Mwanzo-Mwisho Nchimbi Aitenga CCM na Genge la Watekaji, Wauaji: 'Wapatikane Kwa Gharama Yeyote'

  Рет қаралды 14,837

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Akizungumza katika ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam leo Septemba 13,2024, Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho kimekasirishwa na matukio ya mauaji na utekaji yanayoendelea kushamiri Tanzania.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 102
@WiliamMzava
@WiliamMzava 4 күн бұрын
Nimebarikiwa sana hekima yako, Mungu akubariki sana.
@MCBTv-el3kh
@MCBTv-el3kh 15 сағат бұрын
Baba kama baba kasema, Maneno na majibu ya hekima, Mw/Mungu akuongoze na akupe umri mrefu Mh:Dr Nchimbi Binafsi nimekuelewa sana na nitakuwa balozi wa kauli yako huku mtaani.
@SaimoLumelezi
@SaimoLumelezi 4 күн бұрын
Hongera saana .katibu Wetu mkuu Emanuel Nchimbi tunakuamini .tuvushe uchaguzi ujao 2025
@juliusmmbaga82
@juliusmmbaga82 4 күн бұрын
Kwa maelezo yako na sote tukiwa na dhamira ya dhati tutaliponya Taifa letu.Asante sana na ongera kwa tamko nzuri.
@Williamstozzo
@Williamstozzo 4 күн бұрын
Hata haupo seriousl
@abuayman8184
@abuayman8184 4 күн бұрын
Hongera Kwa kukumbuka na kuwakumbusha Walio Waislamu kuhusu nyakati zao za Swala, na iwe ni tabia endelevu katika vikao vyetu kukumbushana nyakati za Swala Kwani kumuabudu Mola ni Ufumbuzi wa mengi ya matatizo yetu
@emmanuelmasasila8599
@emmanuelmasasila8599 4 күн бұрын
Nakupongeza sana mheshimiwa Nchimbi kwa hekima zako kubwa unafaa kuigwa na kila kiongozi
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 4 күн бұрын
yaani sioni kama kuna suluhu hapo, anaongea kwa kejeli sana.
@leokamil6284
@leokamil6284 4 күн бұрын
Hakuna ndugu ni majibu ya kisiasa huku watu tunaishi kwa mashaka. Inasikitisha sana hakuna la maana ila anakwepa maswali kijanja. Tuombe Mungu asaidie nchi hii ndio iliyobaki ila hatupo salama hata kidogo.
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 4 күн бұрын
Mjinga sana wewe, nchimbi yupo sahihi sana.
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 4 күн бұрын
Huu naamini ujinga wa lisu kwanini hamumwajibishi lisu kwa lugha zake za ajabu ajabu.
@hamisnzunda2529
@hamisnzunda2529 4 күн бұрын
Mhe.Nchimbi tunakupongeza kwa elimu/ ufafanuzi wenye hekima na busara nyingi, God bless you forever
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 4 күн бұрын
Nchimbi unajibu vizuri, big up
@LuganoAmwamsojo
@LuganoAmwamsojo 4 күн бұрын
Upo sawa mzee
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 4 күн бұрын
Asante Sana Kaka Nchimbi. Mimi ni CCM mwenzio nachukia matendo ya kuuawa watu na kutekana tekana tusaidie kuingiza nchi na Chama Vizuri. Namuona kiongozi mkubwa na mzuri wa Nchi yetu ndani yako. Mungu akupe hekima na maisha marefu. Nachukia CCM mashetani.
@GraceDeo-g1n
@GraceDeo-g1n 4 күн бұрын
Bd nyumbu
@mbatemgingamwita5944
@mbatemgingamwita5944 4 күн бұрын
Mh, Nchimbi Mungu akupe maisha marefu hekima yako ni tunu ya taifa.
@jovitusrugahenda7139
@jovitusrugahenda7139 4 күн бұрын
Dr.Nchimbi you are a different politician,keep it up!and may God bless you
@leokamil6284
@leokamil6284 4 күн бұрын
Majibu mepesi kwenye vilio vya watu wengi na kuonyesha waziwazi haijawagusa popote.
@uvccmkilombero4679
@uvccmkilombero4679 4 күн бұрын
Ulitaka aongee akiwa amevua nguo?
@leokamil6284
@leokamil6284 4 күн бұрын
@@uvccmkilombero4679 Kabla hujazaliwa mimi nimmoja wapo wa Chama kilichopo madarakani ila nyinyi wajaji mnaharibu CCM tuliohasisi na Hayati Kambarage kwa uroho wa matumbo yenu.Mnawazia matumbo kuliko kuipenda Mama Tanzania, nyamaza mara moja wewe ni kinda huna ujualo
@MpKarmanda
@MpKarmanda 4 күн бұрын
​@@uvccmkilombero4679we Kuma nikijua unapoishi nakuja na petroli
@ismailmakame3972
@ismailmakame3972 4 күн бұрын
Asante.
@HamadiHugo
@HamadiHugo 4 күн бұрын
Tatizo ni kwamba wanaotekwa na kuuwawa ni wale tu wanaoisema ovyo serikal au ccm mnawezaje kutushawishi kuwa haya yanayoendelea ni maagizo ya serikali iliyo chini ya ccm ?Ili kuwatia uwoga wasiokuwa tayari kuiegemea ccm na serikali yake ?
@godfreyfrancis1013
@godfreyfrancis1013 4 күн бұрын
Good Nchimbi
@sadickissa1600
@sadickissa1600 4 күн бұрын
Wacha uwongo wewe mbona mbona wana ccm hawatekwii
@israelmaasa6562
@israelmaasa6562 4 күн бұрын
KATIBU MKUU UNATOSHA, HOTUBAYAKO NI KAMA DAWA HUWASHI MOTO UNA IMA MOTO
@lamsinsolo1335
@lamsinsolo1335 4 күн бұрын
Huyu ni kiongozi Bora sana nilikuwa cjui
@shakaurembo477
@shakaurembo477 4 күн бұрын
Usilinganishe tz na USA Na usituambie genge ni jesh la police 😢 Na usitua mbie viongoz wakiwa wabovu awawezi kutorewa kwenye uongozi katiba imetengenezwa na watu na itavunjwa na watu CCM mwisho wenu mbaya sana 😢
@getitdoneright1938
@getitdoneright1938 4 күн бұрын
Exactly ccm wana nia mbaya Kuwaondoa wamasai kwenye ardhi yao
@AbdallahArizona
@AbdallahArizona 4 күн бұрын
Tunashukuru Natunakuomba unayoyazungumza yatoke moyoni kwako
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 4 күн бұрын
Unda tatizo tatua tatizooo ndo dunia ya sasa CCM oyeee
@saidally5763
@saidally5763 4 күн бұрын
Kiongozi unatakiwa uwekama hivi lazima uoneshe kama umeumizwa wanaokufa nibinadamu mwenzako
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 4 күн бұрын
Maswali yote ni bora.hongereni waandishi.
@paulmairi8795
@paulmairi8795 4 күн бұрын
Hivi waliompiga risasi tundu lisu hadi leo police wanachunguza sio.😢
@SebastPolepole
@SebastPolepole 2 күн бұрын
Wana CCM wangekuwa kama wewe balozi nchimbi kaka yangu siasa ya nchi hii ingekuwa sawa. Uvccm ni mdudu mbaya hayo ndo makundi tunawaona huku chini wanchi
@adamibrahim285
@adamibrahim285 4 күн бұрын
Katibu Mkuu tunakushukuru na kukupongeza
@michaeldanielmawondo2278
@michaeldanielmawondo2278 4 күн бұрын
Dr. Nchimbi KM - CCM, umenena vema sana kwa ustawi wa jamii ya wa-Tanzania na mustakabali wa Nchi yetu. Tunaomba wahusika wa utekelezaji wa mambo katika Serikali ya Chama Tawala ambapo KM ni mkuu wake wawajibike kufuata maelekezo haya.
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 4 күн бұрын
Kama haya magenge yameendeshwa kwa muda ni wakati Sasa wa kuikataa katu CCM hilo ndio genge lenyewe!!
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 4 күн бұрын
Ni kiongozi mzuri sana Nchimbi, anafaa kuwa Rais wa nchi.
@UpeoMinistryofMedia
@UpeoMinistryofMedia 4 күн бұрын
Kila mtu mnasema anafaa kuwa Rais, yaani kwa siasa hizi tu anafaa kuwa Rais, kweli? 😂😂
@Mr.nickotz
@Mr.nickotz 4 күн бұрын
​@@UpeoMinistryofMedia Me naona anaongea porojo tu hatoi suluhu
@SebastPolepole
@SebastPolepole 2 күн бұрын
Kaka yangu nchimbi dhibiti uvccm imekushinda Ina mana Iko juu kuliko polisi??? Waache mara Moja kauli zao za hovyo. Hakuna aliye na dhamana na nchi hii sote niyakwetu. Pia futeni uchawa. Yani mtu anasoma anakuja kufanya kazi ya uchawa na mnamlipa Kwa Kodi zetu fuateni katiba ya mwaka 1977 hakuna chawa anayelipwa
@BakariIssa-nx3yf
@BakariIssa-nx3yf 4 күн бұрын
Nokweli katiba ya ccm siombaya ninzurisana ccm yamwalim ingefwatwa ingeeshimiwa taifa lingeendelea tusingekua masikini shida yiyi mumeunda kajeshi kenu kausalama wataifa kanauwa watu polis mumewapoka mamlakayao
@Voiceofpeopleotz
@Voiceofpeopleotz 4 күн бұрын
Ujue uzuri wa mwanasiasa ata umuulize swali gani alitakosa majibu😅
@onesmoakwilini7197
@onesmoakwilini7197 4 күн бұрын
Una akili kubwa Dr Nchimbi unafaa kupokea kijiti cha Samia 2030
@paulmairi8795
@paulmairi8795 4 күн бұрын
Tuombe scoltland yard waje kusaidia kuchunguza. Iweje mtuhumiwa ajichunguze na kuaminiwa. Huo sio upuuzi.
@makambamohamed3632
@makambamohamed3632 4 күн бұрын
Makada wenu wa chama wanatoa kauli tata za utekaji
@jahhloveyou4462
@jahhloveyou4462 3 күн бұрын
Chi ikitingishika mnàknya na mwanzo mlikuwa wapi .?( kazi za usalama kulinda wananchi) Sio kudhibiti mandamano yasio haribu au kuvunja haki za wengine,( kazi za polisi ni kulinda amani ya TZ na wananchi wake
@SebastPolepole
@SebastPolepole 2 күн бұрын
Uvccm msiwabembeleze hizo ni mbegu mnyoipanda maadili hayapo ivo kila kijana wa chama asimametu na kukashifinmara chinjachinja kule Arusha. Bukoba nako eti wapinzani wakipotezwa polisi wasiwatafute je uvccm nikubwa kuliko polisi????
@SaimoLumelezi
@SaimoLumelezi 4 күн бұрын
29:00 29:02 29:03
@LondonTammy-d7n
@LondonTammy-d7n Күн бұрын
Wilson Jennifer Clark Joseph Hernandez Jose
@abdulmajidmageja6562
@abdulmajidmageja6562 4 күн бұрын
Sema huyu jamaa yupo vzur ktk kujibu maswali
@jonathaneliabu2298
@jonathaneliabu2298 4 күн бұрын
Mtu asionekane kuwa mkosaji mpaka udhitisho umetolewa (dakika 15 dakika 16.
@adyhenerick
@adyhenerick 4 күн бұрын
Cha kushangaza kama idad ni kubwa kiasi hivyo kwann hatusikii watekaji hawakamatwii mfano waliovamia clouds media na wanasema wazi wazi kwann hawakamatwi???
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 4 күн бұрын
Katibu mnachofanya ni kama tamthilia na wewe unaleta episode 2,mmekuwa kimya mpaka wenzenu wamekemea ndipo mnainuka na wakati dola ni yenu.?
@geofreymwanshuli4344
@geofreymwanshuli4344 4 күн бұрын
Wakamateni hao wakina msiba hao mmewawekawapi et wanahalakati swekanda mnawafichawpi watekaji tunaumiasana nchi ilianzakuea vizuri mnaanzakuwaludisha madalalani wauwaji waliofukuzwa namagufuli hao hawawezikubadilika niwauwaji tu inauma
@mbatemgingamwita5944
@mbatemgingamwita5944 4 күн бұрын
Kweli polisi ni watu muhimu sana ukitaka kujua umuhimu wao wape likizo siku moja uone mziki, japo hao wachache wanaweza kufanya makosa.
@mussamuna900
@mussamuna900 4 күн бұрын
Tunataka viongozi kama ww chimbi sio kama fala yule ayeitwa msiba
@jumaabeleu3720
@jumaabeleu3720 4 күн бұрын
Ccm imepata Katibu Mkuu hasaa"Akili mingi mnoo
@BituroPaschalKazeri
@BituroPaschalKazeri 4 күн бұрын
maswali mazuri sana kutoka kwa dada wa crown media
@sadickissa1600
@sadickissa1600 4 күн бұрын
Mbona hadi leo walio mpiga lisu risasi hawajakamatwa
@geofreymwanshuli4344
@geofreymwanshuli4344 4 күн бұрын
Pumbafu watu wanatamka kabisi tukiwapoteza polisiwasiingilie mmetowamacho tu wakamateni hao
@muddyausi8470
@muddyausi8470 4 күн бұрын
Sijakuxkiliza. mpka. mwisho. lkn. wew. nakuelewa. xna. mkuu. sio. wale. viongoz. wezio. wenye. kauli za. ajabu
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 4 күн бұрын
Je wale waliosema tukiwapoteza,Polisi wasiwatafute na mm nilikuwa ktk kikosi cha chinja chinja pale Arusha vp walikuwa chama gani?
@SteveKatengu
@SteveKatengu 4 күн бұрын
Swali mhm kwa viongozi wenye shamana kiuongozi......KWA MATUKIO YANAYOENDELEA NA WASIOJULIKANA....JE NI SAHIHI KUSEMA TANZANIA KUNA MAGAIDI WANAOYAYENDA HAYA YA UTEKAJI?....LET US BE SERIOUS KIUTENDAJI PLSE...
@success-only
@success-only 4 күн бұрын
Balozi amezungumza na Taifa
@femexpress7857
@femexpress7857 4 күн бұрын
Maswali mazito, majibu ya kisiasa..
@geofreymwanshuli4344
@geofreymwanshuli4344 4 күн бұрын
Acha manenotaka
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 4 күн бұрын
mbona mnateka chandema 2 cio ccm???.
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 4 күн бұрын
Hamna kitu hapaaa
@wilsonsikahanga1761
@wilsonsikahanga1761 4 күн бұрын
Watanzania sasa sio wajinga...!!!!
@lovenesdickson1824
@lovenesdickson1824 4 күн бұрын
Tatizo mkabiliane na watekaji wanaoua watu, hayo mambo ya siasa muweke pembeni.
@justicebridge
@justicebridge 4 күн бұрын
Je ukiwa na kiongozi anavunja katiba tufanyeje? Ameshindwa kuirinda then whatcwe should do our comrade
@BakariIssa-nx3yf
@BakariIssa-nx3yf 4 күн бұрын
Mueshimiwa watanzania siowajinga tunajua kilakitu naomba mujilekebishe acheni kulazimisha laia fanyeni mema laia watawakubari
@MussaOmar-no4jo
@MussaOmar-no4jo 4 күн бұрын
Tatizo ni kwamba polisi haijafanya kazi zake kitaalam yaani hakuna utaalam unaoweza kuwapata wahalifu. Hebu na waitwe hao wa kimataifa basi kama walivyoshauri wanachama. Serikali tunaomba ione hili kwa nia ya kuondoa mashaka yanayo ikabili nchi yetu
@justicebridge
@justicebridge 4 күн бұрын
Dr huko sawa lakini wapo vijana went wa ccm wamesha tia naramko ya ovyo mitandaoni kuhusu utekaji na hamkuwachukulia hatua. Sikuizi hamuwafundishi siasa mna watu wa miemko tu. Sasa kama pia sio police basi police hao waneshindwa kuturinda wajiudhuru
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 4 күн бұрын
KM ........ mkuu wa kitengo alijiuzuru.aliwajibika Tanzania hakuna kuwajibika... Uchunguzi wa T Lissu hadi leo...... zero. Watanganyika wa leo siyo wa juzi......
@getitdoneright1938
@getitdoneright1938 4 күн бұрын
Kaboresha ngorongoro
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 4 күн бұрын
Kwa hiyo aliyempiga risasi tundu lissu uchunguzi bado?kwa mujibu wa jibu la nchimbi kuhusu muda wa uchunguzi?
@HamadiHugo
@HamadiHugo 4 күн бұрын
Uchunguzi wa tukio la lisu una miaka mingapi sasa ? Na ili tusubiri kwa muda gani ?
@allenlazaro7742
@allenlazaro7742 4 күн бұрын
Sheria ya usalama wa taifa ya mwaka jana ndo mchawi, irekebishwe haraka itamaliza watu
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 4 күн бұрын
Lugelo sanga wewe ni mpuuzi unda tatizo yaani wameunda tatizo
@nelsonmwavipa9761
@nelsonmwavipa9761 4 күн бұрын
Hakuna chochote hapo huo wote ni uongo ninyi munajua kwa maslahi yenu na munaenda nyisho sasahivi.
@allenlazaro7742
@allenlazaro7742 4 күн бұрын
Jeshi la polis kuaminika sasa sio kwa maneno inahitajika vitendo tuone reforms ktk jeshi la police
@benny4345
@benny4345 4 күн бұрын
Wakichukua likizo tutapunguza vitendo vya kutekwa kwa wakati huo
@hipolitenestar9207
@hipolitenestar9207 4 күн бұрын
Swali lamsingi ni nani wanafanya uchunguzi halijajibiwa mkuu,
@HamadiHugo
@HamadiHugo 4 күн бұрын
Kinachotufanya tuamini kuwa watekaji ni serikari ya chama cha mapinduzi ni kuwa wanaopotea ni wale walio nje ya chama tawala tu ndio shaka letu lipo apo
@MorgDon-o2z
@MorgDon-o2z 4 күн бұрын
Kumbe ndio ameshajibu hvyo.....!😂😂😢😵
@TakasiSulle
@TakasiSulle 4 күн бұрын
Katibu mkuu na rais mnamuelekeo lakini muwe makini na baadhi ya wana ccm wengine hawana nia njema kauli za kifezuli wanatoa hadharani yaani kiongozi mkubwa anathema ukimusikia mtu anamtukana rais au mbunge pitanae shughulikanae ni vp kauli hizo
@abdulmajidmageja6562
@abdulmajidmageja6562 4 күн бұрын
Makada weno WA CCM Wana jinasibu Kila siku wao ndio wanaoteka watu mbona hauja Sema chochote mzee
@benny4345
@benny4345 4 күн бұрын
Mmewachukulia hatua gani?
@hoseamwambambale3503
@hoseamwambambale3503 4 күн бұрын
Tena afazali asimame mtu mwingine wa kungombea ulais apo itakua afazali kidg maana uyu ambae yupo apana afai kua kiongozi wetu
@hoseamwambambale3503
@hoseamwambambale3503 4 күн бұрын
Acha kujisafisha amna lolote yaani kwa akuna wakati ambao nimekosa imani na selikali kama wakati uu yaani sina imani na ccm na viongozi wote akuna ninae muona ni mkweli ata kidg yaani ata mfanye nn kwa sasa apana amfai kuiongoza nch
@godfreyfrancis1013
@godfreyfrancis1013 4 күн бұрын
😂😂😂
@gabrielmchau8764
@gabrielmchau8764 4 күн бұрын
Hamna hata swali moja nchimbi amelijibu kiusahihi, mi nadhani angenyoosha ruler ya majibu kwa kila swali na sio kujibu kisiasa kwa kulinda mtu kabisa Katika haki hairuhusiwi kabisa kuangalia upande, sharti jibu linyooke vile itakiwavyo
Новый уровень твоей сосиски
00:33
Кушать Хочу
Рет қаралды 3,9 МЛН
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 6 МЛН
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,5 МЛН
Новый уровень твоей сосиски
00:33
Кушать Хочу
Рет қаралды 3,9 МЛН