MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"

  Рет қаралды 17,779

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

19 күн бұрын

MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 32
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 17 күн бұрын
Mwabukusi you have spoken, nimekukubali kwamba wewe ni Msumeno kata huku na huku🎉
@DittoSylvester
@DittoSylvester 17 күн бұрын
Msigwa yale alokua ameyatamka kwenye mikutano ya Lisu atayabadili?hata huko kanisani kwake akiwa mchungaji ajihoji.sana!?aangalie achunge ulimi .jana alipinga mikataba ya bandari leo ataiunga?!wa Tz!??
@rogersiddy
@rogersiddy 17 күн бұрын
Sahihi kbs point nzuri sana
@jacobletema3681
@jacobletema3681 17 күн бұрын
Hata kwa Yesu Kristo anaweza kuhama akaenda upande ule mwingine!
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 17 күн бұрын
Mwabukusi ana akili sana anaamini ndani ya CCM kuna watu wazuri sana lakikini kimetekwa na majambazi. 🖐🖐🖐🖐🖐
@laninjeje8290
@laninjeje8290 17 күн бұрын
Umeongea point sana, sio kila anaehama amenunuliwa. Good point kwasababu CHADEMA wakipokea watu kutoka ccm wanafurahia kwahiyo na wenyewe wananunua kutoka ccm??
@jesaminzo
@jesaminzo 17 күн бұрын
Au unataka Msigwa atusomee meseji?
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 17 күн бұрын
Mh CHADEMA kweli MSIGWA ame wa-touch sana.
@cristinaruka9293
@cristinaruka9293 15 күн бұрын
Hana thamani Tena anaenda kutumika akili ndogo pole sana msigwa sawa na mtu anayo safari ya mbinguni Kisha akaanza kuelekea kuzimu
@gifatmahundi8750
@gifatmahundi8750 17 күн бұрын
Safi sana mwambukusi
@EliaHiluka
@EliaHiluka 17 күн бұрын
Kwani kwenda ccma nikuonyesha yupo upande wamafisadi na hayuko tayari kutetea maslahi ya wananchi
@jesaminzo
@jesaminzo 17 күн бұрын
#Adv Boniface Mwabukusi, mimi sina shida mtu kuhama lakini kuhamia CCM kweli?
@eliphasmlengu6331
@eliphasmlengu6331 17 күн бұрын
Kuhama it personal interest lakini unachokihubiri kuhusu ulikotoka kinatoa maswali mengi that why Msigwa ananaonekana kwenye hayo anayo waziwa nayo
@isackphilipo9870
@isackphilipo9870 17 күн бұрын
Kwahiyo msukuma ni muongo aliye sema Msigwa anafadhiliwa na hela za ccm na akamwambia afungue mdomo kama haajachia message hewani na msigwa hajafungua mdomo hapo Mwabukusi kuna namna unataka kutuingiza chaka
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 17 күн бұрын
muandishi unatia mpaka Aibu Msigwa Msigwa Msigwa hakuna mambo ya kujadili yanayoguza maisha ya watanzania walio wengi zaidi ya Msihwa.
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 17 күн бұрын
@@hamisimuhunzi7916 Hukuelewa Mahojiano
@user-gk6ty7tt9o
@user-gk6ty7tt9o 17 күн бұрын
Kuhama vyama siyo sifa njema. Hapo tusidanganyane.
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 17 күн бұрын
Iko hivi sisi hatukatai mtuu kuhama chama lakini sauti yake itelendelea kuwa haki kwa watanzania tukagundua kuwa msigwA alikohamia kaenda kupangiwa maneno ya kusema Hilo ndilo kosa chama alichoenda hakiwezi mruhusu kukosoa yoyote yule atalamishwa kusifia hata km ni kibovu ndio kosa lake tufanye akili ndogo kuendesha akili kubwa Haina tena thamani kwakwe kuwa ccm Bora angeenda CT wazalendo hata km mtizamo wake ulikuwa tofouti na freeman mbowe asingeenda huko ccm ili uwezo wake wakisiasa ubaki pale pale angechukua tuu Jimbo lake la lranga na kuwa kiongozi na angesaidiwa na chadema vile vile sababu lngekuwa lile Jimbo ngumu wakaa chini wakubaliane lakini kwa Sasa chadema na ccm himo haliwezekani tena
@knight6757
@knight6757 17 күн бұрын
Tumbo....🤑🤑
@reginas1832
@reginas1832 17 күн бұрын
Alichokifanya msigwa kinatia aibu. Alikuwa mpinzani njaa
@isackphilipo9870
@isackphilipo9870 17 күн бұрын
Kwahiyo na wewe Mwabukusi Unataka kutuaminishaje umma wa CHADEMA
@EliaHiluka
@EliaHiluka 17 күн бұрын
Sisi tungeweza kumwona msigwa kama msaliti pia kitendo Cha yeye kuhamia ccm mi kuonyesha yeye ni mtu mwenye tamaa ya madaraka
@erickmsigala138
@erickmsigala138 17 күн бұрын
Huyu jamaa mimi simuelewagi kabisa
@dentomedicalresourceslimit4602
@dentomedicalresourceslimit4602 17 күн бұрын
Sikia, Msigwa kahama kwa kukosa CHEO. Full stop. hayo mengine ni Blaah blaah tu
@rashidissa5887
@rashidissa5887 17 күн бұрын
Uko sawa
@JafetGuzuye
@JafetGuzuye 16 күн бұрын
Aa
@SixbertDamo
@SixbertDamo 17 күн бұрын
Kuhama ni hiari yake tu
@theophilmakumbuli
@theophilmakumbuli 17 күн бұрын
Kwa maelezo hayo mbowe hawez kukupenda
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 17 күн бұрын
Msigwa kahama Kwa Kukosa Cheo, Hana kingine ni hicho tu
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 17 күн бұрын
Ungemsikiliza mpaka mwisho
@rashidissa5887
@rashidissa5887 17 күн бұрын
​@@TegemeaFutemakatifuYes
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 8 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 11 МЛН
TUNDU LISSU AMUWEKEA VIGINGI HALIMA MDEE: UCHAGUZI 2025 'HAIWEZEKANI'
5:43
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 8 МЛН