MFANYABIASHARA AMLIPUA MWIGULU MBELE YA WAZIRI MKUU "HATUNA WAZIRI, HATAKI KUSIKILIZA".

  Рет қаралды 28,164

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 52
@TanganyikaChakupewa
@TanganyikaChakupewa 5 күн бұрын
Eeeeee mungu tunaomba huyu msema kweli mungu amubariki sanaaa 🙏🙏🙏
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 Жыл бұрын
Mungu akulinde kaka yetu
@swalhawerema57
@swalhawerema57 Жыл бұрын
Haki ukiwa na uchungu wa utafutaji utajua kabisa ni kiasi gani watu wanavyoumizwa na serikali hii ....watu wanaumia ..wanashindaa kukakataa tamaa sababu kuna family nyuma inawaangalia ....inaumiza Wallah 😢
@Bravin116
@Bravin116 Жыл бұрын
The guy Yuko na brain nzuri.
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Taifa linahitaji viongozi dhabiti, wenye nia ya kweli ya kuwasaidia watanzania. Ee Mungu tunahitaji viongozi kama JPM.
@vicenttarimo2203
@vicenttarimo2203 6 күн бұрын
Hizi nondo so za mchezo Kuna watu na mtu kama huyu wapewe nafasi za kushauri Serekali
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 6 күн бұрын
Kabissaaa
@lianaelgomezulu2259
@lianaelgomezulu2259 Жыл бұрын
Mama yetu Rais wetu mpendwa umeona!! Fanya maamuzi mawaziri tajwa hawana nafasi kwenye mioyo ya wadau wao
@gabrieljohn6422
@gabrieljohn6422 5 күн бұрын
Kwakweli CCM mmefeli kuongoza Taifa letu hata Dodoma juzi maduka yalifungwa kugemea kodi
@Life10061
@Life10061 Жыл бұрын
😂😂😂safi sana kwa ushirikiano wenu MUNGU awabariki sana ... Huyu waziri chemba anazarau sana
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Wizara yake mpaka sasa inaubadhilifu kwa mjibu wab CAG lakini hataweza kujiuzuru hata ingekuwaje maaana ndiyo aina ya viongozi wasiyotaka kuwajibika
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Hawa viongozi wakuteuliwa ndiyo wenyemajibu mabaya Kwa wananchi Kwa kuwa uwaziri wanapewa wa kupewa .Wengine mkilalamika kuhusu tozo wanatwambia hamieni Burundi hivi kweli hii ni kauli ya kuwajibu watanzania kweli
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
Safi sana uyo mwigulu sasa mama ana mtoa meongea wana nchi sasa mama tatmtoa sasa
@ljk4006
@ljk4006 Жыл бұрын
Nataman sana kilio chao kisikike,, hii nchi inaelekea kubaya aisee,,, I wsh JPM angekuwepo
@jenipherpeter9490
@jenipherpeter9490 Жыл бұрын
Huyo si ndo alisema tuhamie nchi jirani? 😂😂😂😂😂
@user-ok6lv3je4b
@user-ok6lv3je4b 4 күн бұрын
Mwiguru kwa kauli zako wananchi was jumbo lako hawakurudishi
@merycianajuma-tj2cj
@merycianajuma-tj2cj Жыл бұрын
Waooow, just waoooow
@frankrowland2884
@frankrowland2884 Жыл бұрын
Hapo hatuna waziri unashindwaje kukaa na wanaolipa kodi unapanga yako kichwani unapeleka yawe sheria na umewaacha wanaolipa kodi
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Жыл бұрын
UKWELI MUHIMU...... THIS IS NEW TANZANIA CHINI YA MAMA.......
@FrankasamisyeMwaiswasu
@FrankasamisyeMwaiswasu 17 күн бұрын
Serikali yote haifai mungu aiodoe
@abdallahally842
@abdallahally842 Жыл бұрын
Mama umeona we wafanyabishara wako vile hawamkubali waziri wako was fedha anakuharibia kilakitu kwako anasema Mambo mazuri unafurahi lkn ukweli umeona Leo watu walivonahasira na kuchoka kunyanyaswa na tra kwenye nchi yao wanafanya biashara Kama wakimbizi na Hilo hakwambii si mwema kwako
@abdallahally842
@abdallahally842 Жыл бұрын
Huyu waziri itakuja kumcoast dharau na kiburi hakika yy anafurahia ila Leo mama ataona jinsi huyu mwigul anavomchonganisha mama na wafanya biashara leo mama umeoma badhi tu ya wafanya biashara maduka walivo na hasira huko majumbami mitaani watu hawana furaha kwajinsi waziri wako anavokudamganya kua Mambo mazuri kumbe wafanyabishara wanaugulia moyoni Mambo mazuri kwake na viongozi lkn jasho la damu linavuja huko mtaani kwa makodi makubwa na kuengeza kilasiku kodi mpk Sasa watu wamechoka mama nakushauri huyu jamaa anakuchonganisha nna wengi wamanchi wako hili leo utakua umeliona waziri lazima ukipanga Jambo ushirikishe na walipakodi sio kujiganyia jamaa anangoza kwakuchukia
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
ni kutoa takataka aliyopo ikulu 2025. haya ndio yataisha
@simonzelote5998
@simonzelote5998 Жыл бұрын
Huyo waziri wetu halafu Ni mama mwoongo Sana huyo hafai kabisa kuongoza watu
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Mwigulu anajeuli kwasababu anajua yule anayemkumbatia na wanakula wote Nchi hii
@sameraafreqe7964
@sameraafreqe7964 Жыл бұрын
Mama samia fanya uteuzi mwigulu hatumtaki bwana mtoe kwann unamuwacha wakati Watu wapo mpe mbunge wa Bagamoyo Uwazir wa fedha yupo vizury sana
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
kani yeye huyo mama ako ana faidi gani ? wakati yeye mwenyewe ni kinyesi tuu
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Mwigulu ni Hana hekima na hawezi kupata urais
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 6 күн бұрын
Kiamsheni kama kenya hakuna kuanyaaa
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 Жыл бұрын
hatukutaki mwigulu na huyo waziri wa viwanda,kwendeni zenu hamfai hata kuwa wakuu wa wilaya,majizi makubwa hawa
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Mwigulu elimu haijamsaidia kuwa mnyenyekevu Bali inamfanya kuwa Kama taahira
@NurathDaudi-hf6zj
@NurathDaudi-hf6zj Жыл бұрын
Viongozi Wetu Wanaangalia Matumbo yao tu serikali ya Mama Watumbue
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Kwel kabisa
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
We mzeee ni nyokoo kiukwer sasaiv kwer watu kwer nime Amin mechoka walah seeee ih ninyiko
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Жыл бұрын
Umenena kweli..........
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Mwigulu is out.🏃‍♂️ Ila anatumiwa na mama.
@maase2023
@maase2023 Жыл бұрын
Huyu jamaa safi sana
@gabapentin8070
@gabapentin8070 Жыл бұрын
Mama tutolee waziri wa fedha mtoe kabisa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
atatoka mama yako 2025 na takataka zake
@gabapentin8070
@gabapentin8070 Жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 tunaongelea current situation arif u toking of 2025 ! Bruh
@lanezboy7016
@lanezboy7016 Жыл бұрын
Yan mwigulu fala sana
@lutenganolukali2122
@lutenganolukali2122 Жыл бұрын
Nchuki shabani kumbe wewe ndo Christian bella alikutaja kwenye nyimbo yake ya umeondoka huku hali yangu sio shwari
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn Жыл бұрын
Mpka leo samia bado anamlinda huyunjamaaa iseeh
@olaismoses5186
@olaismoses5186 Жыл бұрын
Kula chuma ikoo😂
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 Жыл бұрын
Mwigulu ajitafakari
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn Жыл бұрын
Serikali wakipunguza makodi kwa wafanya biashara hiyo mishahara wataitolea wapi?
@abdallahally842
@abdallahally842 Жыл бұрын
Matakoni mwako
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn Жыл бұрын
@@abdallahally842 we mbuzi ww umefahamu vp kwani?
@abdallahally842
@abdallahally842 Жыл бұрын
We paka shume soma utumbo ulioandika then ndio uniulize nimefahamu nn kwahio wafanya biashara wateseke kwa makodi ya ya manyanyaso ili walipane kodi? Wapumguze wafanyakazi au waache kuiba mabilioni serekalini ili walipane mishahara umeongoa ushuzi
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn Жыл бұрын
@@abdallahally842 Tatizo hujielewi mbwa ww kwa sababu kupunguza wafanya kazi na kuacha kuiba mabilioni serikalini ilikuwa ndio jibu na sio matusi mpuuzi mkubwa we ng'ombe usiye na mchunga
@abdallahally842
@abdallahally842 Жыл бұрын
@@IbnuAlly-cg2gn hebu acha ushoga soma ulichoandika au hujui kuandika unaamdika ushoga halafu unasema umesema serekali ipunguze wafanyakazi wp umeandika hivo ulichoandika wakipunguza kodi wafanyakazi watalipwa na nn ndicho ulicho andika nikakujibu watalipa matako yako Sasa unapanic nn wkt unaamdika kitu Cha kipuuzi
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 188 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 4,8 МЛН
#LIVE: WAZIRI MKUU AIBUKA KARIAKOO SAKATA LA WAFANYABIASHARA KUGOMA
48:56
#live MBOWE ANATOA TAMKO MUDA HUU JUU YA MSIGWA KUHAMIA CCM
1:14:06
Yuhai media
Рет қаралды 48 М.
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 188 МЛН