DAH! Semaji ni Moja tu duniani, AHMED ALLY...Unaongezea sana watu uhai.
@EsmaandreaMakita22 күн бұрын
Acha kuongea aibu wewe
@allymwashambwa592027 күн бұрын
nimecheka kwa sauti , huyu semaji ni nooomaaa sana 😂😂😂😂😂 we love you semaji la dunia
@PaulAmos-vb1is27 күн бұрын
Hawa jamaa ni washikaji vibaya mnoo❤
@EbenezerNassary26 күн бұрын
😂😂😂 ila ahmed ally bhan anyway nafrah san mkiwa pamoj huo ndo mpira 😊
@Heri-k3v27 күн бұрын
Daaah nimecheka watani hawa ni hatari ila Ahmed Ally duuuh kila nikimskiliza nafurahi
@kefangendwa333627 күн бұрын
Ahmed ally ni hatar sanaaa🎉🎉🎉😂😂
@Swamyhassan_sy26 күн бұрын
Hawa watu nawapenda wotee jamnii wapo vzr na wanaongoza vzr sana ❤❤❤
@catherinecostantino203421 күн бұрын
Nawakubali Sanaa baba na mtoto wake
@GodfreyMhando-gn7ok26 күн бұрын
Brother mm najuwa sanaaa hongera sanaaa brother
@KakeSimba26 күн бұрын
Hii nimeipendasanaaaa
@RAMADHANAllykibanga27 күн бұрын
😂❤Ahmed ninoma
@pascalvitalis27 күн бұрын
Wasomi wakiwa wamekutana... Ahmed Ally 🎉🎉🎉
@IssackJackson27 күн бұрын
Ahamed ally hatariiiiii sana
@AndrewLikiti-yb2ws26 күн бұрын
Ila Ahamed Ally uko vizuri unampa uzoefu.
@AbdulMartial26 күн бұрын
😂😂😂😂duuuh mbn nyie mlimvisha kinyago
@adeliusvedasto721426 күн бұрын
Nimependa hii. Mpira si uadui.
@godwinrurio906026 күн бұрын
Hii ndo maana ya utani wa jadi.
@malitozzy353827 күн бұрын
Ali Kwa Ali mnatuchekesha sanaaa😂😂😂😂😂
@BeatriceSamwel-t1m26 күн бұрын
Ahmed ali atari sana 😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela🎉🎉
@yaseer25526 күн бұрын
Ali kamwe anafurahi sana Ahmed ally akiongea ndo ujue thamani ya mtu Ni watu
@sandalakabalo544227 күн бұрын
Ahmedy ally bhana
@stevenkomba462126 күн бұрын
Daaah laha tupu yan😂😂😂😂😂
@fettyabuu264426 күн бұрын
Mpira ni furaha sio uhadui. Safi sanaaa
@IsmailMrisho-v1n26 күн бұрын
ila Ahmedy Ally.....😂😂😂
@RajabuRamadhan-cy4cj25 күн бұрын
Nawapenda sana wasemaji wetu ashamed aliy na aliy kamwe❤
@abdallahakida790827 күн бұрын
Mkiwa huvi mnakua kama ndugu huu ndio kuleta mpira wa tz pamoja sio kilasiku kupakana kuweni kama wasemaji wa club kubwa acheni utoto
@JosephAlex-pm7rp26 күн бұрын
Hahahahahahaa ila jmn daaa mnavituko nimewapenda buree
@aminahhuawei113326 күн бұрын
Semaji kama semaji la caf ila nyny mnavituko sanaa nambajuwa kutuchekeshaa😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@evaristvenant27 күн бұрын
Nimerudia karibu mara 10 yaani LEONARDO AJIPANGE😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@michaelnsingija26 күн бұрын
daa mnafulahisha sana
@ranman491027 күн бұрын
Ahmed Ally 😂😂😂😂😂😂
@mohammedkidody561823 күн бұрын
😂😂😂😂nawakubali sana hawa watu
@juliaskasiaka26 күн бұрын
Hawa majamaaaa wawili asee nimewapenda sana bureeeee2
@NtamamiloGibson27 күн бұрын
Ila Ahmed Ally anajua kuchekesha kweli jama ni comedy haswa.
@omarybakunda255426 күн бұрын
Ahmed Aliii
@NeemaMushi-wj1zn27 күн бұрын
Ahmed ali 😂😂😂
@JosephSongolo-lb9fr20 күн бұрын
Hadi Raha me nimeipenda sana hii watani hasa Hawa wanajua utani ni Nini.😂😂
@ranman491027 күн бұрын
Aki na ukwa😂😂😂😂
@denizamwanisawa623027 күн бұрын
Safi sana vigurunyembe mnaanza kuchongaa.
@OmaryAthuman-jt2fc25 күн бұрын
Nimeipenda sana hii semaji langu❤❤❤
@thehustlerafrica436827 күн бұрын
Ahmed Aly 😂😂😂
@chrisjulius431020 күн бұрын
Apo mzungu roho inamuhuma😅😅😅
@JosephLamau-yq1lx26 күн бұрын
Wawoo hii safi Sana semaji la cafu na semaji utopolo Simba na Yanga yeeee
@beyondmediatz160726 күн бұрын
Ahmed awamuwezi
@AbdulkarimKigarawa26 күн бұрын
Dah alikwame tembelea upepo wa ahmed ally ilo likowaz
@Green_255_Enock26 күн бұрын
Hawa jamaa wanatoa laha sanaaa
@SalmahMwagunda26 күн бұрын
huu ndio utani sio haji manyara
@IddyMawenge27 күн бұрын
Yaani hawa ndy watani wa jadi halisi siyo yule nguruwe pori cha matusi
@user-yq7dm4gw6j27 күн бұрын
Mjinga yule Hana utani wa kweli kwanza yule wap na wap na utani
@ChingaPambakalii24 күн бұрын
Yule zeluzelu anaupungufu wa akili awa ndo wasemaji
@Fatuma-z9u25 күн бұрын
Ila Ahmed Ally 😂😂😂😂😂
@mahmoudhamisi67326 күн бұрын
Hahahaha unaruhusiwa kuchekesha😂😂😂
@eggysulle798826 күн бұрын
😂😂😂 kwenye nyongeza😂😂😂
@reymahandrew256425 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zanguuuuu uwiiiiii
@IsihakaAlly-fj4qo25 күн бұрын
Kuna kipindi alipandikiza chuki kwa mashabiki wa Simba na Yanga mpaka ikawa wanapigana uwanjani ila hawa jamaa wanachokifanya watataniana watachekana na maisha yataendelea
@AminaMagunda-lv4sn25 күн бұрын
Ahmedy ❤❤❤
@juliaskasiaka26 күн бұрын
😂😂😂😂 bhana mbavu mpaka sinaniuma asee
@TitoSarwat25 күн бұрын
Nakuelewa Ahmed Ali
@ZablonjaphetAsulwisye25 күн бұрын
Nawapenda wote wanafulaisha sanaaaa
@mahmoudhamisi67326 күн бұрын
Yani hawa wakizeeka wakianzisha comedy wanatoboa kabisaa
@godlistenclaud120526 күн бұрын
Ahmed ally😂😂😂
@brunonkelemi263724 күн бұрын
Safi sana ma afisa wetu
@israelkiobya870227 күн бұрын
Tunaitaji kucheka. Maisha ni furaha
@DAVID-wp4vc26 күн бұрын
Nimecheka sana😅
@Lulaboytz26 күн бұрын
Asante sana
@AbdallahMapila26 күн бұрын
Ahmed ally ni comedy
@Jerie-q1c26 күн бұрын
Jamaa wamenichekesha sanaa. Mafundi sanaaa
@haidarywenge360725 күн бұрын
Inapendeza😅
@majaliwahamisi889823 күн бұрын
Duuuuu
@SamsonKarungubale-dh4so26 күн бұрын
Sawa bwana
@rasheedseleman977924 күн бұрын
Mbn Ahmed ally atujamskia ????atununuiiiii
@YohanaMwakaje27 күн бұрын
Nhuruwe mbona siioni
@kaizachief491226 күн бұрын
😂😂😂Ndugu kabsa hawa
@ChingaPambakalii24 күн бұрын
Unaluhusiwa kuchekesha
@emanuelleopod394926 күн бұрын
Tafsiri halisi ya Utani 😂😂 hata mashabiki tungekua namna hii ingekua poa sana
@edwardpaulo335126 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@flova702227 күн бұрын
Ila hawa ndugu mmanara awaache tu...
@beyondmediatz160726 күн бұрын
Kabisa manara miaka aliyokaa nje ya mpira kapotea hawezi kuendana na upepo huu
@MafundaSaid-r8p26 күн бұрын
Yaani kama umenuna utacheka Kwa Ahmed Ali kongole semaji la CAF
@user-in3bb3kn7d27 күн бұрын
Ahmedy alyb😂
@josephmathayo513926 күн бұрын
Hawa Vijana wako vizuri. Usemaji wa Vilabu si Vita na hapo mnadhihirisha kuwa utani wa Jadi Simba na Yanga ni vita ya maneno Kwa Muda mfupi. baada ya hapo maisha yanaendelea.
@mckobatz586126 күн бұрын
😂😂😂 hawa jamaa burudani sana
@IMANIMWAITEGE-ve8gr26 күн бұрын
Nimefurahi nyinyi mkiwa pamoja.
@gagcengineeringgeita102326 күн бұрын
Hahaaa
@WilsonBonface26 күн бұрын
Ila tunaomba sana viongozi tunakaa roho juu kwa aya madeni ila Ahmed kituko sana jamaa
@EsmaandreaMakita22 күн бұрын
Wanaujua utan hapo tumemkosa ibwe t
@MadarakaNyenza26 күн бұрын
Ahmed Tisha mbaya
@chusseboywcb280826 күн бұрын
Huo ndio mpila sasa sio chuki Hawa wasemaji wanapendeza sio Manara nachuki zake
@YovitaHilalChilemba-xe4cg27 күн бұрын
Mko vzr ivyo ndo inatakiwa sio yule bwana matus
@AzariaKajiru-eh3se26 күн бұрын
Hawa jamaa wapo sawa
@shukranitv297126 күн бұрын
Hawa watu. Akili mingi sna
@ranman491027 күн бұрын
Mwijaku na baba levo
@ELVASMBOGO23 күн бұрын
Bodi ya ligi wawapige faini tumlipie Ahmed Ally
@MADINAKITEMO26 күн бұрын
Ahmedi Ally nimekuvulia kofia
@LovelyCalicoCat-qs1ot26 күн бұрын
ahamed apan jaman
@barakamfilinge694325 күн бұрын
Kibwaga udugu hapa asingeweza
@naimasbuguza239526 күн бұрын
Hawa jamaa ni marafiki na wanapendana sannah
@RodenMgata26 күн бұрын
😂😂😂😂😂🌹🌹🌹
@halidimgonza594527 күн бұрын
Ahmed Ali mmoja ni sw na Ali komwe saba 7 wa UTOPOLO 😂😂😂
@robertzamani561227 күн бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@robertzamani561227 күн бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@johanesdeogratias510626 күн бұрын
putty IPO Sawa lakini card zao zinagoma kuingia ndio maana tumeach kuzinunua
@IMANIMWAITEGE-ve8gr26 күн бұрын
Ali kamwe na semaji la CAF mnatuvunja mbavu
@BonaventureEmmanuel-i9e27 күн бұрын
Ubaya ubwela
@allymwashambwa592027 күн бұрын
🎉
@ALLYSAIDI-jl6dn26 күн бұрын
😅😅
@nathanjulius531226 күн бұрын
Tumechekeshwa na tumejua kabila lake ... Kumbe mpare wa same