GWAJIMA ATAKA MAMLAKA YA RAIS YAFUNGWE KISHERIA | KUNA SIKU TUTAANGUKIA PUA

  Рет қаралды 26,453

TBConline

TBConline

20 күн бұрын

Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ameshauri mamlaka ya kisiasa ya Rais yafungwe ili Rais yeyote atakayekuwa madarakani asitoke nje ya mipango iliyowekwa na nchi ili kuepusha hali ya kila Rais kuwa na vipaumbele vyake.
Askofu Gwajima amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Serikali na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2024/25 ambapo amesisitiza kwamba nchi isipofanya hivyo "kuna siku itaangukia pua."
Aidha, amesisitiza umuhimu wa mipango ya wizara na taasisi mojamoja pamoja na ilani za vyama za uchaguzi kuakisi malengo yaliyomo kwenye Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa muda mrefu.

Пікірлер: 124
@user-mm6sm9rt9x
@user-mm6sm9rt9x 11 күн бұрын
Umeongea pointi Moja nzuri sana kaka Gwajima Raisihatakiwi aanzishe mpango wenye interest za kwake, raisi anapaswa kusimamia mpango wa Serikali na taifa Kwa ujumla.
@newbornhaule
@newbornhaule 17 күн бұрын
Mungu ajalie uwe sehemu ya waamuzi wa hatima ya Taifa letu siku moja
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 12 күн бұрын
😅😅😅😅ndoto hizo
@LeonardEdward-fb2bn
@LeonardEdward-fb2bn 10 күн бұрын
Very soon ,,
@storytownTv
@storytownTv 10 күн бұрын
Huyu muhun kafich tu makucha
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 17 күн бұрын
Huyu jamaa anasema kila siku hili swala, lakini CCM vipofu na viziwi wapigania tumbo tu.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 күн бұрын
Mzee wa Maono
@user-gr9sz4pt3r
@user-gr9sz4pt3r 5 күн бұрын
Ccm majizi2
@boscoafikile4737
@boscoafikile4737 16 күн бұрын
Hongera sana Askofu, una mawazo yenye maono.
@essauyusuph6552
@essauyusuph6552 12 күн бұрын
Hongera sana Pastor Gwajima na Mungu akubariki kwa maono mazuri
@saidmushehe
@saidmushehe 14 күн бұрын
Wazo nzuri....ni kama ulaya na marekani tuwe mipango endelevu na kuwekea Sheria Kila raise ajaye apite humo
@babarungurallyteam2754
@babarungurallyteam2754 11 күн бұрын
Ahsante Sana KAKA Gwajima.
@LeonardEdward-fb2bn
@LeonardEdward-fb2bn 10 күн бұрын
Gwajima wasio kuelewa leo very soon watakuelewa ,,coz you're the Next
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 12 күн бұрын
One of Big brain men in the Parliament,,,but some never seen b4
@juliusmsegu3347
@juliusmsegu3347 14 күн бұрын
Heshima ni very Big 🧠 Brain
@naimunaimu2312
@naimunaimu2312 14 күн бұрын
Nenda direct Tu kwenye katiba mpya Acha kumumunya maneno
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 күн бұрын
KATIBA MPYA NI SASA
@mweyoms5548
@mweyoms5548 12 күн бұрын
Hii hoja nilikua naisubiri siku nyingi mno.Kila Rais anayeingia anaanza upya utadhani uhuru tumepata jana
@josiacharles2778
@josiacharles2778 13 күн бұрын
Naunga mkono 🤝 kama taifa atuna maono tunaongozwa na Maono ya Rais anaekua madarakani👏👏
@clarencejr2023
@clarencejr2023 13 күн бұрын
Anaongea sijui mara ya nne hii
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 күн бұрын
MZEE WA MAONO. WANAJIFANYA HAWAELEWI
@EmanuelElito
@EmanuelElito 17 күн бұрын
Safi Sana gwajima
@forkasa5459
@forkasa5459 17 күн бұрын
great thinker...
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 5 күн бұрын
The best Legislative member. He (Bishop) actually deserves to lead that Ministry before we as a country fall into dark pit. The Minister is just shocked to hear such smartly constructive ideas not spoken by him (prof).
@user-tt3jh1mq5y
@user-tt3jh1mq5y 16 күн бұрын
✊️✊️✊️ umezungumz kitu kizur sana
@Focusm-se2sd
@Focusm-se2sd 18 күн бұрын
Very good I askofu
@francisdeomassawe6307
@francisdeomassawe6307 10 күн бұрын
Safi sana mkuu ❤
@rogersiddy
@rogersiddy 13 күн бұрын
Maoni mazuri sana Gwajima ila muarobaini wa haya yoooote KATIBA mpya ili kupunguza majukumu kwa Raisi Chama pinzani wamekuja na hoja za majimbo na kumpunguzia uzito wa madaraka bila Katiba mpya sawa sawa na kelele za vuvuzela za uwanjani
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 18 күн бұрын
I call him master mind, na nchi za ulaya, marekani na kadharika ziko ivyo na mipango yao ya muda mrefu
@StephanChanzi
@StephanChanzi 3 күн бұрын
Safiiii sana Kwa hii point
@goshenprayersministries
@goshenprayersministries 12 күн бұрын
Good idea God bless you all
@mtanzaniahalisi9500
@mtanzaniahalisi9500 17 күн бұрын
Katiba mpya
@user-kw6bv9qp4e
@user-kw6bv9qp4e 14 күн бұрын
Aaah tokeni hapa gwajima asinge liongelea mngesema mbaka mkumbushwe...
@smilemediatz
@smilemediatz 17 күн бұрын
Wasukuma wanajua sana
@hapaupdates9277
@hapaupdates9277 15 күн бұрын
Yani hawa ndo maboya vibaya SIO wote lkn
@user-xq8zc1fk3p
@user-xq8zc1fk3p Күн бұрын
👏👏 this is a good political strategies
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m 3 күн бұрын
Kweli kila raisi anakuja na story zake
@dietrichoswald34
@dietrichoswald34 11 күн бұрын
I support you my brother ! Our passed experience is clear study case. The presidency can even put aside the constitution of our nation in order to push his agenda unchecked. It has happened before our eyes (while the governing authority is protected by the same same constitution)Taarifa ya waziri is out of point, wakati Prof. anaongelea ushirikishwaji kutoka chini hadi kwa waziri wa mipango, wewe unaongelea ushirikishwaji wa mamlaka za kisekta(wizara) zinazowakilisha maeneo yote muhimu ya maisha ya watanzania kama maji,chakula, afya, mahusiano na mataifa mengine n.k.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 күн бұрын
Let's keep faith that one day we will have a new constitution which will direct our nation's path for generations to come🙏
@innocentinyasi9198
@innocentinyasi9198 17 күн бұрын
Excellent
@abdulhakeemmwai5875
@abdulhakeemmwai5875 9 күн бұрын
True patriot real leader a true gem to Tanzania pray Allah leads you to the top ameen
@user-qc4iu6gq4r
@user-qc4iu6gq4r 5 күн бұрын
Ni sahihi kabisa, tuwe na mpango wa taifa ambao viongozi wakija kuomba kura watueleze wata wezaje kuutekeleza sio kila mmoja kuja na ahadi zake lukuki as if kila baada ya kipindi fulani cha uchaguzi nchi ina kua kama ina anza upya.
@mickyjoseph5492
@mickyjoseph5492 17 күн бұрын
Hayo majizi yanayowaza matumbo yao yanamuona kama anapiga kelele tu,gwagima hapo hakuna mtu anaeifikiria tanzania ya miaka hamsini au hata miaka ishirini bali yanafikiria familia zao tu
@nuswemwakasala8687
@nuswemwakasala8687 16 сағат бұрын
Safiiiiii hiki ni kichwa kweli kweli
@Famasialacommed-vv8yb
@Famasialacommed-vv8yb 12 күн бұрын
Vizuri sena waelimishe neno scope huenda shule zilipita kushoto japo ni educated at extra
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 5 күн бұрын
Undaaji wa mipango ya nchi,bado utowaji wa taarifa na upatikanaji wa maoni , bado,kwani mfumo wa upokeaji na mfumo wa ukusanyaji uko chini sana
@pascalkadege7511
@pascalkadege7511 11 күн бұрын
wachache sana watakao elewa lakini kuna kitu juu ya haya maneno
@MashakaKalamba
@MashakaKalamba 13 күн бұрын
Brilliant - absolutely 👍
@musatalange4587
@musatalange4587 12 күн бұрын
Saw kbs
@YakoboChambo
@YakoboChambo 7 күн бұрын
Sawa kabisa
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 12 күн бұрын
Good idea
@MkumboJaphet-yx3jp
@MkumboJaphet-yx3jp 3 күн бұрын
Akili kubwa sana
@jodama_tv
@jodama_tv 12 күн бұрын
Askofu tunakuhitaji sana na tunakuombea MUNGU akusimamishe zaidi katika eneo hili. Na sisi tunakuja huko sio muda mrefu Tanzania umebarikiwa
@nurdinmvellah4032
@nurdinmvellah4032 11 күн бұрын
Hiki kichwa kweli kweli, hakijawahi kuacha kutoa mchango tofauti na huo. Ni mawazo ya akili kubwa Sana, endelea kusema gwajima IPO siku yatatekelezwa na ni vision kubwa kwa Tanzania ijayo.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 күн бұрын
WANAWEKA PAMBA MASIKIONI 😮😮
@Alphonce-em2xi
@Alphonce-em2xi 17 күн бұрын
Safi saaaaaaaaana
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 күн бұрын
Ikiwezekana malengo yagawanywe ili yawe yenye kutekelezek kwa awamu zilizo ainishwa ili hata aliyeahidi akishindwa atupishe kabisa
@ELIFASMADEBHO
@ELIFASMADEBHO Күн бұрын
Genius
@leinaamos
@leinaamos 17 күн бұрын
@mtumishimoviesstudio1502
@mtumishimoviesstudio1502 5 күн бұрын
Kaongea kitu kizuri sana lakini kwa serikali yetu isiyopenda maendeleo ya nchi ila inapenda maendeleo ya Mtu mmoja moja halo watasema kamtukana Rais asimamishwe vikao 20 vya bunge
@GabrielSky64
@GabrielSky64 17 күн бұрын
Point Gwajima Nchi Kama bendera Kila mtu na mipango yake miaka 10 akimaliza imeisha
@mariahmollel1258
@mariahmollel1258 13 күн бұрын
Smartest
@Expedito2512
@Expedito2512 13 күн бұрын
Sasa Gwajima ndugu yangu hiyo si ndiyo katiba mpya? Acheni unafiki wenu! Wenzenu kila siku wanaongelea hayo hayo yawekwe kwenye katiba mpya mpo kimya tu. Kama kweli mpo ok tamkeni moja kwa moja mnataka katiba mpya
@bishweko
@bishweko 13 күн бұрын
Hayo maono umeyapigia debe mda mlefu. Ila wamezima macho na mashikio hawakuelewi Gwajima. Maonao kama hayo ndio yanaitawala China na mataifa makubwa kama US. Ila sisi Africa tunangojea kupangiwa cha kufanya na Wamagharibi ni Aibu kubwa kwetu.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 күн бұрын
NI AIBU KUBWA. SIJUI AFRICA TUMELAANIWA NA NANI. AU NI VIONGOZI WAKE AMBAO HAWANA MAONO😢😢
@nchembaa
@nchembaa 17 күн бұрын
Amen amen
@leonardkazimoto6339
@leonardkazimoto6339 15 күн бұрын
Sasa si ndio katiba
@kivumajunior4260
@kivumajunior4260 4 күн бұрын
Mbona Kila ukichangia hoja ni hiyohiyo
@carlosmzena548
@carlosmzena548 11 күн бұрын
Mwigulu mungu akulinde maana watanzania hawakukubali Mzee
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 11 күн бұрын
Tena hatumpendiiii kabisaaaaaaa 😂😂😂😂🛜
@SaddamkhamisSaddamkhamis
@SaddamkhamisSaddamkhamis 8 күн бұрын
Hyo ndo mifumo china waliyotumia kujiinua ndo km unsvyowaona leo lkn inatakiwa sheria kali je mtaziweka au mtalindana km kawaida yenu?
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 13 күн бұрын
Ndio maana tunaitaka katiba mpya
@user-jf2mt5tr4j
@user-jf2mt5tr4j 13 күн бұрын
gwajima Yuko vizuri
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 5 күн бұрын
Hizo ndizo point tunazohitaji
@JafariKiduko-ft4wg
@JafariKiduko-ft4wg 14 күн бұрын
Huyu Jamaa ni very talented
@MAGARITanzania
@MAGARITanzania Күн бұрын
Wewe huyo pia akiwa raisi hawezi kufanya mipango ya raisi alopita, kwasababu sio kila mpango una maana na unafaa!! Ni vyema kila raisi afanye maamuzi yake ili tujue nani kafanya vizuri nani kaboronga
@abelchacha5977
@abelchacha5977 10 күн бұрын
Inaanziaje chini wakati wananchi hawajui chochota. Kama inaanzia chini lazima ibebe vision ya hao wa chini. Vision tumazoziona hazina muunganiko ma wTu wachini. Hiyo ndo shida. Ni vitu rahisi tu ila nyie viongozi mna mambo yenu ambayo hatuwaelewi.
@payomedia8916
@payomedia8916 12 күн бұрын
Good kabisa
@richardjafu7404
@richardjafu7404 13 күн бұрын
Haya mambo yalisemwa zamani sana tangu enzi za jakaya, na magufuli. CCM ndiyo hawataki. Simamieni Hilo Kwa nguvu zote. Haiwezekani kila awamu tunaanza upya
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 8 күн бұрын
Gwajima ndo rais wangu
@luciasteven3314
@luciasteven3314 12 күн бұрын
Tangu ajiunge n siasa nilimpoteza kabisa yaan😢
@CaptainJim-
@CaptainJim- 10 күн бұрын
Fundi sana
@YasiniMkakile
@YasiniMkakile 13 күн бұрын
Inatakiwa kila muhimili wa serikali uwe na mamlaka na nguvu yake kama bunge,Jeshi na mahakama,pia raisi akimaliza muda wake achunguzwe ili nchi iwe na mwenendo mzuri kama vile marekani,China, na urusi
@user-wl6zs4sf5p
@user-wl6zs4sf5p 12 күн бұрын
Hii ni sahihi kabisa yaani hatuna dira kabisa
@FatumaBenitho
@FatumaBenitho 12 күн бұрын
Saf xan
@user-gv8pf6if9m
@user-gv8pf6if9m 16 күн бұрын
Na hayo mamlaka amepewa na katiba
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 17 сағат бұрын
anafaa kuwa raisi wa nchi hii huyu mh
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 15 күн бұрын
Mna maono gani wabunge wengi ni wezi lazima kizazi kijacho kije na maono mazur sio maono yenu ya sasahv ya vipofu
@darasibrown6084
@darasibrown6084 8 күн бұрын
Gwajima we nikiongozi sio chawa wa viongozi
@bahatiisaimbega88-md1mw
@bahatiisaimbega88-md1mw 13 күн бұрын
umeongea poit kwer kaka kwamba kila rais anatakiw kuingia madalakani kutekeleza
@bonsondavid5756
@bonsondavid5756 14 күн бұрын
Hakuna msukuma mshamba,wote ni perfect brain
@paulmathias810
@paulmathias810 13 күн бұрын
Kabisa, Wasukuma wangepewa waongoze tu maana wanajielewa
@bonsondavid5756
@bonsondavid5756 13 күн бұрын
@@paulmathias810 Magufuli,Makonda,Msukuma, Gwajima wote wasukuma alafu nchi inawaelewa sana pima upepo uone
@azaellivingston7415
@azaellivingston7415 8 күн бұрын
Chenge amefanya nini kwenye Inchi hii?
@azaellivingston7415
@azaellivingston7415 8 күн бұрын
Vip kuhusu kitwanga ? Kangi lugora Je?
@valenakomba7686
@valenakomba7686 12 күн бұрын
SASA WIZARA XOT HIXO ZA NINI?. MIAKA HAMSINI MINGI SANAA BWANA.
@bahatishitindi
@bahatishitindi 3 күн бұрын
Naunga mukono hoja
@ShannyBrowntz
@ShannyBrowntz 13 күн бұрын
Amna kitu hapo msaniii 2
@sadih5333
@sadih5333 12 күн бұрын
Mawanzo mazuri lakini ulitakikana uyatoe vipindi ambacho bwana somba somba alipo kua anajenga Chatto kwa a lot of money for nothing .
@ramadhanrobin-st6hh
@ramadhanrobin-st6hh 11 күн бұрын
Kwan chato si Tanzania ata akiijenga watakao fanikiwa n watanzania ko sioni ubaya wa ilo na kukumbuka nyumban n muhmu sana ndugu zile barak zitakutunz milele upte amani na furaha
@abelchacha5977
@abelchacha5977 10 күн бұрын
Chukua fom mzee.
@user-ju4md1yq6o
@user-ju4md1yq6o 18 күн бұрын
Najivunia kuwa na mbunge wangu kama huyu
@gilbertsalvatory9590
@gilbertsalvatory9590 17 күн бұрын
Kabisa
@user-hn7uv4yg2q
@user-hn7uv4yg2q 8 күн бұрын
hamna kitu hapo.
@godlistengipson7268
@godlistengipson7268 8 күн бұрын
Tupe wewe
@official_masud
@official_masud 13 күн бұрын
Kipindi cha magu aliufyata😂
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 11 күн бұрын
Apo wapigaji hawawez kukuelewa ata kiduchu
@spendjulius-qz9mt
@spendjulius-qz9mt 14 күн бұрын
Tupa jiwe gizani 😅
@aniki7232
@aniki7232 13 күн бұрын
Huyu mzee baba namuona kama zaidi ya RAIS kwa michango yake.
@PatrickJulius-uy3yb
@PatrickJulius-uy3yb 12 күн бұрын
Ivi gwajima ira nahic mda uja fika ira naamini wewe ni rahic ajae mimi kama kijana mtanzania natamani uongoze taifa hili
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 14 күн бұрын
Wewe tunakudai chuo cha uvuvi na boti kawe ...Pia safari ya kujifunza ya vijana Birmingham vipi ..Chasimba bado mafuriko tatizo na barabara hazipitiki .. Hayo maono unayojimwambafai yalete huku jimboni sasa ''!!! au tukutane kwa wajumbe
@DenisRukangula
@DenisRukangula 13 күн бұрын
Yeye sio chanzo mwamuzi mkuu Kuna idara inayotekeleza kile unacho mdai Gwajima.. Kama hawezi kupewa sapoti Afanyeje .. au unadhani kuondoa mafuriko ni kusema tu , Kuna fumula
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 9 күн бұрын
Jam a ni tujifunze na tuache kuwadanganya wananchi.Enough is enough 😮macho yako wazi wananchi tuko macho Misingi ya ukoloni ifutike sisi siyo wajinga tena😮
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 6 күн бұрын
Ee.na wananchi watanzania nao waone maono ya.familia.miaka.hamsini.ijayo.kwa ma'ana.hiyo wawekeze.uchumi wa familia.miaka hamsin.ijayo sio kuuzauza ardhi.nyumba na kuzitelekeza familia ovyoovyo.watoto wetu wanatelekezwa.sana.na maono ya miaka.michache michache tuamke.nimeipenda.sana.hii.hoja ndio.waliyoitumia.wazee.wetu.zamani walihakikisha kola mtoto mzaliwa wa familia amelisishwa mali na kufwatiliwa anaishije leo kila mtu anaishi.anavotaka.maono.ya kukiona.kizazi kijacho hayapo mheshimiwa.gwajima.na.bunge.lote Mungu awape akili nyingi na maarifa mengi mliongoze.taifa la.Tanzania
@HamzaHeri
@HamzaHeri 13 күн бұрын
GWAJIMA KATI YA BUNGE KISUKUMA WEWE UNAAKILI SANAA HAUYUMBU WEWE KWELI NI MZALENDO WA KWELI SIYO NDUMI LAKUWILI HATA WAKATI MAGUFULI ULIONGEA UKWELI HATA WAKAT LIGANGA NA MCHUCHUMA ASANTE SANA
@bonifaceelias9287
@bonifaceelias9287 12 күн бұрын
Kuna wabunge wapo huko ndani kwaajili kuomba taarifa 😮😮
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 16 күн бұрын
Ameongea Jambo kubwa
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 15 күн бұрын
Gwajima anakurupuka tu kwan c vyote hvyo vimeshajumuishwa kwenye mpango na lazima washirikishwe kutoka chini mpaka wizaran
@mvukiedavid4332
@mvukiedavid4332 14 күн бұрын
Umemuelewa point yake lakini au umecomment TU?
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 13 күн бұрын
Gwajima ni kichwa cha familia ilo jambo ni jepesi kwa wanaojua namanisha nini na taifa letu MUNGU ameinua watu kama awa ili kutuvusha kutoka kwenye vifungo vya umasikini
@YoshuaSeverino
@YoshuaSeverino 13 күн бұрын
Mipango gani hiyo ya miaka 50?
@thaubannaftal7265
@thaubannaftal7265 4 күн бұрын
Genius
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 49 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 141 МЛН
USIGOMBANE NA MWANAMKE; WOMEN TALK! | USHAURI WA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA KWA WANA-NDOA
23:13
Nchi haiwezi kuendelea kama hamna muendelezo wa awamu za urais | Askofu Gwajima bungeni
10:51