Ajidhaniaye amesimama na aangalie asije akaanguka.Naona chuki na wivu tu hapa. Achana na Mwamposa ndg ,level nyingine ile.Kwa hiyo unafurahia wafe? Mafuta hauzi, ukweli ni kwamba kusanyiko lake ni kubwa so hawezi kuombea mtu mmoja mmoja so anaombea mafuta kama point of contact,ndiyo maana ni buku tu,sasa chupa,mafuta,label, ana faida gani hapo. Mihemuko inakusumbua! Nilikuwa nakufatilia lkn from today umenipoteza.Hayo.yako ndiyo majungu.
@augustinechitemo82073 ай бұрын
Mtumishi mbona una jazba? Ni kama una hofu kuwa amekusema wewe Acha jazina na kumsema mtumishi mwenzio Umekosea mtumishi omba rafhi Kwa hili Hakuna mtumishi asiyetafuta hela Wewe siku zilizopita ulisema asiye na sadaka asije kanisani kwako umesshau?
@hudumayakristo3 ай бұрын
Unafukiri anacho kifanya kuuza maji, udongo na maji ndivyo yesu alivyo agiza..yesu ameagiza nini kuhusu utoaji wa sadaka. BIBILIA imeweka vizuri utaratibu wa utoaji sadaka tunachokipinga ni uvunjwaji wa utoaji sadaka. 1 Wakorintho 14:40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu. Mungu akusaidie hujui unachokisema tafuta kujifunza neno la mungu utayajua mengi.
@UswegeJohn-ov3ym3 ай бұрын
Sasa hata wewe hutakufa? Mbona inaonekana unafurahia vifo vya wenzio?? Mwamposa ni Mtumishi wa kweli!,Acha kutubabaisha!!
@MRHURUMAHuruma3 ай бұрын
Kwan mwaposa kakosea nn siku hiz vijana wakishiba makande wanakuja kujambia watu.nimeonyeshwa kuna mtu ako anakufa kuna siku nalimwona kijana mmoja et anasema dar es salamu itazmaa mbona sasa haikuzama wewe ndyo una mambo yako tu.
@badaembwilo23493 ай бұрын
Mbona watu wanapona hospital hawaponi kwake wanapona kwani amekutaja wewe unakosea sana
@PhillipShoki3 ай бұрын
Wewe hujui chochote unatafasiri maono nje ya ufahamu.
@HAAM6703 ай бұрын
Katika kitu sipendagi ni Watumishi kuandaa clip za kupondana. Kila mmoja afanye alichoitiwa Watumishi. Kama Mtume fanya utume wako usiponde Unabii. Na wewe Nabii fanya Unabii, acha kumponda Mtume. Mwalimu fundisha acha kuponda huduma ya kitume na ya Kinabii. Ndoto zipo, Nabii zipo, Mafuta yapo, maji yapo, udongo upo, vyote mmevikuta Kibiblia. AYUBU 33:13-16, Matendo 2:17.
@JacksonFrances3 ай бұрын
MUNGU ATUSAMEHE TUSIKUFURU, PIA TUSAMEHEANE MAANA HAKUNA ALIYEKAMILIKA SOTE NI WAKOSAJI TUPIGE MAGOTI TUOMBE Rehema,Toba na Tuungame DHAMBI ILI MUNGU ATUSAMEHE DHAMBI ZETU TUWE NA UMOJA ILI TUFIKE SALAMA TUENDAKO na TUACHE KUSHINDANA KIROHO MUNGU HAPENDI"
@rastheunique3 ай бұрын
Binafsi nalielewa sana neno lako mtumishi
@DenisEkizavel3 ай бұрын
Nataka nikwambie huna chochote unakijua ukizungumza kitu tafakari Kwanza njaa Italia hunakitu
@edwindavid70372 ай бұрын
Umekurupuka kaka naona unahasira
@bernardmushi48693 ай бұрын
Na mafuta yenyewe wachawi wanakunywa ili kuongeza nguvu za kichawi...?
@AdamKuziganika-sq5nk3 ай бұрын
Ada atakupa bule yeye hela z kununua mafuta kutengneza chupa ataztoa wapi awape wote
@bishoparronmgaya17493 ай бұрын
Hongera sana nimekuelewa vizuri MUNGU AKUBARIKI AKUINUE AKUIMARISHE ZAIDI NA ZAIDI.
@hudumayakristo3 ай бұрын
Ameni.
@zariadunia63283 ай бұрын
Waongo mumekutana kazini kuna kazi matapeli yamekutanankazi kutabiri uongo mungu gani mnayemtafuta huku hamjui mungu ni yupi
@Isaackfusi3 ай бұрын
Wewe hujamuelewa mtumishi wa Mungu kwa hicho kipande ulichosikiliza ,isikikilize ibada nzima ndo utaelewa alikuwa anamaanisha nini ,mwamposa hajawahi kuwasema watumishi wa Mungu vibaya
@veronicamokiwa43153 ай бұрын
Na anafundisha kutowasema watumishi wengine kwani hayamhusu mtu yeyote bali ni huduma na yy kapewa
@Elimuyaufalmewambinguni3 ай бұрын
Mkumbushe maandiko haya 1.YOELI 2:28,29. 2.Siyo peke yake wanaoibuka na maneno ya ajabu ajabu,ni kwa sababu Mungu alisema ISAYA 44:25 (ISAYA 44:24-26) 3.Soma 1 WAFALME 18:19, 22:8. 4.Mungu wa mbinguni akaamue.
@bernardmushi48693 ай бұрын
Well said servant of God! HIZI NI SPANA ZA KIROHO KUKOMBOA WENGI WANAOPOTEA;ENDELEA NAZO MTUMISHI.
@mariaanthoniangowi93763 ай бұрын
Mjomba umekariri Bíblia, makini tafsiri au teologia Ya yake huijui acha zako. Nilikkuuona WA mana makini Leo nimekutambua huna chicote. Mmsi WA Mwapoza,nawalasimkubali, lakinikwangu ninayeielewa Bíblia kimakini ,Ww unapotosha maandiko Matakatifu na kupotosha wasioelewa viziri Bíblia.
@godblessmamkwe99963 ай бұрын
Pesa ilimponza yuca , u Hungarian mliupata wapi nyingi fly catchers."
@elishampoki87513 ай бұрын
Walokele mnatutia aibu mnapokwaluzana wenyewe, wakati imani ni moja ubatizo ni mmoja Bwana ni mmoja, Mnaolumbana kwenye mitaondao Mungu awasaidie , mumeacha kutufundisha ili tumjue Mungu nyinyi mnalumbana mnawakela watu, nyinyi bila kujua,
@JamesKanyenda-y9y3 ай бұрын
Pamoja mtumishi mimi nakuelewa sana yani kuliko unavyojielewa ww.mm nimekupma.nimepta majibu.hakika ww MUNGU yupo ndani yako amina balikiwa sana mtumishi
@JamesKanyenda-y9y3 ай бұрын
Walio wa MUNGU watakuelewa.ila walio wa shetani awawezi kukuelewa.ww pga kazi MUNGU yu pamoja nawe.sio mwamposa tu.ata mzee wa upako anatumika na kuzimu
@josephkadeghe47203 ай бұрын
Vijana wengi ni manabii wa uongo, hata shetani anaotesha ndoto
@durangobasics61953 ай бұрын
Tunajuaje shetani anaotesha Ndoto? Kuna mfano kwenye biblia?
@mariaanthoniangowi93763 ай бұрын
Kaka Tangu happy na weed umepotea inatos tafsiri ya Bíblia batismo. MUNGU WA wazima Hanna maana waliokufa siwake Bali wanaishi kwake mjomba
@GeorgeNgonela3 ай бұрын
Umewahi kwenda kukwambia huyo kiongozi kuwa utakufa usipofanya haya na haya?
@janengaga29283 ай бұрын
Watumishi wengi wa MUNGU waliotangulia walikuwa wako bussy na kazi ya Mungu kuhubiri iniili ya kweli ya MUNGU ya utakaso bila kuangalia masilahi . Bila migongano . upendo muhimu.
@epifaniamilinga28483 ай бұрын
Watumishi wa Mungu.kusemana siyo vizuri.mnawafanya waumini wanene vibaya juu ya wapakwa mafuta ya Mungu.Kwani ukihubiri au kufundisha bila kumtaja huyo mhubiri huwezi ? Tumechoka.
@MageAwe-hl5zb3 ай бұрын
Kweli mungu atusaidie
@veronicankhwazi79543 ай бұрын
Kila siku mnaoteshwa na Mungu kweli ??????kila siku ni kuoteshwa tu
Mwambiye huyo ni taperi .tatizo ya watanzania taifa lote ni wajinga watu wanauziwa udongo mafuta. Ovyo.amkeni watanzania .huyo ni taperi anatowa mapata kwa wenye mamulaka alisababisha vifo arusha kukanyaga mafuta .serikari wala hata rumande hakufika mungu manabi wawongo ndiyo huyo mwamposya.
@festinamwakipale39193 ай бұрын
Umri wowote mwanadamu anaweza kuota ndoto.labda tafsiri
@joyjackson2583 ай бұрын
Nakubaliana kaabisa na alichosema Mchungaji Mwamposa , maana hata yule nabii alipoambiwa akampelekee Daudi neno kwa habari ya uria alienda moja kwa moja kwa Daudi hakuita kusanyiko kuliambia . Mwamposa uko vizuri hayo ni maonyo .
@kivuyopendo54873 ай бұрын
Kushindana kwenu si juu ya damu na nyama Bali ni ufalme wa Mungu, nadhani hii sio hekima mngetafuta namna ya kuelezana na sio kuliweka hapa au kwenye mitandao
@DenisEkizavel3 ай бұрын
Hatamaji hujanywa koorimekukauka hubiri katika kweri watuwapona we nishetana mwampsa songs mbere
@onlyyoujesus82323 ай бұрын
Sisi tutawasikiliza tu na kuwapima. Jueni kwamba wapo pia manabii wa ukweli na uongo. Unabii wa Yona uliwataka watu kumrudia Mungu, ila tumeshuhudia wahubiri wanaotaka waabudiwe wao. Wahubiri nyote nawaambia msiwadharau watu mnaowaona kuwa wa kawaida, nao pia wana Mungu
@patsonkyando17323 ай бұрын
Wewe hujamuelewa Mwamposa
@TitoRufizi-xb2ub3 ай бұрын
Safi sana mtumishi endelea kufanya kazi ya Mungu,waache hao wafanya biashara
@GeorgeNgonela3 ай бұрын
Hata wewe unapotea unakosa hekima bado unaharibu kanisa
@calistusmahombo-ty8ni3 ай бұрын
Kumbeka jukwaa la Kumhubiri Kristo JKK
@felisminja31353 ай бұрын
Aliingia.kwenye tamasha la hamoniza kweli huyo ana neno na hekima
@samoskiyalo60953 ай бұрын
Pasta jipuuuu mashetani yaumbuliwe
@GeraldNjau-b6b3 ай бұрын
Huyo wala ha2sumbui tunamjua
@pauloadamu94923 ай бұрын
Mtumishi shalom shalom mimi nina swali MUNGU ndiyo amekutuma utoe ujumbe huu
@durangobasics61952 ай бұрын
Shalom ya nini tunaongea kiswahili Sema " Amani ya Bwana iwe nawe"
@Beatrice-l8u3 ай бұрын
Acha uongo huna lolote
@GeraldNjau-b6b3 ай бұрын
Tatizo Mwamposa amefanya maji mafuta na udongo kua huduma wakati kwenye Biblia haipo.
@lulumatawalo78053 ай бұрын
Unasoma biblia ipi?
@elihurumamushi25213 ай бұрын
usirukie usichokijuwa wakirsto hatusome biblia ndiyo maana mtu anasema chochote kila mahali yesu alikaa na watoza ushuru manamke malaya alimpakaa yesu mafuta heti mtumishi wa mungu ameonekaneka kwenye tamasha la muziki basi siyo mtumishi wa mungu acheni ujinga wa kiroho pili wapi mwamposa kauza udongo unatolewa bure mafuta sh1000: hiyo pesa ya paking tu maji sh1000: kama utaki ya kwenye huduma tumia ya kwako nyumbani nyanyua tuangalie kama upako utaingia kwenye maji au mafuta ya nyumbani ungeleeni kitu mnachojua
@sendemwasende44583 ай бұрын
Mungu atusaidie, tuongozwe na Roho. Mtumishi songa mbele