🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 767 400402) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Пікірлер: 10
@NoelkitoiАй бұрын
Sisi kama chadema ccm izisime umeme wakati kupiga kura na uhuru wa wanabari atutaki itilafu yoyote wakati wa kura
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
MASIKITIKO MAKUBWA RASILIMALI ZINAONDOKA
@noelyhaule5695Ай бұрын
Hiv mbowe anafuliwa na nan nguo😢
@elibarikimollel7149Ай бұрын
Chalamila ana kiburi cha uzima na madaraka lakini haijui kesho
@beinafuu6219Ай бұрын
Mmejiandikisha ?.au mnaongea tu.
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
Muhimu ni kujiandikisha na pia kwenda kupiga kura
@charlzmboyaАй бұрын
Mbowe anafuliwa na mama yko nguo...kuma wewe!!! Nguo ndio umeona tu chakula je ???
@elibarikimollel7149Ай бұрын
Watanzania tumechoka na uendeshaji wa serikali wa zamani,sasa tumechanganyika vya kutosha,na wananchi bado tuna ruhusa ya kuishi popote nchini kwahiyo:Serikali ya ccm iachane na utamaduni wake wa kututeulia watu wa ajabu ajabu kuja kutukoromea watu ambao hatuna asili nao, wanakuja kwa kigezo cha kumsaidia Rais kama wakuu wa ulinzi na usalama!!, wabunge na madiwani wetu wanawekwa nyuma tutatuliwe mahitaji yetu na watu ambao maamuzi yote yanakua yao,sisi tutii. SASA BASI,BASI,MA-RC na ma-DC wakija wamngoje Rais akija wampokee,wamlete kwetu tumueleze mahitaji yetu sisi tuliowapa dhamana kikatiba, ashirikiane na Mbunge na Madiwani tuliowachagua kuzitatua. Imeisha iyo....
@charlzmboyaАй бұрын
Noelly acha upumbavu ...hii ni kazi ya mageuzi men??! Unasema nguo ??? Jee alivyo mwekwa jela miezi 9 je nani alikua anamfulia jela !!! Acha ujinga ..mageuzi sio masiara