya eneo ilikua haijakaa sawa
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Tulichelewa wap kumpa Prof janab Hospital ya Taifa muhimbili
@user-hu4vs2en5n
@user-hu4vs2en5n Жыл бұрын
M/mugu akuzidishie tanzia nd yako Moshi majungu amefariki
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 2 ай бұрын
Kumekucha huku una mgonjwa ulipoe bill huku ulipie parking mbona jmn hamna huruma na wananchi
@thomaskitemi3283
@thomaskitemi3283 Жыл бұрын
Doctor tunsomba muwasa8die wananchi WA chini wawe wanaingia hata 5 kuona wagonjwa wordini. Hii inawajenga hata wagonjwa kisaikolojia.Nb hospital za private Kwa wakubwa mbona huingia tu.t7naomba sana hili pro utusaidie
@Jakayamiplayz
@Jakayamiplayz Жыл бұрын
unajua kwa nini watu wa hali ya chini wanakufa hovyo hovyo? ni kwa sababu wakiambiwa hawaelewi..ushaambiwa kuna nosocomial infections mahospitalini.. mkiingia kwa msongamano unaambukizwa na unaambukiza pia, sasa kama hilo tu huwezi kulielewa unaanza kuleta siasa na huruma kwenye sayansi, then you have a big problem
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 11 ай бұрын
Halafu usijifananishe na WAKUBWA KWA HERUFI KUBWA, wewe ukipata maambukizi yeyote Tiba ni hapa hapa. Wakubwa bima zao zinaruhusu kubebwa na Air Ambulance kwenda popote, hayo wafanyayo ni kwa ajili yetu, tushukuru na kukubali sheria, hayo yako duniani kooooooote.
@shufwaaofficialtv1306
@shufwaaofficialtv1306 17 күн бұрын
Wekeni taa za kutosha nje hapo
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Chezea madem waSudan
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Umeboresha san Hospital ya muhimbili
@misembe
@misembe 8 ай бұрын
Natamani uje ata uwe rais wa hii nchi jamani
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Heee hawa wasudani wameleta msukumo
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
Mmmh Mbona ujenzi umeanza ni zaidi ya miezi 6 sasa?
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 3 ай бұрын
Msukumo upi wameleta wakati wenyewe wamefika tz tu wameshangaa kuona imejengeka na pasafi sana na watu wake wastaarabu sasa wao wameleta msukumo gani zaidi ni wanafunzi na wametokea nchi yenye changamoto ya kisiasa, hivi wanaweza kuwa bora zaidi ya proffesors?
#AFYAPODCAST Fahamu juu ya Matibabu mapya ya kiharusi Muhimbili
35:33
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН