MWANANCHI AFUNGUKA MBELE YA WAZIRI "DAWASA WAMENIITIA POLISI BAADA YA KUDAI MAJI"

  Рет қаралды 6,829

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 21
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Ай бұрын
Ndo maana wanawambia tuwe na katiba mpya! Bado mnawaambia hao mawaziri si atakupiga blabla anaondoka!??
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j Ай бұрын
Yani nchi hii kwa kweli .maji atupati hasa huku mbezi makabe . Ili tununue maji ya magari unit 15000 .huku ni mateso tunajiuliza haya magari sijui ni ya kwao watanzania tunamateso sana
@cnc_designertz9117
@cnc_designertz9117 Ай бұрын
hamna wezi kama watu wanaofanya kazi kwenye wizara ya majii...ni aibu kabisa..wahudumu wenyewe wanatamka maneno makali kama vile tunaomba maji bure kwao...
@dhireshrajput548
@dhireshrajput548 Ай бұрын
Mashirika na Taasisi za Umma zilizotaifishwa na kubinafshishwa sasa zinatakiwa zirudi tena Serikalini na zinatakiwa ziorodheshwe kwenye Soko la Hisa kwa manufaa ya wote!
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 Ай бұрын
Zanzibar maji bure hadi raha
@kwigemagabba2738
@kwigemagabba2738 Ай бұрын
Safi kabisa
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz Ай бұрын
Maji ni uhai😮 #tellaaxistz
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Ай бұрын
Mtihani miaka 63 ya uhuru maji bado changamoto. Sijui tumerogwa. Wafanyakazi wa serikali dawa ni kutumbua ukifuata utaratibu hatuendi. Awamu hii wanakula bata wanajua mama rahimu.
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c Ай бұрын
Wapi iyo
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 Ай бұрын
CEO DAWASA alikuwa LUHEMEJA TU
@user-wr7wp9sl2p
@user-wr7wp9sl2p Ай бұрын
Mheshimiwa Aweso naomba na Kawe upaangalie wanatubambikia bili za maji
@dicksonmatulile1523
@dicksonmatulile1523 Ай бұрын
Mnafiki ww
@emanuelpetro9591
@emanuelpetro9591 Ай бұрын
Milard Ayo na wewe umeshakuwa mhuni sasa taarifa gani hii haina muelekeo na mwisho
@IsbImani
@IsbImani Ай бұрын
✍️
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 Ай бұрын
Aweso ni mtu huyu jamaa
@safiamussa9832
@safiamussa9832 Ай бұрын
Xxa nd nin ikii millard😢
@jovinkiboko3558
@jovinkiboko3558 Ай бұрын
Huyu Jamaa kanikumbusha mbali sana. Nilibambikwa kesi kwamba NIMEWAZUIA WATU WA IDARA YA MAJI KUFANYA KAZI YAO. Nikawekwa ndani , case ikadumu Kwa miaka Mitano.
@MauaDumba
@MauaDumba Ай бұрын
Shubh pole sanaa hii mambo ipoo
@jovinkiboko3558
@jovinkiboko3558 Ай бұрын
@@MauaDumba Nilikua nina Siku 3 tu tangu nimefika nyumbani. Kaka yangu alikua kama huyo Jamaa ( alikua akiwalalamikia Sana watu wa Maji ). Siku hiyo wakati wanakuja hakuwepo hivyo wakaamua kunikamata Mimi badala yake. Nilipigwa Sana pale kituo cha polisi mpaka kuzimia / nilivutwa korodani zangu. Walipomaliza wakanibambika kesi . Na nikawekwa mahabusu. NIMESAMEHE!
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 Ай бұрын
Usiwaache hiv hiv seek msaada wa kisheria​@@jovinkiboko3558
@safiamussa9832
@safiamussa9832 Ай бұрын
😂😂😂
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
New bionics let us run, climb and dance | Hugh Herr | TED
19:01
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22