MWANZO-MWISHO: IGP Sirro aenda Kibiti na Mkuranga

  Рет қаралды 263,809

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Wiki moja tangu IGP Simon Sirro aapishwe na JPM kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, leo June 6, 2017 Mkuu huyo wa Jeshi la Polisi amefanya ziara yake ya kwanza Kibiti na Mkuranga kutimiza ahadi baada ya kuombwa na wazee wa maeneo hayo.
Eneo hilo la Pwani ni miongoni mwa maeneo ambayo mauaji yameripotiwa.

Пікірлер: 152
@dicksonmagati5455
@dicksonmagati5455 7 жыл бұрын
Safi kabisaaa kamanda Sirro piga kazi mungu akubariki katika kazi zako
@lukubamichael2993
@lukubamichael2993 7 жыл бұрын
safi Sana kamanda! nakuamini hayo madogo Sana kwako
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 7 жыл бұрын
mungu awabariki maskari zetu mfanye kazi iende salama wananchi tuungane kwa pamoja kuwaombea hawa askari ili tu nchi iwe salama ila sasa police mcburuzee ovyo RAIA katika upelelezi wenu
@ernestjohanes9087
@ernestjohanes9087 7 жыл бұрын
huyu jamaa anapendwa na tz nzima
@zuuniece6635
@zuuniece6635 7 жыл бұрын
kaz nzuri kamanda siro
@sharomosses5516
@sharomosses5516 7 жыл бұрын
Kamanda Sirro, yuko vizuri
@arafatimjungu2510
@arafatimjungu2510 7 жыл бұрын
nakutakia kazi njema mh.IGP sirro
@erasmusmassawe8702
@erasmusmassawe8702 7 жыл бұрын
arafati mjungu
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 7 жыл бұрын
huyu Sirro n Jembe aisee ataendana na kasi ya JPM
@safinatv1599
@safinatv1599 7 жыл бұрын
Allah nijalie nikutane na IGP siro mana namkubali sna anipe japo kazi ya kusafisha viatu vyake 😢
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 7 жыл бұрын
huko ni kuchupa mipaka. muogope Allah. jidhalilishe kwa Allah ni haki yako na siyo kwa mwanaadamu mfu wa kesho mchanga wa kesko kutwa
@faizysagari118
@faizysagari118 7 жыл бұрын
Abdallah Ally allah akuzidishie imani
@سبحاناللهالعظيم-ي9ك
@سبحاناللهالعظيم-ي9ك 7 жыл бұрын
Aaaaaa jamaniiii
@سبحاناللهالعظيم-ي9ك
@سبحاناللهالعظيم-ي9ك 7 жыл бұрын
yaaaaani anafanya kazi kwakweliii ana wajari wana nchi wakeee MUNGU azidi kumjalia siro
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Safina TV kazi alishatoa niwewe tu kujituma. Ukimjua muharifu ukamtaja mln 10.
@sayunimairi2538
@sayunimairi2538 7 жыл бұрын
siro uko Vizuri
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
tunawatakia kazi njema polic wetu wa tz mungu awe nanyi kwa wote
@maryammaryamkiriwashwa1626
@maryammaryamkiriwashwa1626 7 жыл бұрын
mungu akuoneshe njia
@kingplatnumzrivas6057
@kingplatnumzrivas6057 7 жыл бұрын
pigakazi sirooo nakukubar ataivo mh....... alichelewa kukuteuwa ungukuwa umeshaimaliza hiyo inshu salut kwako siroooo nakutakia kazinjema
@kelvincosmas4692
@kelvincosmas4692 7 жыл бұрын
Pamoja sirro
@peterpaul3350
@peterpaul3350 7 жыл бұрын
Sirro fanya kazi yako
@suleshalley6412
@suleshalley6412 7 жыл бұрын
Inshaallah mungu akuwezeshe SIRRO hakuna mafanikio bila ushirikiano na raia
@shamssaid7632
@shamssaid7632 7 жыл бұрын
Allah akujalie IGP Siro. ww ni zaid ya komando. Siro is the best.
@azizmbishi6653
@azizmbishi6653 7 жыл бұрын
Sasa waTanzania tumepata IGP tuliokua tunamtaka kiukweli amenifurahisha sana kuomba radhi kwa wananchi kwa mateso na manyanyaso waliokua wakiapata wananchi juu ya askari, huku wahusika wakiendelea kufanya mauaji wananchi walikua katikati hawajui cha kufanya maana hofu iliwajaa juu ya kikundi cha wt wachache wanaofanya mauaji ya kinyama huku jeshi la polisi nalo likiwanyanyasa wnch, lakini hilo sasa kamanda Sirro umeliona sasa tupo pamoja na wewe umetupa imani nasi tunakutakia kila kheri, pongezi kwa mzee Magufuli kwa kututeulia kamanda wa kweli chapa kaz kamanda mungu atakuongoza kwa barka zake.
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 7 жыл бұрын
safi sana watapatikana tu Mungu bariki jeshi letu la porice
@maureenisrael7101
@maureenisrael7101 7 жыл бұрын
kazi njema kamanda sro Mungu akuongoze zaidi
@hajjihusseinramadhan2774
@hajjihusseinramadhan2774 7 жыл бұрын
endelea kuamuru kazi za kuhuzunisha kama ya imam Salum upande cheo zaidi
@kiyabolnjemu9646
@kiyabolnjemu9646 4 жыл бұрын
Kazi ilishafanyika wajinga mlipnga
@mpelienock
@mpelienock 7 жыл бұрын
Hongera kamanda Sirro kwa kutambua kua suluhu iko kwenye jamii na kutambua mchango wa jamii hasa wazee katika kutatua changamoto polisi ni jamii kwa ajili ya jamii police wote wajue hilo na kujali jamii big salute kwako kamanda Sirro.
@ernestjohanes9087
@ernestjohanes9087 7 жыл бұрын
safi sana
@venancebasil4656
@venancebasil4656 7 жыл бұрын
Verry Good kamanda sirro
@prosperkilatira4798
@prosperkilatira4798 7 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akutangulie ktk operation hiyo mkuu!
@boazjohn2017
@boazjohn2017 7 жыл бұрын
kweli kabisa tumezoea aman katika nchi yetu
@yamikankaleso9456
@yamikankaleso9456 7 жыл бұрын
safii sanaa kamandaa zirroo
@christinahaule9726
@christinahaule9726 7 жыл бұрын
hongera sana
@raphaelnestorymattambo8271
@raphaelnestorymattambo8271 6 жыл бұрын
Safi xana IGP
@marrykamera6893
@marrykamera6893 7 жыл бұрын
good
@iviejustified8109
@iviejustified8109 7 жыл бұрын
huyu mzee is brilliant.... kila la heri Mkuu Siro
@julianamasunga3458
@julianamasunga3458 7 жыл бұрын
safi kamanda tunakupenda Sana unawasikili watu wa ngazi ya chini!!!!!!
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 жыл бұрын
You should watch your back ma guys. Kutokana na vyombo vya habari hao "manunda" wana tabia za kuvamia! Kama wana silaha kali na nyengine ni mali za Polisi si ajabu pia wakawa na mabomu. Kuweni makini na ziara na safari zenu walinzi wetu!
@mwezanephta1107
@mwezanephta1107 7 жыл бұрын
kazi njema IGP S irro
@tukeimalinga1548
@tukeimalinga1548 7 жыл бұрын
Bravo Sirro
@masalimsuhitv6439
@masalimsuhitv6439 7 жыл бұрын
chapa kazi
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 6 ай бұрын
Huyu IGP apewe mauwa yake tz haijawai kupata IGP alietekeleza majukumu yake kizalendo kama silo
@happyminja1292
@happyminja1292 7 жыл бұрын
hongera sana kamanda wewe ni bonge la mtu
@salumsimai2728
@salumsimai2728 7 жыл бұрын
sirro Fanya kazi muda ndio huu
@jisamjose2184
@jisamjose2184 7 жыл бұрын
inasikitisha
@mkurangacnajemasabatochane4626
@mkurangacnajemasabatochane4626 7 жыл бұрын
wenje na masha wanakujua hupindishi mambo kama utakua hujabadili pambana haki kidogo hua haki kubwa barikiwa kamanda
@papafikiri
@papafikiri 7 жыл бұрын
Sirro unajua nakukubali sana
@idrisarashid5038
@idrisarashid5038 7 жыл бұрын
kazi njema baba
@dannyhasaratupu3975
@dannyhasaratupu3975 7 жыл бұрын
kazi ya siro naiyamini % 150 hadi LEO namba yake ninayo namkumbuka sana enzi Za tanga. big up
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 жыл бұрын
Danny HASARA TUPU nasikia alisafisha mitaa yote ikawa kimya!
@danfordmwigune3835
@danfordmwigune3835 7 жыл бұрын
Danny HASARA TUPU naomba namba yake
@dannyhasaratupu3975
@dannyhasaratupu3975 7 жыл бұрын
Danford mwigune wataka namba ya nani
@hassankayla4076
@hassankayla4076 7 жыл бұрын
Hongera baba kwa kazi nzuri
@piusmaridadi1460
@piusmaridadi1460 7 жыл бұрын
helloooo
@hamisikumwalu7495
@hamisikumwalu7495 7 жыл бұрын
watu wamepigwa na wamepoteza lasilimali zao ,usiwaombe radhi bali walipwe kwani jeshi ndio limesababisha baada ya kulinda wakaamua kuchukua mali zao,
@sakinandoile9439
@sakinandoile9439 7 жыл бұрын
Fanya the best IGP hiyo hali inatisha sana
@brightonpaul7281
@brightonpaul7281 7 жыл бұрын
saf kamanda
@user-vv5xd3ye4i
@user-vv5xd3ye4i 7 жыл бұрын
HAO WANAOJIITA MAGAIDI UA WOTE....HALAFU HAWANA NGUVU YOYOTE KWANZA WAKONDEFU KAMA NINI....
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
ivi kwa mfano yan ao mkiwakamt itakuaje yan ,,,yan siku iyo piken tu ugali mishkak kwa saan
@livingstoneurassa4949
@livingstoneurassa4949 7 жыл бұрын
keep it up IGP SIRO.
@maximillianbiyemotungaraza2400
@maximillianbiyemotungaraza2400 7 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu na intelligence ya kutosha kufanya kazi..
@user-ih2ch7pn7b
@user-ih2ch7pn7b 7 жыл бұрын
swadakta
@beatricenicholausiwasa7601
@beatricenicholausiwasa7601 7 жыл бұрын
kazi njema mzee sirro
@issahmwazini9447
@issahmwazini9447 7 жыл бұрын
احساس احساس m
@hamisikumwalu7495
@hamisikumwalu7495 7 жыл бұрын
kulinda raia na malizao ,
@isayambuba3335
@isayambuba3335 7 жыл бұрын
hao watu watafutwe wandhalilisha tz yetu
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 7 жыл бұрын
safi sana Ayo Picha ni Clear balaa
@dastanfussy4898
@dastanfussy4898 5 жыл бұрын
Kibiti safiiii, shikamoo afande siro
@lusekelorichard2787
@lusekelorichard2787 7 жыл бұрын
Very nice
@transmadale
@transmadale 7 жыл бұрын
Huyu jamaa ni Mashine balaa, namkubali lazima afanye kweli
@husseinkazara8884
@husseinkazara8884 7 жыл бұрын
tuko Pamoja mkuu
@LuisSilva-xp2nw
@LuisSilva-xp2nw 7 жыл бұрын
Nimempenda bure huyu IGP.
@andrew29468
@andrew29468 7 жыл бұрын
kazi njema kamanda SIRRO,watanzania wote wapo nyuma yako,tanzania yetu ni ya amani ,Rais amajua wewe ni kamanda wa operation, safisha uchafu wote
@mamahustru
@mamahustru 7 жыл бұрын
Hapa Magu hakukosea. Sasa jeshi la polisi litabadilika na kuanza kushirikiana na raia. Watu pelekeni taarifa shida hii iishe.
@charleschasila2147
@charleschasila2147 7 жыл бұрын
Mimi wananiuzi wakienda kwenye vikao lazma hata visivyohusu chama lazma wavae misale yao
@lucymgulunde7329
@lucymgulunde7329 7 жыл бұрын
wewe charles hujielewe kwahiyo ulitaka wavae nguo za mkeo unajua maana yakazi yao akiwa kazin lazima youn form zivaliwe uwe unajiuliza sio kulaumu
@charleschasila2147
@charleschasila2147 7 жыл бұрын
Stupid Lucy mgulunde
@charleschasila2147
@charleschasila2147 7 жыл бұрын
Tena jieshimu pumba ww
@lucymgulunde7329
@lucymgulunde7329 7 жыл бұрын
+Charles Chasila mwenyewe wewe ndio unaongea pumba
@charleschasila2147
@charleschasila2147 7 жыл бұрын
Lucy Mgulunde tatzo akili huna
@mcjabbyevents4938
@mcjabbyevents4938 7 жыл бұрын
Mungu akubariki katika shughuli zako ili amani iweze kutawala
@paulemmanuel9512
@paulemmanuel9512 7 жыл бұрын
siro mm cnaga ofu na ww uko vzuri uliituliza dar ualifu umepungua sana
@marcosabun4774
@marcosabun4774 7 жыл бұрын
sina shaka na IGP"
@cvanocharles6001
@cvanocharles6001 7 жыл бұрын
Peace & Love
@iddgubwe1662
@iddgubwe1662 7 жыл бұрын
simba wa vita huyoo!!
@tumainicharles8656
@tumainicharles8656 7 жыл бұрын
pongezi za dhati kwa kamanda IGP Sirro.Kila LA kheri katika kuwafikia waarifu.Ila kinacho niuzi ao walio vaa mikofia ya chama Na nguo za chama. kwani apo kulikua Na mkutano Wa chama. wana boa Sana😈😈😈
@amocknghd8035
@amocknghd8035 7 жыл бұрын
Kaz kaz!!!! Kamanda sirro bg up
@abdituke6037
@abdituke6037 7 жыл бұрын
Damage have been done
@michaelmagere4069
@michaelmagere4069 7 жыл бұрын
IGP SIRO yuko vzr
@alfredmassesa3714
@alfredmassesa3714 7 жыл бұрын
Baba fanya Kazi anayeua kwa upanga nae anastahili kufa kwa upanga
@josephharaja8290
@josephharaja8290 7 жыл бұрын
our leader done well
@geofreymkopi4905
@geofreymkopi4905 7 жыл бұрын
Ramadhani Njema Wote
@godisgreat1845
@godisgreat1845 7 жыл бұрын
Sisi tumeona kitu kwa Mh Rais kukuteua kuwa mkuu wa jeshi ila mtangulize Mungu mbele utafanikiwa jiamini rudisha tena matumaini ya amani tuliyoanza kuyapoteza mungu akuonyeshe njia
@babually5403
@babually5403 7 жыл бұрын
umarikiwesana mzee sirro
@carlosmfuru9125
@carlosmfuru9125 7 жыл бұрын
nakubali Sana kamanda fanya yako ndugu
@karmelimtsaxhara6962
@karmelimtsaxhara6962 7 жыл бұрын
big up
@carlosmfuru9125
@carlosmfuru9125 7 жыл бұрын
Thanks
@sakinatanzanian5000
@sakinatanzanian5000 7 жыл бұрын
asant ayotv nipnd sn
@athumanikagimbo3396
@athumanikagimbo3396 7 жыл бұрын
IGP SIRO NAKUKUBALI 100%
@ahmedjamal5084
@ahmedjamal5084 7 жыл бұрын
100% IGP
@charlesemmanuel9434
@charlesemmanuel9434 7 жыл бұрын
hapa isingefaa kabisa kuvaa mavazi ya kivyama...hili ni tatizo
@gozbertmmassy2943
@gozbertmmassy2943 7 жыл бұрын
kamanda sirro "Atakae kamatwa no man leave behind
@thisisjohnsule
@thisisjohnsule 7 жыл бұрын
mmm
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 7 жыл бұрын
Watu wanamagari mpaka ya milioni 500 wakati wengine hata baiskeli kitendawili..
@emanuelychacha7903
@emanuelychacha7903 7 жыл бұрын
Salehe Innocent kuna mtu kakuzuiya kununua gari acha porojo fanya kazi
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 7 жыл бұрын
+Emanuely Chacha kaz iko nyuma yako waniruhusu niifanye wagu?
@kuswaikajiru9200
@kuswaikajiru9200 7 жыл бұрын
kazi ningum ila pambana father utamaliza xlama
@fanueledmund6408
@fanueledmund6408 7 жыл бұрын
ni nahitaji namba yako IGP Siro
@josemkongwe4609
@josemkongwe4609 7 жыл бұрын
Hivi kuna kampeni bado vipi makofia hayo na hizi brauzi
@suleimanali9939
@suleimanali9939 7 жыл бұрын
mshadanganywa
@kiyabolnjemu9646
@kiyabolnjemu9646 4 жыл бұрын
Soma post yako leta majibu tahra wewe
@rukiasaid81
@rukiasaid81 7 жыл бұрын
hao majambazi wapo hapo hapo wanawachora tuu,wamekuja kuwasikiliza
@godfreysanga2405
@godfreysanga2405 7 жыл бұрын
pikipīki zipigwe marufuku mijini ndio chanzo cha uharifu sana mijini namuunga mkono kamanda wetu siro
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 жыл бұрын
Godfrey Sanga mi nashangaa izo bodaboda.,waweke tu baiskeli mijini! 😆😉
@saidpolenikwamsbakinidi6232
@saidpolenikwamsbakinidi6232 7 жыл бұрын
ubabe mwingi namabavu kuwakandamiza wapizani nakuwapiga viwete marungu lkn maarifa hamuna sas iyo misare yaccm niyanin umo
@TheAlman
@TheAlman 7 жыл бұрын
hicho ndicho kinachotakiwa katika uongozi sio mabavu
@zubeliaskulanga8852
@zubeliaskulanga8852 7 жыл бұрын
Safina mbavu zangu hahaaa
@suleimanali9939
@suleimanali9939 7 жыл бұрын
hizo ndio mbinu za mapambano
@salehemkala7775
@salehemkala7775 7 жыл бұрын
tunakushukuru kamanda
@jasminmwaluvalile1673
@jasminmwaluvalile1673 7 жыл бұрын
tunakuaminia kamanda
@ramaduki2561
@ramaduki2561 7 жыл бұрын
Bongo Environmental problem .Sisomi .niwe ..............
@leonardcmonbolora8136
@leonardcmonbolora8136 7 жыл бұрын
akunaga polisi mzuri ww jiongeze
@stevenbuberwa6583
@stevenbuberwa6583 7 жыл бұрын
sasa tuwakusanye waganga maana mambo magumu ,kweli waganga wanasaidia sasa Mungu anaambiwa asiwahukumu Mungu simwanadamu ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga
@juliusntandu9232
@juliusntandu9232 7 жыл бұрын
Mwendo ni uleule baba hii ndio yenyewe lazima wajue tu kazini
@onlinemovie8580
@onlinemovie8580 7 жыл бұрын
siro siro siro siro siro👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@fatoo1235
@fatoo1235 7 жыл бұрын
jamani mimi nampenda kamanda kova
BREAKING: IGP SIRRO AMPANDISHA CHEO ALIYETOA WAZO LA KITUO..
6:53
Global TV Online
Рет қаралды 15 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 21 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 43 МЛН
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 59 МЛН
MC MBONEKE HANA AKILI KABISA TAZAMA HII 😂😂😂
11:29
Fundi feck
Рет қаралды 33 М.
RAIS SAMIA AKISHUHUDIA ASKARI WA KIKE AKITEMBEZA KIPIGO
2:39
Is peace possible with Netanyahu in Israel and Hamas in Gaza?
17:17
Channel 4 News
Рет қаралды 172 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 21 МЛН