Kwa story Zaidi tufuatilie kupitia Mitandao : ►Twitter / tv3tanzania ►Instagram / tv3tanzania ►Facebook / tv3tanzania ►TikTok / tv3tanzania
Пікірлер: 180
@sirmnyoroka75112 жыл бұрын
Hongera Sana mfaume Kwa hekima ulizojaliwa maana Tambo hazipo kwenye lugha za matusi m/mungu akujalie
@abdihemed5802 жыл бұрын
Umeona ya mwakinyo kutoa povu lake la moyon hilaa mmesahau maneno kibao yalitoka kwenu kumponda na kumzarau mwakinyo kafanya vizur kumtusi uyoo nisie muelewa
@mussabinford98722 жыл бұрын
Anafanan na Ahmed ally kdg uyu mfaume
@kawezaseleman57942 жыл бұрын
Mdogo wangu nimekuelewa sana mfaume
@lloveyoutanzania53152 жыл бұрын
Akuombe msamaha tu lakini kwa ulingo mwakinyo ni levo ya juu atakuua kabisa kwanza huna afya ya kupigana na mwakinyo
@hafidhali8152 жыл бұрын
Ngumi hazipo ivyo we boya
@highzacknnko96852 жыл бұрын
" unamjua may weather wewe bondia namba moja duniani,hassani mwakinyo ni bondia gani sasa,mwakinyo kiduku atamchana chana akubali uone
@dinopaul26182 жыл бұрын
Mfaume aliwahi kumvunja bondia taya asante
@samsonmaiko60892 жыл бұрын
Kaka Naku kubali Sanaa!!! Ila mwakinyo humuwezi maishaaa!!!!
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Mwakinyo Kikukuu Mguuni anamuogopa mfaume mfaume, mfaume mfaume Ni Hatari brooo ameshammvunja fuvu Mohamed matumla so fikiria Kwanza kuhusu Hilo, Kama Mwakinyo Ni mzuri SASA Anaogopa Nini Mbona kuna kijana mmoja mtanga sijui Yule Mwakinyo alipiga Nae sparring na Mwakinyo alimpiga na Akasema nilikuwa nampa Adabu cos Alikuwa Anaongea Sana
@FrankMuge-rc1nv11 ай бұрын
Mfaume bado kindagate xana kwa mwakinyo
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
The Golden boy mfaume, mfaume 💓💓💓💓💓
@masudimillanzi9942 жыл бұрын
Mwakinyo anatamba xana ila kiukweli mfaume umuwez mwakinyo mapambano kibao unabebwa xana apah bongo
@michaelyona24792 жыл бұрын
Piga mwakinyo anadharau sana , Kuna watu wapo mtaaa wanapiga gumi kinoma ni vile hawaja mulikwa tu, alikaataaa kwa twaaha kiduku akikataa na hili yeye ndo wakike.
@madiwarongomba62 жыл бұрын
Ngumi sio ugomvi na Zina sheria yake Kama levo inaruhusu wapigane lakini tujiulize yupo nafasi yangapi kwenye nafasi za mabondia huyu mfaume
@madodofamily59062 жыл бұрын
Hapo mfalume mfalume unafeli mwakinyo huwezi fanya maisha mengine tu Yani hapo bongo. Hakuna wa kumpinga wewe we Endeleanga tu na Taarabu yako ya kizadhamo nilikua nakukubali San Ila kwasasa noshakukataa Alifu niongeze na kusema hivi Mfalume mfalume wee Akili hnaxo kabisa mwakinyo huwezi MWACHE to Aitwe mwakinyo Basi
@ezekiakyando59442 жыл бұрын
Mwakinyo si daraja uvuke kirahisi kama unavyofikiri.
@champion115372 жыл бұрын
mbona hasan anakimbia,amajua kitAh
@mambadumejr48012 жыл бұрын
Achen maneno mabondia wa Tanzania fanyani mazoezi pigen kazi
@kamalhankhamis4374 Жыл бұрын
Nakukubali Mfaume
@barakamusapolekidoti9572 жыл бұрын
Oyaa champion wa town akijichanganya mng'oe meno ya nyuma yote
@asilaally46602 жыл бұрын
Mwakinyo humuwez
@abdallaabeid35872 жыл бұрын
Hongera kaka umeongea point na huo ndo mchezo unavyotakiwa uwe. Mmoja akikosea mwengine asikosee nyote ni mabondia wetu Ila mambo mengine so mazuri kwa nyinyi kujibizana hivyo
@sharifuanuary48162 жыл бұрын
Mfaume the best Tanzanian
@frankhaule85702 жыл бұрын
Ngumi nkat ya nguzo za hip-hop Sasa mnavyoanza Taarabu ndo nashndwa kuwaelewa
@nassoromussa24232 жыл бұрын
Mfaume leo umeongea vizuri sana sema huku mwisho ndio umeharibu kidogo.....ukumbuke chanzo cha kutoelewana kwenu ni pamoja na ww mwenyewe kutompa Mwakinyo heshima yake tangia mapema jambo ambalo limemkwaza sana! Lengo la kuomba na spaa na ww kitaani ni kuonyeshana tu nani mwamba lkn vigezo vya kupanga ring rasmi hauna kwa sasa hivi dhidi ya mwakinyo....sisemi kwamba huwezi kumpiga make kwenye ring lolote linaweza kutokea ila maoni yangu nafikiri muheshimiane mpendane mshirikiane ili ndondi nchini zikue zaidi lkn hata mpeane michongo lkn mkiendekeza bifu zisizokuwa na kuchwa wala miguu tutarudi nyuma sana.
@tondicharlessanga6902 Жыл бұрын
We fala 2 huna loloteeeeee
@banzmozes809923 күн бұрын
Hapana kwakuvimba kule tafuta Kaz nyingine
@carentemu91412 жыл бұрын
Njaaa hiyo
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Nyie mbona hamuendi nje? Mwenzenu Mwakinyo anazichapa nje Sana.
@ijsound51492 жыл бұрын
Hizi kiki mnatupigisha story maboya nn ww na mwakinyo lenu moja vichwa maji
@jacksonngusi47672 жыл бұрын
Mwakinyo akuwez Yan
@user-nn5ut6uc1l Жыл бұрын
Atakuu wayule mwakinyo noma
@emmanuelmayunga15182 жыл бұрын
Wew na wenzako jitafuteni mna wivu Sana na Champez..Mwakinyo sio level yenu mkaushieni mtengeneze records zenu na ninyi na sio kumtaka taka TU kat sio saizi yenu
@kamugishaernest62272 жыл бұрын
Yani wanadamu bhana yani mwanadamu anataka aonekane kupitia mgongo wa mwingine.. wewe kwa Mwankinyo huwezi kumaliza naye atakuua labda kwa kuwa unajua kukimbia kimbia kama kuku
@ezzepuritykamwene21212 жыл бұрын
Huyu mwanariadha KBS...
@halimahmwalimu-fo9ri10 ай бұрын
Mfaume kunakitu kimekuuma kutoka kwamwakinyo kwanza auna ngumi nzito unacheza shootu pialali umempiga kichwa chapombe
@ahmedawadh24602 жыл бұрын
Nzigo uwekwe mezani...
@user-rc8fx6li8t10 ай бұрын
Namikweli huwezi kusheza box kwenye t
@aminangombe8815 Жыл бұрын
Akuwezi kaka acha nae,,, ety awezi kupoteza jina lake kwa ela ndogo .. mbona Babu tale alisema ataje ela anayotaka likaogopa
@selemanigogo46692 жыл бұрын
Yan mabondia wabongo hata mkizurumiwa sawa watu Mana ubondia wenu malipo sifa
@twintangastone9489 Жыл бұрын
Wewe ni wakupigana na mwakinyoo kweliii aaaaa wapi
@Africa8222 жыл бұрын
Hili game ata shinda mwakinyo kwa point
@truelovepawanza20462 жыл бұрын
Mfaume amalizi game
@michaelgodfrey57172 жыл бұрын
wemfaume mfaume hauna ngumi kwanza hata usipewe gem hauna lolote
@abasichibe41162 жыл бұрын
Mfaume huna maajabu broo ila una maneno mengi sana ndio yanakufanya watu wakujue we nani ila hata rekodi zako hazisisimui bora hata Dullah Mbabe anaweza kuongea kitu watatnzania tukamuelewa coz rekodi zake zinasisimua mzee na kingine mwakinyo ametafsiri maana ya kukuita mtoto wa kike mzee ni maneno ya kisport sizani kama kuna tatizo hapo na ukilinganisha tambo ma majigambo ndio yanaleta motisha kwenye boxer.
Acha unafika mfaume We ndio wa kwanza kumuita muimba tarabu mwenzako
@twaibumikidadi73772 жыл бұрын
mwakinyo hawez kurndelea kwa sababu hız 1. Hana Adamu displin 2. kujıona wakat bado Mike Tyson alkuwa mtııfu mpka mwısho aliiheshm wanaboxer wezake n.k
@musakihama72052 жыл бұрын
Uko sawa Ila Kuna kunguni humu wanakomenti ukimya.
@happynjukiz64952 жыл бұрын
Kabisa
@twintangastone9489 Жыл бұрын
Ety bondia mzur zaidi yake
@sadamramadhan9887 Жыл бұрын
Yule hana akili achana nae mfaume nakukubali achan na mtu anae poteza viatu uwanja wa ndege
@mchinadizainabushi8905 Жыл бұрын
Uko makini sana kwenye boc
@Ram_18932 жыл бұрын
Endelea kujisifu kisha na yeye aendelee kutengeneza heshima kwenye masumbwi pamoja na pesa
@strikerforce49492 жыл бұрын
Mfaume akiamua anaweza mvunja jamaa fuvu. Punch yake ni hatari. Alikuwa amuue Mohammed Matumla mpaka leo atumsikii. Mwakinyo punguza shobo sio kila chaka la kuvamia
@Rastamuslim2 жыл бұрын
Kwa bongo akuna kama mfaume anajua kucheza ngumi yani mchezo anaujua ao wengine wanatapa tapa tuu wapate ugal
@ezzepuritykamwene21212 жыл бұрын
Huyu ndio bondia lkn TUACHE dharau mwakinyo si type yake, mwakinyo yupo mbali sana, mfaume huwa wa vituko tuko tu kukimbia hovyo afu Kuna pambano last Dec 2020 ,,alibebwa vibaya mno kapigwa af anapewa ushindi ambao ht mtanzania unaona aibu KBS. Hatukatai ni mzuri lkn bado kwa mwakinyo,, hta Tony rashid bado atamsumbua au ndio type yake.
@bennysady4692 жыл бұрын
Mwakinyo mwoga njee unapewa mabondia wachovu
@thabitisimba11432 жыл бұрын
Msio jua ngumi niwaambie tu mwakinyo hana uwezo wa kumpiga mfaume hivo
@lama63102 жыл бұрын
Bongo mabondia watakuja na kuondoka Ila hamna bondia Kama Mfaume..Duniani Kote hamna Mtu alishawaikumpiga mtu akampasua Fuvuu .. .
@abiboseleman16492 жыл бұрын
Kila siku anakimbia ulaya anachukua hela anapigwa
@mashalahwajimwaga10122 жыл бұрын
Hivi ndg mnajua tusijifanye kama walevi unauhakika mfaume azichape na KIMBUGA BOY kweli au ugoro ndo unasumbua kwa sasa acheni bangi za chooni ifike mahala mheshimu mtu kwani kupambana mapambano mengi ndo kushinda au kama wakati umekuruka achana nao mfaume ngumi hajui hata kidogo mabondia tz ni 2 tu MWAKI NA KIDUNDA hawa wengine wapo na kiwango cha kawaida sana
@jamesngadaya27912 жыл бұрын
Hiv sparing anazotak mwakinyo bila kuandaa ring hua anatk nn
@cricwambali13522 жыл бұрын
Anajua akicheza na wao kwa ling atawapa brand so anajua anacho kifanya
@mahamudunangalapa19202 жыл бұрын
Mbona munaeneza chuki kwenye mchezo wa ngumi
@jumahatibu92402 жыл бұрын
jipange broo
@zumbeshauri81142 жыл бұрын
Achachuki mzee wewe pumzika
@swalehsaid15312 жыл бұрын
Kisha nikapambane na mwakinyo
@khalidrashid85812 жыл бұрын
Mfaume hamuwez Mwakinyo
@gwajimagwajima2 жыл бұрын
Tatizo si kumuweza ,mwakinyo sifs nyingi Hana adabu
@alkamkamili85532 жыл бұрын
Mfaume jitafakari kwanza acha wivu kaombe Mapambano na mabondiya wa manzese km nimzur mbna levo yk haufikii miaka yote
@cmb63422 жыл бұрын
Kaka mwakinyo atakuumiza tulia wew
@sadamramadhan9887 Жыл бұрын
Atapoteza viatu uwanja wa ndege
@wazirisaid83262 жыл бұрын
Kumbe Mfaume alishagongwa KO Mbaya na mstaafu wa ndondi Joshua Clottery mwenye miaka 43!! Sasa anajilinganisha vipi na Mwakinyo? Ameletewa kuchikuchi otahe amtumie Kama daraja ili naye awe na nyota nne Kama Mwakinyo pia ameshindwa na akachezea kichapo yeye!!Mfaume bado Sana!!
@manlematz8212 жыл бұрын
Ww boya tu
@shabansalum9283 Жыл бұрын
Mabondia wa manzese bwana
@jayznkovich89932 жыл бұрын
Mfaume unajuwa bro lakin uyo wa tanga mchumba 2
@mkanulamajid5002 жыл бұрын
Aliteleza tu kidogo binaadam co malaika
@sharifuanuary48162 жыл бұрын
Number moja zaidi ya kimwakinyo
@patrickmfundiri86692 жыл бұрын
Safi mfaume
@lama63102 жыл бұрын
😂
@albanomgaya61222 жыл бұрын
Ww kwa mwakinyo bado sana bana acha
@omarymgaza20592 жыл бұрын
Tatizo lenu mna wivu wa maendeleo mpeni heshima hata Kama Ana mapungufu yake na si kumchukia halafu wewe sikuelewagi kabisa naona Kama mtu wa taarabu tu maneno meng Kaz hatuioni sijui hizo sifa unazo pewa zinatoka wp
@madodofamily59062 жыл бұрын
Huyo c mzaramo bwahna Hana maajabu yoyote bhwaha Aende kule
@josephchristianmhema57342 жыл бұрын
Huyo mwakinyo hana kitu hajui ngumi huyo uchampion wa utopoloni
@zahirrajab77132 жыл бұрын
Choko wewe acha chuki mwakinyoo humuwez ata kutoa tumboo ilooo kuma wewe
@shabansalum92832 жыл бұрын
Pigana namabondia wa manzese mlogane vizuli
@abdihemed5802 жыл бұрын
Alafu mwakinyo akutaka kupigana n we kamua kukuoa povu tu Kama ngumi unaziweza mbn atuoni mapambano yako unakaaaa miezi kibaoo alafu unakuja tupigiaa kelelee tu
@jumambaraka9882 жыл бұрын
Mpendane msilete chuki sio vizuri
@meshakinelisoni11762 жыл бұрын
.nikuelewa
@carentemu91412 жыл бұрын
Unakituwewe
@andrewmfuko6109 Жыл бұрын
Juzi tu umezingua umempiga kichwa jamaa,inatokea ndio lkn round ya kwanza! Ulichoka saa ngapi? Au ndo profesional? Tunaomba urudi kwenye kazi ili upate heshima. Kiduku unaona anavohastle? Fanya vile tafadhari,kiduku ashaachana na habari za Mwakinyo
@abdihemed5802 жыл бұрын
We mfahume na dula mzaramu na kiduku mnakazi ya kumtaka mwakinyo amuwazi kufanya majambu Kama mwakinyo mjajulijana kimaraifa mnakazi kumuonea mafanikio pambaneni kimataifa muweze kupaaa so mwakinyo kanitukana nyiee mmemtukana marangapiiii mmemzarau marangapi
@hamadeddymaclayz2 жыл бұрын
Mwakinyo muoga sana yule choko
@jaswabe_tz2 жыл бұрын
Mfaume mwenyewe mweupe
@jacksonngusi47672 жыл бұрын
Bondia muaga yure akuwez mfaume
@waheedhamad45582 жыл бұрын
Hz ni chuki t m naona lkn na mwakinyo apunguze kdg majigambo
@chikusobo46702 жыл бұрын
Mwakinyo ajui ngum achesi namakuchi kuch wak sikuogop atamm kidik ukatae mufaum nae umukatae una akil ata dulanae unamuogopa amuna kit ww kilicho bakia uchez nakina Kira's naata kufunda tw
@swalehsaid15312 жыл бұрын
Faume mm nataka pambano na wewe je upo tayari mm ni mkenya
@yahayaolomi10572 жыл бұрын
Nyie wote ni wehu mwakinyo umaarufu kautafuta Kwa shida na gharama hajapewa na wahuni mtaani hata nyie nendeni ulaya mkautafute
@sadamramadhan9887 Жыл бұрын
Ww ndo chupi kabisa
@elizabethmajaliwa51892 жыл бұрын
Ongelea yako , tafuta riziki yako achana na Mwakinyo hakuna unacholingana naye , kwanza we mswahili tu
@al-islammuongozo56352 жыл бұрын
Sawa Wewe Mmarekani!!!naoma umekuja kuona mlima Kilimanjaro
@elizabethmajaliwa51892 жыл бұрын
@@al-islammuongozo5635 Wewe naye toa tu maoni yako sio kujibia yangu ,inakuhusu Nini, au kazi yako kujibia media jibu wote Sasa walio changia , mbona unataka kunipangia Cha kuongea ulishasikia kwenye media tunapangiana ? Wote tumemsikia na tunamfahamu we kazi kwako kuchangia chochote unachoona Sasa unanifatilia mchango wangu unanipangia yaani , samahani Sana fuata yako
@elizabethmajaliwa51892 жыл бұрын
@@al-islammuongozo5635 kwanza kwa akili yako huyo mlevi mwenzio niwa kumlinganisha ma Mwakinyo mtu mwenye malengo yake na akili yake sawa hategemei machawa wamsifie
@al-islammuongozo56352 жыл бұрын
@@elizabethmajaliwa5189 Sawa me mlevi we sister wa kanisa gani vile???
@elizabethmajaliwa51892 жыл бұрын
@@al-islammuongozo5635 hata cjui kwani inakuhusu Nini Wewe
@abuushaakir95822 жыл бұрын
Mwakinyoo Hana nidhamuu hata kidogo kuita wenzake watoto wakike hii sii sawa. .mpuuzienii mwakinyoo nimtu limbukeni sanaaa ...maskinii wengii wakioata nimalimbukeni wamali kila mtu hunuona churatuu akipata...mwakinyoo aache majivuno maysha sio nyoofutuu akumbuke Kuna Kona ..mpimbavuu Kama Nini kanikeraa nlikua shabiki wake alkini kwahilii apite kushoto ...
@madodofamily59062 жыл бұрын
Nenda huko na wewe huja Jambo yoyote fanya uchunguzi kwanza ukiambiwa mwanao mwinzi wacha kubisha to
@abuushaakir95822 жыл бұрын
Usimteteee mjinga akifanya ujingaa mwakinyoo limbukeni sana
@ramadhanirashidi1821 Жыл бұрын
Peleka usenge wako mbele
@matymatiku73522 жыл бұрын
Mwakinyo hana ishu apigane na wavuta ugolo 2 ngumi awachie nyie
Mm nishabiki wa mwakinyo ,,,,,,,Ila kwasasa mwakinyo anavikauli vya dharau saaana,,,,,alianza kumtukana matumla watu wakamshauli akaomba ladhi,,,,akaja akawatukana mabondia woote akidai wanaletewa ndizi,,,,,,na saiv anamwita mwenzie mtoto wakike.....,,,,,,,,,Kweli hivi watu mnaona kawaida tuu,,,,,ndio mfaume hawezi kumpga mwakinyo Ila kauli hizo sio poa aise Mungu anaweza kumshusha huyu
@madodofamily59062 жыл бұрын
Mjombaa fanya uchunguzi kwanza ukiambiwa mwanao mwinzi wacha kubisha Hawa mabodia wa bongo Wana hila wewe Sasa Kama huyo mbeba matofali Ni wakumtaka mzee baba mwakinyo kweli WAACHE ushabenga wao huo bwana weee
@coolruler68202 жыл бұрын
Mtu anatukanwa kutokana na choko choko zake,,,,,hivi mtu uko form 4 halafu mtu anakuletea mtihani wa chekechea,,,,,lazima umtukane. Pamoja na yote huyu dogo hawezi kusimama na Hassan,,,mara ngapi tumeona kaenda nje kapigwa kama mbwa koko,,akirudi ni kujitetea tuu
@christianmaganga26592 жыл бұрын
Tafuta mapambano makubwa ukapigane nje
@abdallahabbdy40972 жыл бұрын
Mtu havuti mabangi,fegi,mapombe kazi yake kusoma qur an madrasa ku swali mazoezi sana yupo top 10 duniani umri wake wa form five kwann akae kimya sasa asifiwe na nan mnataka … champez one mo time
@issahamis5812 жыл бұрын
madem
@azizintalla73482 жыл бұрын
acha kelele wewe mwakinyo unamjua au unaona tuh wenzako wanavo teswa unaona kawaida acha uje ufikiwe wewe
@lama63102 жыл бұрын
Mbna yeye amuombe sparring
@ezzepuritykamwene21212 жыл бұрын
Huwez kuwa mzuri zaid ya mwakinyo ngumi zako bado kwa level ya mwakinyo.
@jumanzige96442 жыл бұрын
mwakinyo kwa sasa hawezi kuombwa tu pambano akakubali, yule muwekee pesa na uwe kwenye level aliyo yeye sio hivyo mnavyotaka nyie, aje mumpige nondo apate ulemavu mjisifu, wengi mwakinyo wamemjua kimataifa sio ndani ya bongo na ukumbuke anshilia mkanda gani sasa na wewe una mkanda gani, nani dunia inamtambua kati yenu? mimi binafs hata sikuelewi yani , mwakinyo ndio matumla wa sasa, kairudisha ngumi kwenye hadhi yake.
Unaongea sana maneno ya kike ulipigana nje ukawa unajiangusha aa kwenda zako
@allymakata12082 жыл бұрын
Ww hizo ngumi umejifunza wap kupign na mwakinyo au unatak kufa mfaume ww mtupu tuh Kama huyo kiduk wako
@adamkapolo881711 ай бұрын
Mwakinyo muoga sana hana lolote
@kamugishaernest62272 жыл бұрын
Mfaume humuwezi Mwankinyo hata kidogo yani wewe utakunya ulingoni kabisa kama sio kujamba 2.
@abiboseleman16492 жыл бұрын
Sasa wee bom dia na Profesional bingwa wako upi sasa
@wazirisaid83262 жыл бұрын
Mfaume unasema umepigana mapambano mengi kuliko Mwakinyo je, umeshinda mangapi? Boxrec yako inatia kinyaa umepigwa Sana tengeneza rekodi kwanza wacha Mwakinyo sio wa levo yako.Kama ametaka sparing kwenye tiles kwanini umekataa? Ulimuonea huruma ya Nini? Kwani sparing kwenye majimu yenu mnaweka ringi? Na umefanya vizuri kukataa ungekubali angekuzimisha sakafuni. Una kinyota kimoja na nusu chako unajilinganisha na champion mwenye nyota nne!! Unajitambua kweli? Punguza maneno ndio maana mwenzie amekuota mtoto wa kike
@gwajimagwajima2 жыл бұрын
Tatizo mwakinyo sifs nyingi Hana adabu
@zubedamuhamed18732 жыл бұрын
😃sasa kama mwakinyo alipigwa ko mbaya na ramadhan kaoneka anaweza vep kumkalisha mfaume 😐tatizo mnakalilishwa kuwa jamaa ni bondia bora kampiga nani au hao walevi anaoletewa
@wazirisaid83262 жыл бұрын
@@zubedamuhamed1873Mnaweweseka Sana! Sasa hiyo KO mbaya amepigwa na Mfaume? Je, Mwakinyo amepiga wangapi hizo KO Mbaya!. Walipo rudiana huyo Kaoneka alikalishwa round ya kwanza sekunde ya nane Hilo hulijui? Mwakinyo ni bigwa Kama Mfaume anamtaka atafute promota agombee mkanda wa Mwakinyo ili yeye autetee. Tafuteni vigezo vya kucheza na Champion Mwakinyo sio kuuza sura mitandaoni. Mtu anashinda kwa KO hadi Uingereza Leo mnajilinganisha naye! Hivi mnajitambua kweli? Mmezoea kubebwa tu mkipigwa mnafunga ma POP mikononi ili mudanganye kuwa wakate mnapigana mikono ilikuwa imevunjika!!
@festonkandonga852 жыл бұрын
Mwakinyo sifa nyingi na mapambano niliyoyaona mengi ya hapa nyumbani kapigana na walevi tuuuu na kubebwa kwingiiii
@lama63102 жыл бұрын
Achaa ujingaaa ww,.kuwa na akilii.Hujui Boxing kazi Ni kuongea upuuzi humu,,Kama yeye ana nyota nne na anajiamini professional mbona aombe sparring😌.alaf Mfaume kuwa na Record mbaya Ni kwa sabab anakutana na mabondia hatari ..kumbuka wote walikuwa nyota mbili, Mwakinyo kambatisha Yule mzungu ndo akapandaa.mpaka nyota nne..