Mwabukusi Mungu akusaidie sana wew ni hazina ya taifa
@JohnRaphael-m1bСағат бұрын
Asante baba
@gwakisakaswaga5249Сағат бұрын
Poti you are a BIG BRAIN... ila unayoongea yanataka akili tulivu sana kukuelewa!!!!!
@Steve-q8m11 минут бұрын
Hakuna mwaisa mshamba, mwabukusi big up nyingi kwako kwa kuwambia ukweli police wasioijua Sheria wajifunze
@kenedyrocky4641Сағат бұрын
Sauti haisikiki VIZURI. Tafadhali 😊
@RichardKunambi-e5v41 минут бұрын
Kwel TLS imepata rais hongera mabukus
@FrankEmmanuel-y1e59 минут бұрын
Sauti yenu Iko chini sana ongezeno
@MichaelKibona-p9m29 минут бұрын
Hii cultural inatuumiza sana Kwa sababu Hawa watu kwenye meza ya mazungumzo ,hawatuelewi😂
@lusekelonelson7256Сағат бұрын
Hapo kwenye Kila nchi Ina culture yake umepatia. Na Hilo ndo mnatakiwa kuwashauri Chadema. Mwendo wa maandamano na vurumai sio natural option yetu na kutoenda kwa njia hiyo Haina maana tuko wadhaifu
@StephenKimondo-qw3et31 минут бұрын
Mbona mnayatafsiri maandamano kama vurugu? Kwa nini? Kama ni vurugu ni kwa nini Katiba ya nchi inaruhusu kufanyika kwa utaratibu uliowekwa? Mbona maandamano yaliyofanyika siku za karibuni na kulindwa yalifanyika kwa amani? Madhara gani yalitokea? Uzoefu unaonesha kuwa polisi wanapotumia nguvu kudhibiti maandamano ndipo vurugu zinatokea! Ni vizuri kuacha kukariri propaganda ya wakandamizaji na watesaji. Fikiri nje ya sanduku!
@gidongailo717430 минут бұрын
Maandamano yana shida gani ndugu. Kwahiyo mtu anapogusia culture anakuwa na maana ya maandamano??
@amosjoseph87805 минут бұрын
Good
@GilbertGombeyeСағат бұрын
Kwanini inshu ya mandamano ni kubwa kuliko malipo ya madai ya waliokuwa wafanyakazi wa hotel 77 ya Arusha?
@Hemedally-o9xСағат бұрын
Wewe muheshimiwa kama raisi wetu hivi Hawa walio sema kua ushahidi wanao sema wanawajua nawako tayari kutoa ushahidi mbona hamwait
@ChoroTeslaСағат бұрын
Kwenye ishu ya makonda kweli kabisa yani mkuu wa mkoa anaenda andika ujinga vile afu eti ndo anasimamia kamati ya ulinzi na usalama yule jamaa kilaza wa mwisho km alivyofeli darasani huwez kua mkuu wa mkoa ukaandikq ujinga vile
@GilbertGombeyeСағат бұрын
Mheshimiwa rais wa t l s tunakuomba sisi tuliokuwa wafanyakazi wa hotel 77 ya Arusha hatujalipwa madai yetu tangu mwaka 2000 mpaka Leo 2024
@robertphilip385Сағат бұрын
Poleni sana lkn hi serekali ya ccm inaviongozi wakatili sana Kwa wanaichi wake na kumbuka JP alishawahi kuambiwa ishu ya 77 na mbunge wa viti maalum lkn mpaka wa Leo kimya
@StephenKimondo-qw3et23 минут бұрын
Poleni sana. Nashauri kwamba ili TLS iweze kusaidia kushughulikia matatizo yenu ni vema muwaandikie pamoja na kuwatembelea ili mweleze matatizo yenu yalivyo, kuzungumza nao, kupata ushauri ipasavyo, na TLS wajue mahali pa kuanzia kuwasaidia.
@robertphilip3854 минут бұрын
@@StephenKimondo-qw3et kabisa uko sawa mkuu
@johnkasonta41019 минут бұрын
Wakili Boniface Mwabukusi asante sana kwa majibu yako na ufafanuzi wa maswala hayo. Tafadhali endelea na majukumu uliyonayo ndani ya TLS!
@lwihurazakayo3864Сағат бұрын
Ongeza Sauti
@AnthonyChaula-d8l13 минут бұрын
Polisi walio wengi ni zeroooo hawajuagi sheria
@Salisalum23 минут бұрын
Sauti!
@JfourHumbi56 минут бұрын
Sauti ipo chini sana
@AnnoyedHarp-tg7ur40 минут бұрын
Unacho Sema Raisi wa Tiles kukaa kuongeani ni hekima
@GilbertGombeyeСағат бұрын
Kwanini polis wanapiga watu? Wao wako juu ya Sheria?
@GaboGabby2 минут бұрын
Vyombo vya habari mnakutana na mtu wa maana kabisa kama Mwabukusi alafu mnazingua kutuwasilishia wananchi kwa kuwa na sauti ya chini.? Totally disappointment.
@goodluckmalaba89923 минут бұрын
Menyekiti uvccm kagera alisema kuwa wanaowatukana viongozi wa ndani ya nchi wakiwapoteza kesho la polisi lisiwatafute huyu mbwa tls hakuna kipengele cha kisheria akachukuliwa hatua?
@gidongailo717422 минут бұрын
Vyama vya siasa vikitoa matamko mazuuri kabla ya maandamano lakini siku ya maandamano waandamanaji wakafanya uhalifu. polisi watachukua hatua gani
@MosesCheketelaМинут бұрын
Hii nchi Tunaongozwa kidikiteta
@davisnkoba268314 минут бұрын
Sauti ipo chini saana Yaani sauti imebanwa
@SundaySteven-bz4yqСағат бұрын
Tatizo Hawa police hawajui Sheria hivyo vyeo wanapewa Kwa kuwa wanatoka kwenye familia za viongozi ndiomana hata makosa wanayobambikizia Hawa viongozi wa upinzani hawajawahi kuwatia hatiani
@NuruOmary-gm6iq19 минут бұрын
Nchi yetu viongezi wengi hawajui sheria,
@VicentGalus31 минут бұрын
Mwambukusi hebu unifafanue kongamano la kisheria ya tarehe 4 mwezi wa kumi ni wadau aina gani wanatakiwa kushiriki?
@omarybakunda2554Сағат бұрын
Chadema waache tabia ya kuiga Kenya.
@azizimakotha492917 минут бұрын
Akili kisoda
@bazilmateru9159 минут бұрын
Ccm waache tibia ya kuiga MUSEVENI. Sasa jiulize are you coping from the best in Africa or the worst in Africa. Nijibu
@omarybakunda25542 минут бұрын
@@bazilmateru915 CCM ndio mwalimu wa siasa za Afrika hata huyo Museveni kalelewa na CCM hapa Tanzania.
@ZaidAKissinzaСағат бұрын
Rekebisheni sauti, Iko chini sanaaa, vp nyinyi?
@Mussapeter-ct1fuСағат бұрын
huyo rais nayeye tuna mashaka naye yeye anaona ugumu gani kuunda hiyo tume???? me nashangaa sana
@christosiadanieli651229 минут бұрын
sasa hao kina na muliro wanasikia?
@ChingulaRubyСағат бұрын
Saut ndogo sana
@mossessimon2493Сағат бұрын
Sauti sauti
@takefishfarm4 минут бұрын
Unatosha mh
@chuchumeta837428 минут бұрын
Sauti hakuna
@Mussapeter-ct1fuСағат бұрын
SAUTI SASA SAUTI
@DavidTuya-n8p42 минут бұрын
Vyama vingine havina wanachama Ina mwenyekiti tu futa
@josephzephania6184Сағат бұрын
Sauti haitoki
@pastorysent6586Сағат бұрын
Sauti ndogo
@GilbertGombeyeСағат бұрын
Mheshimiwa t l s utoa namba za simu tuzione
@MarksevenTzСағат бұрын
SWALI: 1. Okay Police wamekosea, WATAFANYWA NINI.? 2. Je, Wale watoto waliopigwa Risasi na Policcm hadharani (Meshack- Lamadi Na Teresia- Geita) WAMEFANYWA NINI.?
@MikaMichael-o4vСағат бұрын
Sauti ipo chini sana
@Hemedally-o9xСағат бұрын
Wewe muheshimiwa kama raisi wetu hivi Hawa walio sema kua ushahidi wanao sema wanawajua nawako tayari kutoa ushahidi mbona hamwait