Ndo maana wanawambia tuwe na katiba mpya! Bado mnawaambia hao mawaziri si atakupiga blabla anaondoka!??
@user-oy2gp3nq4jАй бұрын
Yani nchi hii kwa kweli .maji atupati hasa huku mbezi makabe . Ili tununue maji ya magari unit 15000 .huku ni mateso tunajiuliza haya magari sijui ni ya kwao watanzania tunamateso sana
@cnc_designertz9117Ай бұрын
hamna wezi kama watu wanaofanya kazi kwenye wizara ya majii...ni aibu kabisa..wahudumu wenyewe wanatamka maneno makali kama vile tunaomba maji bure kwao...
@dhireshrajput548Ай бұрын
Mashirika na Taasisi za Umma zilizotaifishwa na kubinafshishwa sasa zinatakiwa zirudi tena Serikalini na zinatakiwa ziorodheshwe kwenye Soko la Hisa kwa manufaa ya wote!
@sleifikhajjir262Ай бұрын
Zanzibar maji bure hadi raha
@kwigemagabba2738Ай бұрын
Safi kabisa
@TellaaxisTzАй бұрын
Maji ni uhai😮 #tellaaxistz
@mwalimumstaafu8529Ай бұрын
Mtihani miaka 63 ya uhuru maji bado changamoto. Sijui tumerogwa. Wafanyakazi wa serikali dawa ni kutumbua ukifuata utaratibu hatuendi. Awamu hii wanakula bata wanajua mama rahimu.
@user-ow7pl6tz2cАй бұрын
Wapi iyo
@josephatmathiasgalagalabuh786Ай бұрын
CEO DAWASA alikuwa LUHEMEJA TU
@user-wr7wp9sl2pАй бұрын
Mheshimiwa Aweso naomba na Kawe upaangalie wanatubambikia bili za maji
@dicksonmatulile1523Ай бұрын
Mnafiki ww
@emanuelpetro9591Ай бұрын
Milard Ayo na wewe umeshakuwa mhuni sasa taarifa gani hii haina muelekeo na mwisho
@IsbImaniАй бұрын
✍️
@hassanhancha1413Ай бұрын
Aweso ni mtu huyu jamaa
@safiamussa9832Ай бұрын
Xxa nd nin ikii millard😢
@jovinkiboko3558Ай бұрын
Huyu Jamaa kanikumbusha mbali sana. Nilibambikwa kesi kwamba NIMEWAZUIA WATU WA IDARA YA MAJI KUFANYA KAZI YAO. Nikawekwa ndani , case ikadumu Kwa miaka Mitano.
@MauaDumbaАй бұрын
Shubh pole sanaa hii mambo ipoo
@jovinkiboko3558Ай бұрын
@@MauaDumba Nilikua nina Siku 3 tu tangu nimefika nyumbani. Kaka yangu alikua kama huyo Jamaa ( alikua akiwalalamikia Sana watu wa Maji ). Siku hiyo wakati wanakuja hakuwepo hivyo wakaamua kunikamata Mimi badala yake. Nilipigwa Sana pale kituo cha polisi mpaka kuzimia / nilivutwa korodani zangu. Walipomaliza wakanibambika kesi . Na nikawekwa mahabusu. NIMESAMEHE!
@jasonwatz7457Ай бұрын
Usiwaache hiv hiv seek msaada wa kisheria@@jovinkiboko3558