Wanaopinga kumchangia shujaa wetu ni Maadui zetu na Tanganyika yetu Tuko na MUNGU tusonge mbele ushindi ni wetu
@derickshula19782 ай бұрын
Amina sana kaka Mwabukusi, umenena vizuri sana kaka, Lisu ni MUSA atakayetutoa Misiri yetu. Mwabukusi juu Lisu juu, Mbowe juu, Slaa juu, jamani Mungu katupa zawadi ya watu kuliko watu au mataifa yote Duniani
@dillonfoya2 ай бұрын
Tunduism legacy jamani anahitaji gari la kumsaidia kuendelea kutupigania kuweka nchi hii mahali sahihi hata ikiwezekana bullet proof car
@jesaminzo2 ай бұрын
Nakubaliana nawe mtumishi wa MUNGU Mwabukusi!
@dominicksangu89342 ай бұрын
Tutamchangia mpaka anunue gari mana tunamhitaji sana na tunajua mengi na kutetewa mengi nae huyu mh lissu.
Wakili Mwabukusi nafurahia maini Yako hongera tafadhari nikuombe kitu hajikisha umechukua fomu ya ubunge kupitia Chadema
@humphreymkony89152 ай бұрын
Huo ni ukweli Advocate Mwabukusi!! Well said
@ceciliamagalabajimmy43912 ай бұрын
Hakika Lissu ni hazina yetu. Sawa kabisa, Lissu ni mzalendo wa kweli. Awamu ya pili nitachangia tena na tena.
@Samweli-ij3im2 ай бұрын
Wanaobeza ni hao misukule wa ccm ambao damu za wenye haki zinawalilia na zitakuwa juu ya vichwa vyao na watoto wait hao wanao furahia mateso ya wenye haki mile pita handeni
@renatusmgusii22682 ай бұрын
NampongezA Mwabukuzi. Sina maneno mazuri zaidi ya kieleza jinsi nilivyoguswa na maneno yake.
@derickshula19782 ай бұрын
NAOMBA SANA MUNGU LISU AJE APATE HATA MWAKA MMOJA KUONGOZA HII INCHI TUTAKUJA KUMUELEWA SAIZ WENGI WAMEZONGWA NA MASHETANI YA TAIFA HILI NDIO MAANA TUNACHELEWA KUMUELEWA.NAJUWA KUSUDI LA MUNGU LITAFIKA,AMINA
@user-cj2iq1qv6n2 ай бұрын
CCM WANAUMIA LISSU ANAVYOTUPA. HELIMU YA ULAIA KUHUSU HAKI ZETU NA IPO SIKU CCM ITAONDOKA MADALAKANI NA TANGANYIKA YETU TUTAIPATA NA CCM IKAONGOZE ZANZIBAR
@starspreandprimaryschools30752 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa Mwabukusi, nipe namba ya kuchangia
@ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын
We behind you guys and we still praying for you LISU
@ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын
LISU LISU LISU PEOPLE POWER
@dominicksangu89342 ай бұрын
Very good mh mwabukusi
@prospermalala66362 ай бұрын
MH Boniface mwambukusi, wakili msomi umekuwa mwalimu Bora sana ktk shughuli za kuielimisha jamiii iliyopo mbele yetu, mh, usihofu uwe na amani moyoni mwako MH Lisu atachangiwa pesa kabisa wasikuchoshe hao haramia CCM, mh endelea kufundisha kinachojiri kwenye Taifa letu,
@salummohamed26892 ай бұрын
Namshangaa Prof. Kabudi wa sasa ni tofauti kabisa na Prof. Kabudi wakati wa Tume ya Warioba. Eti huyu ni Professa tuliompeleka kusoma Kwa Kodi zetu na akaenda kusomea ukigeugeu.
@calystkavishe96702 ай бұрын
Mungu atangulie katika jitiada za kukomboa Taifa letu la Tanzania kwa kupitia wapambanaji na wanaharakati kama Mh. Tundu Lisu
@dominicksangu89342 ай бұрын
Ukosawa mwabukusi
@abdalahgunda1319Ай бұрын
Big brain explanation vary brave lndipendet privet advocate mwabukusi on tundundulisu
@andrewmbughi3587Ай бұрын
Mwabukusi big up kwa maneno thabiti
@bonifacerobert2960Ай бұрын
Sana sana sana Mh Mwabikusi. Asante sana Kiongozi.
@AshuriKipingiАй бұрын
Naumia sana wanapopungua viongoz kama Hawa,that's nice wanasheria wetu,
@user-cj2iq1qv6n2 ай бұрын
Wanaopinga Tundu. Lissu Asichangiwe Wameongwa Na Ccm Kwa Chuki Za Ccm
@user-jy4pm3hh9sАй бұрын
Nawakubar sana boniphace na tundu hero's journey
@juliuskitaluka12062 ай бұрын
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@mosesntamahungiro4995Ай бұрын
Mwabukusi kaka shikamooo nimekuelewa kaka
@kinginno34122 ай бұрын
Tutachanga hatamilioni elfu tatu
@bsmonline8482Ай бұрын
Lisu kwakweli mtu moja smart sana na mpambania haki wa kweli wa Taifa.
Safi sana wakili majitu mapumbavu tuyatenge sasa tuta fika tu
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
Sawfi sana mwabukusi lete namba ya kuchangia. Tunamkaribisha huku kwetu Tunduru
@bsmonline8482Ай бұрын
Big Up Mwabukusi
@mathewyoung21592 ай бұрын
Wewe ni jembe letu
@jimmymnuano7165Ай бұрын
Ni kweli mkuu hata kama mtu anayeweza ampe hata mkewe ampigepige masaji pia hicho ni muhimu sana vilevile
@charleslukumai78752 ай бұрын
Kongole sana mheshimiwa. Ni mpumbavu tu ndiye hatakuelewa.
@mtalemwasamwel2172Ай бұрын
Mh. Mwabukusi, mbona unachelewa kuchukua KADI!? Ebu kachukue kadi ili Jimbo la Mbeya mjini litakapogawanywa kama inavyosemekana wewe usimame Jimbo moja na Sugu Jimbo jingine. Nakukubali sana Mwamba sijui muda wote huu ulikuwa wapi
@user-zk9ox3di4b2 ай бұрын
asante sana maria je serekali ya muungano tunataka katiba mpya nilazima watanganyika waishi kwa amani na mapori yetu tuyamiki bila kufukuzwa kama wakimbizi ndani ya nchi yetu msilale Tanzania walio wengi awajui yanayo endelea maria je nauliza tutafanyaje swala vitambulisho vya taifa vitolewe kwa haraka sisi wooote ❤
@FredyMichael-ex3kv2 ай бұрын
Nashauri mchango uwe milele
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Huyo keshapewa milioni mia 4 hio michango ni danganya toto apewe na waliomfuga huko Ulaya
Naomba a/c namba nachanga kutokana kilicho tokea. Waliofanya hivyo Mola awahiukumu popote walipo.
@salmajafari6838Ай бұрын
Tunataka number team strong tupo huku Gulf county balozi zinanatutesa, tupeni number ya kuchangia
@salmajafari6838Ай бұрын
Tunachangaje Sasa tupeni number,
@derickshula19782 ай бұрын
Inchí hii wapo watu MUNGU anatambua kuwa ana watumishi wake!! Na ni wachache. Pili atakapokuja kuwaweka hazalani, wengine watategemea kuona labda Mwamposa, au muhubili yoyote, utakuja kushangaa kumbe wapo kwenye Siasa au harakati. Tena wachache sana. Najuwa mmojawapo ni TUNDU LISU, NA MWABUKSI, HAWA WATU NI WATU WACHACHE SANA DUNIANI, WALITOKEA KIPINDI CHA MJERUMANI ALIPOKUWA ANAKUJA AFRICA. NDIO NAANZA KUWAONA SAIZI. LISU, MWABUKSI, SLAAA, MDUDE, NA WENGINE WOTE WANAOPIGANIA TAIFA HILI KWA GHALAMA ZA UHAI WAO BILA UWOGA NDIO WATUMISHI WA MUNGU ALIYEUMBA MBINGU NA INCHI, WENGINE SINA HAKIKA KABISA. NA SIWAAMINI KABISA.
@ajmstationery6157Ай бұрын
Kwa nini anazungumziwa Lisu kama mtu binafsi na sio kama mtu anayefanya kazi chini ya Chama?
@adamlubawa1281Ай бұрын
HAO ULIOWATAJA NDIYO WALIOPIGANIA TAIFA LAKINI SIO LISSU
@CornenciaFaustine-pd2rcАй бұрын
Hata miye ninamchangia elfu sabini ili akaifanye kazi ya ukombozi kwa ufanisi na kutuweka huru watanganyika.
@estomihmassawe120Ай бұрын
Naomba tujulishwe namna/mfumo wa kuchangia. Pesa(gari la Lisu) yetu tutaituma wapi na vipi?
@OSWARDPANJAАй бұрын
Tukopamoja namba za kuchangia ziko wapi?
@ElizeusKaizaАй бұрын
Account namba inahitajika. Nitumie.
@khamisjuma85012 ай бұрын
Good job wakili Mia Ina Kuja
@EmmanuelAngetile-gn2td2 ай бұрын
Ninakukubali sana kila saa na kila wakati, ujawahi kuongea upumbavu
@SaidAlly-uh4qwАй бұрын
Mwabukusi sio kumchangia gari tu mpe na mkundu wako kuma weeee ccm mbele kwa mbele
@frankatilioАй бұрын
Pole sana Muogope Mungu,Kuna kujib kwa Allah kadri ya matamshi,
@gowekogoweko58032 ай бұрын
IKIWEZEKANA ANUNULIWE GARI ISIYOPENYA RISASI SHIME WATANZANIA TUSILEMAE KIFIKRA MWENYE ENZI MUNGU AMETUPA AKILI TIMAMUU. BAHATI MBAYA KUNA WALIOUMBWA NA UTINDIO UBONGO HAO TUWAOMBEE
@adamlubawa1281Ай бұрын
Mwabukusi muongo Lissu alipiganie Taifa gani? Acha upoyoyo Lissu anapigania maisha yake Sio ya Watanzania Wanamuunga mkono LISSU HAWAJITAMBUI KAMA ULIVYO WEWE MWABUKUSI
@user-vg9sd2fc1kАй бұрын
Kwann alipigwa risasi😢😢
@adamlubawa1281Ай бұрын
@@user-vg9sd2fc1k alijipiga risasi mwenyewe hivi upigwe Risasi mkono wa kushoto Uumie mkono wa kulia Waaache upoyoyo wadanganywe wasio na Akili
@Wamisangi2 ай бұрын
Nani mwenye utindio wa ubongo? Ambaye alizunguka kuwaambia watanzania kwamba kiongozi flani ni fisadi na baadaye akazunguka kumnadi huyo huyo aliye mtuhumu awali eti, eti, eti... achaguliwe awe kiongozi wao. Nini kiliwageuza wakarudia kulamba matapishi yao. Msiwadharau wananchi mkafikiri wana akili za usahaulifu kama kuku. Huwezi kufanya siasa za kinafiki huku ukimtaja Mungu wa Mbinguni, huko, huko, huko na rudia huko ni kujilisha upepo.
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Nakubaliana nawe ktk kosa la Chadema kumpokea Lowasa, Lakini sipo tayari kuamini Lile kosa la Chadema liifanye Ccm kuwa ni Bora kuliko Chadema, No!! Pale kweli waliteleza Lakini Bado Chadema ni Bora mara 5 kuliko Ccm, wanashangaa kumchangia Lisu gari ya Mil 300 afanye Kazi ya Taifa, wakati Mi Ccm limoja tu linakula ma billion ya Watz?
@user-vs8hp2li9uАй бұрын
Shujaa umesema neno
@derickshula19782 ай бұрын
Wamisangi, naona kama sio ccm basi ubongo wako umechanganika na maji zaidi,ujazo wa ubongo mdogo kuliko maji. nikuulize ukimuhubili mchawi na akaacha uchawi wake utaendelea kumshikilia na uchawi? Pili kuna mtu aliitwa Sauli kwenye Biblia,unajuwa mazambi yake alifanya? Hadi alikuja kuitwa paulo, na ndiye aliyeweka nyaraka nyingi zaidi zitadumu milele kuliko wote walioandika barua kwa watu.huyo uliyetamani wasimsafishe baada ya kutubu zambi zake usije kushangaa hata Mungu alishampokea saizi,tena watumishi wenzake ndio waliomsafisha.wasiogope bulaaa zako watakutana mbinguni.hivyo jitafakar sana upone maji yapunguwe upone kufikili na ujuwe maisha ya taifa lako vzur
@Wamisangi2 ай бұрын
Kuna mahali popote CDM walikiri hadharani kukosea kumpokea EL Hayati, kama ambavyo walitangaza hadharani kumpokea ? Nikumbushe. Nini kiliwasukuma kumpokea kwa sababu zilikuwepo telesi kipindi hicho kwamba Mzee wawatu akitoa fedha mpaka wanafamilia wake wakaingilia kati kumnusuru, nani walikuwa wafaidika wa hizo fedha kama hii tetesi inao ukweli? Kama kumpokea na kumnadi ambapo ilikuwa ni kulamba matapishi yao kulikuwa ni matokeo ya hizo fedha watu hao bado wana integrity mbele ya macho ya wazalendo unaowafanya wa aminike??? Sauli alikuwa anafanya kazi ya Mungu kupitia imani ya kiyahudi dhamira yake ilikuwa njema hakutaka kujinufaisha yeye binafsi. Hivi katika waliokuwa wanamnadi EL nani alikuwa kimbelembele zaidi? Hakuwa amelipwa ndio maana akawa kimbelembele? Magari ya gharama kubwa wanayo miliki nini chanzo chake? Mbona John Mnyika alikuwa na ujasiri wa kukataa maamuzi ya kubadili gia angani na kukataa kumnadi EL, hawa wengine walisukumwa na nini? Wako watu hutaona wakijitokeza hadharani kutafuta sifa ambao kimsingi walitumia akili na maarifa yao waliojaliwa na Mungu kutia mawazo ambayo yaliishamirisha CDM kipindi kile halafu khafla from nowhere na kirahisi tu. Eti tumebadilisha gia angani. WHAT A BETRAYAL THAT WAS!!!! Hekima gani inayo tumika kusema CDM ni afadhali? Nini msimamamo wao kuhusu ushoga kwa mfano?
@Wamisangi2 ай бұрын
Hayo maoni yako kuhusu ubongo wangu na kujibu kwachili NENO. Isaya 54:17