JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
@tangaoldtv10674 жыл бұрын
Safi sanaaa hii iko poa
@jobboniphasi11614 жыл бұрын
Mmmmh vzr vzr vzr good good umeleweka kamanda huu mwaka kweli umebadilika siro ni hiyo hasa ndo Kaz yako udumu kamanda jesh lilipotea xana kushabikia wanasiasa komesha siro tunakwamini umeonesha uzalendo wa nchi yako than k u
@eyezarc12395 жыл бұрын
Some military values can be seen from this Man..., one clap for him 👏🏿
@distonmwaitumile59555 жыл бұрын
Ur the best father
@kidodosimichael3495 жыл бұрын
INDEED !!!!
@saidndimbwa49765 жыл бұрын
For sure
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Nothing!!!!
@kingkazeba92055 жыл бұрын
Misajawai kuona ushamba kama huo kama nawewe umesikia hilo mwaga like yako hapo
@imamuhemedi43875 жыл бұрын
king Kazeba
@sharonpaulo81494 жыл бұрын
Aisee huyu kamanda anajielewa Sana sna sna na anajua maadili na mipaka ya kazi yake Kuna wale makamanda wachache wanao lichafua jeshi kma kushabikia vyama na kulazimishwa watu washabikie chama flani wakat ni kinyume cha maadili ya jeshi hao pia angepita nao hv. Wapo na wanafahamika na hawaachi
@gasperwiliam77123 жыл бұрын
Asante
@clementmwaitebele76875 жыл бұрын
This is a statement of commander ...big up..IGP Siro...tumepita National Service Mujibu wa sheria huwa tunawashangaa Sana. Lakini sasa uko super Big up
@habarikazanzibar36674 жыл бұрын
Mstaafu, Wanaojua Jeshi wanawashangaa Polisi
@esteredward69803 жыл бұрын
Dafi
@stn48732 жыл бұрын
Sasa Mujibu wa sheria na wewe umecomment🤣🤣🤣🤣
@AhmedZahor-z8e2 ай бұрын
Bora ulivyo wapa ukweli maana hao wanajiskia kweli so masihara
@clementmwaitebele76875 жыл бұрын
Una practice Usomi wako ...Graduated Commander big up
@danieljames30175 жыл бұрын
Kumbe huyu jamaa Ana akili kiasi hiki.👏👏👏👏👏👏👏
@jacklineraymond64874 жыл бұрын
Uko sahii boss
@jacklineraymond64874 жыл бұрын
Uko sahihi boss
@lucassamwel55444 жыл бұрын
Ssfi sana siro
@edenbaraka75334 жыл бұрын
Daniel James hawana lolote hawa wanatuchora
@silverman69305 жыл бұрын
IGP you have spoken sense to these dudes
@kiwangodaniel13025 жыл бұрын
Kamanda Mimi Ni local people Ila Leo umeongea ukweli kelikweli. Umesoma ukaelimika. Safi sanaaaaa.
@omerakisum5 жыл бұрын
I like you IGP Sirro....keep it up....very honourable man....you deserve to be IGP.....love and respect you.
@kingsolomon04 жыл бұрын
IGP Siro, you are a leader & Manager , thanks for enlightening your juniors on how they should conduct themselves as professional police officers love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@chalodavid45375 жыл бұрын
Surely your good enough to be you SAIMON SIRO
@godmkwama5855 жыл бұрын
Big up kamanda sirro
@sirasisirasibenedict7713 жыл бұрын
Dapnd
@sirasisirasibenedict7713 жыл бұрын
Joyrz
@wolfgangkichai85775 жыл бұрын
Hamna siku kaongea point kama hapa yani 👏👏 everybody is innocent till proven guilty🙌
@eventelias35665 жыл бұрын
Absolutely
@africanmandetraveler28475 жыл бұрын
Very true
@geraldkalima71834 жыл бұрын
Safiii sana mkuu igp ilove you.
@sayman1585 жыл бұрын
Dah SIRRO mungu akuongoze na akulinde...very inteligent Officer...unajua ubinadamu baba...
@gregorychogelo20135 жыл бұрын
Siro yuko Smart sana! Big up!!
@malangoyaushindi32795 жыл бұрын
Amina baba
@ibrakadabra82985 жыл бұрын
Yani kaniosha sana kiongozi wetu IGP sirro kuanzia leo nadumisha kukupenda zaidi na zaidi kukufatilia kazi zako
@nicolausnicolaus7345 жыл бұрын
Hata ulipokuwa mwanza ulituongoza vzr kwenye uchaguz mshindi alitangazzwa bila kutumia nguvu siro ni mwamba sana
@sadicktony97254 жыл бұрын
Trafic zako mzee wamekuwa wezi deleva wa tanzania ana uhulu wa kuendesha gari nchi yenye siyo yake kuliko kwake
@marrymafwa64583 жыл бұрын
@@sadicktony9725 nadi
@jojoekiza54005 жыл бұрын
Show off sir kweli God bless u. Wakumbuke Tanzania 🇹🇿 inatazamwa na dunia sio local.
@eventelias35665 жыл бұрын
Mungu akuzidishie hekima kiongoz..Simon Sirro our IGP
@sakayamolel51674 жыл бұрын
Mweshimiwa mungu akulinde
@africanmandetraveler28475 жыл бұрын
I G P nimemwelewa Sana big up Mzee kwa kusema ukweli
@ramadhanhassan41885 жыл бұрын
Siro uwaga nakuku bari sanaaaaaaaaaaaaaaa safiiiisana father ake
@mtatirorotale21194 жыл бұрын
Mungu akulinde kiongozi siro nasikia raha Sana. Napo onaga viongozi wenye maono naupeo mkubwa Kama huu kizuri zaidi tena hupatikani Kanda yaziwa japo watu kuambiwa ukweri huchukia Ila Acha wambiwe ukweri magufuli mungu akulinde nakukupa maisha malefu mungu ibariki Tanzania nawatu wake wote
@finiaswanguba76885 жыл бұрын
Skujua siro unajua kiasi hiki., nimependa sana hii, and am very much proud of you soldier.
@evenievarist94754 жыл бұрын
Safi kamanda huo ndio uzalenda wa kijeshi ,"waz,wazi mkuu.
@irenepeter87024 жыл бұрын
Safi sana makamanda ichi ni kubwa kuliko chama
@emmanuelwilson4825 жыл бұрын
well said Commander
@aloyztv84344 жыл бұрын
Your right
@sospetermartin98114 жыл бұрын
That is very important Mr Simon siro they should be looking differ as a mirror of a society
@mosesmwailenge51923 жыл бұрын
Nakupenda saana silo mungu wa mbinguni akubariki naakufishe mbali
@michaelmwaksole72444 жыл бұрын
Hongera mzee hakika umecmama ktk kweli mungu na azidi kukulinda na azidi kukupa maono zaidi big up👊👊👊👊
@zubeirkhamisabdallah96275 жыл бұрын
Mashaalah kamanda ww ni really police officer na unajua wajibu wa police na kazi yake ongera mkuu
Nimekuelewa sana Mkuu, WORK ETHICS is very important for any organisation
@ausonjustinian54944 жыл бұрын
Asante boss. Ni vzr kumwamsha alie lala. Akilala sana atakoroma atachafua na hali ya hewa. Asante Magu raisi muona mbari.
@Phonce-ei2pn4 жыл бұрын
Safi sana
@MatronaThomas-wz5si5 ай бұрын
Ila alipelekwa Dar Mara zote watenda haki wanaandamwa na wasiopenda haki❤❤❤❤❤bigup Sirro
@evanswinston51025 жыл бұрын
Ah leo umetishaaa
@laulymo20633 жыл бұрын
Tunakuelewa sana kamanda sirro MUNGU akulinde kamanda wetu
@mkalihanzuruni49245 жыл бұрын
Siku zote ukweli haufichwi kwakupaka rangi, Hongera sana IGP Sirro kwautendaji wako mzuri wa kazi pia nakupongeza kwakuwakumbusha makamanda wako taratibu na mipaka ya kazi yao. Kiukweli kuna baadhi ya Makamanda wanapenda saana showoff ili aonekane anachapakazi, Nimefurahi sana kama umeliona hilo!
@rithaurassa5 ай бұрын
Nchi hii inatakiwa tuu watu wanye. HOFU ya MUNGU KAMA HUYU UBARIKIWE KAMANDA MUKUU BARIKIWA SANA
@ramamtetu23274 жыл бұрын
Ahsante Afande kwa Elimu
@shedrackhm22045 жыл бұрын
Professional Police Officer. Nakubali ....
@innocentsmartbarnabas75975 жыл бұрын
Babaa ulikuwa wapiii mudaa woteeee.....Mbona unaongea vituuu Konkiiiii afandee DA aah....Salute mkuu
@lordrichreuben14463 жыл бұрын
Safiiii I.G.P.Ww ndyo boss wao watakuelewa sisi hawawezi kutuelewa,point kamanda unatakiwa uwe smart na ujue kufaa unform kulingana na wakati. safiiii sana
@seifchembela43464 жыл бұрын
Alhamdulilah mwenyez mungu akujalie heli ktk maisha yako kamanda
@shammahlupon79455 жыл бұрын
Bigup commander
@jacksonamos20084 жыл бұрын
Safi.
@jacobsimba31545 жыл бұрын
Asnte baba point kabisa mungu akubariki
@beatricelucas14545 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mheshimiwa Ongera sana Mungu awe nawe katika kazi yako
@anjelinakasembe8452 жыл бұрын
Mambosasa Ni mzuri kanisaidia sana mambo yangu
@barickprogrammer5 жыл бұрын
Yes SIR...big up
@labanhezekiel56273 жыл бұрын
Nice
@championshahidu24655 жыл бұрын
Mh. Magufuli ameonesha kila mtu/kiongozi na jukumu/wajibu wake. Asante Mh.Magu na Siro.
@anuaryally71495 жыл бұрын
nakuelewa sana sirro
@abelwilliam73295 жыл бұрын
IGP siro Mungu akulinde big IP sans👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Umeongea maneno kuntu kbs hongera mkuu kazi njema
@boniphacetabu29035 жыл бұрын
Ukweli ni ukweli na siku zote ukweli unauma na msema kweli hapendwi. IGP uko vizuri JPM hakukosea big up tuko pamoja na wewe tunakuombea sana huku kwetu MWITONGO -MUSOMA
@richardamos58985 жыл бұрын
Mura amang'ana
@zuhurasebastian58834 жыл бұрын
Waambie na mahakama iangalie haki si kuingiza siasa kwenye kazi wananchi wanawatizama waooo
@barakakomondawamollel19653 жыл бұрын
Uyu ndio una msifu
@tkmedia39394 жыл бұрын
Very correct... Mkuu
@f.a60435 жыл бұрын
👏🏼👏🏼👏🏼 MUNGU LIBARIKI JESHI LETU LA POLISI
@frashconnect.15 жыл бұрын
One of the best Tanzania IGP speech of all time. Big up Police Team. Sema tu tatzo la intelenjensia ya wapinzani life basi, walindwe na wafanye siasa safi. Mkizua watu kuongea, mnatengeneza matatzo. But all the best, siku hizi tunalala bila ata kelele za mbwa.
@jongosalehe10363 жыл бұрын
Ditto safiiiii
@godfreymhochi62065 жыл бұрын
safi sana mkuu proud of Mara regions proud of tanzania
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu awape hekima yake.leo nimekuelewa. Mungu atusaidie .Amen.
@ebaraniathomas47505 жыл бұрын
kwakweli kamanda Siro upo vizuri nimekuelewa sana polisi wengi wamekuwa wakiwaonyesha watuhumiwa kabla ya upelelezi na pengine siyo mwizi mungu akupe miaka mingi
@nyabahailani31694 жыл бұрын
Umeongea point baba mda mrefu nimekuamini ni mwadilifu sana
@francismkenda5 жыл бұрын
Mkuu mm tangu nimepata akil ya kujua majukumu ya IGP ilkuwa kipind cha rais Mkapa ila wewe umewazid wotee aisee heshima yako mkuu Sirro
@narashaolomi9914 жыл бұрын
Safi sana mkuu.mungu akujalie maisha marefu ili uendelee kukemea yasio faa.
@ceciliajimmy56525 жыл бұрын
Yaani kaka yangu, umeongea ukweli mtupu. Big-up sanaa. Watu walifikia hatua ya kuwachukia mapolisi na magwanda yao ya jango!! Afadhali umeliona hilo, nadhani umeeleweka. Hotuba yako iliyojaa busara imenifanya mwili mzima usisimke kwa furaha. Mungu akubariki IGP wangu.
@Sangaadam5 жыл бұрын
Cheo cha uwaziri wa Mambo ya Ndani kingekufaa sana IGP Siro you've Great vision on how to be a Leader.....!!!
@mustafagaula31665 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kiongozi mkuu.....! (BIG POINT BRO)
@mbegesdigita51825 жыл бұрын
Kamanda kama kweli unanena kutoka moyoni uko vizuri
@methodatanas73384 жыл бұрын
Kamanda upo sawa tunadharirishwa sana asante kwa hilo
@francisnyaji50005 жыл бұрын
Yani sana
@iddikibwana91855 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaa. Unatoa elimu Nzuri
@danielhumble42925 жыл бұрын
Siku zote madini haya ya speech uliyafichaga wapi kamanda wangu???
@eventelias35665 жыл бұрын
kweli madini asee
@ramadhanijuma42044 жыл бұрын
Kwa Moyo wangu IGP Sirro nakuelewaga sana.
@robertakello16665 жыл бұрын
I appreciate your wisdom Mr IGP
@nassoroiddy46844 жыл бұрын
Safi Sana kamanda sirro. Anachofanya Mambo sasa si sawa
@nicolauswandao89885 жыл бұрын
👏👏👏👏dady umeongea hata kupigapiga raia wanapiga hao, na ndio maana wanageuka maadui kwa raia ahsante dady kwa kutusemea.
@mussamwamoto82315 жыл бұрын
I Understand you very clear, let see what will be the next move comes from reactions
@simonmayunga62524 жыл бұрын
GOOD SANA SIR SIMON SIRRO
@bjzee19815 жыл бұрын
Huyu kamanda. Salute for you
@georgedominick94055 жыл бұрын
Well spoken speech
@foibennjeje77305 жыл бұрын
Kweli tunawaona tofaiti sana u a true Mr siro fika pale Hai kunakijana anasumbua sana na kuzalilisha jeshi la pls kisa mkuu wa w
@mathiaszakaria70525 жыл бұрын
E bwanaaeee Leo umeongea fact kabsa,tushaelewa
@fadhilighambic73094 жыл бұрын
Namkubali sana siro,
@saidamohamed83364 жыл бұрын
Kwaunayo sema mungu akubariki
@michaelkasogela3704 жыл бұрын
Kwl kabisaa IGP
@geofreydulle10724 жыл бұрын
Viva siro u re strong enough.
@beatricerobert89854 жыл бұрын
Mungu mbariki huyu baba
@josephmwita87214 жыл бұрын
Lawyer bhana siku zote wanakuwa systematic. Safi sana Siro.
@hamilhassan94643 жыл бұрын
Mzee umeongea point sana sana sana leo kwanza wa dodoma kazidi sifa
@dennisungonella2055 жыл бұрын
Mungu akubariki Mkuu Wa jeshi LA polis
@cpabonnychris63155 жыл бұрын
This man is very clever, Katika watu wazuri rais wetu aliochagua This Igp alicheza sana ,,hongera mkuu nimeipenda speech yako.
@saidabubakari75605 жыл бұрын
Mzee nakuelewaga sana kwakweli 👍👍👍
@raphaeldayos91884 жыл бұрын
Saana afandeeee IGP nice saana we are proud of you
@isayasewe72965 жыл бұрын
Nakukubari sana MKUU SIRO.MUNGU AKULINDE MKUU WETU.
@Paelimbo66494 жыл бұрын
IGP hongera sana kwa kuwafunda makamanda wenzako!
@kulwamigo91275 жыл бұрын
Dah,maneno mazito sana...Hawa ndo watu tunaowahitaji....hongeara sana mkuu.