RC Makonda ni mbunifu sana. Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar alibuni namna ya kuwasaidia waalimu wa shule kusafiri bure na alifanikiwa. Anafaa kuwa kiongozi japo wapo wanaompiga vita kwamba anaingilia madaraka ya wengine
@shedrackmihale7329
Makonda kakaangu Mungu akubariki sana kwaani kazi yako njema .
@victoriamaige2862
Kuna mambo watanzania tunajiuliza kwani mh makonda ni peke yake tu mkuu wa mkoa nchi mzima au mbona mikoani hawawezi kuiga hiki kizuri anachofanya huyu mkuu kwa faida ya wananchi km mikoani kungekuwa Moto km Huu jmn Nani angelalamikia serikali na wakuu wengine waige Basi mazuri ya makonda kwa faida ya nchi na wananchi wake.naomba kuwasilisha.
@SechySeche-hm6bd
Mungu awabariki wore waliowezesha zoezi hili Mungu watie nguvu na ujuzi zaidi madaktari wote
@justinealistides5146
Ee mwenyezi Mungu tunakuomba uwabariki, wainue na uwajalie afya njema wote wenye moyo wa dhati wa kuhudumia jamii yetu.
@simongwandu7392
Tukiwa na Akina Makonda
@hanifamziray277
Kweli kbs arusha kwa.nyama ni shida wanapenda sn hasa kule kwa mrombo wa2nwamefurika kila sk😅
@nathanaellekamoi7282
Ashe Oleng.Mkuu wa mkoa nakuheshimu sana.umeshafanya mengi mazuri hapa kwetu Arusha. ombi langu ni hili tuongezee muda kwenye hili kambi, watu wengi bado hatujawaona madaktari.
@0783144B
Unafanya kazi nzuri sana kiongozi , Ukitoka kwenye Afya Mh , uje na hukukwenye usafi wa mazingira Arusha , magari ya kukusanya uchafu mjini zinatembea zikidondosha uchafu mji mzima mpaka ikifika dampo gari halina uchafu ni vibobo tu vya chupa za maji kwa ajili ya kwenda kuuza wao wafanyakazi . Mamlaka hazisimamii ipasavyo
@user-ze6lx9ng6s
Be blessed 🙏 makonda,,,,Wakuu wa mikoa mingine ni machawa wa ufisadi
@CatherineMbatta
Mungu akupe maisha marefu makonda
@hashimchaoga9566
Orchidopexy inafanyika na masurgeon au Urologist Surgeons au hata madaktari wazoefu kwa hivi zinaweza kufanyika mikoani huko huko wala si tatizo geni la kuhitaji Muhimbili tu. Na elimu itolewe kwamba wazazi wachunguze watoto zao na wawahi kabla ya miaka 5 ambapo inakua rahisi kufanya Orchidopexy
@mrdeniskomba6199
Ni Baraka sana sana
@abuuramadhan8093
Kaskazin tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin na hospital ya Rufaa ya mkoa wa Arusha
@hashimchaoga9566
Hivi si wachukue madaktari wapasuaji wachache wafundishwe wakafanyie mikoani kwao? Halafu wala si operesheni ngumu ya kumshinda general Surgeon au hata daktari mzoefu. Kuhusu kula nyama sidhani Arusha Nyama inauzwa bei rahisi hadi wengi kumudu kuinunua na kula mara kwa mara.
@user-cw3vu8mu3k
Kwel watanzania ni wagonjwa sana ee Mungu tusaidie
@mrsferuzi7443
Wallah nasikia mpaka kulia nikimwangalia makonda jinsi gani alivyo na upendo na watanzania