AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE"

  Рет қаралды 14,570

Wasafi Media

Wasafi Media

12 күн бұрын

Пікірлер: 32
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 10 күн бұрын
Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
@2003hintay
@2003hintay 3 күн бұрын
Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana
@mvullamanase
@mvullamanase 9 күн бұрын
Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
@saidkhatib9146
@saidkhatib9146 9 күн бұрын
😂😂
@RoydaspityKobero-jq9cm
@RoydaspityKobero-jq9cm 9 күн бұрын
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
@perepetuasenga3875
@perepetuasenga3875 9 күн бұрын
Duuh yaani ni aibu mno
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 9 күн бұрын
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
@johannesishengoma1232
@johannesishengoma1232 9 күн бұрын
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
@naturelle1097
@naturelle1097 5 күн бұрын
Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 9 күн бұрын
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
@claverymayango8288
@claverymayango8288 5 күн бұрын
Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 7 күн бұрын
Wanyooshe
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 9 күн бұрын
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s 7 күн бұрын
Safi waziri
@lanezboy7016
@lanezboy7016 6 күн бұрын
Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂
@Soudbako
@Soudbako 5 күн бұрын
😅😅😅😅
@nujakaluhende9428
@nujakaluhende9428 10 күн бұрын
Umepiga kwenye
@user-hm9ir7yz4z
@user-hm9ir7yz4z 9 күн бұрын
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
@kwisa4899
@kwisa4899 9 күн бұрын
kosa sio lake kaonewa
@SalimAbdallah-mi1wc
@SalimAbdallah-mi1wc 9 күн бұрын
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
@PeterZakaria-c7i
@PeterZakaria-c7i 5 күн бұрын
Njoo nakahama
@UdakuKingdom
@UdakuKingdom 10 күн бұрын
😢😢😢😢
@germanasondoka9057
@germanasondoka9057 9 күн бұрын
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
@aminamwashambwa6846
@aminamwashambwa6846 9 күн бұрын
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
@user-jl5zh6qi2w
@user-jl5zh6qi2w 9 күн бұрын
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
@careemissa2502
@careemissa2502 9 күн бұрын
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 10 күн бұрын
Tumbua
@user-rh9bo3kh2g
@user-rh9bo3kh2g 9 күн бұрын
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
@Zaburi-
@Zaburi- 10 күн бұрын
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
@proisolution7166
@proisolution7166 9 күн бұрын
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.
@pastorygeorge3062
@pastorygeorge3062 9 күн бұрын
Huyo anaonekana hawezi kazi
@SamiriHassan-dp9kn
@SamiriHassan-dp9kn 5 күн бұрын
Huyu anaamishwa tu hii ni kampeni ya uchaguzi
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 165 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 37 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 67 МЛН
Waziri Aweso amsimamisha mama yake mzazi mbele ya Rais Samia
2:56
EastAfricaTV
Рет қаралды 32 М.
Слепой парень помог раскрыть тайну 😱
0:45
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 2,4 МЛН
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 35 МЛН
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 35 МЛН