Hata kiswahili kusoma inakuwa tabu jamani wamemchaguaje huyu jamaa.asome
@HamisMghuna-fj3vz3 ай бұрын
Ustawi up ogopa MUNGU Tozo petroleum hazishuki matbab juu maisha magumu tunadaiwa songesha huku nipigetafu we mna vx za m 500 sukar juuu et ustawi
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Duuu
@gasperchacha18383 ай бұрын
Duuuhhh
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Tunawasubiri mtaani Mpina pole sana usihofu
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Kumbe Mpina alikua sahihi
@charlesrweyemamu83523 ай бұрын
Hivi huyu mwenyekiti watu walikaa wakamchagua awe mbunge wao kweli!
@henricomuhoja33683 ай бұрын
Huyu kweli ndiye Mwenyekiti wa kamati ya Maadili kweli inasikitisha sana hata kiswahili tu hawezi kusoma,Mpina tunamkubali na ndomana anamiaka 19 bungeni mnapoteza muda tu,wote waliojjadili hoja wamepangwa,Bashe ajifunze japo ametetewa
@dismaslalubare41963 ай бұрын
WAGONGE HIZO MEZA POLE JAMANI POLE WATAZIVUNJA HAWAJUI NI KODI YETU ?
@maggiehiza58843 ай бұрын
Hicho kiingereza jamani! Eeh!
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Wabunhe kama nyie ndio mnamuharibia mama Samia
@charlesrweyemamu83523 ай бұрын
Jamaa anakiri kwamba vifungu vya Sheria vinampa shida kuvisoma, ni nani alimpanga kwenye kamati muhimu kama hii na hatimaye kuonekana ndiye Bora zaidi ya wajumbe wengine hata wakaona ndiye mwenyekiti wa kamati
@JammalMuhammad2 ай бұрын
Hatukuwahi kuyaona hy, lkn ss tunaenda mbele. Iko siku nyinyi ccm mtatow haki tuu
@braystuskibassa38423 ай бұрын
Kwasasa nadhani ingekuwa ni mimi chombo cha taifa wala nisingerusha maudhui haya kwasababu mbalimbali ikiwemo kuacha uchunguzi wa kina kwanza kabla ya adhabu
@ramadhanisaadi47923 ай бұрын
Hii ndio TBC tunayoijua, habari hapo kwahapo
@dismaslalubare41963 ай бұрын
Nani anaangaliaga.TBC ? KUMBE BADO IPO ?
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Tunataka kujua kama Mpina amesema uongo
@eliakazilo60783 ай бұрын
Ndio tatizo la bunge la upande mmoja.jeshi la mtu mmoja huyu Ni RAMBO WA CCM. WANAPAMBANISHA USUKUMA NA USOMALI..bunge haliangalii hata Hali ya sukari huku nje.wabanchi tunakandamizwa na kunyanyaswa kwa Bei ya sukari .Bei Ni kubwa..ingekuwa vizuri Kama mngemfukuza,alafu muone joto ya jiwee ...wabunge wa ndiiooo tunewazoeaaaa
@amanijampion30453 ай бұрын
Yaani mwenyekiti wa kamati kwa kiingereza hicho anaweza akajenga hoja kweli? Bashe hajajadiliwa wala kutajwa! Spika hakutofautisha uspika wake na kuwa kiongozi wa bunge
@josephmchila64673 ай бұрын
Kweli Kiingereza ni shida
@nestor3843 ай бұрын
Tuna bunge la ajabu sana
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Tuko nawe mpina
@BenardSambilo3 ай бұрын
Hivi nyie wabunge mnaoabudu chama mtaishi milele bungeni?😊
@maggiehiza58843 ай бұрын
Mnamridhisha tu speaker
@HamisMghuna-fj3vz3 ай бұрын
Ubabe wao hata Farao Firaun ilikua hivhiv ubabe kwn sukari c imepanda mnakataa nn au manabebana, Farao Firaun aliangamia ubabe hivhiv,nyie mtembelea vx za m 500 mmeshiba, ndomana mnakataa katiba,ili mtese raia,
@lalafamily52903 ай бұрын
Hata kusoma hajui!! Mnatia hasira sana nyie viongozi!! Ni wabishi na waongo kuikinga serialized ya CCM. CCM mnatia hasira sana hamna hoja kabisa matapeli wakubwa!! Tangu magufuli afw mnajifanyia mambo yenu kihovyohovyo tu!!
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Mmmmmh??????
@LeonidasStephano3 ай бұрын
Tunawasubiri mtaani mbwa nyie tukutane 2025😒
@walidmgonja36443 ай бұрын
Sawa nguruwe,endelea kusubiri
@anaelnanyaro36343 ай бұрын
Mwenyeketi hata kusoma shida hiyo report kandaliwa tu aje asome geresha😅