Рет қаралды 14,837
Akizungumza katika ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam leo Septemba 13,2024, Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho kimekasirishwa na matukio ya mauaji na utekaji yanayoendelea kushamiri Tanzania.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.