Haya matatizo yanafanywa na watu kutowajibika siyo ccm kumbukeni hao watumishi ni binadamu maana moyo ni fichio la siri tuwalaumu wazazi wao hakuwafundisha kumwogopa mungu unapopewa kazi hapo unatumwa na mungu zingatieni hili
@billgussy60998 ай бұрын
Kwa hiyo ccm yooote imeozaaaa kabaki makonda na samia 😂😂😂😂😂
@afterfull-time13488 ай бұрын
Hao wanaoshangilia wanamaumivu makali ni siri moyo,.. Mungu atupe nguvu😢😢😢
@skjjsj18898 ай бұрын
Mmmhapatoshi😊😊😊
@mrsab3038 ай бұрын
Makonda good job ❤❤❤❤
@rosemuhandoofficial56768 ай бұрын
Kule nyuma wanavyo haha mmmh kimeumanaaaaaa!!!!
@PaschalPaulo-fv5xi8 ай бұрын
kweli naona wanatokota
@PaschalPaulo-fv5xi8 ай бұрын
kweli naona wanatokota
@VenerandaKundi-ph4hg8 ай бұрын
Haya sasà mnaona watu wanateseka watu hawafanyi kazi kumbe wizi mtupu je rais wetu ndo afanyeje mtu umepewa kazi unafanya hovyo 😢😢😢😢😢😢
@JamesItoba8 ай бұрын
Jembe chukua fomu 2025, Kwa vyovyote umepita ❤️ lake zone.
@billgussy60998 ай бұрын
Ccm wanajivua nguo wapinzani jipigieni sasa
@issakwisamwasanjobe5418 ай бұрын
Wenye haki wakitawala nchi hufarahi lakini wasiohaki wakitawala nchi hulia machozi na mang'uniko naa huzuni
@afterfull-time13488 ай бұрын
Watu tunaonewa sana mpaka tunajuta kuzaliwa
@user-eh2bg3pd4b8 ай бұрын
Ccm sasa inaimaliza upinzani
@dubai85948 ай бұрын
JPM MY LOVERY DADY NAHISI MACHOZI
@ObeckSimkwai-gh2rn8 ай бұрын
Matius Levi ameyatimba
@MizeKombeSuleiman-id1rp8 ай бұрын
Ni 7000 za kenya ama ni dollar??
@donaldmwita42278 ай бұрын
Matatizo hayo yote yamefanyika chini ya uwangalizi wa CCM na watanzania bado wamekwama tu kwa CCM. WAMBUBAFU TU.