Рет қаралды 27,329
Subscribe / uwazi1
Katika Mkutano Mkuu wa CCM Ambao Unafanyika Mjini Dodoma Yusuph Makamba amesema kuwa Rais Magufuli ni Kiongozi ambaye anafaa kuwa mwenyekiti kutokana na ni Rais ambaye anasema ukweli bila kuficha.
Akizungumza katika mkutano Mkuu Makamba amesema kuwa Viongozi wa Vyama vya upinzani urais watausikia kutokana chama hicho kimejipanga ukilinganisha na mwaka 2015 Dkt Magufuli alivyoishika Nchi.
Mbali na Hayo Makamba amewataka Mbowe, Mrema na Wengine wasipoteze muda kutokana na mwaka 2020 CCM ndio itakayochukua nchi huku akiwa na msemo wake Njia sio nyepesi.
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .