Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani awandio mawazili jembe ajawai kutuangusha Kwenye utendaji wake Alha akuongoze salama mueshimiwa wazili awesu
@leoncebenjamin81073 күн бұрын
Mimi ninavyo ona huyo dada Hana hatia tatizo lipo kwa boss wake
@ericmoramagige34074 күн бұрын
Njoo Mbezi Msumi, Maji Shidaa,
@BedaKunguluche3 күн бұрын
Huyu ndio Aweso niliyemjuaga,lakini sasa hivi amepunguza makali
@georgevalilanga74124 күн бұрын
Uko vizuri
@ramadhanisalum3898Күн бұрын
Pia ao wanabambika bill
@christinakomba6894 күн бұрын
Mama samia hawa majembe ndio tunayataka
@hawaelymaricca76023 күн бұрын
Hilo sio swala la kuuliza ,fukuza wote tangaza ajira maana hao wanafanya kaz kimazooea na kichafua serikali na CHAMA CHETU . piga chini wote hao
@rahmasabuni34253 күн бұрын
Mieningezimianakufwakabisaa
@oss66893 күн бұрын
Kwanini humuonekani mpaka wapizani wafike au wapite ..? Hivi ni vichekesho au maigizo
@daudimichael73384 күн бұрын
Nawasikitikia Dawasa, hawajabadilika kiutendaji.
@efraimjohn49564 күн бұрын
Mh Aweso , hapa Luguruni Dawasa wanaomna rushwa sana kama ukitaka kuingiza maji na bila kutoa hupati na wakati ,wingine hata ukitoa hupewi kwa wakati
@jakobongwara30384 күн бұрын
Makonda kiboko yaoooooooo
@margarethpolepole74384 күн бұрын
Waondoke tu hao ndiyo wanaofanya watu waichukue Ccm
@adelaidekalongora54174 күн бұрын
Na wanatuwekea malipo ya maji taka wakati hiyo huduma hatuipati nao watu wa malipo watumbuliwe
@msafiriomary8934 күн бұрын
Kra kona ni diri
@margarethpolepole74384 күн бұрын
Wafukuzwe tu wako vijana wanasota midigrii kibao waobdoke ajiri wengineo
@adelaidekalongora54174 күн бұрын
Na maji wanatuwekea bila vipimo maana tumeambiwa sm Fulani watatuwekea wenyewe ila Kwa Sasa hata ukiwa karibu na konekseninwanakutoza sh 300000 ambazo hawakupi lisiti na wanaokula nao ni wasoma mita