Makonda uko vizuri unawakumbusha viongozi wa dini wamwombe Mungu awashughurikie watekaji,wauwaji na wanaowatuma ikiwezekana wafe kabisa watuachie nchi yetu salama.
@PeterMremi-y2p2 күн бұрын
Kila kiongozi anayetesa watu namfuta kwa jina la Yesu
@OmarSaid-k2u2 күн бұрын
Hahaha huyu Hajui ataanacho kisema
@StephanoNdaheze7 сағат бұрын
Mungu ikumbuke Tanzania, Wape viongozi wa vyama na serikali kutambua njia sahihi ya kutunza amani ya watanzania.
@justinemajariwa6656Күн бұрын
Mheshimiwa makonda nawewe umeamua kuungana nawanao ibia wanaichi hapo hakuna mungu wakweri kwa mwaposa
@lankoiolelarmoi-o3y2 күн бұрын
Thanks, well noted.Glory be to God Almighty
@MarckyCholla2 күн бұрын
Kweli nimeamini siasa ni mchezo mchafu
@Wamisangi2 күн бұрын
Hapo kwa Nebkadeza na Yusufu duuh!!!!. Mungu wa Mbinguni atusaidie. Neema yake na Fadhili/Rehema zake za milele zisitupungukie.
@emanueljoshua62282 күн бұрын
Kasahau. Nebukadneza na Daniel Farao na yusuph
@francismulokozi34838 сағат бұрын
Blasphemy is not joke. Muda ni muda tu Mungu atajibu kuwatetea viongozi wake
@nicksonrwela874712 сағат бұрын
Maneno mazoto sana sana ❤❤
@PhillyAmbilikile2 күн бұрын
Makonda anajua kulitumia neno la mungu ktk utapeli sana na naamini akianzisha kanisa hawezi kosa wateja
@mossyfimbo3577Күн бұрын
Watafurika wa kwanza mimi 😂😂😂❤❤
@GraceAbraham-l9h9 сағат бұрын
Hata Mimi nitakuwepo ni neno la Mungu awazavyo mtu nafsini ndivyo alivyo sijui ww unawaza nn
@justice607Күн бұрын
Nabii Elia, hacha kupindisha maandiko
@mashakaamosgabinza3893Күн бұрын
Tunahitaji huo mdaharo tujifunze itasadia jamii inshallah
@Mrauto126792 күн бұрын
Maigizo bhana, yaani unajua jamaa katumia mkutano wa injili kueneza upumbavu, makonda nimekushusha vyeo😂
@maryyona89462 күн бұрын
Hawa ni walewale wako timu moja na mungu wao ni mmoja.
@PeterMremi-y2p2 күн бұрын
Eliya alimkemea Ahabu, alipokuwa kichwa ngumu mvua iligoma miaka kadhaa. Hapo vipi??? Tusome maandiko vizuri jamini!!!
@SamwelJoseph-yk3cw2 күн бұрын
Uliwahi kukaribishwa kwa gwajima kama hivi hivi umevyo karibishwa kwa mtume mwamposa lakini baadae ukamgeuka, masihi wa BWANA,,, Gwajima.. Tokea nyakati zile siwezi kukuamini tena.
@GeorginaAnatory-u1z2 күн бұрын
makonda unatukana maaskofu angalia sana hao wamepakwa mafuta waheshimu sana unaugusa moto kwa mikono yako
@zepinashatibu51492 күн бұрын
Waliandikwa siyo wamuitao yesu wote wanatokana na Mungu
@moabugervas-ki8ro20 сағат бұрын
yakaisali mpe kaisali na yamungu mwachie mungu
@tanzaniatouristsattraction16222 күн бұрын
Ila makonda ni tapeli nyie😂😂😂😂 apo kabla ya mkutano katok kumpora mwandishi camera
@mtakatifutv21012 күн бұрын
Wamama wakisikia mwamposa wanafurah sana yaan wamekubali kutapeliwa duh...
@BarnabasYamseo2 күн бұрын
Hapo Kwa Elia hakua nabiii umetupiga
@pendobruno1112 күн бұрын
Viongozi wa dini wapo kuleta amani zaidi wasipo hubiri hayo wahubiri nini?
@NathanielSutuchi-hf8spКүн бұрын
Yakasali muachie kaisal ya mungu muachie mungu
@GraceAbraham-l9h9 сағат бұрын
Viongozi wanaomjua Mungu ni baraka katika ardhi ya Tanzania eeeeeh Mungu muumba wa ardhi na mbingu tuongezee viongozi km huyu ardhi yetu ipone
@MkulimaTarimo2 күн бұрын
Makonda kaupoteza urais.nyota kaizima mwenyewe kwa kuwatukana maskofu
@NestoryMnyama22 сағат бұрын
Amina sana
@adammlonganile79212 күн бұрын
Uko sahihi hasa wanaojifanya kuandika andika viwaraka, badala ya kuunganisha taifa, Ahsante sana Makonda
@careenpatrick27592 күн бұрын
Huyu kiumbe tumuachie mungu apambane nae maana kilichopo moyon mwake na anachoaminisha watu mungu mwenyewe atatuonyesha soon
Makonda na wewe uko kwa Mwaposa simama na Mungu aliekusaidia kwa hapo siko na wewe
@Leeeeeeee-96Күн бұрын
umechelewa sisi tuko na mwamposa sako to bako 😂
@ombendaud5938Күн бұрын
@@Leeeeeeee-96 Hongereni naona mitungi ya gas inajaa,miamala ya simu inasoma.Kwenye kukomboa unadongo mnatafuta nini? Jitahidi mkomboe akili zenu n mawazo yenu
@kuryatvfilm1161Күн бұрын
Makonda kasome kwanza biblia eti nebukadreza Na yusufu tena anakazia kabisa alitokea gerezani acha uongo hicho ni Kisa cha Daniel Na mwamposa hakushtui anakuchora tu
@glorymiko68302 күн бұрын
Wewe ni muhuni mtu kama wahuni wengine. Mzee warioba amekuachia laana wewe. Lissu bado yuko hai.
@mpjackson95432 күн бұрын
Uko vizuru sir Makonda god bless
@mashakaamosgabinza3893Күн бұрын
Truth
@PhillyAmbilikile2 күн бұрын
Unatumia madhabahu ya mungu kuongelea siasa acha kujilaani na kujikweza maisha yanapita
@zepinashatibu51492 күн бұрын
Bila ya Mungu utaishaje ukweli upo wazi tunahitaji watu wa Mungu watujuze yanayo endelea siyo kelele
@PhillyAmbilikileКүн бұрын
@@zepinashatibu5149 dini na siasa ni laana tupu
@wilsonletiet78522 күн бұрын
Eti Eliya hakuwahi kuwa Nabiii duh🥱
@modestamakoye9319Күн бұрын
Hujui tu umejikaanga Kwa mafuta yako yaani unatukana maaskofu kutoka walaka wa bandali ukumbuke hao wanawafuasi wao wanaowaamini Kama wewe unavyomwamini Mwamposa na Wala njaa hawana umejifuta mwenyewe wakati watu tulikuamini sana
@majaliwamsigwa6206Күн бұрын
Kimeumana!!!
@OmarSaid-k2u2 күн бұрын
Yote Apo analinda kula yake tu usije ukaona kam Kuna kweli
@tomkweka2 күн бұрын
Nebukadneza na Yusufu wapi na wapi haya ni siasa oook
@robertigohe7477Күн бұрын
Makonda,funguliwa ufahamu huyo unayedhani kuwa ni mtumishi wa Mungu aliye hai kumbe siyo. Miujiza ya majibu na sabuni nk siyo miujiza ya Yesu aliye hai
@glorymiko68302 күн бұрын
Wewe makonda kaa kimya. Wewe kanyaga. Afuta tuu. Sponsor wa kwanza yuko kaburini. Subiri na huu siku zake sio nyingi. Njaa bwana.
Ujumbe kwa wote hata huyo unaye muona yupo pembeni unamuhusu
@mudywaya328Күн бұрын
safi makonda😂👏👏👏👏👏👏💥
@edosmithrichardigogo-xm9ve2 күн бұрын
Shida ni elimu ya bongo mbovu .....yan kabla ya interview mtu anafundishwa akalili vitu gan na mifamo yake kisha anaenda kuwasilisha kwa ushupavu ilihali hajui chchte kwa undan😄....halafu mijitu ya hovyo inakupigia makofi ikisema ww una akili nying hahaha
@RaphaelHhan29 минут бұрын
Duhhh huyu jamaa amefika huko sasa wakati alipotoweka watu tulikuwa tunamuulizia Yuko wapi jamani mkombozi wa wanyonge sasa haya ndiyo katokea nalo.ahse Kuna hajakubwa ya Kila mtu kujitafakari au alikuwa akifayanya ni maigizo jamani
@AmosKayega2 күн бұрын
Makonda unaheshimika sana usichokoze maaskofu wetu we dogo acha kabisa unapo ongeaa nao au kujibu wasemacho uwe makini sana Tena sana ukipigiwa makofi Leo jiandae kuzomewa cheza na wote siyo maskofu Tena wakatoliki na wote watakuangusha
@Leeeeeeee-96Күн бұрын
wakatoliki awa awa ninao waona 😂
@AliAhmed-m1o2u2 күн бұрын
Hongera makonda wewe ni mwanamme wa kweli mwenyezimungu akuoneshe njia zaidi uwe muombezi wa wote
@MkudeSimba-p3f2 күн бұрын
Well done Cristian Poul Makonda upo sawa !na wakizingua fasta wapelekwe jela bila huruma !
@RobertGwelela-m3l2 күн бұрын
Well done kwa wasiosoma biblia.yaani bendera fuata upepo.
@jonaskweyamba97472 күн бұрын
Kila akanyagae hapo kwa mwa mposa daima namuona kama Adui wa nafsi na maisha yangu
@Leeeeeeee-96Күн бұрын
jifukie usiwaone tena ndugu 😂
@Michaelmwasese-m7yКүн бұрын
Mako nda kwahiyo Filip😮 kwanini unasafisha mtu huyo makam alikosea?
@jamalsalym8244Күн бұрын
Now days kanisa 🙌🙌🙌🙌
@salumkhamis78182 күн бұрын
Huyu makonda amechanganyikiwa vyeo vya kupeana tu uwezo na ufahamu mdogo sana,unatumia nguvu ya rais kupitisha mambo yako ipo siku nyeupe itakuwa nyeupe na nyekundu itakuwa nyekundu
@AwadhiMaturelaКүн бұрын
Hakua farao jamani mm sijaelewa hapo
@hamidmussa8382 күн бұрын
Kipindi hicho mlikuwa hamna Kanisa Masinagogi.
@piuskanyampala4540Күн бұрын
Ila Paoloo
@Bonifaskagoma2 күн бұрын
Tuliwambia nyie hamjui makonda sasa ndo mtaanza kumjua baada ya kutoka likizo ameiva
@tomkweka2 күн бұрын
Kwa hiyo unasema mwamposa kuwa hajui ya mbele
@devotamutayoba93732 күн бұрын
Uwiii Mimi hapo napita tu ila Mungu atajibu maombi yetu
@PeterMremi-y2p2 күн бұрын
Majibu ni haki tu
@saidally5763Күн бұрын
Shida machawa kwenje nchi wamekua wengi eti nahuyu pia nikiongozi shida tupu
@JamesKanyenda-y9yКүн бұрын
Makonda unajuwa maana ya ufalme wa MUNGU kuwepo tuniani?
@eatlawe2 күн бұрын
50/50!
@ObediiLaizarКүн бұрын
Bashite umekula nini? Ulaaniwe kwa jina laYESU
@AVITHAKAMUGISHA22 сағат бұрын
safali ya mjumbe
@kuryatvfilm1161Күн бұрын
Hujasoma biblia kwani biblia ndio imemtaja eliya ni nabii 1wafalme 18 : 36
@paulmwananjela83422 сағат бұрын
Sis Kwan hatuj,tunaelewa kwamba apo akuna Mungu,msitufanye wajinga tunajuwa huyu wa Mungu huyu sio wa Mungu
@paull86592 күн бұрын
Huyu pumbav muuaji ana uhalali gani ya kuzungumzia ukweli. Huyu muhuni aliyetakiwa awe jela🤔
@paull86592 күн бұрын
Bashite amepotosha sana ameongea vitu ambavyo havijui. 1. Amemtaja Petro karne ya 1 siyo ya pili. Eti aliuwawa na Wakristo walioomba tu bila kuandika waraka🤔. Huu ni ujinga wa kiwango cha juu. Kaisari Mroma Nero ndiye aliyekuwa anawaua na kuwatesa Wakristo wa kwanza, akiwemo Petro 68- 70AD. Petro na wenzake walipandikiziwa kesi kuwa walisababisha moto pale Roma 64AD. Kipindi hicho kanisa halikuwa taasisi maalum na Wakristo walikuwa wachache sana, hivyo haingeweza kuandika waraka wowote kwa watawala. Bashite hajui lolote amamsahau Yohana wa Ufunuo aliyefungwa kisiwani Patmo kwa kutokukubaliana na Kaisari. 2. Bashite kamtaja Eliya kuwa siyo nabii. Ni uwongo wa kutupwa chooni. Eliya aliishi karne ya 9 KK na anatambulika kama muhimu sana kati ya manabii wa Agano la Kale. Anakubalika na Wayahudi, Wakristo na Waislamu.Bashite ni mwana wa Ibilisi kwa vitendo vyake huko nyuma vya utekaji na uuaji, hata sasa shetani anatumia kinywa chake kupotosha neno la Mungu.
@davidmalisa8043Күн бұрын
Kikalio ww
@EliasMoleleyКүн бұрын
Kw| baba toboa tupone
@IsdoryNoel2 күн бұрын
Umelewa
@RubenMtuwaMungu-bz8ee2 күн бұрын
Makonda hapo ndiyo anguko lako. Mambo ya kiroho siyo ya kukurupukia.
@GeorginaAnatory-u1z2 күн бұрын
soma kitabu cha Ester sura ya 8-6 adi 10 utaelewa watawala wa nyakati izo waliwFanyaje watu
@CharlesMisungwi-f8t2 күн бұрын
Hawa wapingakiristo hwajaanza leo walianza zama zakalesana kabla yakiristo baada yamkuuwao lusifa kufukuzwa naMungu Mbinguni hivyosasa wafuasiwake wajiitao manabii pasipo sababu wakifanya maajabu yasiyo namiujiza kwakuwa hata watu waMungu zikiwemoserikali hawatambui kati ya maajabu namiujiza hebu huyo ajiita anatenfa miujiza aamurumaji ya.Mtowowote yapandemilima.badala yakufuata mabonde kamavileMungu alivyotengeza asili yake au wa amulu kupanuka kwabichizote zilizo ufukweni kamahicho hawakiwezi hao ni wakata vichwa tu.
@mtakatifutv21012 күн бұрын
Kwenye kumuombea mtu hapo hapn kila mtu ataenda kwanda wakat wake na kila mtu ataukumwiwa kwa makosa yake
@godwineliya46862 күн бұрын
Hata hivyo Mwamposa kakubeba Huna Jeuri ya kukusanya. Ukuta wote huwo
@pendobruno1112 күн бұрын
Yusuph hawakuwa waziri mkuu?
@RamadhanAthuman-d4c2 күн бұрын
Viongozi wa dini wakikosoa kuuliwa watu hovyo na kutekwa mnawaita feki du hata kiongozi asiye na huruma na taifa lake nawalaaniwe
@GeorginaAnatory-u1z2 күн бұрын
yesu aliwaambia wafalisayo wanafiki nyie ata yesu aliwajua wanafiki
@johnwenceslausmmbaga39172 күн бұрын
Daaah niwe mkweli sijawahi ona akili ndogo duniani tangia nizaliwe kama hii daah Rc umenihuzunisha
@BahatiRamadhani-i8f2 күн бұрын
Hyo wa pemben vp,
@elishagregory15952 күн бұрын
Jamaa mbona kama anampiga Mwamposa
@nimrodsigulu62492 күн бұрын
Kwa hiyo wewe unadhani sisi tunafurahi unavyo endeshwa kwenye v8 ilio nunuliwa kwa Kodi zetu sio?
@OmarKombo-h2j2 күн бұрын
Jembe nakukubali sana endelea kulima mpaka shamba liwe safi kwasababu watu wa dini wengi hawajui majukumu yao mbele ya mwenyezi mungu
@edosmithrichardigogo-xm9ve2 күн бұрын
Hujiekew
@GabrielOmassaweКүн бұрын
Awataje wote ambao wamejiita kwa jina lao, yaani hao ambao hawatokani na Mungu awataje kwa majina yao na athibitishie uma. Pia naomba asome Samweli wa Kwanza (1) 17, 36
@regnaldymambaly98802 сағат бұрын
tangu lini kuilitaja jina la Yesu ata kama ukilitaja kila sekunde ikawa ndio kipimo cha kuwapima watumishi wa mungu? hakika hapa umekaanga yai alafu ukaweka magadi
@regnaldymambaly98802 сағат бұрын
tangu lini kuilitaja jina la Yesu ata kama ukilitaja kila sekunde ikawa ndio kipimo cha kuwapima watumishi wa mungu? hakika hapa umekaanga yai alafu ukaweka magadi
@regnaldymambaly98802 сағат бұрын
tangu lini kuilitaja jina la Yesu ata kama ukilitaja kila sekunde ikawa ndio kipimo cha kuwapima watumishi wa mungu? hakika hapa umekaanga yai alafu ukaweka magadi
@regnaldymambaly98802 сағат бұрын
tangu lini kuilitaja jina la Yesu ata kama ukilitaja kila sekunde ikawa ndio kipimo cha kuwapima watumishi wa mungu? hakika hapa umekaanga yai alafu ukaweka magadi
@regnaldymambaly98802 сағат бұрын
tangu lini kuilitaja jina la Yesu ata kama ukilitaja kila sekunde ikawa ndio kipimo cha kuwapima watumishi wa mungu? hakika hapa umekaanga yai alafu ukaweka magadi
@AdamuBakari-fe6hf2 күн бұрын
Makonda yupo vizuri sana
@hebronmwamwaja76602 күн бұрын
Umechemka acha ujinga wewe
@edosmithrichardigogo-xm9ve2 күн бұрын
Viongoz wa tz wanajua kucheza na akili za watanzanyoko.....uongo,maigizo na kuwapumbaza.utasikia ety makonda jembe.akili za watanzanyoko ni ndogo sana
@AliAhmed-m1o2u2 күн бұрын
Huo ni wivu ww huna akili kumshinda makonda😢
@edosmithrichardigogo-xm9ve2 күн бұрын
@@AliAhmed-m1o2u hujielew ....mm si Kama ww unaejar kitu kuliko utu....unaweza niambia ni wap unaona anastahiri pongez ...acha uchawa
@oscarkallinga83432 күн бұрын
Huyu anakokwenda sasa siyo.
@fridaernestmkedege9002 күн бұрын
Huku kugumu...apaache
@mikbete2 күн бұрын
Umemfuta uliyesisimama nae.
@Mrauto126792 күн бұрын
Subiri mkafe tena nyie wachaga kanyageni mafuta muone
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv2 күн бұрын
MWAMBA HUA NAMUKUBALI SANA SIO MUNAFIKI ISHI MAISHA MAREFU MH: P MAKONDA
@coolsinare88242 күн бұрын
hata siku moja madhabahu ya Mwamposa haijatumika kushambulia wengine kwa nini wewe Makonda unatumia madhabahu kwa style hiyo???
@tanzaniatouristsattraction16222 күн бұрын
Ila makonda ni tapeli nyie😂😂😂😂 apo kabla ya mkutano katok kumpora mwandishi camera
@barakanatus56762 күн бұрын
Shida wewe
@PeterMremi-y2p2 күн бұрын
Kila kiongozi anayetesa watu namfuta kwa jina la Yesu