Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
@2003hintay3 күн бұрын
Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana
@mvullamanase9 күн бұрын
Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
@saidkhatib91469 күн бұрын
😂😂
@RoydaspityKobero-jq9cm9 күн бұрын
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
@perepetuasenga38759 күн бұрын
Duuh yaani ni aibu mno
@GibsonNtamamilo9 күн бұрын
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
@johannesishengoma12329 күн бұрын
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
@naturelle10975 күн бұрын
Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki
@josephatmathiasgalagalabuh7869 күн бұрын
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
@claverymayango82885 күн бұрын
Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.
@AugustKisaka-qy7kl7 күн бұрын
Wanyooshe
@JechaMakameIssa-gs2bl9 күн бұрын
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
@user-wh7gj9ug9s7 күн бұрын
Safi waziri
@lanezboy70166 күн бұрын
Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂
@Soudbako5 күн бұрын
😅😅😅😅
@nujakaluhende942810 күн бұрын
Umepiga kwenye
@user-hm9ir7yz4z9 күн бұрын
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
@kwisa48999 күн бұрын
kosa sio lake kaonewa
@SalimAbdallah-mi1wc9 күн бұрын
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
@PeterZakaria-c7i5 күн бұрын
Njoo nakahama
@UdakuKingdom10 күн бұрын
😢😢😢😢
@germanasondoka90579 күн бұрын
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
@aminamwashambwa68469 күн бұрын
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
@user-jl5zh6qi2w9 күн бұрын
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
@careemissa25029 күн бұрын
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
@mr.yahzadochuno791410 күн бұрын
Tumbua
@user-rh9bo3kh2g9 күн бұрын
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
@Zaburi-10 күн бұрын
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
@proisolution71669 күн бұрын
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.