Mwigulu Nchemba: Tunakopa Sababu Sisi Ni Matajiri

  Рет қаралды 1,122

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema kwamba Serikali ya Tanzania inakopa si kwa sababu ni maskini bali ni tajiri, inakopesheka na inao uwezo wa kulipa.
Akitoa mrejesho wa mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 Mwigulu amesema kuwa Serikali inakopa kwa ajili ya kufanya shughuli za maendeleo na sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Пікірлер: 36
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 3 ай бұрын
Wazir wa hovyo kuwah kutokea tz
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd 3 ай бұрын
sasa ayo makofi ya nni sasa pumba tupu
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 ай бұрын
Huyu ana akili timamu kweli? Kweli kuna changamoto ya akili nchini hasa kwa hawa machawa. Nonsense.
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 3 ай бұрын
Lingine Mwiguru fedha nyingi zinaibwa na watumishi hizi zote ni kujenga uchumi
@rashidabasi7940
@rashidabasi7940 3 ай бұрын
Tukiliamsha tunanza na huyu Bumunda. Nchi zinakopa lkn pesa zinaonekana zinafanya kazi gani. Ninyi mnakopa then mnaongeza kodi si ujuha huo? Reli imejengwa kwa mkopo kias gani mbona hadi leo mnakopa kwq mrad huo huo na haukamiliki.? Anatoq sababu za kijua na za mzaha. Anajua anaongea na waTanzania majuju.
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 3 ай бұрын
Tajiri hakopi hata siku moja. Utakopa ulichonacho😢
@HellenMacha
@HellenMacha 3 ай бұрын
Report ya CAG ingekuwa inapewa kipaumbele watu wasingingepigwa makod ya namna hiii...issue sio mapato tu...na matumiz pia!
@niazonbukoke1964
@niazonbukoke1964 3 ай бұрын
Hayo yanayopiga makofi ni majinga kias gan??
@ExecutiveHouseKeeperElewana
@ExecutiveHouseKeeperElewana 2 ай бұрын
Waziri hopeless kuwahi kutokea Tz. Ingekuwa ni Enzi ya Nyerere usingekuwa waziri. Kukopa cyo tatizo, tatizo ni walafi ni wengi sn sn sn
@NanaMaembe
@NanaMaembe 2 ай бұрын
WEWE MWIGULU NI MPUMBAVU SANA WA MWISHO..... UNATAKA TUISHI KWA MIKOPO CHOKO WEWE?
@SurprisedAutoRace-ib8nf
@SurprisedAutoRace-ib8nf 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 hata haujishangai na mnakopa kwa shida zenu hatupo karne ya70s na kila mtu anaelewa
@Andy-ez9jo
@Andy-ez9jo 3 ай бұрын
Asimilia 20 ya bajeti ya Tanzania ni mikopo. Kama mkikosa mkopo hamwezi endesha nchi. Kuna hela gani iliyokopwa nchi hii imezalisha hela hela ya kulipa hayo madeni yanatoka wapi zaidi ya kuongeza kodi. Ma company yenyewe ya serikali yote yanaingiza hasara Si TTCL Si tanesco Si dawasa Si viwanda vya serikali kila kitu hasara hadi vyuo. Hadi mwendo kasi hamwezi ku endesha hiyo hela ya kulipa inatoka wapi Huyu Jamaa ana tu fanya sisi wajinga. Na anavojilinganisha na marekani marekani asilimia 80 ya madeni yake ni internal kwa maana serikali inajikopesha yenyewe kupitia states na government pensions anatuona sisi wajinga. Wabongo mpaka tuamke Haya mambo hayatokaa yaishe.
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 ай бұрын
Pato lataifa linakuwa ,na kama linakuwa ,je pato la wananchi na lenyewe linakuwa??
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 3 ай бұрын
Hamna siku mtanzania atadaiwa nuymbani kwake. Kwa sababu madeni ni ya serikali. Hiyo serikali inapata wapi fedha za kulipa hayo madeni, kama si wananchi????
@Rumishael
@Rumishael 3 ай бұрын
Tujifunze kutoka Kenya
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 2 ай бұрын
Hak ana mahana
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 3 ай бұрын
Huyu anaongea nn deni limeongezeka sasa Tanzania inapoteza pesa nying kwenye ufisadi lakn hatuna hatua chura kiziwi yupo tu
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 3 ай бұрын
Huyu waziri hamnazo, kwani nani analipa TRA si mwananchi, na mkikopa nani analipa si mlipa kodi
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 ай бұрын
Acha bana, kwahiyo kama nitajiri unakopea nini ??,na kama mwenye uchumi wajuu duniani mkopaji mkuu,,jee anakopa kwa nani ,au anakòpa kwamasikini wachini zaidi ,sijaelewa vizuri
@juliethpetro8763
@juliethpetro8763 2 ай бұрын
Mbona maneno yake yana kigugumizi?
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 3 ай бұрын
Hahaaaaa tz tumatajiri huku tunalala njaa
@georgempogomi7329
@georgempogomi7329 3 ай бұрын
Ukila wewe ukashiba unaona ni tajiri sijaona mtu mbaya kama wewe pumbavu kabisa watu hata mlo mmoja ni shida wewe umeiba hela zote za Kodi unajiona tajiri na unafikiri wote
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 ай бұрын
Mulisha tufanya kama chozi la samaki ambalo huenda na maji ila MUNGU wetu yupo atatupigania tuna amini na itakua ivo yani inchi inakopa kwakua ni tajili wkat madeni ni utumwa daaaaa! Sawa mwigulu
@robertnkyalu3241
@robertnkyalu3241 3 ай бұрын
Upumbavu wa hali ya juu
@MakunyanziPeter
@MakunyanziPeter 3 ай бұрын
Ndiye mtu msomi huyo
@febby8308
@febby8308 3 ай бұрын
Tupigwa 2
@clethbarnaba923
@clethbarnaba923 3 ай бұрын
Kangara kweli
@josephfrancis9943
@josephfrancis9943 3 ай бұрын
Mnakopa mnagawana wenyewe nchi inadaiwa mpaka kku mnatuachia shida ndo mana unapendekeza fain milion kumi na tano msenge ww huna akili
@andrewchihwalo8937
@andrewchihwalo8937 3 ай бұрын
Ubongo wa makamasi eti waziri aibu sana wallah 😡😡😡😡
@georgempogomi7329
@georgempogomi7329 3 ай бұрын
Kafie kuzimu bumunda
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 3 ай бұрын
Chawaaaa
@OnetimeShowtime-jj1ek
@OnetimeShowtime-jj1ek 3 ай бұрын
Matajili hatukatai Shida yako Viongoz mumekua wanyanyasaji masikini limekua godro lenu tax Tozo nibom kwawa Tz
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 3 ай бұрын
Hapo sijakuelewa unawezaje kuenda kuomba msaada kwa mtu alafu umbiye kuwa Mimi tajili
@patrickbenard7542
@patrickbenard7542 3 ай бұрын
Sawa wanakopa wanakupa mkopo Kwa riba gani na Kwa mashart gani? Na Je wanakupangia project gani za kufanya?
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 3 ай бұрын
Ahhh mm ngoja nicheke tu
@HillaryMachano
@HillaryMachano 3 ай бұрын
😢😢😢Mungu wangu!Nini hii
Bajeti ya 2024/2025
2:15
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.
HAH Chaos in the Bathroom 🚽✨ Smart Tools for the Throne 😜
00:49
123 GO! Kevin
Рет қаралды 16 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,1 МЛН
LIVE: BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/25 IKISOMWA MUDA HUU
2:06:21
Millard Ayo
Рет қаралды 10 М.
HAH Chaos in the Bathroom 🚽✨ Smart Tools for the Throne 😜
00:49
123 GO! Kevin
Рет қаралды 16 МЛН