Рет қаралды 1,620
Boniface Mwabukusi alikuwa akiongea leo Oktoba 05, 2024, katika kongamano la Kitaifa linaloangazia tatizo la kupotea kwa raia nchini Tanzania. Tukio hili muhimu linasimamiwa na Tanganyika Law Society (TLS) kwa lengo la kuzungumzia changamoto hii inayoathiri jamii na haki za binadamu nchini.
Katika kongamano hili, wataalamu, wanasheria, wanaharakati wa haki za binadamu, pamoja na waathirika wa matukio haya watatoa maoni yao.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.