Daaaah....Huu ni miongoni mwa nyimbo bora hapa nchini...R.I.P TWAHIR....Baraka Sunga
@deusdeditsimba44524 ай бұрын
Jamani Twahili aliutafuna MUWA UNAVYATAKIWA HASA
@AnthonyKisondella10 жыл бұрын
Twahiri Ally Mohamed - RIP, this man was one my favourite saxphonist of the time
@sunriseradiotz4 жыл бұрын
HE WAS A MAN BWANA...DAH, Twahiri Ally Mohamed - RIP, this man was one my favourite saxphonist of the time for sure.........PUMZIKA KAKA TAM
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Ni kweli kabisa, Hata alipokuwa Simba Wanyika Original alifanya kazi nzuri sana...Simba wanyika alikuwa anaitwa mafuta ya Zanzibar.
@mtawali20023 жыл бұрын
I am glad he played in one of my songs. A gospel song. RIP Twahiri
@saidalyrama91695 жыл бұрын
Huyu hakuwa mtu wa kawaida katika kupuliza saxaphone, na hatatokea mwingine kama YEYE, hakuwa anapiga saxaphone bali alikuwa anaongea na saxaphone R.I.P TWAHIR
@mohamedmagongo9348 Жыл бұрын
Hakika alikuwa ni Mwamba kweli kweli, kupuliza chombo kigumu kama Saxophone kwa muda mrefu ndani ya wimbo mmoja!
@zaniabakari78718 жыл бұрын
Naupenda sana wimbo. Hata nikisikiza kutwa sichoki. Shukrani aliyeutuma hapa.
@ismailmtopa360711 ай бұрын
kwa kweli saxfone limeshugulikiwa sana humo. amelitendea haki haswa mungu akusamehe madhambi yako.
@sunriseradiotz4 жыл бұрын
WIMBO BORA KABISA HUU.....TAFADHALI TUWAENZI WALIOCHEZA / WASHIRIKI WOTE KWA KUTAJA KIKOSI KIZIMA HAPA.
@hamzaomarmokiwa8885 Жыл бұрын
Hii ni moja ya nyimbo bora kabisa ndani miondoko ya MASANTULA. Marehemu Twahir aliitendea haki Saxaphone yake kwa kuwaongoza vizuri akina King Kiki, Kababa na wengine.
@christophermwakibinga7752 Жыл бұрын
Apumzike kwa amani, TWAHIR MOHAMED!
@josephinejoseph73588 жыл бұрын
katika nyimbo nyingi za safari sound huwezi kukwepa kuutaja huu " mwaka wa watoto" umepangwa na ukapangika....asante Twahir kwa saxaphone ambayo kwa hakika ni kama inaongea...!!!!!
@zonko04889 жыл бұрын
Nkomba Kababa!!! Safi sana tunawashukuru sana kwa kazi zenu nzuri. Gaby pia kulikuwa na Gaby Banangenge sijui kama ndio wewe. Banangenge walikuwa pale Savanna Resort palipokuja kuwa White House nyumbani kwa OMACO.
@nkombakababa59599 жыл бұрын
+Wakale La Arusha Siyo mimi wa bana ngenge, wakati nilifika DAR! bana ngenge bali kuwa nacheza safari resort! kusubiri kufika kwetu, Na wa kati tulifika,Tu lichukuwa mpini.AKSANTI WAKALE:
Hakikaa Marehemu Twahir Ally Mohammed alikuwa na uwezo mkubwa wa kupulizaji Saxophone; tena kwa muda mrefu kwenye wimbo mmoja, nadhani ni vile alizaliwa katika nchi za dunia ya tatu, laiti angezaliwa Ulaya au Amerika angekuwa ni Mpuliza Sax ngazi za Kimataifa. Mungu aipumzishe roho ya Marehemu Twahir mahala pema peponi! Amiin!
@bukuratanchande45882 жыл бұрын
Nalia mimi😥kipindi unatoka huu wimbo hata shule cjaanza mimi 😥niliokua nao kipindi hicho sasa hiv hawapo tena jamani😥
@bloguyawananchi57255 жыл бұрын
King Kiki huu wimbo haukuwa wake aliukuta ulikuwa ni wimbo wa Mbombo wa Mbombo Kamunembu, ambaye ndiye aliyekuwa muanzilishi wa Orch. Safari Sound na mtindo wa "Pegout 604". MbomboKa ndiye aliyeutunga wimbo huu akafukuzwa bendi kabla hajaurekodi Kiki akaukuta akaubadilisha badilisha maneno lakini ni beat ile ile ya Mbomboka. Ukweli siku zote hutuweka huru.
@nkombakababa59595 жыл бұрын
Ni kweli kabisa na huhu wimbo haikuwa wa Mbombo Kamunebu ulikuwa wangu mimi aksnti!
@fredylucas24842 жыл бұрын
Aliyeutunga ni Kababa Nkomba na siyo Mbombo wa mbomboka
@kephermichaelchisumbili4535 Жыл бұрын
Asante Kwa taarifa
@matembelerichard94167 жыл бұрын
mwaka wa watoto ilitulia Sana inanikumbusha miaka mingi iliyopita
Kazi nzuri sana sana, kweli siku hazigandi waliofariki mola awapumzishe vyema waliobaki mola waape wepesi kwa kila jambo!!!!!!!!
@nkombakababa59596 жыл бұрын
Tuna shukuru sana!!!
@andreangweshemi7706 Жыл бұрын
Old is Gold. Period!
@kephermichaelchisumbili45357 жыл бұрын
twahiri sax na pulukutu wabanduki motoo walifanya kazi nzuri sana !
@ayubsalum559410 жыл бұрын
Nilikuwa mdogo kipindi hicho, nakumbuka kampuni ya bora ilitoa toleo la viatu vya laizoni kwaajili ya mwaka wa watoto nami nilinunuliwa, ukweli huu wimbo umenikumbusha mbali mno nikiwa bado mdogo.
@nyangehassan9024 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 1982 nikiwa LY
@nasirally909810 жыл бұрын
da song is called mwaka wa watoto not kata tama.. The late Twahiri on saxaphone
@abbassalum35505 жыл бұрын
Mwaka 80 ilikuwa Dar inazizima
@bahatiabbas3565 жыл бұрын
Abbas Salum haswa huyu twahir alikuwa balaa hapo kwenye saxphone
@TheBigyosef13 жыл бұрын
This song is called mwaka watoto with late twahiri on saxphone
@harunigeorgevassardanis15256 жыл бұрын
HAPANA, nafikiri unaitwa MARIE JOSE au kifupi MJ
@theodorekafanabo44265 жыл бұрын
Wakati huo muziki ni muziki kweli,sikia Saxophone ya Twahir Mohd,kweli aliitendea haki, ah Masantula Ngoma ya Mpwita, kweli vizuri havidumu,wakati huo kikii bado kijana mbichi kabisa, nafikiri akisikia,akikumbuka alliokuwa nao ambao wengi ni marehemu anabaki analia,pole king kikii
@josiahmwendwa7922 Жыл бұрын
Ni kweli huyu bwana alikua na sifa kubwa na umaaru mkubwa wa saxophone kama Verckys Kiamangana. Ali was the best in East afrika. I myself remember his good work and say kizuri hakidumu. Sorry
@abdullkilawi55048 жыл бұрын
Mwaka wa watoto 1979
@mpandageorge79045 жыл бұрын
Nani kapiga solo guitar wimbo huu?
@nkombakababa59594 жыл бұрын
Jina lake aliitwa Makasa ni yeye alipiga solo na alikuwa na bana ngenge
@nasirally909810 жыл бұрын
yeah da song is called mwaka wa watoto
@iskajojostudios9 жыл бұрын
Nasir Ally ASANTE KWA MASAHIHISHO
@kephermichaelchisumbili45357 жыл бұрын
kababa nkomba habari za sweden?
@nkombakababa59596 жыл бұрын
Nzuri sana
@sunriseradiotz4 жыл бұрын
@@nkombakababa5959 NAFURAHI HATA KUSOMA TU ULICHOANDIKA...