Mwijaku Afunguka Bifu na Harmonize Kutembea na Paula mbele ya Kajala Kufukuza Wasanii KondeGang

  Рет қаралды 205,985

BINGO ONLINE TZ

BINGO ONLINE TZ

Жыл бұрын

Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Пікірлер: 1 100
@rowneyodinga417
@rowneyodinga417 Жыл бұрын
Napenda maongezi ya Mwijaku sana although am from Kenya 🇰🇪 but this guy gives good advices 💪🏾
@bbycandy3979
@bbycandy3979 Жыл бұрын
Eeehe kime fukuzwa hata hivo🤣🤣🤣🤣🤣
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Kinini
@japhethosea375
@japhethosea375 Жыл бұрын
The guy is a hypocrite
@claudinentiranyibagira7374
@claudinentiranyibagira7374 Жыл бұрын
Nayamakwaza unawonge maneno mazuri
@tonygee5680
@tonygee5680 Жыл бұрын
Y say although ur from Kenya?
@issakinono9124
@issakinono9124 Жыл бұрын
Hili boga leo naona limeongea point dah poleni sana kajala na binti yake
@wizoywizoywizoywizoy236
@wizoywizoywizoywizoy236 Жыл бұрын
Pont gan na ww
@monahmussamonah6229
@monahmussamonah6229 Жыл бұрын
Unauhakikaaaa na anacho ongea?
@fidesphilbert9877
@fidesphilbert9877 Жыл бұрын
mmh!!
@shadyasalum192
@shadyasalum192 Жыл бұрын
Msema kweli mwijaku anasema ukweli katibuka mwijakuu uchawa umekwishaa subhannaallah 🥺🥺
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Hana akili ujinga tu na fitna zimemujaa
@naslee1010
@naslee1010 Жыл бұрын
Ukweli gani dada angu hizo zote ni kukosa kitu alicho kua ana pata
@gidionmakopa5427
@gidionmakopa5427 Жыл бұрын
@@naslee1010 K
@fatmamansour676
@fatmamansour676 Жыл бұрын
Muongo huyo kataka kutu hajakipata ndo mana kumbuka alivomfanyia nandy
@chelseafc3990
@chelseafc3990 Жыл бұрын
Uko sahii mwijaku kajala hakupaswa kurudiaa na harmo coz ya kumtakaa paula
@ibraheemqassim3018
@ibraheemqassim3018 Жыл бұрын
Mwijaku nakuomba uache kuingiza dini yetu katika mambo ya kipumbavu hii mara ya mwisho nakuonya kama unafikir huwez kufanywa kitu endelea ila tusije kulaumiana acha kuingiza uislam kwenye mambo yako ya kipumbavu☝️ACHA NAKUFUATILIA
@hurstingsmwangudzah5329
@hurstingsmwangudzah5329 Жыл бұрын
Kenya hakuna mambo ya machawa sijui machawi ya kulipwa pesa kusifia wasanii huu ni umbwakini tu Kwa huyu zuzu mwijaku much love @Harmonize from 254🇰🇪
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 Жыл бұрын
Anaongea ukweli hapa sio umbwakini
@leeobite5657
@leeobite5657 Жыл бұрын
@@souvenirweber7169 kwann hakuongea wakat akiwa chawa...au kwakua ameachwa
@jameskilasa759
@jameskilasa759 Жыл бұрын
Hatuwez fanana kwa kila kitu jamaa kenya sio tz
@naslee1010
@naslee1010 Жыл бұрын
Katika mashoga wa Tanzania nahuyu ni miongoni mwao
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 Жыл бұрын
Skutegemea Kama mwijaku leo ataongea hivi kwel ubinadam kazi😭
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Hakuna kitu mbaya kwa hii dunia kama ulimi wenye unafiki , umezidi unafiki Allah akuongoze
@nantariamateso7781
@nantariamateso7781 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jYivqqaoj5upitk
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Haujui maana ya unafiki wewe
@jolieandrekwozera5495
@jolieandrekwozera5495 Жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍👍
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
@@Wamoyothenumberone wacha uchawi ndugu
@MhmHm_21
@MhmHm_21 Жыл бұрын
Bro usiufungie macho ukweli kisa ushabiki ati unafiki unajua unafiki ww
@zuwenasleiman3587
@zuwenasleiman3587 Жыл бұрын
Kama anachosema mwinjaku ni kweli harmonize anakosea sana
@mesukanku6016
@mesukanku6016 Жыл бұрын
NI KWELI
@emmanuelsimsokwe6244
@emmanuelsimsokwe6244 Жыл бұрын
Mm n fan mkubwa San w MWIBA leo mwijaku umenifungua San,mm nakusupport katka hilo msaad usiwe manyanyaso
@princesanita46
@princesanita46 Жыл бұрын
Penye ukweli turuhusuni kusemwa ili tujirekebishe makosa yetu ushabik mzuri ni kumuambia ukweli rafiki yako harmonize kakosea na kajala ni mtu mzima kama kweli hakupendezwa na alicho kifanya harmonize asinge rudiana nae tena ni kwa sababu yeye na mwanae hawa heshimiani hata kidogo na hawana hofu ya mungu
@missykalele5520
@missykalele5520 Жыл бұрын
Hiii ni mass media kuna watu wanapitia haya katika jamii na wapo kimya maisha yanasonga mwacheni kajala mna ushahidi katoka na pau
@mumsboy4410
@mumsboy4410 Жыл бұрын
mwijaku unaaibisha watu walio soma wa dree kwan uliesomea umbea tafuta kazi usiaibishe wasomi
@karasuyazidi8547
@karasuyazidi8547 Жыл бұрын
@@missykalele5520 tofautisha mtu maarufu na asiye maarufu konde ni msanii maarufu kutembea na mama na mtoto aibuu
@saidikitambulio6264
@saidikitambulio6264 Жыл бұрын
Umaarufu si 7bu ya kuona haibu Bali 2natakiwa na hofu y mung na tabia njema Allah a2epushe
@shabansaid4154
@shabansaid4154 Жыл бұрын
duh mwijaku umeishia kabisa tafuta maisha yako acha ujingia
@jonasstephano7680
@jonasstephano7680 Жыл бұрын
Uyo ndo mwijaku 😄😄😄amemfanya mtangazaji ajitemee mate
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@beatricemorice9269
@beatricemorice9269 Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣🙌🙌
@munozimimibahati2716
@munozimimibahati2716 Жыл бұрын
😂
@violethessau6667
@violethessau6667 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@felisterernest4907
@felisterernest4907 Жыл бұрын
😅😅
@Suka_Dm_Guy
@Suka_Dm_Guy Жыл бұрын
Nimekuelewa sana bro mwinjaku unapoongea vitu vya msingi unanyooka kama inavyotakiwa big up kwa hilo
@tumainmaseta8826
@tumainmaseta8826 Жыл бұрын
Leo nimekuelewa jaku,,huo ndo ukweli
@deathrow8004
@deathrow8004 Жыл бұрын
Dhambi kubwa ni USHIRIKINA MWIJAKU ALLAH ATUTHIBISHE KAULI THABITI NA UTURUZUKU TOBA YA KWELI KABLA YA MAUTI🤲🏻.Amiin
@jovinmodelin3486
@jovinmodelin3486 Жыл бұрын
Hujui kitu
@sadikiballack1631
@sadikiballack1631 Жыл бұрын
Mwinjaku upo sahihi nyuchi mbili za mwana na mama laana kubwa kofi la Mngu lipo tayali Kwake
@lowasakitwiyan7758
@lowasakitwiyan7758 Жыл бұрын
Umeongea point nzuri kabisa brother Mwijaku🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 Жыл бұрын
Waaah mwijaku una msiba mkubwa moyoni. Konde boy amekunyosha kama rula. hivi ww ile scandal yako na Menina ilishia wapi vile 🙄 na tamani Konde ukuchukue mzobamzoba mpaka kituo cha police ukaeleze vizuri.😂😂
@celinekenedy870
@celinekenedy870 Жыл бұрын
Huyu jamaa ana lopokaga lkn kwa hili la nyuchi za mama na mtoto😂😂😂,, ameongea point sn zenye akili timamu,, mwijaku on it.
@fredysimwanza735
@fredysimwanza735 Жыл бұрын
Kwel bro
@asyamgeni9819
@asyamgeni9819 Жыл бұрын
Una uhakika gani mbona yeye alimuadhiri mtoto wa watu menina na huyo menina alikuwa na mtoto pia uongo bwana
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 Жыл бұрын
Mbona hukuonhea wakati ule.Nafiki sana
@celinekenedy870
@celinekenedy870 Жыл бұрын
@@joscamwoshezi2986 Bahat nzuri sana wewe umeelewa vzr nilicho comment,, alaf bahati mbaya sana cjaelewa ulichoandika ndugu.
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Weumejuaje kama hiki anakionge anaropoka
@shaibumasoud2014
@shaibumasoud2014 Жыл бұрын
Kwakweli mwijaku unamchafua sana harmonize amekukosea nn jaman hebu mwache afanye kazi, unatumia mdomo wako na ushawishi kwa watu ili tu umpoteze harmonize, Mungu ndio kamuweka hapo alipo acha kumuhusisha Mungu katika uongo,ww utabaki kua ww na yy atabaki kuwa yeye
@rajabawadhi5378
@rajabawadhi5378 Жыл бұрын
Mwijak kaongeea poent xan keep it up bro ningepend kupat hat namb zak media nixaidien niongoe na mwijaku
@matanohassan9667
@matanohassan9667 Жыл бұрын
Wacha kula hela ya kamari ili uwe salama ama chako kimotoni siku moja BWEGE sanaaaaaa
@smart47tv33
@smart47tv33 Жыл бұрын
Kama unaona anachokisema huyu niuongo weka like
@cycynageragezekwambaraneza1987
@cycynageragezekwambaraneza1987 Жыл бұрын
ila hamonize anapigwa vita sana ilo siwe kuku bali sizani kama kajala anaweza kukubali hayo mwijaku muongo wew
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 Жыл бұрын
Kuhusu konde kutembea napaula nikweli.nandiomaana kajara akaamua Bora waachane.lkn mwijako anampenda kuongelea sana.yale yalishapitaaa.
@minjesha
@minjesha Жыл бұрын
@@jareengeorge5478 harmonize hajawahi kutembea na paula,ila alimuonyesha tu sehemu zake za siri..ila hawakufanya tendo..ndio alikua anataka kulisanua ndo paula alimwambia mamake ndio wakaachana.
@halimasalim5477
@halimasalim5477 Жыл бұрын
Mwijaku unaongea na uchungu sanaa. Natuambie kuusu melina..ukasambaza uchi wake tanzania nzima.tupe dhambi zake..
@rajabusalimu8426
@rajabusalimu8426 Жыл бұрын
Fata yako acha kufatilia watu unao wasifia leo kesho utawasema pia machawa hizo ndo stori za kila siku mwanaume hutakiwi kuwa mmbea
@BREEZY882.
@BREEZY882. Жыл бұрын
Sasa wew mtu anaongea ulweli unachukia umelogwa ww
@fatmamansour676
@fatmamansour676 Жыл бұрын
@@BREEZY882. ukweli gani hebu tuambiae ulikuepo hayo anayo ongea ukayashuhudia au unamfata måneno tu hebu vuta picha alivomfanyia nandy kisa hakumpa pesa
@fatmamansour676
@fatmamansour676 Жыл бұрын
Huyu mnafki San lära aende kW alikiba mara harmonise sahv hiyo kubet ishamuingia ndo anataka kwenda ssa si aende tu hu'o asikae kumchafua mwenziwe
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Kama haya anasema yana ukweli, basi mmakonde ana hali mbaya sana. Kutweza utu wa mtu kwa sababu ya hali zao si haki mbele za Mungu.
@Dira-90
@Dira-90 Жыл бұрын
Mwijaku hatujasahau uliyomtendea MENINA ujue 😄🤣
@mapettcokenya
@mapettcokenya Жыл бұрын
Alifanya nini 😂😂
@carinamatt1031
@carinamatt1031 Жыл бұрын
Kajisahaulisha huyu kajizima data
@haifaahoussain7787
@haifaahoussain7787 Жыл бұрын
Imagine ndomana lana ya menina inamuandama huyu 😂
@rabinzsinoya1434
@rabinzsinoya1434 Жыл бұрын
Mnafiki wewe, tunakumbuka mpaka leo ulivyo mzalilisha menina
@AfricaQueen
@AfricaQueen Жыл бұрын
Umeonaa Kasahau 🤦🏾🙆🏽‍♀️Bado Yatamkuta Alivyomfanyia Menina☝️🤲Malipo yanakuja.
@winnieamanya1550
@winnieamanya1550 Жыл бұрын
mwijaku....wewe ni mnafiki...mnafiki saana... Khaaaaa mchwwwwww 💔
@rojaabasi2319
@rojaabasi2319 Жыл бұрын
😁
@sashahauke2032
@sashahauke2032 Жыл бұрын
Mbaya zaidi anajua dini mnafki sana huyu
@jamalbakari6136
@jamalbakari6136 Жыл бұрын
Ukwel utabaki kuwa huru
@shanelmbunga1301
@shanelmbunga1301 Жыл бұрын
Unajuaje Kama ni mnafiki
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Жыл бұрын
@@shanelmbunga1301 mbona hakuyasema Kabla ya Kufukuzwa
@officialAlAbdul
@officialAlAbdul Жыл бұрын
hakika n bora kuwa mtu wakawaida kuliko kuwa mtu marufu na auna kipato yan utaibika sana
@fdizzo
@fdizzo Жыл бұрын
We jamaa ni mnafiki Sana ila tofauti na hilo ni muigizaji mzuri sana
@swariotibi6134
@swariotibi6134 Жыл бұрын
Jamani makubwa
@SonOfNun5555
@SonOfNun5555 Жыл бұрын
Good advice Mwijaku
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
Ww muongo kama ingekuwa ivo mwijaku mbona ukusema mwanzo hamo alipokosea na Ndiokwanza ulikuwa unamkuadia adi kwenye msiba wa maunda zoro ww roho inakuuma hamo kachoka kukupa pesa kama mwanamke wake Bora ungekaa kimyaa
@fatmamansour676
@fatmamansour676 Жыл бұрын
Hawa yye na hbaba walifanya bwege mtto w watu kila wanapotaka pesa anawapa ssa kagoma wamekaa kusema vibaya
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
@@fatmamansour676 ndio walikuwa wanafanya chumio washenzi kweli wanajenga wanakula kwa pesa ya mtoto mdogo zuruma zimewajaa wapambane na Ali zao
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
Ukuwai kuwa mchafu unajisaulisha ulichomfanyia menina ila kumbuka menina alimuachia mungu ss yatakukuta2 mengi maana ujaenda kumuomba msamahaa
@zamibrahim3014
@zamibrahim3014 Жыл бұрын
Kajisahau 😄 🤣 😂.
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
@@zamibrahim3014 walimwengu ndio tunamkumbusha balazuri uyu kaonga pesa mahakamani na amerga kesi imefutwa
@fatumafatuma9931
@fatumafatuma9931 Жыл бұрын
Muhongo muhongoooo mwijaku nimekuita mara ngapi... Umemwagwa tulia
@yarahstaste104
@yarahstaste104 Жыл бұрын
Hapo kwa kutema mate tumboni sasa😂😂 khaaa Mwijaku banaa🤣… kwani kuapa haitoshi hadi mate bana🤣🤣🙌🏻
@nassrasharja3106
@nassrasharja3106 Жыл бұрын
Huyo mnafiki anazingua sis bdo team konde💞💞💞💞💞
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Hajakwambia uache
@nasraiddy3252
@nasraiddy3252 Жыл бұрын
Wanawake jamani tufanye kazi...mtazalilika kwa ajili ya kutegemea hawa wanaume wenye pesa
@mwisukulu1
@mwisukulu1 Жыл бұрын
kajala atakuwa kampunguza jamaa😂😂😂
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 Жыл бұрын
Wajifanya una diiini, na unasport kamari (Wasafi bet)
@mubarakhassan2618
@mubarakhassan2618 Жыл бұрын
Njaaa zinakupereka vibaya ila tafuta maisha kwanjia nyingine
@barakakoi5976
@barakakoi5976 Жыл бұрын
Mwijaku ako right kama nmuelewa
@irenejoely5589
@irenejoely5589 Жыл бұрын
mwijaku Leo nimekuelewa sana
@mubarakhassan2618
@mubarakhassan2618 Жыл бұрын
@@irenejoely5589 hivi mnamuelewa je huyu jamaa
@mwishehe2067
@mwishehe2067 Жыл бұрын
Njaa tu hizo kama unajua dini mbona unasapoti kamali na angalia utakuja kuwekwa ndani
@mubarakhassan2618
@mubarakhassan2618 Жыл бұрын
@@mwishehe2067 kabisa
@jervinbronze9143
@jervinbronze9143 Жыл бұрын
#mwijaku hakika unafkri anguko la #harmonize litakuw kwaajili ya unafiki wako? Lahasha! Mungu mara zote ni mweny nguvu na uwezo mkubwa san na ajawai mwacha pekee awaye yeyote mja wake, kwa hili utaushuhudia ukubwa wa harmonize adi uzeeni mwako na kuadisia wajukuu zako. Na pekee uyu unaemwona nyoka mbele zako ndiye mfalme na mtetez wa kizazi kipya cha music industry at sikulazimishi ulikubali hili lkn moyoni mwako unalo na utakuwa nalo tuu!
@Kamala_thegospel
@Kamala_thegospel Жыл бұрын
Ameeen
@missmwayway4704
@missmwayway4704 Жыл бұрын
Ameeeeeeeeeen
@victormartin1696
@victormartin1696 Жыл бұрын
Natamani tuongelee muziki pekeake wala sikukatalii Harmonize is super good artist but not the best na ukiisha zungumzia kizazi kipya Harmonize hayupo huku unakutana na kina Marioo Benson Jay Melody Kusah Mabantu Lord Music Cheed Ki2ga Dayoo na wengine kibao na mfalme wa hii new generation ni Marioo japo hata chukua muda mrefu saaana kwasababu yuko na watu wanaojua nini wanafanya
@fatmamansour676
@fatmamansour676 Жыл бұрын
Huyu mnafiki na mchonganishi anataka kuachisha penzi la watu isitoshe kama alivomfanyia nandy ndo anataka kumfanyia huyu yaani kwa nandy je abgepanda presha a kajifungua mda sio wake kukatokea tatizo 7bu yye angesema je vile alivomfanyia kulzushia huyu watu wakimsikiliza ataachish sna watu
@jervinbronze9143
@jervinbronze9143 Жыл бұрын
@@victormartin1696 Kaka uwez elewa yuko ktk angle ipi lkn uyu jamaan harmonize ana Play part kubwa san ktk awa new generation ivyo atkuw mkubwa wao kaka
@nangatv7258
@nangatv7258 Жыл бұрын
Wote wampondao diamond, saiz wanabadilika, kwel daimond asemwi vbaya😂😂😂😂😂
@Queen_latiffa
@Queen_latiffa Жыл бұрын
Kama ni kweli wewe ni mtu mzima unaye jielewa kwanini usiwakalishe chini uwambie hapa ivi na ivi sijapenda saa ukijakusema huku unapata farida gani au unamzalilisha nani kwani umewahi kumwambia acha hii tabia akakataa acha akili za kitoto wee ni mtu mzima vitu unaongea hata haviingii kichwani ujinga tu
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
Alafu usitukane mshenzi mkubwa raivani usimkaribishe uyu naona anataka kujiweka kwako
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Жыл бұрын
👯💂Mwijaku apewe tuzo😂😂😂kwa maneno mazuli ya dini
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Anaongea
@justingodfrey8282
@justingodfrey8282 Жыл бұрын
Kajala umri wote huo ata sehemu ya kujiegesha, ushakosea kwa mtu wako wa kwanza
@stevememax2053
@stevememax2053 Жыл бұрын
Much love from Kenya. Ningependa kumhoji Mwijaku one of this days, kaka ana elimu yule, kuna chaneli naanzisha ya EA vibe yani wanangu tunapiga story tu mambo tusioyajua kwenye circle ya East Africa, tutapiga hii na itaweza sana
@peterphilipo4152
@peterphilipo4152 Жыл бұрын
Mbn makasiliko broo sula yako tu inaonesha umeumia sana kupunguzwa konde gang kama katembea nao wote si makubaliano yao we inakuuma nini tafuta yako acha shombo na maisha ya watu kila mtu na maisha yake kakojoe ulale
@doreenmashele8975
@doreenmashele8975 Жыл бұрын
Kabisa,aaache shobo...yeye kinamuuma nini
@sanjookhan2120
@sanjookhan2120 Жыл бұрын
Mnafik hajawahii kutoka salama mbele ya Allah ole wako mwijaku
@anthonymwambepo7441
@anthonymwambepo7441 Жыл бұрын
Kweli aisee huyu jama mbele ya Mungu awezi kutoboa uongo ambao anaouongea ni zambi kubwa sana aisee
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 Жыл бұрын
Tuchunge ndimi zetu anavyoongea subhanallah
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 Жыл бұрын
Nyuchiiii ya mama Na mwana kondeboy
@carinamatt1031
@carinamatt1031 Жыл бұрын
Muongo huyu mwijaku hakuna mtu anaweza kufanya uchafu km huo mbele ya watu huyu mnafiki
@monstermonster3649
@monstermonster3649 Жыл бұрын
@@carinamatt1031 Inawezekana Mwijaku anatia chunvi story zake lakini haya mambo yapo na hufanyika sana tu, hivyo kauli ya kusema hakuna wayafanyayo hayo labda ni wewe tu haujawahi kuyaona ila yanafanyika sana tu.
@carinamatt1031
@carinamatt1031 Жыл бұрын
@@monstermonster3649 duh basi hatari km ndo ivyo
@salmayusuph227
@salmayusuph227 Жыл бұрын
Punguza uongo mwijaku acha maisha ya watu kama mama karidhia
@monstermonster3649
@monstermonster3649 Жыл бұрын
@@salmayusuph227 Kuridhia mama na mwana kufirimbwa? Au sijaelewa kuridhia kitu gani?
@smokeedaisy2252
@smokeedaisy2252 Жыл бұрын
From Uganda 2 🇺🇬 but I follow this guy
@samsonmsafiri444
@samsonmsafiri444 Жыл бұрын
Duuu kweli mwijaku umeongea kweli yani mungu atunusuru 😭😭😭
@fatumafatuma9931
@fatumafatuma9931 Жыл бұрын
Mbna ukumwambia kutoka ile sku ulipowaona wanayafanya...alfu mbna unatudabganya na paula yuko n JUX acha kutudanganya ww
@ackreymwashambwa1814
@ackreymwashambwa1814 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 muongo huyu🤣🤣
@oliviamichael1840
@oliviamichael1840 Жыл бұрын
Mwijaku mnafiki sana,
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
Haya kalale NA mkweo
@oliviamichael1840
@oliviamichael1840 Жыл бұрын
@@user-po8hz7xw9j hujui unachoongea
@engraita5059
@engraita5059 Жыл бұрын
Mwijaku ndugu yangu, uliyoyasema inaonyesha ni sahihi kwasababu unadai umeyaona kwa macho yako.. Lakini, haukufanya vyema kuyaweka hadharani mambo mazito kama haya. Ulitakiwa ufanye taratibu za kurekebisha makosa hayo kwa njia za dini.. Umekosea sana dah. Fanya taratibu za kutubia kwa Allah. Dhambi kubwa umefanya. Umewadhalilisha hao masikini mama na mtoto wake.
@katulikatuli5550
@katulikatuli5550 Жыл бұрын
Mwijaku mungu awamdanganyi alafu ukiwa mnafki mwisho wasiku unafki wako utakuludia mwenye na utazalilika Apo mjini mungu anakuona
@marymakwega1366
@marymakwega1366 Жыл бұрын
Hiyo kasoro yake umeiona leo? Siku zote ulipokuwa ukimsifia hukuiona? Kulikoni? Watu tuna akili ya kupembua mambo ni bora unyamaze kuliko kujivunjia heshima, hasa ukiwa na familia kama unavyodai.
@fatumasaidi2592
@fatumasaidi2592 Жыл бұрын
Njia ya mwongo ni fupi katahayari huyo baba 😝😝😝
@paulrichard4696
@paulrichard4696 Жыл бұрын
mazuri anasifia mabaya anakosoa uyo ndo mwijaku,
@bbycandy3979
@bbycandy3979 Жыл бұрын
Conde for life 🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 Жыл бұрын
Anavongea ukweli mwijaku
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 Жыл бұрын
Unaongea ukweli mtupu mwijaku
@drkihwagamedia7942
@drkihwagamedia7942 Жыл бұрын
😂
@thedjnewbabilah1599
@thedjnewbabilah1599 Жыл бұрын
Ata mimi mtu kama uyo si pendi mimi ni wa mozambique🇲🇿 pemba
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Жыл бұрын
huu jama watu wana munuku vipaya tu ila anachokesema ni sahii sana nata mimi nilimu owa mke wana na kumukuzia mtoto yake wa kike ila kiukweli ujiga ule wa harmonise ..sita fikiha hata kidogo ..nimemukuza mtoto kama wangu sasa ana mihaka kumina sita ....uleniwanagu kama mwanagu wa mwili wakiume nimezaa na mamake naku elewa sana .. harmonise hanaufu kweli nakupenda sana mwijaku unaofuna mungu sana ..nakufata toka Capetown kesington
@ndeyeeeconomistplatform4835
@ndeyeeeconomistplatform4835 Жыл бұрын
KUMBE HILI JAMAA PUMBAVU KIASI HIKI
@frankkasele4024
@frankkasele4024 Жыл бұрын
Bro umeongea point sana 💪💪💪💪
@yaizfamily6615
@yaizfamily6615 Жыл бұрын
Ogopa Allah kwa yale unayoyasema pasina ushahidi, ulikua kitandani wakati hayo yanafanyika? Nakupa ushauri kama muislam mwenzako acha huu upuuzi omba radhi kwa wale unaowazushia, hii itakucost sana ndugu yangu muislam kumbuka kuna kifo na hakipo mbali ndugu yangu.
@sultannaveen7872
@sultannaveen7872 Жыл бұрын
This guy(Mwinjaku) walai knows how to promote his account. Anyway, harmonize is still in charge and always will be the top topic in your mouth for now...one love harmo🤞🤞👌👌
@bonethsanga1875
@bonethsanga1875 Жыл бұрын
Sana Sana 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@farajially8072
@farajially8072 Жыл бұрын
Kwahyo anaenda maseblen mwa watu kuchunguza maisha yao
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 Жыл бұрын
watu wata acha kukualika kwenye nyumba zao maana unalopoka mambo ya ndani za familia ya watu,, hakika we ni mnafiki uliekubuu ,,
@samsoncharo9348
@samsoncharo9348 10 ай бұрын
Bora anaye kwambia ubaya au makosa uliyo nayo huyo inawezekana akakusaidia kwa kujirekebisha tabia yako kuliko mwengine anakwambia uko sawa na ilihali sivyo.
@omarmasoud5808
@omarmasoud5808 Жыл бұрын
He is intelligent..literate👏👏👏it's call survival 💪
@fatumafatuma9931
@fatumafatuma9931 Жыл бұрын
Acha ujinga rayvanny anaumizwa n JUX kachukua mtto acha zako
@gasperlukagatv239
@gasperlukagatv239 Жыл бұрын
Mwijaku leo ndio umeongea point.
@jovinaryjoseph5489
@jovinaryjoseph5489 Жыл бұрын
Kama ni kweli... Kweli harmo anazngua
@farajiwanted8257
@farajiwanted8257 Жыл бұрын
#TRENDING_NAMBA_5 ME NI KING MUSIC 🎵 LAKIN HAPA MWIJAKU UMEZINGUA SANA MWIJAKU MBONA UNAKUWA MTU MUONGO SANA UNABUNI VITU VBAYA ILI KUMKANDAMIZA HARMONIZER SIO VZURI ACHA IZO FOCUS NA MAISHA YAKO MBONA BABA LEVO SIO MNAFKI KAMA WEWE KWANZA UNATUMIA NGUVU KUBWA KULIKO AKILI KWENYE KUONGEA
@shabanihalfan5547
@shabanihalfan5547 Жыл бұрын
Yote hayo sababu umefukuzwa wewe ulikuwa unamsifia paula na mamayake wewe bogazi kaungane na h baba umepewa talaka.
@joleal7941
@joleal7941 Жыл бұрын
Fact
@amoratyclamar6215
@amoratyclamar6215 Жыл бұрын
Apana ukweli na usemwe
@missmwayway4704
@missmwayway4704 Жыл бұрын
@@amoratyclamar6215 kwa ukweli gn Huo Unafki au
@zulphaadam4671
@zulphaadam4671 Жыл бұрын
Ni kharaaaamu 😂 daaah, mwijakuu😂
@dayanadismasslasway3419
@dayanadismasslasway3419 Жыл бұрын
Sema kweli mpenzi wangu mwijaku💋😂
@fatmamansour676
@fatmamansour676 Жыл бұрын
Ukweli gani huyu kataka kitu hajapewa ndo kaamua kuharibu
@jamalbakari6136
@jamalbakari6136 Жыл бұрын
@@fatmamansour676 we ulijuaje mkiambiwa ukwel mnatfta pakutokea😂
@ndaziharuna4820
@ndaziharuna4820 Жыл бұрын
mwijaku anaongea facts lkn je how can we believes him? inaweza kua kick
@shaqdizo7678
@shaqdizo7678 Жыл бұрын
😂😂😂😂 uchawa umeisha sasa umekuwa mchawi 😂😂
@sheikinitv8489
@sheikinitv8489 Жыл бұрын
Hahahahaaaaa htr sanaaaa
@kamandamkuu4g57
@kamandamkuu4g57 Жыл бұрын
Mwijaku wewe nimtu Saii Sana
@bigdaddy_faustinjumong4427
@bigdaddy_faustinjumong4427 Жыл бұрын
#Mange kimambi alikutabili.kwamba iposiku.dadanmange ongelawewe jembe laah🔥💪
@mashakamadenge6584
@mashakamadenge6584 Жыл бұрын
wewe ,wojaku ma h bb n bb levo mnauwa vipaji tazania
@suntzu8959
@suntzu8959 Жыл бұрын
A. Person who can market you is also capable of de-markerting you
@allybakari8558
@allybakari8558 Жыл бұрын
Absolutely 👍 ttZo huyo jamaa anayoongea hapo anawwza akawa anatunga tu
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Жыл бұрын
Harmonize hakuwa promoted na huyu kimziki ila ni jitihada zake km unakumbuka interview kibao kafanya hata hizo nyimbo hazijui za Harmonize
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Жыл бұрын
@@allybakari8558 yaani kwa kumsikiliza tu ndo hujagundua km anatunga. Imagine mara Harmonize akishikwa kifua na Paula akitokea kajala anakimbia. Mara ohh mama na mwana wanamfanyia massage pamoja wakiwa hawana nguo mh
@omarsalimomar6293
@omarsalimomar6293 Жыл бұрын
This is heavy
@yustayusuph9101
@yustayusuph9101 Жыл бұрын
😀😀😀😀👌🤸🤸🤸 hii inaitwa akuanzae mmalize 💪🔥🔥🔥🤸🤸🤸
@monstermonster3649
@monstermonster3649 Жыл бұрын
Fact, vita ni vita Mura. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mdta8161
@mdta8161 Жыл бұрын
Kachokoza pabaya
@nizytz7273
@nizytz7273 Жыл бұрын
Nahamia Kenya jaman bongo nimechoka
@masala04official22
@masala04official22 Жыл бұрын
Nauli unayo? 😂😂
@seifsaidysamata2267
@seifsaidysamata2267 Жыл бұрын
Mi nip airport hapa nakusubil tugo ote
@nizytz7273
@nizytz7273 Жыл бұрын
@@masala04official22 😄😄
@dushdollshow
@dushdollshow Жыл бұрын
Karibu
@nizytz7273
@nizytz7273 Жыл бұрын
@@dushdollshow Asante nishaanza kupata wenyeji
@joysarah
@joysarah Жыл бұрын
Nimekwama hapo kwa kutema mate😂🙌
@anethd1319
@anethd1319 Жыл бұрын
MBONA WEWE ULIMZALILISHA MWANAMKE NA KUVUJISHA VIDEO
@sharifubakari1705
@sharifubakari1705 Жыл бұрын
We mbwa njaa zitakuua one day kuma wew
@yusuphsimon575
@yusuphsimon575 Жыл бұрын
huyu jamaaa anaweza kuwa muwazi ila amejaaa unafiki sana , u can't be a man with women character like this guy .... , hawa jamaaa wanajipendekeza sana finally wakichokozana wanatoa Siri za ndani sana ..... ni upumbavu sana huuu
@mimifineliving2022
@mimifineliving2022 Жыл бұрын
Mtu yeyote mwenye akili timamu akae mbali na mtu huyu. Siri zenu hazipo safe
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 Жыл бұрын
Ila wewe baba m/mungu anakuona km ni rizki ndio inakufanya hivo 🥱🥱
@zazazawadi7270
@zazazawadi7270 Жыл бұрын
Mwijaku kahamiya kwa king kiba sasa😂😂😂
@baby_face_
@baby_face_ Жыл бұрын
okay onaongeya muzuri sana kwa iyi point ata mimi sikupedi zile ni sin
@sashawambura
@sashawambura Жыл бұрын
Uchawa unapofika tamati na mirija ya pesa inapokatika hugeuka uadui..Wasanii mjifunze kuwaweka karibu washikaji kama hawa..mwishowe wanavua nguo..
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Жыл бұрын
Wasanii wajifunze mwijaku hafai hata kidogo.
@darkplatnum9006
@darkplatnum9006 Жыл бұрын
Hawa watu diamond ndy anawez pekee wasinii wengin wot hawajui kuish na hawa watu
@beatricekilas6670
@beatricekilas6670 Жыл бұрын
Umepunguza au umepunguzwa falaa ww izo nyuchi ndo umeanza kuziona Sasaiv mbn mwanzo ulikuw husemi hakuna jipya Hapo kajipange upya hahahha
@chadrackaugistin344
@chadrackaugistin344 Жыл бұрын
Jamani mwijaku Jaa itakuja ikuponze ufungwe jela Acha kukosea Boss
@iddyissa7124
@iddyissa7124 Жыл бұрын
Hii nchi yaajabu🤣
@arafaseifallykilongo7802
@arafaseifallykilongo7802 Жыл бұрын
Sana aseee duuh
@MrSokwe
@MrSokwe Жыл бұрын
Ukweli ni kwamba Harmonize anajipoteza mwenyewe ila haoni kwasababu pesa zimemlevya kiasi kwamba haoni matendo yake na kujiondolea baraka zake ambayo ndio mafanikio yake.
@elizamapunda6043
@elizamapunda6043 Жыл бұрын
Muongo sana mwijaku unaaibu looh
@madudumadudu9273
@madudumadudu9273 Жыл бұрын
Kama umeolewa bac toka na baba mkwe wako
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
Hunaakili Wewe. Ndio nyinyi mnaolala NA baba zenu
@ibrahdedonny4073
@ibrahdedonny4073 Жыл бұрын
Leo yamewafika nyinyi Konde Gang ndo mmeamin huyu ni muongo
@ibrahdedonny4073
@ibrahdedonny4073 Жыл бұрын
Mmechelewa xana acha mchambuliwe na nyie, Sisi WCB tumezoea kero za huyu
@williamjohn1982
@williamjohn1982 Жыл бұрын
Acha uongo mwijaku atukuamini
@hamadysalum7032
@hamadysalum7032 Жыл бұрын
Jeshii umeingia chakike mond jichunge kwa baba levo
@marcokayeta5741
@marcokayeta5741 Жыл бұрын
Haahaaah hawa machawa sasa changamoto
@beatricekassim6190
@beatricekassim6190 Жыл бұрын
diamond anavotukanwa mnafurahia sana huyu mwijaku sio mtu leo kiko wapi mi japo sio shabiki wa hamo ila mtu anapomtukana huwa sifurahishwi hiyo ni chuki sio ushabiki, baba mkavu huyu kha! mkewe kazi anayo
@allyzegele6280
@allyzegele6280 Жыл бұрын
Hakuna kitu kama icho unaunganisha story, harmonize awezi kufanya kama unavyo ongea wewe. Tatizo umepunguzwa Konde gang
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 Жыл бұрын
Kweli
@jervinbronze9143
@jervinbronze9143 Жыл бұрын
#harmonize let them do each and everything wrong for you, but you'r the champ and remain be the top of all the time!
@imanimalick4148
@imanimalick4148 Жыл бұрын
Mwijaku upo sahii Sana kaka wamakonde washamba Sana kaka
@youngnigerbarizo2167
@youngnigerbarizo2167 Жыл бұрын
Mwijaku msengee tuu wew kuishi vizuri kwa njia za kualibu utu wawatu si vizuri muache wee ushauligi family yako tu☹️
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 Жыл бұрын
Mwijaku hizi taarifa Ni za kweli au maana hivi viapo Hadi nimeogopa.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 4,2 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 17 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
Этот парень написал картину... 😎
0:29
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 7 МЛН